< Mika 1 >

1 Hili ni neno la Yahwe ambalo lilikuja kwa Mika Mmorashti katika siku za Yotahamu, Ahazi, na Hezekeia, mfalme wa Yuda, lile neno aliloliona kuhusiana na Samaria na Yerusalemu.
Palavra do Senhor, que veio a Miqueas, morasthita, nos dias de Jothão, Achaz e Ezequias, reis de Judá, a qual ele viu sobre Samaria e Jerusalém.
2 Sikilizeni, ninyi watu wote. Sikilizeni, dunia, na vyote vilivyomo kwenye dunia. Acheni Yahwe ashuhudiwe dhidi yenu, Bwana kutoka kwenye hekalu lake takatifu.
Ouvi, todos os povos, atenta tu, terra, e a plenitude dela, e seja o Senhor Jehovah testemunha contra vós, o Senhor, desde o templo da sua santidade.
3 Tazama, Yahwe anakuja kutoka mahali pake; atashuka chini na kupakanyaga mahali pa juu katika dunia.
Porque eis que o Senhor sai do seu lugar, e descerá, e pizará as alturas da terra.
4 Milima itayeyuka chini yake; mabonde yatapasuka vipande vipande kama mshumaa mbele ya moto, kama maji ambayo yamemwagika chini ya mteremko mkali.
E os montes debaixo dele se derreterão, e os vales se fenderão, como a cera diante do fogo, como as águas que se precipitam num abismo.
5 Haya yote ni kwasababu ya uasi wa Yakobo, na kwasababu ya dhambi za nyumba ya Israeli. Je sababu ilikuwa nini kwa uasi wa Yakobo? Je ilikuwa Samaria? Je sababu ilikuwa nini kwa mahali pa juu pa Yuda? Je haiukuwa Yerusalemu?
Tudo isto por causa da prevaricação de Jacob, e dos pecados da casa de Israel: quem é o autor da rebelião de Jacob? não é Samaria? e quem o das alturas de Judá? não é Jerusalém?
6 “Nitaifanya Samaria rundo la uharibifu katika shamba, kama eneo la kupandia mizabibu. Nitayavuta mawe ya jengo lake kwenda kwenye bonde; Nitaifunua misingi yake.
Por isso farei de Samaria um montão de pedras do campo, uma terra de plantar vinhas, e farei rebolar as suas pedras no vale, e descobrirei os seus fundamentos.
7 Sanamu zake zote za kuchonga zitapondwa vipande vipande; na zawadi zake zote zitachomwa moto. Kwa kuwa zawadi zake za ukahaba amezikusanya, na kama malipo ya ukahaba yatarudi.”
E todas as suas imagens de escultura serão esmiuçadas, e todos os seus salários serão queimados pelo fogo, e de todos os seus ídolos eu farei uma assolação, porque da paga de prostitutas os ajuntou, e para a paga de prostitutas voltarão.
8 Kwa sababu hii nitalia na kuomboleza; nitaenda peku peku na uchi; Nitaomboleza kama mbeha na kuomboleza kama bundi.
Por isso lamentarei, e uivarei, andarei despojado e nú: farei lamentação como de dragões, e pranto como de avestruzes.
9 Kwa kuwa jeraha lake haliponi, kwa kuwa imefika kwa Yuda. Imefikia lango la watu wangu, hadi Yerusalemu.
Porque a sua chaga é incurável, porque chegou até Judá: estendeu-se até à porta do meu povo, até Jerusalém.
10 Msiache kuwambia kuhusu katika Gathi; msilie tena. Katika Bethi Leafra nabiringisha mwenyewe kwenye mavumbi.
Não o anuncieis em Gath, nem choreis muito: revolve-te no pó, na casa de Aphra.
11 Piteni karibu na, makao ya Shafiri, katika uchi na aibu. Makazi ya Zaanani hayatatoka nje. Maombolezo ya Beth Ezeli, kwa ajili ya ulinzi yamechukuliwa.
Passa, ó moradora de Saphir, com nudez vergonhosa: a moradora de Zaanan não sai para fora; o pranto de Beth-ezel receberá de vós a sua estância.
12 Kwa kuwa wakaaji wa Marothi hungoja habari njema, kwa sababu hofu, kwa sababu msiba umetoka kwa Yahwe hadi kwenye malango ya Yerusalemu.
Porque a moradora de Maroth teve dor pelo bem; porque desceu do Senhor o mal até à porta de Jerusalém.
13 Wfuungeni lijamu farasi wakokote gari la farasi, makazi ya Lakishi. Wewe Lakishi, ulikuwa mwanzo wa dhambi kwa binti Sayuni, kwa kuwa makosa ya Israeli yalionekana kwako.
Ata os animais ligeiros ao carro, ó moradora de Lachis (esta é o princípio do pecado para a filha de Sião), porque em ti se acharam as transgressões de Israel.
14 Hivyo utaipa zawadi ya kuagia Moreshethi Gathi; mji wa Akzibu utawavunja moyo wafalme wa Israeli.
Por isso dá presentes a Moreshethgath: as casas de Achzib serão casas de mentira aos reis de Israel.
15 Tena nitaleta ushindi kwako, makazi ya Maresha; uzuri wa Israeli utakuja Adulamu.
Ainda te trarei um herdeiro, ó moradora de Maresha: chegar-se-á até Adullam, para glória de Israel.
16 Kata kipara chako na kata nywele zako kwa ajili ya watoto ambao unaowafurahisha. Fanya kipara chako mwenyewe kama tai, kwa ajili ya watoto wako watakao kwenda utumwani kutoka kwako
Faze-te calva, e tosquia-te, por causa dos filhos das tuas delícias: alarga a tua calva como a águia, porque te foram levados cativos.

< Mika 1 >