< Mika 7 >

1 Ole wangu! Kwangu mimi ni kama msimu wa mavuno ulipokwisha, na pia makombo ya mavuno ya zabibu kwenye shamba la mizabibu: Hakuna tena kishamba cha matunda kinachoonekana, hakuna matini ya malimbuka ambayo ninayoyatamani.
Biada mi! Jestem bowiem jak ostatki po letnich zbiorach, jak pokłosie grona po winobraniu. Nie ma żadnego grona do zjedzenia, moja dusza pragnęła pierwocin z owocu.
2 Watu waaminifu wamepotelea kutoka kwenye nchi, hakuna mtu mwadilifu katika wanadamu wote. Wote hudanganya katika kusubiri kumwaga damu; kila mtu humuwinda ndugu yake mwenyewe kwa wavu.
Pobożny zginął z ziemi, nie ma prawego wśród ludzi. Wszyscy czyhają na krew, każdy zastawia sieci dla swego brata.
3 Mikono yao ni mizuri mno kwa kufanya madhara. watawala huuliza pesa, hakimu yuko tayari kwa rushwa, na mtu mwenye nguvu anawaambia wengine kile anachokitaka kujipatia. Hivyo ndivyo waundavyo kwa pamoja.
By chętnie czynić zło obiema rękami, książę i sędzia żądają datku; zamożny [człowiek] wypowiada swoją przewrotną żądzę. I razem wszystko splatają.
4 Mtu bora kwao ni kama mitemba, mwadilifu sana ni kama mche wa miba. Imefika siku iliyosemwa nyuma na walinzi wako, siku ya hukumu. Sasa ni mda wa machafuko.
Najlepszy z nich jest jak oset; najuczciwszy – jak płot ciernisty. Nadchodzi dzień twoich stróżów [i] twojego nawiedzenia; już nastanie ich zamieszanie.
5 Msimwamini kila jirani; msimuweke kiongozi katika rafiki yeyote. Kuweni makini kuhusiana na kile msemacho hata kwa mwanamke ambaye adanganyaye kwenye mikono yenu.
Nie wierzcie przyjacielowi, nie ufajcie wodzowi. Strzeż bramy swoich ust przed tą, która leży na twoim łonie.
6 Kwa kuwa mwana humfedhehesha baba yake, binti huinuka kushindana na mama yake, na mke wa mwana wa kiume hushindana na mama mkwe wake. Adui wa watu ni watu wa nyumba yake mwenyewe.
Syn bowiem lekceważy ojca, córka powstaje przeciwko swojej matce, synowa przeciwko swojej teściowej, [a] wrogami człowieka [są] jego domownicy.
7 Lakini kama kwangu mimi, nitamtazama Yahwe. Nitamsubiri Mungu wa wokovu wangu; Mungu wangu ataniskia.
Dlatego będę wypatrywał PANA, będę oczekiwać Boga mego zbawienia. Mój Bóg mnie wysłucha.
8 Usifurahi juu yangu, adui yangu. Niangukapo, nitainuka. Wakati nitakapokuwa nimekaa katika giza, Yahwe atakuwa mwanga kwangu.
Nie ciesz się z mojego powodu, moja nieprzyjaciółko! Chociaż upadłem, powstanę; choć siedzę w ciemności, PAN jest moją światłością.
9 Kwasababu nimetenda dhambi dhidi ya Yahwe, nitachukua ghadhabu yake hata aniteteapo kosa langu, na kutekeleza hukumu kwa ajili yangu. Atanileta kwenye nuru, na nitamwona akiniokoa kwenye haki yake.
Zniosę gniew PANA, bo zgrzeszyłem przeciwko niemu, aż będzie bronił mojej sprawy i wykona dla mnie sąd. Wyprowadzi mnie na światło i ujrzę jego sprawiedliwość.
10 Kisha adui yangu atakapoliona hilo, na aibu itamfunika yule aliyeniambia, “Yahwe Mungu wako yuko wapi?” macho yangu yatamtazama; atakanyagwa chini kama tope kwenye mitaa.
Ujrzy to moja nieprzyjaciółka i wstyd okryje tę, która do mnie mówi: Gdzie jest PAN, twój Bóg? Moje oczy będą patrzyć na nią, gdy będzie podeptana jak błoto na ulicach.
11 Siku ya ya kujenga kuta zako zitafika; siku hiyo mipaka itasogezwa mbali sana.
W [tym] dniu, kiedy będą odbudowywać twoje mury, w tym dniu dekret rozejdzie się daleko.
12 Siku hiyo watu watakuja kwako, kutoka Ashuru na miji katika Misri, kutoka Misri hata mto mkubwa, kutoka bahari kwenda bahari, na kutoka mlima kwenda mlima.
W tym dniu będą przychodzić do ciebie od Asyrii aż po miasta obronne, od miast obronnych aż po rzekę, od morza aż do morza i od góry aż do góry.
13 Hizo nchi zitakuwa zimejitenga kwasababu ya watu ambao wanaishi huko sasa, kwasababu ya tunda la matendo yao.
Ta ziemia jednak będzie spustoszona z powodu swoich mieszkańców, z powodu owocu ich czynów.
14 Chunga watu wako kwa fimbo yako, kundi la urithi wako. Wanaishi wenyewe kwenye msitu, katikati ya msitu. Wachunge katika Bashani na Gileadi kama siku za zamani.
Paś swój lud laską swoją, trzodę swojego dziedzictwa, która mieszka samotnie w lesie i w środku Karmelu. Niech się pasą w Baszanie i Gileadzie [jak] za dawnych dni.
15 Kama katika siku wakati mlipotoka nje ya nchi ya Misri, nitawaonyesha maajabu.
Ukażę mu cudowne rzeczy jak za dni, gdy wyszedłeś z ziemi Egiptu.
16 Mataifa yataona na kuwa na aibu ya nguvu zao zote. Wataweka mikono yao kwenye midomo yao; masikio yao yatakuwa kiziwi.
Ujrzą to narody i zawstydzą się całej swojej potęgi. Przyłożą rękę do ust, a ich uszy ogłuchną.
17 Watalamba vumbi kama nyoka, kama viumbe vitaambavyo juu ya nchi. Watatoka nje kwenye maficho kwa hofu; watakuja kwako kwa hofu, Yahwe Mungu wetu, na wataogopa kwa sababu yako.
Będą lizać proch jak wąż, wyjdą ze swoich nor jak zwierzęta pełzające do PANA, naszego Boga, ze strachem i będą się bać ciebie.
18 Ni nani aliye Mungu kama wewe, wewe uchukuaye dhambi, wewe upitaye juu ya kosa la mabaki ya mrithi wako? Hutunzi hasira yako milele, kwa sababu unapenda kutuonyesha agano lako la aminifu.
Któż jest Bogiem jak ty, który przebacza nieprawość i daruje występek resztki swego dziedzictwa? Nie chowa swego gniewu na wieki, bo ma upodobanie w miłosierdziu.
19 Tena utakuwa na huruma juu yetu; utayakanyaga maovu chini ya miguu yako. Utazitupa dhambi zetu zote kwenye vilindi vya bahari.
Odwróci się i zlituje się nad nami; pokona nasze nieprawości i wrzuci w głębiny morza wszystkie nasze grzechy.
20 Utampatia ukweli Yakobo na agano aminifu kwa Abrahamu, ulipoapa kwa babu zetu katika siku za kale.
Pokażesz prawdę Jakubowi i [okażesz] miłosierdzie Abrahamowi, tak jak przysiągłeś naszym ojcom za dawnych dni.

< Mika 7 >