< Mathayo 21 >

1 Yesu na wanafunzi wake wakafika karibu na Jerusalemu na wakaenda mpaka Bethfage, katika mlima mizeituni, kisha Yesu akawatuma wanafunzi wawili,
A gdy się przybliżyli do Jerozolimy i przyszli do Betfage na Górę Oliwną, wtedy Jezus posłał dwóch uczniów;
2 akiwaambia, “Nendeni katika kijiji kinachofuata, na mara moja mtamkuta punda amefungwa pale, na mwanapunda pamoja naye. wafungueni na kuwaleta kwangu.
Mówiąc im: Idźcie do wsi, która jest przed wami, a zaraz znajdziecie uwiązaną oślicę i oślątko z nią. Odwiążcie [je] i przyprowadźcie do mnie.
3 Ikiwa mtu yeyote akiwaambia chochote kuhusu hilo, mtasema, `Bwana anawahitaji, ` na mtu huyo mara moja atawaruhusu mje pamoja nao”
A gdyby wam ktoś coś mówił, powiedzcie: Pan ich potrzebuje, a zaraz je puści.
4 Jambo hili lilitokea ni lile lililosemwa kupitia kwa nabii lazima litimizwe. Akawaambia,
To wszystko się stało, aby się wypełniło, co zostało powiedziane przez proroka:
5 Waambie binti Sayuni, tazama, mfalme wako anakuja kwenu, mnyenyekevu na akiwa amempanda punda, na mwana punda mme, mwana punda mchanga.
Powiedzcie córce Syjonu: Oto twój król przychodzi do ciebie cichy, siedzący na ośle, na oślątku, źrebięciu oślicy.
6 Kisha wanafunzi waliondoka na kufanya kama Yesu alivyowaagiza.
Poszli więc uczniowie i uczynili tak, jak im nakazał Jezus.
7 Wakamleta punda na mwanapunda, na kuweka nguo zao juu yao, naye Yesu akakaa pale.
Przyprowadzili oślicę i oślątko, położyli na nie swoje szaty i posadzili go na nich.
8 Wengi katika mkusanyiko walitandaza nguo zao njiani, na wengine walikata matawi kutoka kwenye miti na kutandaza barabarani.
A wielki tłum słał swoje szaty na drodze, inni zaś obcinali gałązki z drzew i kładli na drodze.
9 Umati uliomtangulia Yesu na wale waliomfuata walipaza sauti, wakisema,”Hosana kwa mwana wa Daudi! Ni mbarikiwa ajaye kwa jina la Bwana. Hosana juu zaidi!”
A tłumy, które szły przed nim i za nim, wołały: Hosanna Synowi Dawida! Błogosławiony, który przychodzi w imieniu Pana! Hosanna na wysokościach!
10 Yesu alipofika Yerusalemu, mji mzima ulishtuka na kusema, “Huyu ni nani?
Kiedy wjechał do Jerozolimy, poruszyło się całe miasto i pytano: Któż to jest?
11 “Umati ulijibu, “Huyu ni Yesu Nabii, kutoka Nazareti ya Galilaya.”
A tłumy odpowiadały: To jest Jezus, prorok z Nazaretu w Galilei.
12 Kisha Yesu akaingia katika hekalu la Mungu. akawafukuza nje wote waliokuwa wakinunua na kuuza hekaluni. Pia alipindua meza za wabadilishaji wa fedha na viti vya wauza njiwa.
Wtedy Jezus wszedł do świątyni Boga i wypędził wszystkich sprzedających i kupujących w świątyni; poprzewracał stoły wymieniających pieniądze i stołki sprzedających gołębie.
13 Akawaambia, “Imeandikwa, `'Nyumba yangu itaitwa nyumba ya maombi, `lakini ninyi mmeifanya pango la wanyang`anyi.”
I powiedział im: Jest napisane: Mój dom będzie nazwany domem modlitwy, a wy zrobiliście z niego jaskinię zbójców.
14 kisha vipofu na vilema wakamjia hekaluni, naye akawaponya.
Wtedy ślepi i chromi podeszli do niego w świątyni, a on ich uzdrowił.
15 Lakini wakati wakuu wa makuhani na waandishi walipoona maajabu aliyoyatenda, na waliposikia watoto wakipiga kelele hekaluni na kusema, “Hosana kwa Mwana wa Daudi,” walishikwa na hasira.
A gdy naczelni kapłani i uczeni w Piśmie zobaczyli cuda, które czynił, i dzieci wołające w świątyni: Hosanna Synowi Dawida, rozgniewali się.
16 Wakamwambia, “Umesikia kile kinachosemwa na hawa watu?” Yesu akawaambia, “Ndiyo! Lakini hamjawahi kusoma, 'Kutoka kwa midomo ya watoto na watoto wachanga wanyonyao mna sifa kamili?''
I zapytali go: Słyszysz, co one mówią? A Jezus im odpowiedział: Tak. Czy nigdy nie czytaliście: Przez usta niemowląt i ssących przygotowałeś [sobie] chwałę?
17 Kisha Yesu akawaacha na kwenda nje ya mji katika Bethania na kulala huko.
A opuściwszy ich, wyszedł z miasta do Betanii i tam przenocował.
18 Asubuhi alipokuwa anarudi mjini, alikuwa na njaa.
A wracając rano do miasta, poczuł głód.
19 Aliona mtini kandokando ya barabara. Akauendea, lakini hakupata kitu juu yake isipokuwa majani. Aliuambia, “Kusiwe na matunda kwako daima tena.” Na mara hiyo mtini ule ukanyauka. (aiōn g165)
I widząc przy drodze drzewo figowe, podszedł do niego, ale nie znalazł na nim nic oprócz samych liści. I powiedział do niego: Niech się już nigdy nie rodzi z ciebie owoc. I drzewo figowe natychmiast uschło. (aiōn g165)
20 Wanafunzi walipoona, wakastaajabu na kusema, “Imekuwaje mtini umenyauka mara moja?”
A gdy uczniowie to zobaczyli, dziwili się, mówiąc: Jak szybko uschło to drzewo figowe!
21 Yesu akajibu na kuwaambia, “Kweli nawaambieni, kama mkiwa na imani na bila wasiwasi, hamtafanya kile kilichofanyika kwa huo mtini tu, lakini mtauambia hata huo mlima, ` uchukuliwe na ukatupwe baharini, `na itafanyika.
Wtedy Jezus im odpowiedział: Zaprawdę powiadam wam: Jeśli będziecie mieć wiarę i nie zwątpicie, nie tylko to, [co się stało] z drzewem figowym, uczynicie, ale jeśli i tej górze powiecie: Podnieś się i rzuć się do morza, stanie się [tak].
22 Chochote mtakachoomba kwa sala, huku mkiamini, mtapokea.”
I wszystko, o cokolwiek poprosicie w modlitwie, wierząc, otrzymacie.
23 Yesu alipofika hekaluni, wakuu wa makuhani na wazee wa watu wakamjia wakati alipokuwa akifundisha na kumwuliza, “Ni kwa mamlaka gani unafanya mambo haya? Na ni nani aliyekupa mamlaka haya?”
A gdy przyszedł do świątyni i nauczał, podeszli do niego naczelni kapłani i starsi ludu, pytając: Jakim prawem to czynisz? I kto dał ci tę władzę?
24 Yesu akajibu na kuwaambia, “Nami tena nitawauliza swali moja. kama mkiniambia, nami vilevile nitawaambia ni kwa mamlaka gani ninafanya mambo haya.
A Jezus im odpowiedział: I ja was spytam o pewną rzecz. Jeśli mi odpowiecie, i ja wam powiem, jakim prawem to czynię.
25 Ubatizo wa Yohana- ulitoka wapi, mbinguni au kwa wanadamu?” Wakahojiana wenyewe, wakisema, tukisema, ulitoka mbinguni, `atatuambia, kwa nini hamkumwamini? `
Skąd pochodził chrzest Jana? Z nieba czy od ludzi? A oni zastanawiali się między sobą i mówili: Jeśli powiemy, że z nieba, zapyta nas: Czemu więc mu nie uwierzyliście?
26 Lakini tukisema, `ulitoka kwa wanadamu, `tunawaogopa makutano, kwa sababu wote wanamwona Yohana kama nabii.”
Jeśli zaś powiemy, że od ludzi – boimy się tłumu, bo wszyscy uważają Jana za proroka.
27 Kisha wakamjibu Yesu na kusema, “Hatujui” Akawaambia pia, “Wala mimi sitawaambia ni kwa mamlaka gani nafanya mambo haya.
Odpowiedzieli więc Jezusowi: Nie wiemy. On również im odpowiedział: I ja wam nie powiem, jakim prawem to czynię.
28 Lakini mnafikiri nini? Mtu mwenye wana wawili. Akaenda kwa moja na kumwambia, `Mwanangu, nenda ukafanye kazi katika shamba la mizabibu
Jak wam się wydaje? [Pewien] człowiek miał dwóch synów. Podszedł do pierwszego i powiedział: Synu, idź, pracuj dziś w mojej winnicy.
29 leo. `Mwana akajibu na kusema, `sitakwenda, ' Lakini baadaye akabadilisha mawazo yake na akaenda.
Ale on odpowiedział: Nie chcę. Lecz potem odczuł żal i poszedł.
30 Na Mtu yule akaenda kwa mwana wa pili na kusema kitu kilekile. Mwana huyu akajibu na kusema, `nitakwenda, bwana', lakini hakwenda.
Podszedł do drugiego i powiedział to samo. On zaś odpowiedział: [Idę], panie. Ale nie poszedł.
31 Yupi kati ya wana wawili aliyefanya matakwa ya baba yake? Wakasema, “Mwana wa kwanza.” Yesu akawaambia, “Kweli nawaambieni, wakusanya ushuru na makahaba wataingia kwenye ufalme wa Mungu kabla yenu kuingia.
Który z tych dwóch wypełnił wolę ojca? Odpowiedzieli mu: Ten pierwszy. Jezus im powiedział: Zaprawdę powiadam wam, że celnicy i nierządnice wchodzą przed wami do królestwa Bożego.
32 Kwa maana Yohana alikuja kwenu kwa njia iliyo nyoofu, lakini hamkumwamini, wakati wakusanya ushuru na makahaba walimwamini. Na ninyi, mlipoona hilo likitendeka, hamkuweza kutubu ili baadaye mumwamini.
Przyszedł bowiem do was Jan drogą sprawiedliwości, a nie uwierzyliście mu, ale celnicy i nierządnice mu uwierzyli. A wy, chociaż [to] widzieliście, nie odczuliście żalu, aby mu uwierzyć.
33 Sikilizeni mfano mwingine. Kulikuwa na mtu, mtu mwenye eneo kubwa la ardh. Alipanda mizabibu, akaiwekea uzio, akatengeneza na chombo cha kukamlia divai, akajenga na mnara wa walinzi, na akalikodisha kwa watunza zabibu. Kisha akaenda katika nchi nyingine.
Posłuchajcie innej przypowieści: Był pewien gospodarz, który założył winnicę. Ogrodził ją płotem, wykopał w niej prasę, zbudował wieżę i wydzierżawił ją rolnikom, i wyjechał.
34 Wakati wa mavuno ya mizabibu ulipokaribia, aliwatuma baadhi ya watumishi kwa wakulima wa mizabibu kuchukua mizabibu yake.
A gdy nadszedł czas [zbiorów], posłał swoje sługi do rolników, aby odebrali plony tej [winnicy].
35 Lakini wakulima wa zabibu wakawachukua watumishi wake, wakampiga mmoja, wakamwua mwingine, na wakampiga mmoja kwa mawe.
Lecz rolnicy schwytali jego sługi, jednego pobili, innego zabili, a jeszcze innego ukamienowali.
36 Kwa mara nyingine, Mmiliki aliwatuma watumishi wengine, wengi zaidi ya wale wa kwanza, lakini wakulima wa mizabibu waliwatendea vilevile.
Wtedy posłał inne sługi, więcej niż za pierwszym razem, ale postąpili z nimi tak samo.
37 Baada ya hapo bwana yule akamtuma kwao mwana wake, akisema, `'Watamheshimu mwanangu.'`
W końcu posłał do nich swego syna, mówiąc: Uszanują mego syna.
38 Lakini wakulima wa mizabibu walipomwona kijana yule, wakaambizana, `'Huyu ni mrithi, Njooni, tumuue na tumiliki urithi.'
Lecz rolnicy, gdy zobaczyli syna, mówili między sobą: To jest dziedzic. Chodźmy, zabijmy go, a posiądziemy jego dziedzictwo.
39 `Hivyo wakamchukua, wakamtupa nje ya shamba la mizabibu na kumwua.
I schwytali go, wyrzucili z winnicy i zabili.
40 Je mmliki wa shamba la mizabibu atakapokuja, atawafanya nini wakulima wa mizabibu?”
Gdy więc przyjdzie pan winnicy, co zrobi z tymi rolnikami?
41 Wakamwambia, “Atawaharibu hao watu waovu katika njia ya ukali zaidi, na kisha atalikodisha shamba la mizabibu kwa wakulima wengine wa mizabibu, watu ambao watalipa kwa ajili ya mizabibu itakapoiva.”
Odpowiedzieli mu: Złych srogo wytraci, a winnicę wydzierżawi innym rolnikom, którzy będą mu oddawać plony we właściwym czasie.
42 Yesu akawaambia, “Hamkusoma katika maandiko, 'Jiwe walilolikataa waashi limekuwa jiwe kuu la msingi. Hili lilitoka kwa Bwana, na inashangaza machoni petu?'
Powiedział im Jezus: Czy nigdy nie czytaliście w Pismach: Kamień, który odrzucili budujący, stał się kamieniem węgielnym; Pan to sprawił i jest to cudowne w naszych oczach?
43 Hivyo nawaambieni, Ufalme wa Mungu utatwaliwa kutoka kwenu na kupewa taifa linalojali matunda yake.
Dlatego mówię wam: Królestwo Boże zostanie wam zabrane, a dane narodowi, który wyda jego owoce.
44 Yeyote atakayeanguka juu ya jiwe hilo atavunjwa vipandevipande. Lakini kwa yeyote litakayemwangukia, litamsaga.”
A kto upadnie na ten kamień, rozbije się, na kogo zaś [on] upadnie, zmiażdży go.
45 Wakuu wa makuhani na mafarisayo waliposikia mifano yake, wakaona kuwa anawazungumzia wao.
Kiedy naczelni kapłani i faryzeusze usłyszeli jego przypowieści, domyślili się, że o nich mówił.
46 Lakini kila walipotaka kunyosha mikono juu yake, waliogopa makutano, kwa sababu watu walimtazama kama nabii.
I chcieli go schwytać, ale bali się tłumów, ponieważ uważały go za proroka.

< Mathayo 21 >