< Mathayo 20 >

1 Kwa maana ufalme wa mbinguni unafanana na mmliki wa shamba, aliyeamka asubuhi na mapema ili kuajiri wafanyakazi katika shamba lake la mizabibu.
Защото небесното царство прилича на стопанин, който излезе при зазоряване да наеме работници за лозето си.
2 Baada ya kuwa amekubaliana na wafanyakazi dinari moja kwa kutwa, aliwatuma kwenda katika shamba lake la mizabibu.
И като се погоди с работниците по един пеняз на ден, прати ги на лозето си.
3 Alienda tena baada ya masaa matatu hivi na aliona wafanyakazi wengine wakiwa wamesimama bila kazi katika eneo la soko.
И като излезе около третия час, видя други, че стояха на пазара празни;
4 Akawaambia, 'Ninyi pia, nendeni katika shamba la mizabibu, na chochote kilicho halali nitawapa.' Hivyo wakaenda kufanya kazi.
и на тях рече: Идете и вие на лозето; и каквото е право ще ви дам. И те отидоха.
5 Akaenda tena baada ya masaa sita na tena katika saa ya tisa, na alifanya hivyo hivyo.
Пак, като излезе около шестия и около деветия час направи същото.
6 Mara nyingine tena mnamo saa kumi na moja, alienda na kuwakuta watu wengine wamesimama bila kazi. Aliwaambia, 'kwanini mmesimama hapa bila kazi yoyote kwa siku nzima?
А, като излезе около единадесетия час, намери други че стоят, и каза им: Защо стоите тука цял ден празни?
7 Wakamwambia, kwasababu hakuna mtu yeyote aliyetuajiri. Akawaambia, 'Nanyi ninyi pia nendeni katika shamba la mizabibu.'
Те му казаха: Защото никой не ни е условил. Каза им: Идете и вие на лозето, [и каквото е право ще получите].
8 Wakati wa jioni ulipofika, mwenye shamba la mizabibu alimwambia msimamizi wake, 'Waite wafanyakazi na uwalipe mishahara, kwa kuanza na wa mwisho hadi wa kwanza.'
Като се свечери, стопанинът на лозето каза на настойника си: Повикай работниците и плати им надницата, като почнеш от последните и следваш до първите.
9 Walipokuja wale walioajiriwa saa kumi na moja, kila mmoja wao alipokea dinari.
И тъй, дойдоха условените около единадесетия час, и получиха по един пеняз.
10 Walipokuja wafanyakazi wa kwanza, walifikiri kuwa watapokea zaidi, lakini walipokea pia kila mmoja dinari moja kila mtu.
А като дойдоха първите, мислеха си, че ще получат повече от един пеняз но и те получиха по един пеняз.
11 Baada ya kupokea malipo yao, walimlalamikia mmiliki wa shamba.
И като го получиха, зароптаха против стопанина, като казаха:
12 Wakasema, 'Hawa wafanyakazi wa mwisho wametumia saa moja tu katika kufanya kazi, lakini umewalinganisha na sisi, sisi tumebeba mzigo kwa siku nzima na kuungua na joto.'
Тия последните иждивиха само един час; и пак си ги приравнил с нас, които понесохме теготата на деня и жегата.
13 Lakini mwenye shamba akajibu na kusema kwa mmoja wao, 'Rafiki, sikutenda jambo baya. Je! hatukukubaliana na mimi kwa dinari moja?
А той в отговор рече на един от тях: Приятелю, не те онеправдавам. Не се ли погоди с мене за един пеняз?
14 Pokea kile kilicho halali yako na uende zako. Ni furaha yangu kuwapa hawa wafanyakazi walioajiriwa mwisho sawa sawa na wewe.
Вземи си своето и иди си; моята воля е да дам на тоя последния както и на тебе.
15 Je! Si haki kwangu kufanya kile ninachotaka na mali zangu? Au jicho lako ni ovu kwa sababu mimi ni mwema?
Не ми ли е позволено да сторя със своето каквото искам? Или твоето око е завистливо(Гръцки: Лошо.), защото аз съм добър?
16 Hivyo wa mwisho atakuwa kwanza na wa kwanza wa mwisho''
Така последните ще бъдат първи, а първите последни.
17 Yesu alipokuwa akipanda kwenda Yerusalem, aliwachukuwa wanafunzi wake kumi na mbili pembeni, na njiani akawaambia,
И, когато възлизаше Исус за Ерусалим, взе дванадесетте ученици насаме, и по пътя им рече:
18 ''Tazama tunaelekea Yerusalemu, na Mwana wa Adamu atatiwa katika mikono ya wakuu wa makuhani na waandishi. Watamhukumu kifo
Ето, възлизаме за Ерусалим, и Човешкият Син ще бъде предаден на главните свещеници и книжници; и те ще Го осъдят на смърт,
19 na watamtoa kwa watu wa mataifa ili kumdhihaki, kumchapa na kumsulibisha. Lakini katika siku ya tatu atafufuka.''
и ще го предадат на езичниците, за да Му се поругаят, да Го бият и Го разпнат; и на третия ден ще бъде възкресен.
20 Kisha mama wa wana wa Zebedayo alikuja kwa Yesu na wana wake. Alipiga magoti mbele yake na kumwomba kitu kutoka kwake.
Тогава майката на Заведеевите синове се приближи при Него заедно със синовете си, кланяше Му се и искаше нещо от Него.
21 Yesu akamwambia, “Unataka nini?” Akamwambia, ''Amuru kuwa hawa wanangu wawili wakae, mmoja mkono wako wa kulia na mmoja mkono wako wa kushoto katika ufalme wako.''
А Той й рече: Какво искаш? Каза Му: Заповядай тия мои двама сина да седнат, един отдясно Ти, а един от ляво Ти в Твоето царство.
22 Lakini Yesu akajibu na kusema, “Haujui kile unachoomba. Je! Unaweza kukinywea kikombe ambacho nitakinywea?” wakamwambia, “Tunaweza.”
А Исус в отговор рече: Не знаете какво искате. Можете ли да пиете чашата, която Аз имам да пия? [и да се кръстите с кръщението с което Аз се кръщавам?] Казват Му: Можем.
23 Akawaambia, “Kikombe changu hakika mtakinywea. Lakini kukaa mkono wangu wa kulia na mkono wangu wa kushoto si jukumu langu kuwapa, lakini ni kwa wale ambao wamekwisha kuandaliwa na Baba yangu.”
Той им рече: Моята чаша наистина ще пиете, [и с кръщението с което Аз се кръщавам, ще се кръстите]; но да седнете отдясно Ми и отляво Ми не е Мое да дам, а ще се даде на ония, за които е било приготвено от Отца Ми.
24 Wanafunzi wengine kumi waliposikia hivyo, wakahuzunishwa sana na wale ndugu wawili.
И десетимата като чуха това, възнегодуваха против двамата братя.
25 Lakini Yesu aliwaita mwenyewe na kuwaambia, “Mnafahamu ya kuwa watawala wa mataifa huwatiisha, na wakuu wao hutekeleza mamlaka juu yao.
Но Исус ги повика и рече: Вие знаете, че управителите на народите господаруват над тях.
26 Lakini isiwe hivyo kwenu. Badala yake, yeyote atakayetaka kuwa mkubwa miongoni mwenu lazima awe mtumishi wenu.
Но между вас не ще бъде така; но който иска да стане големец между вас, ще ви бъде служител;
27 Na atakaye kuwa wa kwanza miongoni mwenu lazima awe mtumishi wenu.
и който иска да бъде пръв между вас, ще ви бъде слуга;
28 Kama vile Mwana wa Adamu hakuja kutumikiwa, bali kutumika, na kutoa uhai wake kuwa ukombozi kwa wengi.”
също както и Човешкият Син не дойде да Му служат, но да служи, и да даде живота Си откуп за мнозина.
29 Wakati wakitoka Yeriko, umati mkubwa ulimfuata.
И като излизаха от Ерихон, голямо множество отиваше подире Му.
30 Na waliwaona vipofu wawili wameketi kando ya barabara. Waliposikia kuwa Yesu alikuwa anapita, walipaza sauti na kusema, “Bwana, Mwana wa Daudi, utuhurumie.”
И, ето, двама слепци, седящи край пътя, като чуха, че Исус минавал, извикаха казвайки: Смили се над нас, Господи Сине Давидов!
31 Lakini umati ukawakemea, na kuwaambia nyamazeni. Hata hivyo, wao wakapaza sauti zaidi na kusema, “Bwana, Mwana wa Daudi, utuhurumie.”
А народът ги смъмряше, за да млъкнат; но те още по-силно викаха, казвайки: Смили се за нас, Господи Сине Давидов!
32 Kisha Yesu alisimama na aliwaita na kuwauliza, “Mnataka niwafanyie nini?”
И тъй, Исус се спря, повика ги и каза: Какво искате да ви сторя!
33 Wakamwambia, “Bwana kwamba macho yetu yafumbuliwe.”
Казват Му: Господи, да се отворят очите ни.
34 Basi Yesu, akiwa amevutwa na huruma, akayagusa macho yao, mara hiyo, wakapokea uwezo wa kuona na wakamfuata.
А Исус се смили и се допря до очите им; и веднага прогледаха и тръгнаха подире Му.

< Mathayo 20 >