< Mathayo 16 >

1 Mafarisayo na Masadukayo walimjia na kumjaribu Yesu awaonyeshe ishara inayotoka angani.
Mapalishayo na Mashadukayo gubhaajendelenje a Yeshu, bhalikwaatejelanga, gubhaajujilenje bhaatendelanje shilangulo kopoka kunnungu.
2 Lakini Yesu aliwajibu na kuwaambia kuwa “Ikiwa ni jioni mnasema kuwa hali ya hewa ni nzuri, kwa kuwa anga ni jekundu.
A Yeshu gubhaajangwilenje, “Shiikaga shigulogulo mmanganya nkutinji, ‘Malabhi kupingasha ukoto pabha liunde lishishejela!’
3 Na asubuhi mnasema 'Hali ya hewa leo si nzuri kwa kuwa anga ni jekundu na mawingu yameifunika anga lote.' Mnajua kufasiri mwonekano wa anga, lakini hamwezi kufasiri ishara za nyakati.
Kulisha nkutinji, ‘Lelo kukasha ukoto mbungo jipinga puga, pabha liunde lishishejela na maunde gashibhindula!’ Bhai, mmanganya nnamanyililanga kujimanya miongwe kwa lola liunde, ikabheje nkakwimanyanga ilangulo ya jene miongwe jino?
4 Kizazi kiovu na cha uzinzi kinatafuta ishara, lakini hakuna ishara yoyote kitakachopewa, isipokuwa ile ya Yona. Kisha Yesu akawaacha na akaenda zake.
Lubheleko lwa lebha na lukakulupalika kwa a Nnungu! Nnapinganga shilangulo, ikabheje lukapegwa shilangulo shoshowe ikabhe shilangulo sha a Yona.” Bhai, gubhaaleshilenje, nigubhaijabhulile.
5 Wanafunzi wakaja upande wa pili, lakini walikuwa wamesahau kuchukua mikate.
Bhaajiganywa bhabho bhakajombokanjeje ng'ambu jabhili ja litanda, gubhang'amulenje kuti bhashilibhalanga kujigala mikate.
6 Yesu akawaambia “Jitahadharini na iweni makini na chachu ya Mafarisayo na Masadukayo.”
A Yeshu gubhaalugulilenje, “Mwilolesheyanje na mwiteiganje na ngedule ya Mapalishayo na Mashadukayo!”
7 Wanafunzi wakahojiana miongoni mwao na kusema. “Ni kwa sababu hatukuchukua mikate.”
Ikabheje bhalabhonji gubhataukengenenje ashayenenji, “Bhanabheleketa nneyo pabha twangajigala mikate.”
8 Yesu alitambua hilo na kusema, “Enyi wenye imani ndogo, kwa nini mmewaza na kusemezana miongoni mwenu na kusema kuwa ni kwa sababu hamkuchukua mikate?
A Yeshu gubhaimanyi ng'aniyo yabhonji, gubhaalugulilenje, “Mmanganya mmandunji bha ngulupai jishoko! Pakuti nnabheleketanga ga ligongo lya ngajigala mikate?
9 Je bado hamtambui wala hamkumbuki ile mikate mitano kwa watu elfu tano, na vikapu vingapi mlivyokusanya?
Bhuli, nkanabhe ng'amulanga? Bhuli, nkaakumbushilanga punagebhenye mikate nng'ano jila kwa bhanabhalume elupu nng'ano? Bhuli ikapu yaishoko ilingwa imwagumbeyenje ya malepei?
10 Au mikate saba kwa watu elfu nne, na ni vikapu vingapi mlikuchukua?
Eu, mikate shabha jila jibhagabhanishiywenje bhanabhalume elupu nsheshe, bhuli, imwakundikenyenje ikapu yaikulungwa ilingwa ya malepei?
11 Imekuwaje kuwa hata hamuelewi ya kuwa nilikuwa sizungumzi nanyi juu ya mikate? Jitunzeni na jihadharini na chachu ya Mafarisayo na Masadukayo.”
Pakuti nkang'amulanga kuti ngabheleketaga ga mikate? Ikabheje mwiteiganje na ngedule ya Mapalishayo na Mashadukayo!”
12 Kisha wakatambua kuwa alikuwa hawaambii juu ya kujihadhari na mikate iliyo na chachu, bali kujihadhari na mafundisho ya Mafarisayo na Masadukayo.
Penepo bhaajiganywa gubhamumanyinji kuti bhashikwaalugulilanga bhaiteiganje nngabha na ngedule ya mmikate, ikabheje bhaiteiganje na majiganyo ga Mapalishayo na Mashadukayo.
13 Wakati Yesu alipofika sehemu za Kaisaria ya Filipi, akawauliza wanafunzi wake, akisema, “Watu wanasema kuwa Mwana wa Mtu ni nani?”
A Yeshu bhakaisheje mmbali ja ku Kaishalia Pilipi, gubhaabhushiyenje bhaajiganywa bhabho, “Bhandu bhakutinji Mwana juka Mundu ni gani?”
14 Wakasema,” Wengine husema kuwa ni Yohana Mbatizaji; wengine, Eliya; na wengine, Yeremia, au mojawapo wa manabii.
Gubhaajangwilenje, “Bhananji bhakutinji a Yowana Bhabhatisha, bhananji a Eliya, bhananji a Yelemia, eu jumo munkumbi gwa ashinkulondola bha a Nnungu.”
15 Akawaambia, ninyi mwasema mimi ni nani?
A Yeshu gubhaabhushiyenje, “Na mmanganyanji bhuli, nkutinji nne gani?”
16 Kwa akijibu, Simoni Petro akasema, “Wewe ni Kristo Mwana wa Mungu aliye hai”
A Shimoni Petili gubhajangwile, “Mmwe a Kilishitu, Bhanabhabho a Nnungu, bhali bhabhakoto.”
17 Yesu akamjibu na kumwambia, “Umebarikiwa wewe, Simoni Bar Yona, kwa kuwa damu na nyama havikukufunulia hili, bali Baba yangu aliye mbinguni.
A Yeshu gubhashite, “Mbaya mmwe a Shimoni bhanabhabho a Yona, pabha nngabha mundu anng'ibhulile yenei, ikabhe Atati bhali kunnungu.
18 Nami pia ninakwambia kuwa wewe ni Petro, na juu ya mwamba huu nitalijenga kanisa langu. Milango ya kuzimu haitalishinda. (Hadēs g86)
Nne ngunakunnugulila mmwe a Petili, mmwe lindandawe na panani lindandawe ngupinga shenga likanisha lyangu, wala mashili ga kundamo ja bhawilenje gakalikombola. (Hadēs g86)
19 Nitakupa wewe funguo za ufalme wa mbinguni. Chochote utakachokifunga duniani kitakuwa kimefungwa mbinguni, na chochote utakachokifungua duniani kitafunguliwa na mbinguni.”
Shinimpe punguo ya Upalume gwa Kunnungu, shoshowe shishintabhe pa shilambolyo, shishitabhwe kunnungu na shoshowe shishinngopole pa shilambolyo, shishigopolwe kunnungu.”
20 Kisha Yesu akawaamuru wanafunzi wasimwambie mtu yeyote kuwa yeye alikuwa ni Kristo.
Kungai gubhaalimbiyenje bhaajiganywa bhabho, bhanannugulilanje mundu jojowe kuti bhenebho a Kilishitu.
21 Tangu wakati huo Yesu alianza kuwaambia wanafunzi kuwa ni lazima aende Yerusalemu, kuteswa kwa mambo mengi katika mikono ya wazee na wakuu wa makuhani na waandishi, kuuawa na kufufuka siku ya tatu.
Tandubhila gene malangago a Yeshu gubhatandwibhe kwaalugulilanga bhaajiganywa bhabho gwangali nng'iyo kuti bhanapinjikwa kwenda ku Yelushalemu, na kweneko bhapinga potekwa na bhanangulungwa na bhakulungwanji bhaabhishila na bhaajiganya bha Shalia. Kuti, bhapinga bhulagwa na lyubha lya tatu shibhayuywe.
22 Kisha Petro akamchukua Yesu pembeni na kumkemea, kwa kusema, “Jambo hili na liwe mbali nawe, Bwana, hili lisitokee kwako.
A Petili gubhaatolile kuntemela, gubhatandwibhe kwaakalipila, “Inabhe nneyo Mmakulungwa! Lyeneli likankoposhela!”
23 Lakini Yesu akageuka na kumwambia Petro, “Rudi nyuma yangu shetani! Wewe ni kizuizi kwangu, kwa maana hujali mambo ya Mungu, bali mambo ya wanadamu.”
Ikabheje a Yeshu gubhatendebhwishe, gubhaalugulile a Petili, “Nnyabhulile apano, Lishetani! Mmwe nnang'ibhilila. Ng'aniyo yenu nngabha ya a Nnungu ikabhe ya shigundu!”
24 Kisha Yesu akawaambia wanafunzi wake, “Kama mtu yeyote akitaka kunifuata mimi, ni lazima ajikane yeye mwenyewe, auchukue msalaba wake, na anifuate.
Kungai a Yeshu gubhaalugulilenje bhaajiganywa bhabho, “Mundu jojowe apinga ngagula nne, anapinjikwa aikane nnyene, ajigale nshalabha gwakwe angagule.
25 Kwa kuwa anayetaka kuyaokoa maisha yake atayapoteza, na kwa yeyote anayepoteza maisha yake kwa ajili yangu atayaokoa.
Pabha, mundu apinga kulama gwangali ngulupalila nne, akakola gumi gwa pitipiti, ikabheje shakunde bhulagwa kwa ligongo lya ngulupalila nne, shakole gumi gwa pitipiti.
26 Je! Ni faida gani atakayopata mtu akipata dunia yote lakini akapoteza maisha yake? Je! Ni kitu gani atakachotoa mtu katika kubadilishana na maisha yake?
Mundu shiimpwaile nndi apataga indu yowe ya pa shilambolyo na akuno aliobhya gumi gwakwe gwa pitipiti? Eu, mundu shashoye shindu shashi pa gumi gwakwe gwa pitipiti?
27 Kwa kuwa Mwana wa Adamu atakuja katika utukufu wa Baba yake na malaika wake. Naye atamlipa kila mtu kulingana na matendo yake.
Pabha, Mwana juka Mundu shaishe na ukonjelo gwa Ainagwe pamo na ashimalaika bhakwe, penepo shannipe kila mundu malinga shashite tenda.
28 Kweli nawaambieni kuna baadhi yenu mliosimama hapa ambao hawataonja mauti mpaka watakapomwona Mwana wa Adamu akija katika ufalme wake.
Kweli ngunakummalanjilanga, bhapalinji bhananji pepano bhakawanganga bhakanabhe kummonanga Mwana juka Mundu alikwiiya malinga Mpalume.”

< Mathayo 16 >