< Mathayo 14 >

1 Kwa wakati huo, Herode alisikia habari juu ya Yesu.
En ce temps-là, Hérode le tétrarque entendit parler de la renommée de Jésus;
2 Akawaambia watumishi wake, “Huyu ni Yohana Mbatizaji amefufuka kutoka katika wafu. Kwa hiyo nguvu hizi zipo juu yake.”
et il dit à ses serviteurs: C’est Jean le baptiseur; il est ressuscité des morts, et c’est pourquoi les miracles s’opèrent par lui.
3 Kwa kuwa Herode alikuwa amemkamata Yohana akamfunga na kumtupa gerezani kwa sababu ya Herodia, mke wa Filipo kaka yake.
Car Hérode, ayant fait prendre Jean, l’avait fait lier et mettre en prison, à cause d’Hérodias, la femme de Philippe son frère;
4 Kwa kuwa Yohana alimwambia, “Si halali kumchukua yeye kuwa mke wake.”
car Jean lui disait: Il ne t’est pas permis de l’avoir.
5 Herode angemwua lakini aliwaogopa watu kwa sababu walimwona Yohana kuwa nabii.
Et tout en ayant le désir de le faire mourir, il craignait la foule, parce qu’ils le tenaient pour prophète.
6 Lakini wakati siku ya kuzaliwa Herode ilipofika binti wa Herodia alicheza katikati ya watu na kumpendeza Herode.
Mais lorsqu’on célébrait l’anniversaire de la naissance d’Hérode, la fille d’Hérodias dansa devant tous, et plut à Hérode:
7 Katika kujibu kili aliahidi kwa kiapo kwamba atampa chochote atakachoomba.
sur quoi il lui promit avec serment de lui donner tout ce qu’elle demanderait.
8 Baada ya kushauriwa na mama yake, alisema, “Nipe mimi hapa katika kombe kichwa cha Yohana Mbatizaji.”
Et elle, poussée par sa mère: Donne-moi ici, dit-elle, dans un plat, la tête de Jean le baptiseur.
9 Mfalme alikuwa na sikitiko kwa maombi ya binti, lakini kwa ajili ya kiapo chake, kwa sababu ya wote waliokuwa chakulani pamoja naye aliamuru kwamba inapaswa ifanyike.
Et le roi en fut affligé; mais, à cause des serments et de ceux qui étaient à table avec lui, il donna l’ordre qu’on la lui donne.
10 Alituma Yohana aletwe kutoka gerezani
Et il envoya décapiter Jean dans la prison.
11 ili akatwe kichwa chake na kikaletwa juu ya sinia na akapewa binti na akakipeleka kwa mama yake.
Et sa tête fut apportée dans un plat et donnée à la jeune fille; et elle la porta à sa mère.
12 Kisha wanafunzi wake wakaja kuuchukua ule mwili na kuuzika, baada ya hili walienda kumwambia Yesu.
Et ses disciples vinrent et enlevèrent le corps et l’ensevelirent; et s’en allant, ils rapportèrent à Jésus [ce qui était arrivé].
13 Naye Yesu aliposika haya, akijatenga kutoka mahali pale akapanda ndani ya mashuka akaenda sehemu iliyotengwa. Wakati umati ulipo fahamu alikokuwa, walimfuata kwa miguu kutoka mijini.
Et Jésus, l’ayant entendu, se retira de là dans un bateau en un lieu désert, à l’écart; et les foules, l’ayant appris, le suivirent à pied, des [différentes] villes.
14 Kisha Yesu alikuja mbele yao akauona umati mkubwa. Akawaonea huruma na kuponya magonjwa yao.
Et étant sorti, il vit une grande foule; et il fut ému de compassion envers eux, et il guérit leurs infirmes.
15 Jioni ilipotimia, wanafunzi wakaja kwake na kusema, “Hii ni sehemu ya jangwa, na siku tayari imepita. Watawanyishe makutano ili waende vijijini wakanunue chakula kwa ajili yao.
Et le soir étant venu, ses disciples vinrent à lui, disant: Le lieu est désert, et l’heure est déjà passée; renvoie les foules, afin qu’elles s’en aillent aux villages et qu’elles s’achètent des vivres.
16 Lakini Yesu akawaambia, ''Hawana haja ya kwenda zao. Wapeni ninyi chakula”
Mais Jésus leur dit: Il n’est pas nécessaire qu’elles s’en aillent; vous, donnez-leur à manger.
17 Wakamwambia, ''Hapa tunayo mikate mitano na samaki wawili tu.”''
Mais ils lui disent: Nous n’avons ici que cinq pains et deux poissons.
18 Yesu akasema, “Ileteni kwangu.”
Et il dit: Apportez-les-moi ici.
19 Kisha Yesu akauamuru umati kukaa chini ya nyasi. Akachukuwa mikate mitano na samaki wawili. Akatazama juu mbinguni, akabariki na kumega mikate akawapa wanafunzi. Wanafunzi wakaupatia umati.
Et ayant donné l’ordre aux foules de s’asseoir sur l’herbe, ayant pris les cinq pains et les deux poissons, il regarda vers le ciel et bénit; et ayant rompu les pains, il les donna aux disciples, et les disciples aux foules.
20 Wakala wote na kushiba. Kisha wakavikusanya vipande vyote vya chakula na kujaza vikapu kumi na mbili.
Et ils mangèrent tous et furent rassasiés. Et ils ramassèrent, des morceaux qui étaient de reste, douze paniers pleins.
21 Wale waliokula walikadiriwa kuwa wanaume elfu tano bila ya kusehabu wanawake na watoto.
Or ceux qui avaient mangé étaient environ 5 000 hommes, outre les femmes et les enfants.
22 Mara moja aliwaamuru wanafunzi waingie ndani ya mashua, wakati huo yeye akawaaga umati waende zao.
Et aussitôt il contraignit les disciples de monter dans le bateau et de le précéder à l’autre rive, jusqu’à ce qu’il ait renvoyé les foules.
23 Baada ya kuwaaga umati kwenda zao, akapanda juu mlimani kuomba pekee yake. Wakati ilipokuwa jioni alikuwa huko pekee yake.
Et quand il eut renvoyé les foules, il monta sur une montagne à l’écart pour prier; et le soir étant venu, il était là seul.
24 Lakini sasa mashua ilipokuwa katikati ya bahari ukiyumbayumba kwa sababu ya mawimbi, kwani upepo ulikuwa wa mpisho.
Or le bateau était déjà au milieu de la mer, battu par les vagues, car le vent était contraire.
25 Katika usiku wa zamu ya nne Yesu aliwakaribia, akitembea juu ya maji.
Et à la quatrième veille de la nuit, il s’en alla vers eux, marchant sur la mer.
26 Wakati wanafunzi wake walipomwona akiitembea juu ya bahari, walihofu na kusema, “Ni mzuka,'' na kupaaza sauti katika hali ya uoga.
Et les disciples, le voyant marcher sur la mer, furent troublés, disant: C’est un fantôme. Et ils crièrent de peur.
27 Yesu akawaambia mara moja, akisema, “Jipeni moyo! ni mimi! msiogope.”
Mais Jésus leur parla aussitôt, disant: Ayez bon courage; c’est moi, n’ayez point de peur.
28 Petro alimjibu kwa kusema, “Bwana, kama ni wewe, niamuru nije kwako juu ya maji.''
Et Pierre, lui répondant, dit: Seigneur, si c’est toi, commande-moi d’aller à toi sur les eaux.
29 Yesu akasema, “Njoo.'' Hivyo Petro akatoka ndani ya mashua na akatembea juu ya maji kwenda kwa Yesu.
Et il dit: Viens. Et Pierre, étant descendu du bateau, marcha sur les eaux pour aller à Jésus.
30 Lakini Petro alipoona mawimbi, aliogopa, na kuanza kuzama, chini, akaita sauti na kusema, “Bwana, niokoe!''
Mais voyant que le vent était fort, il eut peur; et comme il commençait à enfoncer, il s’écria, disant: Seigneur, sauve-moi!
31 Haraka Yesu akanyoosha mkono wake akamnyanyua Petro, na kumwambia, “Wewe mwenye imani ndogo, kwa nini ulikuwa na mashaka?”
Et aussitôt Jésus, étendant la main, le prit et lui dit: Homme de petite foi, pourquoi as-tu douté?
32 Ndipo Yesu na Petro walipoingia katika mashua, upepo ulikoma kuvuma.
Et quand ils furent montés dans le bateau, le vent tomba.
33 Wanafunzi mashuani wakamwabudu Yesu na kusema, “Kweli wewe ni Mwana wa Mungu.”
Et ceux qui étaient dans le bateau vinrent et lui rendirent hommage, disant: Véritablement tu es le Fils de Dieu!
34 Na walipokwisha kuvuka, walifika katika nchi ya Genesareti.
Et ayant passé à l’autre rive, ils vinrent dans la contrée de Génésareth.
35 Na watu katika eneo lile walipomtambua Yesu, walituma ujumbe kila sehemu za kando, na kuleta kila aliyekuwa mgonjwa.
Et les hommes de ce lieu-là, l’ayant reconnu, envoyèrent dans tout le pays d’alentour; et on lui apporta tous ceux qui se portaient mal;
36 Walimsihi kwamba waweze kugusha pindo la vazi lake, na wengi walioligusa waliponywa.
et ils le priaient de [les laisser] toucher seulement le bord de sa robe: et tous ceux qui le touchèrent furent complètement guéris.

< Mathayo 14 >