< Marko 7 >

1 Mafarisayo na baadhi ya waandishi ambao walikuwa wametokea Yerusalemu walikusanyika kumzunguka yeye.
Събират се при Исуса фарисеите и някои от книжниците, които бяха дошли от Ерусалим,
2 Na waliona kuwa baadhi ya wanafunzi wake walikula mkate kwa mikono najisi; ambayo haikuoshwa.
и бяха видели, че някои от учениците Му ядат хляб с ръце нечисти, сиреч, немити.
3 (kwa Mafarisayo na Wayahudi wote hawali mpaka wameosha mikono yao vizuri; wanashikilia utamaduni wa wazee. Wakati
(Защото фарисеите и всички юдеи, държейки преданието на старейшините, не ядат ако не си омият ръцете до лактите;
4 Mafarisayo wanaporudi kutoka mahali pa soko, hawali mpaka wameoga kwanza. Na kuna sheria zingine ambazo wanazifuata kabisa, ikiwa ni pamoja na kuosha vikombe, masufuria, vyombo vya shaba, na hata viti vinavyotumika wakati wa chakula.)
и когато се връщат от пазар; не ядат ако се не омият. Има и много други неща, които са приели да държат, - измивания на чаши, шулета и медни съдове [и одрове]).
5 Mafarisayo na waandishi walimuuliza Yesu, “Kwa nini wanafunzi wako hawaishi kulingana na tamaduni za wazee, kwani wanakula mkate pasipo kunawa mikono?”
И тъй, фарисеите и книжниците Го запитват: Защо не вървят Твоите ученици по преданието на старейшините, но ядат хляб с нечисти ръце?
6 Lakini yeye aliwaambia, “Isaya alitabiri vizuri kuhusu ninyi wanafiki, aliandika, 'Watu hawa wananiheshimu kwa midomo yao, lakini mioyo yao iko mbali na mimi.
А той им рече: Добре е пророкувал Исаия за вас лицемерите, както е писано: "Тези люде Ме почитат с устните си, Но сърцето им отстои далеч от Мене.
7 Wananifanyia ibaada zisizo na maana, wakifundisha sheria za wanadamu kama mapokeo yao.'
Обаче напразно Ме почитат, като преподават за поучения човешки заповеди".
8 Mmeiacha sheria ya Mungu na kushikilia kwa wepesi tamaduni za wanadamu.”
Вие оставяте Божията заповед и държите човешкото предание, [измивания на шулци и на чаши; и много други неща правите].
9 Na akasema kwao, “Mmeikataa amri ya Mungu kwa urahisi ili kwamba mtunze tamaduni zenu!
И каза им: Хубаво! Вие осуетявате Божията заповед за да спазите своето предание!
10 Kwa kuwa Musa alisema, 'mheshimu baba yako na mama yako,' na 'Yeye asemaye mabaya juu ya baba yake au mama yake hakika atakufa.'
Защото Мойсей рече: "Почитай баща си и майка си" и: "Който злослови баща или майка, непременно да се умъртви".
11 Lakini mnasema, 'kama mtu akisema kwa baba yake au mama, “Msaada wowote ambao mngepokea kutoka kwangu ni hazina ya Hekalu,”' (hiyo ni kusema kwamba, 'imetolewa kwa Mungu')
Но вие казвате: Ако рече човек на баща си или на майка си: Това мое имане, с което би могъл да си помогнеш, е курбан, сиреч, подарено Богу, това прави разлика;
12 hivyo haumruhusu kufanya jambo lolote kwa ajili ya baba au mama yake.
вие не го оставяте вече да стори нищо за баща си или за майка си.
13 Mnaifanya amri ya Mungu kuwa bure kwa kuleta tamaduni zenu. Na mambo mengi ya jinsi hiyo mnayoyafanya.”
И тъй, осуетявате Божието слово заради вашето предание, което сте предали; и вършите много такива неща подобни на това.
14 Aliwaita makutano tena na kuwaambia, “Mnisikilize mimi, ninyi nyote, na mnielewe.
И пак повика народа и каза им: Слушайте Ме всички и разбирайте.
15 Hakuna chochote kutoka nje ya mtu ambacho chaweza kumchafua mtu kiingiapo kwake. Bali ni kile kimtokacho mtu ndicho kimchafuacho.
Няма нищо извън човека, което, като влиза в него, може да го оскверни; но тия неща, които излизат от него, те оскверняват човека.
16 (Zingatia: mstari huu, “kama mtu yeyote ana masikio ya kusikia, na asikie” haumo kwenye nakala za kale).
[Ако има някой уши да слуша, нека слуша].
17 Yesu alipowaacha makutano na kuingia nyumbani, wanafunzi wake wakamwuliza kuhusu mfano huo.
И като остави народа и влезе вкъщи учениците Му Го попитаха за притчата.
18 Yesu akasema, “Na ninyi pia bado hamjaelewa? Hamuoni kwamba chochote kimuingiacho mtu hakiwezi kumchafua,
И каза им: Нима сте и вие тъй неразсъдливи? Не разбирате ли, че нищо, което влиза в човека отвън, не може да го оскверни?
19 kwa sababu hakiwezi kwenda kwenye moyo wake, lakini kinaingia katika tumbo lake na kisha kinapita kwenda chooni.” Kwa maelezo haya Yesu alivifanya vyakula vyote kuwa safi.
Защото не влиза в сърцето му, а в корема, и излиза в захода. (Като каза това, Той направи всички ястия чисти).
20 Alisema, “Ni kile ambacho kinamtoka mtu ndicho kimchafuacho.
Каза още: Което излиза от човека, то осквернява човека.
21 Kwa kuwa hutoka ndani ya mtu, nje ya moyo, hutoka mawazo maovu, zinaa, wizi, mauaji,
Защото отвътре, от сърцето на човеците, излизат зли помисли, блудства, кражби, убийства,
22 uasherati, tamaa mbaya, uovu, udanganyifu, kujamiiana, wivu, kashfa, majivuno, ujinga.
прелюбодейства, користолюбие, нечестие, коварство, сладострастие, лукаво око, хулене, гордост, безумство.
23 Maovu haya yote yanatoka ndani, ndiyo yale yamchafuayo mtu.”
Всички тия зли неща излизат отвътре и оскверняват човека.
24 Aliamka kutoka pale na kuondoka kwenda katika mkoa wa Tiro na Sidoni. Aliingia ndani na hakutaka mtu yeyote ajue kuwa alikuwa hapo, lakini haikuwezekana kumficha.
И като стана оттам, отиде в тирските и сидонските предели; и влезе в една къща, и не искаше да Го знае никой; но не можа да се укрие.
25 Lakini ghafla mwanamke, ambaye mtoto wake mdogo alikuwa na roho mchafu, alisikia habari zake, akaja, na akaanguka miguuni pake.
А веднага чу за Него една жена, чиято малка дъщеря имаше нечист дух, и тя дойде та падна пред нозете Му.
26 Mwanamke huyo alikuwa Myunani, wa kabila la Kifoeniki. Alimsihi yeye amfukuze pepo kutoka kwa binti yake.
(Жената бе елинка, родом сирофиникианка) И молеше Му се да изгони беса от дъщеря й.
27 Yesu akamwambia mwanamke, “Waache watoto walishwe kwanza, kwa kuwa sio sawa kuuchukua mkate wa watoto na kuwatupia mbwa.”
А Исус й рече: Остави да се наситят децата; защото не е прилично да се вземе хляба на децата и да се даде на кученцата.
28 Lakini mwanamke akamjibu na kusema, “Ndiyo Bwana, hata mbwa chini ya meza hula mabaki ya chakula cha watoto.”
А тя в отговор Му каза: Така Господи; но и кученцата под трапезата ядат от трохите паднали от децата.
29 Akamwambia, “Kwa kuwa umesema hivi, uko huru kwenda. Pepo ameshamtoka binti yako.”
И рече й: За тая дума иди си; бесът излезе от дъщеря ти.
30 Mwanamke alirudi nyumbani kwake na akamkuta binti yake amelala kitandani, na pepo alikuwa amemtoka.
И като си отиде у дома, намери детето легнало на постелката, и бесът излязъл.
31 Yesu alitoka tena nje ya mkoa wa Tiro na kupitia Sidoni kuelekea Bahari ya Galilaya mpaka kanda ya Dikapolisi.
И като излезе пак из тирските предели, дойде през Сидон към галилейското езеро, през сред декаполските предели.
32 Na wakamletea mtu aliyekuwa kiziwi na alikuwa hawezi kuzungumza vizuri, walimsihi Yesu aweke mikono juu yake.
И довеждат при Него един глух и заекващ човек, и молят Му се да положи ръка на него.
33 Alimtoa nje ya kusanyiko kwa siri, na akaweka vidole vyake kwenye masikio yake, na baada ya kutema mate, aligusa ulimi wake.
Исус, като го отведе от народа насаме, вложи пръстите Си в ушите му, и, като плюна, докосна се до езика му;
34 Alitazama juu mbinguni, akahema na kumwambia, “Efata,” hiyo ni kusema “funguka!”
и погледна към небето, въздъхна и му каза: Еффата, сиреч, Отвори се.
35 Na muda ule ule masikio yakafunguka, na kilichokuwa kimezuia ulimi kiliharibiwa na akaweza kuongea vizuri.
И ушите му се отвориха, и връзката на езика му се развърза, и той говореше чисто.
36 Na aliwaamuru wasimwambie mtu yeyote. Lakini kadri alivyowaamuru, ndivyo walivyotangaza habari hizo kwa wingi.
И заръча им никому да не кажат това; но колкото повече им заръчваше, толкова повече те го разгласяваха;
37 Hakika walishangazwa, na kusema, “Amefanya kila kitu vizuri. Hata amewafanya viziwi kusikia na mabubu kuongea.”
защото се чудеха твърде много, и думаха: Всичко върши добре; и глухите прави да чуват, и немите да говорят.

< Marko 7 >