< Marko 5 >

1 Walikuja mpaka upande mwingine wa bahari, katika mkoa wa Gerasi
О И много Му се моли да не ги отпраща вън от страната.
2 Na ghafla wakati Yesu alipokuwa akitoka nje ya mtumbwi, mtu mwenye roho chafu alikuja kwake kutoka makaburini.
И като излезе от ладията, начаса Го срещна от гробищата човек с нечист дух.
3 Mtu huyu aliishi makaburini. Hakuna aliyeweza kumzuia zaidi, hakuna hata kwa minyororo.
Той живееше в гробищата, и никой вече не можеше да го върже нито с верига;
4 Alikuwa amefungwa nyakati nyingi kwa pingu na minyororo. Aliikata minyororo na pingu zake zilivunjwa. Hakuna hata mmoja aliyekuwa na nguvu za kumshinda.
защото много пъти бяха го вързвали с окови и с вериги; но той бе разкъсвал веригите и счупвал оковите; и никой нямаше сила да го укроти.
5 Usiku na mchana akiwa makaburini na milimani, alilia na kujikata yeye mwenyewe kwa mawe makali.
И всякога, нощем и денем, в гробищата и по бърдата, той викаше и се изпосичаше с камъни.
6 Alipomwona Yesu kwa mbali, alikimbilia kwake na kuinama mbele yake.
А като видя Исуса отдалеч, завтече се и Му се поклони;
7 Alilia kwa sauti kuu, “Wataka nikufanyie nini, Yesu, Mwana wa Mungu aliye Juu sana? Ninakusihi kwa Mungu mwenyewe, usinitese.”
и изкрещя със силен глас и рече: Какво имаш Ти с мен, Исусе, Сине на Всевишния Бог? Заклевам Те в Бога, недей ме мъчи.
8 Kwa kuwa alikuwa amemwambia, “Mtoke mtu huyu, wewe roho mchafu.”
(Защото му казваше: Излез от човека, душе нечисти).
9 Naye alimwuliza, “Jina lako ni nani?” Naye alimjibu, “Jina langu ni Legion, kwa kuwa tuko wengi.”
И Исус го попита: Как ти е името? А той Му каза: Легион ми е името; защото сме мнозина.
10 Alimsihi tena na tena asiwapeleke nje ya mkoa.
И много Му се моли да не ги отпраща вън от страната.
11 Sasa kundi kubwa la nguruwe lilikuwa likilishwa juu ya kilima,
А там по бърдото пасеше голямо стадо свине.
12 nao walimsihi, wakisema, “Tutume kwa nguruwe; tuingie ndani yao.”
И бесовете Му се молиха, казвайки: Прати ни в свинете, за да влезем в тях.
13 Hivyo aliwaruhusu; roho wachafu waliwatoka na kuingia ndani ya nguruwe, nao walikimbilia chini ya kilima mpaka baharini, na karibia nguruwe elfu mbili walizama baharini.
Исус им позволи. И нечистите духове излязоха и влязоха в свинете; и стадото, на брой около две хиляди, се спусна по стръмнината в езерото, и се издавиха в езерото.
14 Na wale waliokuwa wakiwalisha nguruwe walikimbia na kutoa taarifa ya kilichotokea katika mji na katika nchi. Ndipo watu wengi walitoka kwenda kuona kilichotokea.
А ония, които ги пасяха, побягнаха и известиха това в града и по селата. И жителите дойдоха да видят какво е станало.
15 Ndipo walikuja kwa Yesu na walimwona mtu aliyepagawa na pepo—aliyekuwa na Jeshi—amekaa chini, amevikwa, na akiwa katika akili yake timamu, nao waliogopa.
И като дохождат при Исуса, виждат хванатия по-преди от бесове, в когото е бил легиона, че седи облечен и смислен; и убояха се.
16 Wale waliokuwa wameona kilichotokea kwa mtu aliyekuwa amepagawa na pepo waliwaambia kilichotokea kwake na pia kuhusu nguruwe.
И ония, които бяха видели, разказваха им за станалото с хванатия от бесовете, и за свинете.
17 Nao walianza kumsihi aondoke katika mkoa wao.
И те почнаха да Му се молят да си отиде от техните предели.
18 Na alipokuwa akiingia ndani ya mtumbwi, mtu aliyekuwa amepagawa na mapepo alimsihi kwamba aende pamoja naye.
И когато влизаше в ладията, тоя, който бе по-напред хванат от бесове, Му се молеше да бъде заедно с Него.
19 Lakini hakumruhusu, lakini alimwambia, “Nenda nyumbani kwako na kwa watu wako, na uwaambie alikufanyia Bwana, na rehema aliyokupa.”
Обаче Той не го допусна, но му каза: Иди си у дома при своите, и кажи им какви неща ти стори Господ и как се смили за тебе.
20 Hivyo alienda na alianza kutangaza mambo makuu ambayo Yesu amefanya kwake katika Dekapoli, na kila mmoja alistaajabu.
И човекът тръгна и почна да разгласява в Декапол какви неща му стори Исус; и всички се чудеха.
21 Na wakati Yesu alipovuka tena upande mwingine, ndani ya mtumbwi, umati mkubwa ulikusanyika kumzunguka, alipokuwa kando ya bahari.
Когато Исус пак премина с ладията на отвъдната страна, събра се при Него голямо множество; и Той беше край езерото.
22 Na mmoja wa kiongozi wa sinagogi, aliyeitwa Yairo, alikuja, na alipomwona, alianguka miguuni pake.
И дохожда един от началниците на синагогата, на име Яир, и като Го вижда, пада пред нозете Му,
23 Akamsihi zaidi na zaidi, akisema, “Binti yangu mdogo anakaribia kufa. Ninakusihi, njoo na uweke mikono yako juu yake ili kwamba aweze kupata afya na kuishi.”
и много Му се моли, казвайки: Малката ми дъщеря бере душа; моля Ти се да дойдеш и положиш ръце на нея, за да оздравее и да живее.
24 Hivyo alikwenda pamoja naye, na umati mkubwa ulimfuata nao walimzonga karibu wakimzunguka.
И Той отиде с него; и едно голямо множество вървеше подире Му, и хората Го притискаха.
25 Kulikuwa na mwanamke ambaye damu yake ilikuwa imetoka kwa miaka kumi na miwili.
И една жена, която бе имала кръвотечение дванадесет години,
26 Aliteseka vya kutosha chini ya matabibu wengi na alitumia kila kitu alichokuwa nacho. Hata hivyo hakusaidika kwa chochote, lakini badala yake alizidi kuwa na hali mbaya.
и беше много пострадала от мнозина лекари, и беше иждивила целия си имот без да види някаква полза, а напротив беше й станало по-зле,
27 Alisikia habari kuhusu Yesu. Hivyo alikuja nyuma yake wakati alipokuwa akitembea ndani ya umati, naye aliligusa vazi lake.
като чу отзивите за Исуса, дойде между народа изотзад и се допря до дрехата Му.
28 Kwa kuwa alisema, “Kama nikiyagusa mavazi yake tu, nitakuwa mzima.”
Защото си казваше: Ако само се допра до дрехата Му, ще оздравея.
29 Alipomgusa, kutokwa damu kulikoma, na alijisikia katika mwili wake kwamba aliponywa kutoka kwenye mateso yake.
И на часа пресекна кръвотечението й, и тя усети в тялото си, че се изцели от болестта.
30 Na ghafla Yesu aligundua ndani yake mwenyewe kwamba nguvu zimemtoka. Na aligeuka huku na huku katika umati wa watu na kuuliza, “Ni nani aliyeligusa vazi langu?”
И веднага Исус като усети в Себе Си, че е излязла от Него сила, обърна се всред народа и каза: Кой се допря до дрехите Ми?
31 Wanafunzi wake walimwambia, “Unaona umati huu umekusonga ukikuzunguka, nawe wasema, 'Ni nani aliyenigusa?'”
Учениците Му казаха: Ти виждаш, че народът те притиска, и казваш ли: Кой се допря до Мене?
32 Lakini Yesu alitazama huku na huku kuona ambaye aliyekuwa amefanya hili.
Но Той се озърташе за да види тая, която бе сторила това.
33 Mwanamke, akijua kilichotokea kwake, aliogopa na kutetemeka. Alikuja na alianguka chini mbele yake na kumwambia ukweli wote.
А жената, уплашена и разтреперана, като знаеше станалото с нея, дойде и падна пред Него и Му каза цялата истина.
34 Alisema kwake, “Binti, imani yako imekufanya uwe mzima. Enenda kwa amani na uponywe kutoka kwenye ugonjwa wako.”
А Той й рече: Дъщерьо, твоята вяра те изцели; иди си с мир, и бъди здрава от болестта си.
35 Alipokuwa akizungumza, baadhi ya watu walikuja kutoka kwa kiongozi wa Sinagogi, wakisema, “Binti yako amekufa. Kwa nini kuendelea kumsumbua mwalimu?”
Докато Той още говореше, дохождат от къщата на началника на синагогата и казват: Дъщеря ти умря; защо вече затрудняваш Учителя?
36 Lakini Yesu aliposikia ambacho walikisema, alimwambia kiongozi wa Sinagogi, “Usiogope. Amini tu.”
А Исус, като дочу думата, която говореха, каза на началника на синагогата: Не бой се, само вярвай.
37 Hakumruhusu yeyote kuongozana naye, isipokuwa Petro, Yakobo, na Yohana, ndugu yake Yakobo.
И никому не позволи да Го придружи, освен на Петра, Якова и Якововия брат Йоан.
38 Walikuja nyumbani kwa kiongozi wa Sinagogi naye aliona vurugu, kulia kwingi na kuomboleza.
И като дохождат до къщата на началника на синагогата, Той вижда вълнение и мнозина, които плачеха и пищяха много.
39 Alipoingia nyumbani, aliwaambia, “Kwa nini mmesikitika na kwa nini mnalia? Mtoto hajafa bali amelala.”
И като влезе, каза им: Защо правите вълнение и плачете? Детето не е умряло, а спи.
40 Walimcheka, lakini yeye, aliwatoa wote nje, alimchukua baba wa mtoto na mama na wale waliokuwa pamoja naye, na aliingia ndani alimokuwa mtoto.
А те Му се присмиваха. Но Той като изкара навън всичките, взема бащата и майката на детето, и ония, които бяха с Него, и влиза там гдето беше детето.
41 Aliuchukua mkono wa mtoto na alimwambia, “Talitha koum,” ambayo ni kusema, “Binti mdogo, nakuambia, amka.”
И като хвана детето за ръка, каза му: Талита куми; което значи: Момиче, тебе казвам: Стани.
42 Ghafla mtoto aliamka na kutembea (kwa kuwa alikuwa na umri wa miaka kumi na miwili). Na ghafla walishikwa na mshangao mkubwa.
И момичето веднага стана и ходеше, защото беше на дванадесет години. И внезапно те се смаяха твърде много.
43 Aliwaamuru kwa nguvu kwamba hakuna yeyote anapaswa kujua kuhusu hili. Na aliwaambia wampatie yule binti chakula.
И много им заръча, никой да не узнае това; и заповяда да й дадат да яде.

< Marko 5 >