< Marko 2 >

1 Aliporudi Kaperinaumu baada ya siku chache, ilisikika kwamba alikuwa nyumbani.
YA otro biaje güiya jumalom guiya Capernaum, despues di malofan ti megae na jaane sija; ya majungog na gaegue güe gui jalom guma.
2 Watu wengi sana walikuwa wamekusanyika pale na haikuwepo nafasi tena, hata ile ya pale mlangoni, na Yesu alisema neno kwao.
Ya mandaña megae, ya ti manulag, ni gui oriyan y petta; ya jasetmon y sinangan guiya sija.
3 Kisha baadhi ya watu walikuja kwake waliomleta mtu aliyekuwa amepooza; watu wanne walikuwa wamembeba.
Ayo nae manmato guiya güiya manmangongone un paralitico, na macocone ni cuatro.
4 Wakati waliposhindwa kumkaribia kwa sababu ya umati wa watu, waliondoa paa juu ya mahali pale alipokuwa. Na walipokuwa wamekwishatoboa tundu, walishusha kitanda ambacho mtu aliyepooza alikuwa amelala.
Ya anae ti siña manmato guiya güiya pot y linajyan taotao, manajanao y atof anae estaba güe, ya anae munjayan mababa, manatunog y cama anae mapopolo y paralitico.
5 Alipoiona imani yao, Yesu alimwambia mtu aliyepooza, “mwanangu, dhambi zako zimesamehewa.”
Ya anae jalie si Jesus y jinenggueñija, ilegña ni paralitico: Lajijo, y isaomo unmaasie.
6 Lakini baadhi ya waandishi wale waliokuwa wamekaa pale walijihoji mioyoni mwao,
Ya estaba güije manmatatachong palo escriba sija, ya manmanjajaso gui corasonñija, ilegñija:
7 “Anawezaje mtu huyu kusema hivi? Anakufuru! Nani awezaye kusamehe dhambi isipokuwa Mungu peke yake?”
Jafa na cumuecuentos este na taotao chatfino contra si Yuus? Jaye siña manasie isao, solo si Yuusja?
8 Mara Yesu alijua rohoni mwake walichokuwa wakifikiri miongoni mwao wenyewe. Aliwaambia, “Kwa nini mnafikiri hivi mioyoni mwenu?
Ya jatungo si Jesus enseguidas gui espirituña na manmanjajaso gui sumanjalomñija, ya ilegña nu sija: Jafa muna injajaso este sija gui corasonmiyo?
9 Lipi ni jepesi zaidi kusema kwa mtu aliyepooza, 'Dhambi zako zimesamehewa' au kusema 'Simama, chukua kitanda chako, na utembee?'
Jafa mas guse taalog y paralitico: Y isaomo unmaasie; pat taalog: Cajulo, chule y camamo, ya unjanao?
10 Lakini ili wapate kujua ya kuwa Mwana wa Adamu ana mamlaka ya kusamehe dhambi katika dunia, alimwambia yule aliyepooza,
Lao para intingo na y Lajin taotao guaja ninasiñaña gui jilo tano manasie isao (ilegña ni paralitico),
11 “Nakuambia wewe, inuka, chukua mkeka wako, na uende nyumbani kwako.”
Jualog nu jago: Cajulo, ya unchule y camamo ya janao falag iyajamyo.
12 Alisimama na mara moja akachukua mkeka wake, na alikwenda nje ya nyumba mbele ya kila mtu, hivyo wote walishangaa na walimpa Mungu utukufu, na wakasema “Kamwe, hatujawahi kuona jambo kama hili.”
Ayo nae cajulo güe enseguidas, ya jachule y camaña, ya mapos gui menan todo; enao muna todo ninafanmanman, ya manamalag si Yuus, ilegñija: Taya nae inlie ayo.
13 Alienda tena kando ya ziwa, na umati wote wa watu walikuja kwake, na akawafundisha.
Ya jumanao talo gui oriyan tase, ya todo y linajyan taotao manmato guiya güiya, ya jafanagüe sija.
14 Alipokuwa akipita alimwona Lawi mwana wa Alfayo ameketi kwenye sehemu ya kukusanyia kodi na akamwambia, “Nifuate.” Alisimama na kumfuata.
Ya anae malofan jalie si Levi, lajin Alfeo, na matatachong gui bancon y tributo sija, ya ilegña nu güiya: Dalalagyo. Ya cajulo ya dinalalag güe.
15 Na wakati Yesu alipokuwa akipata chakula katika nyumba ya Lawi, wakusanya kodi wengi na watu wenye dhambi walikuwa wakila na Yesu na wanafunzi wake, kwa kuwa walikuwa wengi nao walimfuata.
Ya susede na estaba güe matachong para uchocho gui lamasa gui guima ayo, ya megae sija na publicano yan manisao sija manmatatachong mañisija locue yan si Jesus, yan y disipoluña sija; sa guaja megae dumadalalag güe.
16 Wakati waandishi, ambao walikuwa Mafarisayo, walipoona kwamba Yesu alikuwa akila na watu wenye dhambi na wakusanya kodi, waliwaambia wanafunzi wake, “Kwa nini anakula na wakusanya kodi na watu wenye dhambi?”
Ya y escriba sija gui entalo y Fariseo sija, anae jalie na mañochocho yan y manisao yan y publicano sija, ilegñija ni disipoluña sija: Jafa este na güiya chomocho yan gumiguimen, yan y publicano sija yan y manisao?
17 Wakati Yesu aliposikia hivi aliwaambia, “Watu walio na afya katika mwili hawamhitaji tabibu; ni watu wagonjwa pekee ndio wanamhitaji. Sikuja kuwaita watu wenye haki, lakini watu wenye dhambi.”
Ya anae jajungog si Jesus, ilegña nu sija: Y manjomlo ti janesesita medico, na y manmalango. Ti matoyo para juagang y manunas, na y manisao sija.
18 Wanafunzi wa Yohana na Mafarisayo walikuwa wakifunga. Na baadhi ya watu walikuja kwake na kumwambia, “Kwa nini wanafunzi wa Yohana na mafarisayo hufunga, lakini wanafunzi wako hawafungi?
Ya y disipulon Juan, yan y disipulon Fariseo sija manayunat: ya manmato, ya ilegñija nu güiya: Jafa muna y disipulon Juan yan y disipulon Fariseo sija manayuyunat; ya y disipulumo ti manayuyunat?
19 Yesu aliwaambia, “Je waliohudhuria harusini wanaweza kufunga wakati bwana harusi bado akiwa pamoja nao? Kwa vyovyote bwana harusi akiwa bado yuko pamoja nao hawawezi kufunga.”
Si Jesus ilegña nu sija: Siña manayunat y mangaegue gui guipot umasagua, yaguin mañisija yan y nobio? Y tiempo nae mañisijaja yan y nobio, ti siña manayunat.
20 Lakini siku zitakuja wakati bwana harusi atakapoondolewa kwao, na katika siku hizo wao watafunga.
Lao ufato y jaane sija, na y nobio umanajanao guiya sija; ya ayo sija na jaane nae ufanayunat.
21 Hakuna mtu ashonaye kipande kipya cha nguo kwenye vazi kuukuu, vinginevyo kiraka kitabanduka kutoka katika hilo, kipya kubanduka kutoka katika kikuukuu, na kutakuwepo mpasuko mbaya.
Taya ni uno lumimendanñañaejon y nuebo na magago gui bijo na bestido; sa ayo y nuebo na limenda ujanao gui bijo, ya mas taelaye y matiteg.
22 Hakuna mtu atiaye divai mpya katika viriba vikuukuu, vinginevyo divai itavipasua viriba na vyote viwili divai na viriba vitapotea. Badala yake, weka divai mpya katika viriba vipya.”
Ya taya ni uno umasajguane y nuebo na bino gui bijo na boteyan cuero: sa y nuebo na bino uyamag y boteyan cuero sija, ya umachuda y bino, ya y boteyan cuero manmalingo; lao y nuebo na bino, y nuebo na boteyan cuero nae umasajguane.
23 Katika siku ya Sabato Yesu alipita kwenye baadhi ya mashamba, na wanafunzi wake walianza kuchukua baadhi ya masuke ya ngano.
Ya manmapos este, malolofan güe gui jalom fangualuan trigo gui sabado na jaane; ya y disipoluña sijas igue di manmanjala ni espiga sija.
24 Na Mafarisayo walimwambia, “Tazama, kwa nini wanafanya kitu ambacho ni kinyume cha sheria katika siku ya Sabato?”
Ya y Fariseo sija, ilegñija: Atanja, jafa na jafatitinas gui sabado na jaane y ti mauleg para umafatinas?
25 Aliwaambia, “Hamkusoma kile alichofanya Daudi alipokuwa katika uhitaji na njaa—yeye pamoja na watu waliokuwa pamoja naye?
Ya güiya ilegña nu sija: Taya nae intaetae jafa checho David anae janesesita, ya ñalang yan y mangachongña?
26 Jinsi alivyoenda katika nyumba ya Mungu wakati Abiathari alipokuwa kuhani mkuu na akala mkate uliowekwa mbele—ambao ilikuwa kinyume cha sheria kwa mtu yeyote kula isipokuwa makuhani—na aliwapa hata baadhi ya wale waliokuwa pamoja naye?”
Jafa taemano jalomña gui guimayuus anae si Abiatar magas na pale, ya jacano y pan ni inefrese, ni ti para macano, na para y pale sija; ya janae locue y mangachongña sija?
27 Yesu alisema, “Sabato ilifanywa kwa ajili ya mwanadamu, siyo mwanadamu kwa ajili ya Sabato.
Ylegña talo nu sija: Y sabado pot y taotao na mafatinas: ti y taotao pot y sabado.
28 Kwa hiyo, Mwana wa Adamu ni Bwana, hata kwa Sabato.”
Enaomina y Lajin taotao Señot locue gui sabado.

< Marko 2 >