< Marko 13 >

1 Yesu alipokuwa akitembea kutoka hekaluni, mmoja wa wanafunzi wake akamwuliza, “Mwalimu, tazama mawe haya yakushangaza na majengo!”
Yesu ye ihuma mu nyumba inyimike ija kufunyila, um`bulanisivua ghwake jumonga akam`buula akati, “M`bulanisi, lola amavue na majumba agha vule ghalivuo!”
2 Akamwambia, Unaona majengo haya makubwa? Hakuna hata jiwe moja litakalo salia juu ya jingine ambalo halitaangushwa chini”.
U Yesu akamwamula akati, “Nikuvavuula niiti, ndavule mukughavona amajumba amakome agha, nalilasighala nambe livue lino lilighelama pa livue ilingi, ulwakuva ghooni ghilihemulua.”
3 Naye alipokuwa amekaa juu ya Mlima wa Mizeituni nyuma ya hekalu, Petro, Yakobo, Yohana na Andrea wakamwuliza kwa siri,
U yesu akaluta pa kidunda ikya Miseituni, akikala alungiime ku nyumba inyimike ija kufunyila. Apuo uPeteli, u Yakovo, u Yohani nu Ndeleeya, ye vijekiile, vakamposia u Yesu vakati,
4 “Tuambie, mambo haya yatakuwa lini? Ni nini dalili ya mambo haya kutokea?”
“Tusuuma utuvuule, isio sino utuvulile silivombeka liighi? kivalilo kiki ikya ktuhufia kuuti unsiki uhgwa kuvombeka isi sooni ghuli piipi?”
5 Yesu alianza kuwaambia, “Kuweni makini kwamba mtu yoyote asiwapotoshe.
Pepano u Yesu akavavuula akati, “Muvisaghe maaso, umuunhu nangavasyangaghe,
6 Wengi watakuja kwa jina langu wakisema, 'Mimi ndiye', na watawapotosha wengi.
ulwakuva vinga vilikwisa mu litavua lyango, nujunge itisagha, 'Neene kilisite.' avaanhu avuo vilikuvasyannga vinga.
7 Mtakaposikia vita na tetesi za vita, msiogope; mambo haya hayana budi kutokea, lakini mwisho bado.
Umue mulaava mupulika uvulugu ni njovo saake, mulekaghe pikwoghopa. Ndaluve ndaani isio silivoneka taasi, neke unsiki ughwene ughwa vusililo ghuuva ghukyale.
8 Taifa litainuka kinyume na taifa jingine, na ufalme kinyume na ufalme. Patakuwa na matetemeko sehemu mbalimbali, na njaa. Huu ni mwanzo wa utungu.
Ifighono ifio iisi iisi jilallwisagha ni iisi ijingi, kange uvutwa kulua nu vutwa kulua nu vutwa uvunge. Imbale ni mbale kwefiliiva ifisenyeena, kwejiliiva injala. Isio sooni vuuva vutengulilo, Ndavule uvuvafi uvwa mukijuuva, pano unsiki ugwa kupaapa umwana ghufikile.
9 Iweni macho. Watawapeleka hadi mabarazani, na mtapingwa katika masinagogi. Mtasimamishwa mbele ya watawala na wafalme kwa ajili yangu, kama ushuhuda kwao.
Neke umue muvisaghe maaso, ulwakuva vilikuvutwala pa vuhighi na mu masinagogi, vilikuvatova. kange vilikuvatwala pa vanjagila na pa vatwa, ulkwakuva mukumbingilila une. Ughuo ghuuva ghwe nsiki ughwa kwoleka ulwitiko lwinu ku veene.
10 Lakini injili lazima kwanza ihubiriwe kwa mataifa yote.
Imhola inofu umpaka jipulisivue mu iisi sooni, uvusilio ye vukyale kufika.
11 Watakapo wakamata na kuwakabidhi, msiogope kuhusu kile mtakachosema. Ndani ya muda huo, mtapewa nini cha kusema; hamtakuwa ninyi mtakaoongea, bali Roho Mtakatifu.
“Pano viliiva vavakolile na kukuvatwala pa vuhingi, namungasaghaghe kuuti kyamujova kiki, umue mujovaghe kino mupelua unsikki ughuo. Ulwakuva namwmue muuva mujova, looli iiva ghwe uMwimike.
12 Ndugu atamshitaki ndugu kuuawa, baba na mtoto wake. Watoto watasimama kinyume cha baba zao na kuwasababisha kuuawa.
Umuunhu ikumwohelagha unnine ku vanya vutavulilua kuuti abudue. Uviise ikumwohegha, voope avaana vikuvagalukilagha avapaafi vaave kuuti vabudue.
13 Mtachukiwa na kila mtu kwa sababu ya jina langu. Lakini atakayevumilia mpaka mwisho, mtu huyo ataokoka.
Avaanhu vooni vilikuvakalilagha ulwakuva mukumbingilila une. Neke juno ikuguda kuhanga kufika kuvusililo, ujuo ghwe alakuluka.”
14 Mtakapoona chukizo la uharibifu limesimama pale lisipotakiwa kusimama (asomaye na afahamu), ndipo walioko ndani ya Yuda wakimbilie milimani,
“Neke mulaava muvwene ikiinu kino kipelela uvulamafu inyumba inyimike ija kufunyila, kyimile pavwimike pano nakinakinoghile kuuva,
15 naye aliyeko juu ya nyumba asishuke chini ya nyumba, au kuchukua chochote kilichoko nje,
juno ikwimba amasio agha alutang`haniaghe, apuo pepano vano vali mu Yudea vakimbililaghe ku fidunda. Juno ali pa kituvili, naangikaghe kutoola kimonga mu nyumba jaake.
16 na aliyeko shambani asirudi kuchukua vazi lake.
Ghwope juno ali ku mughunda, naangagomokaghe ku kaaja kutoola umwenda ghwake.
17 Lakini ole wao wanawake wenye mimba na wanyonyeshao katika siku hizo!
Iga avakijuuva vano viliiva vakunue na vano vilikwong`helesyagha ifighono ifio!
18 Ombeni kwamba isitokee wakati wa baridi.
Lino, mufunyaghe kuuti isio sileke pikwisa amasiki agha ulusiku. Lino, mufunyaghe kuuti isio sileke pikwisa amasiki agha fula ni mhepo.
19 Kwani patakuwa na mateso makubwa, ambayo hayajawahi kutokea, tangu Mungu alipoumba ulimwengu, mpaka sasa, hapana, wala haitatokea tena.
Kweluliiva ulupumuko luno nalughelile kuvoneka kuhuma uNguluve ipela iisi, kuhanga kufika umusyughu. Kane nalulavoneka lusiku.
20 Mpaka Bwana atakapopunguza siku, hakuna mwili utakaookoka, lakini kwa ajili ya wateule, atakaowachagua, atapunguza namba za siku.
Nave uMutwa uNguluve naikepusia ifighono, ifio nakwale ughwa kukuluka. Neke vwimila avasalulua vaake, ilikepusia ifighono ifio.
21 Wakati huo kama mtu yeyote atawaambia, Tazama, Kristo yuko hapa!' au 'Tazama, yuko pale!' msiamini.
“Unsiki ughuo umuunhu angati, 'Lola! Ukilisite ali apa.' nambe 'Ali kula,' namungikitaghe.
22 Kwani Wakristo wa uongo na manabii wa uongo watatokea na watatoa ishara na maajabu, ili kwamba, wawadanganye, yamkini hata wateule.
Ulwakuva vavili va vudesi. Avuo vihufyagha ifivalilo ni fidegho kuuti vavasofie avaanhu nambe avasalulua va Nguluve. Lino, ume muvisaghe maaso.
23 Iweni macho! Nimekwisha wambia haya yote kabla ya wakati.
ulwakuva nivavulile sooni, ye sikyale pikwisa.”
24 Lakini baada ya mateso ya siku hizo, jua litatiwa giza, mwezi hautatoa mwanga wake,
Neke ifighio siliiva sikilile imhumuko isio, 'ing'hiisi jilakupikila ilijuva, naghu mwesi naghulavala.
25 nyota zitaanguka kutoka angani, na nguvu zilizoko mbinguni zitatikisika.
Inhondue silasanguka kuhuma,' ni fiinu fyoni ifya kukyanya filasukanika.
26 Ndipo watakapomwona Mwana wa Adamu akija mawinguni kwa nguvu kubwa na utukufu.
“Pepano valambona une ne Mwana ghwa Muunhu nikwisa mu mafunde ni ngufu nyinga nu vuvaha.
27 Ndipo atatuma malaika zake na atawakusanya pamoja wateule wake kutoka pande kuu nne za dunia, kutoka mwisho wa dunia mpaka mwisho wa mbingu.
Neke nilavasuung'gha avanyamhola vango, vavakong'hanie avasalulua vango, kuhuma imbale sooni isa iisi.
28 Kwa mtini jifunzeni. Kama tawi liwezavyo kutoa na kuweka haraka majani yake, ndipo mtajua kwamba kiangazi kiko karibu.
Mumanyilaghe ikihwanikisio ikya mpiki untini. Pano inhaafi saake silemba na kuuva na matundu, makagulaghe kuuti amasiki gha fula ghali piipi.
29 Ndivyo ilivyo, mtakapoona mambo haya yakitokea, jueni kwamba yuko karibu, na malango.
Fye lulaava, muliiva mukusivona sino noliike sivombeka, mukagulaghe kuuti nili piipi kukwisa.
30 Kweli, nawambieni, hiki kizazi hakitapita mbali kabla mambo haya hayajatokea.
Kyang'haani nikuvavuula niiti, ikisina iki nakilakila kuhanga isi sooni sivombeke.
31 Mbingu na nchi zitapita, lakini maneno yangu hayatapita kamwe.
Uvulanga ni iisi filakila, looli amasio ghano naghalakila.
32 Lakini kuhusu siku hiyo au saa, hakuna ajuaye, hata malaika wa mbinguni, wala Mwana, ila Baba.
Neke ikighono nu nsiki ughwa kwisa une ne Mwana ghwa Muunhu, nakwale juno akagwile ambe avanyamhola kukyanya, nambe juune ne Mwana, looli ju Nhaata.
33 Iweni macho, Tazama, kwa sababu hamjui ni muda gani yatatokea. (Zingatia: Mstari huu, “Muwe waangalifu, Tazameni na ombeni kwa sababu...” haumo kwenye nakala za kale).
Muling'haniaghe, kange muvisaghe maaso, (ulkakuva namukagwile: unsiki ughuo ghuliva liighi).
34 Ni kama mtu anayeenda safarini: akaacha nyumba yake, na kumweka mtumwa wake kuwa mtawala wa nyumba, kila mmoja na kazi yake. Na kumwamuru mlinzi kukaa macho.
Lulaava ndavule umuunhu juno ikyula, ikujileke ikaaja jaake mu mavoko gha vavombi vaaka na kukuvapeela nujunge imbombo jaake. kange ikum'buula juno ilolelela pa mulyango kuuti avisaghe maaso.
35 Kwa hiyo iweni macho! Kwani hamjui ni lini bwana wa nyumba atakaporudi nyumbani, yawezekana ni jioni, usiku wa manane, wakati jogoo atakapowika, au asubuhi.
Lino, umue mmuvisaghe maaso, ulwakuva namughukagwile unsiki ughwa kugomoka unya nyumba, pamo aliisa vwilile nambe kilo nkate, pamo pano kuhenga nambe lwakilo.
36 Kama akija ghafla, asikukute umelala.
Muvisaghe maaso kuuti alavang'hulania mughoneliile.
37 Kile nikisemacho kwako nakisema kwa kila mtu: Kesheni”!
Sino nikuvavuula umue, nikuvavuula vooni. Muvisaghe maaso!”

< Marko 13 >