< Marko 13 >

1 Yesu alipokuwa akitembea kutoka hekaluni, mmoja wa wanafunzi wake akamwuliza, “Mwalimu, tazama mawe haya yakushangaza na majengo!”
Jisu Pwknvyarnvnaam lokv vnglin rikulo, ninyigv lvbwlaksu akonv ninyia minto, “Tamsarnv, kaatoka! Si achialv kaapu rungnv vlwng okv naam go!”
2 Akamwambia, Unaona majengo haya makubwa? Hakuna hata jiwe moja litakalo salia juu ya jingine ambalo halitaangushwa chini”.
Jisu mirwkto, “Nonu kaadure kainv naam vdwsum? Vlwng pwkin goka dookulo doobwng kumare; mvnwng sum ngorlula ngora reku.”
3 Naye alipokuwa amekaa juu ya Mlima wa Mizeituni nyuma ya hekalu, Petro, Yakobo, Yohana na Andrea wakamwuliza kwa siri,
Jisu ninyigv Pwknvyarnvnaam kaatok gonvgv Olib Moodw lo doorilo Pitar, Jems, Jon okv Andriu bunu ninyi gvlo aasila aatoku.
4 “Tuambie, mambo haya yatakuwa lini? Ni nini dalili ya mambo haya kutokea?”
Bunu minto, “Vdwnyi si ritv rinvdw ngonuam minpalabv, okv so gv mvnwng sokv ridw v aaduku vla ogu go kaaring sinv namgo richo tvdunvdw hum sin ngonua minjilabv.”
5 Yesu alianza kuwaambia, “Kuweni makini kwamba mtu yoyote asiwapotoshe.
Jisu bunua minto, “Yvvka nonua mvvkup madubv himasito laka.
6 Wengi watakuja kwa jina langu wakisema, 'Mimi ndiye', na watawapotosha wengi.
Achialvgo nyi v ngoogv amina gakka minsure, aagvrila minre, ‘Ngo kunv Jisu!’ okv bunu awgo nyi vdwa mvvkupre.
7 Mtakaposikia vita na tetesi za vita, msiogope; mambo haya hayana budi kutokea, lakini mwisho bado.
Okv vdwlo nonu nyimak gv sidupvbin a nvchibv tvvla okv nyimak gv yunying nga adu lo tvvpala adwkaku mabvka. Vkv nvnga rirungjinv, vbvritola v rinya alu v aapvku vnam kaama.
8 Taifa litainuka kinyume na taifa jingine, na ufalme kinyume na ufalme. Patakuwa na matetemeko sehemu mbalimbali, na njaa. Huu ni mwanzo wa utungu.
Diringmooku mvnwngngv padar minsi reku; Karv vdwv mvmisureku. Mooku mvnwnglo moobi hwkriku, okv ho dvmayarwng aariku. So vdw si kuu bvngtv rinyi huchi chichonam jvbv rire.”
9 Iweni macho. Watawapeleka hadi mabarazani, na mtapingwa katika masinagogi. Mtasimamishwa mbele ya watawala na wafalme kwa ajili yangu, kama ushuhuda kwao.
“Nonuno atubongv himasito laka. Nonuam naatung reku okv kvbanaam lo boolwk reku. Nonuam Jius kumkunaam vdwlo mvrit riku; Ngoogv lvkwng lokv bunua Gamlv a minpa dubv nonuam rigvnv vdw okv kvvbi vdwgv kaagialo dakmure.
10 Lakini injili lazima kwanza ihubiriwe kwa mataifa yote.
Vbvritola rinya alu v aama dwbv, Gamlv nga chinggodogo haalung mvnwnglo japcho jirungre.
11 Watakapo wakamata na kuwakabidhi, msiogope kuhusu kile mtakachosema. Ndani ya muda huo, mtapewa nini cha kusema; hamtakuwa ninyi mtakaoongea, bali Roho Mtakatifu.
Okv vdwlo nonuam naatung rekudw okv kvbanaam lo vnggv rekudw, nonu ogugo minsedw vla mvngchola mvngdwk mabvka; vdwlo mindw v aarikudw, minlaka vbvribolo ogugo nonua minpv jipvdw. Nonugv gaam minam vdwv nonu gvngvma; v vdwv Darwknv Dow lokv aareku.
12 Ndugu atamshitaki ndugu kuuawa, baba na mtoto wake. Watoto watasimama kinyume cha baba zao na kuwasababisha kuuawa.
Nyiga vdwv bunu atugv achiboru a mvki modubv laklwk reku, okv abu vdwvka bunugv kuu a vbvdvdvbv rire. Kuu vdwvka bunugv anvabu vdwaka rirwk sire okv bunuam mvkisure.
13 Mtachukiwa na kila mtu kwa sababu ya jina langu. Lakini atakayevumilia mpaka mwisho, mtu huyo ataokoka.
Nyi mvnwngngv nonua ngoogv lvgalokv kaanwng mare. Vbvritola yvvdw rinya alu lobv gakbwngla rilin redw v ringnam a paareku.
14 Mtakapoona chukizo la uharibifu limesimama pale lisipotakiwa kusimama (asomaye na afahamu), ndipo walioko ndani ya Yuda wakimbilie milimani,
“Nonuno ‘Achialv busu namgo hv mvyakmvchak jinv go.’ Hoka ninyigv dakma svngvlo dakdubv kaapare.” (Purinv vdwa mindu: Si ogu gonyi mindunvdw chirung laka!) “Vbvrikubolo yvv bunu Judia lo doodunv moodw bv kicha laka.
15 naye aliyeko juu ya nyumba asishuke chini ya nyumba, au kuchukua chochote kilichoko nje,
Yvvnyi angv nw gv naam namwng mwnglo aolo ridunv naam arwngbv yikungyira naadubv irung mabvka.
16 na aliyeko shambani asirudi kuchukua vazi lake.
Yvvnyi angv rongolo ridunv ninyigv vji laklwk lvgabv naamlo vngkur kuyoka.
17 Lakini ole wao wanawake wenye mimba na wanyonyeshao katika siku hizo!
Hv alu v nyimvmvvga vdwv kuu gvdunv okv anv vdwv yvv anga ajingnv doodunv ho vdwgvbv achialvbv alvmanv gobv rire!
18 Ombeni kwamba isitokee wakati wa baridi.
Svkv nvngv kamching poolu lo rima dubv Pwknvyarnvnyi kumtoka!
19 Kwani patakuwa na mateso makubwa, ambayo hayajawahi kutokea, tangu Mungu alipoumba ulimwengu, mpaka sasa, hapana, wala haitatokea tena.
Ho alu gv hirukaya ngv Pwknvyarnv gv nyiamooku a pwklinyarlin rilokv vjak lobv nyia nyi vdwgv hingkw kunam um svnga si achialvbv alvmanv gubv riyare. Vbvdvdvbv kokwloka vkvnvgo lvko ridv kumare.
20 Mpaka Bwana atakapopunguza siku, hakuna mwili utakaookoka, lakini kwa ajili ya wateule, atakaowachagua, atapunguza namba za siku.
Vbvritola Ahtu ho alua loodwng modu; nw vbv rimabolo, yvvka turla renyu mare. Nw gv darkunam nyi vdwgv lvgabv, nw ho alu vdwa loodwng mopvnv.
21 Wakati huo kama mtu yeyote atawaambia, Tazama, Kristo yuko hapa!' au 'Tazama, yuko pale!' msiamini.
“Vbvrikunamv, ‘Kaatoka, Kristo si doodukv!’ Vmalo, ‘Kaatoka, nw alo hv!’ Vla nyi gonv nonua minbolo—ninyia tvjing mabvka.
22 Kwani Wakristo wa uongo na manabii wa uongo watatokea na watatoa ishara na maajabu, ili kwamba, wawadanganye, yamkini hata wateule.
Mvvnvrunv Kristo ngv okv mvvnvrunv nyikrwkaanv aare. Rilabolo bunu Pwknvyarnv gv nyi vdwa mvvkup dubv lamrwpadubv okv kaapunv rila kaatamre.
23 Iweni macho! Nimekwisha wambia haya yote kabla ya wakati.
Nonuno atugv lvgabv hima silaka! Ridw hv aamadwbv ngo nonua ogumvnwng nga mincho jipvkunv.”
24 Lakini baada ya mateso ya siku hizo, jua litatiwa giza, mwezi hautatoa mwanga wake,
“Hirukaya alu vdwv vngro kochingbv, Doonyi hv kanv riku okv Poolu vka loung kumare,
25 nyota zitaanguka kutoka angani, na nguvu zilizoko mbinguni zitatikisika.
takar vdwv nyidomooku lokv holu re, okv nyidomooku tolo jargvnv gwlwk hv bunugv lokv ngeyu reku.
26 Ndipo watakapomwona Mwana wa Adamu akija mawinguni kwa nguvu kubwa na utukufu.
Vbvrikubolo nyia kuunyilo ngv daklwk riku, jwkrw kairungnv okv yunglit nvgobv rila doomwk lo aareku.
27 Ndipo atatuma malaika zake na atawakusanya pamoja wateule wake kutoka pande kuu nne za dunia, kutoka mwisho wa dunia mpaka mwisho wa mbingu.
Nw ninyigv nyidogindung vdwa nyia mookugv chenyung api lo vnglin more okv nyido dootar gonv lokv dootar gonv lobv Pwknvyarnv gv darnam nyi vdwa makum more.
28 Kwa mtini jifunzeni. Kama tawi liwezavyo kutoa na kuweka haraka majani yake, ndipo mtajua kwamba kiangazi kiko karibu.
“Koksitkokrik singnv lokv nonu kachin sutoka. Vdwlo so gv hakbv ngv jijibv okv kaapubv riri kudw okv anv harlin rapku bolo dwrw hv nvchi duku vla nonu chindu.
29 Ndivyo ilivyo, mtakapoona mambo haya yakitokea, jueni kwamba yuko karibu, na malango.
Ho apiabv, vdwlo nonu svkv nvnga ridubv kaapa rikudw, rirap dukubv, dwv nvchi duku vla nonu chinreku.
30 Kweli, nawambieni, hiki kizazi hakitapita mbali kabla mambo haya hayajatokea.
Nonu mvnggap laka so ogu mvnwng vdw si rire vjakgv nyi singnv mvnwng vdwsi sima dwbv.
31 Mbingu na nchi zitapita, lakini maneno yangu hayatapita kamwe.
Siching nyido hv ngelare, vbvritola ngoogv gaam minam hv vdwloka ngemare.
32 Lakini kuhusu siku hiyo au saa, hakuna ajuaye, hata malaika wa mbinguni, wala Mwana, ila Baba.
“Ho alu, vmalo dwv, vdwlo aarikudw hum chinv kaama-aomooku gv nyidogindung vdwvka, kuunyilo vka um chima; Abu mvngchik chindu.
33 Iweni macho, Tazama, kwa sababu hamjui ni muda gani yatatokea. (Zingatia: Mstari huu, “Muwe waangalifu, Tazameni na ombeni kwa sababu...” haumo kwenye nakala za kale).
Kaaya laka, hula doolaka, vdwlo dwv aarikunvdw nonu chima.
34 Ni kama mtu anayeenda safarini: akaacha nyumba yake, na kumweka mtumwa wake kuwa mtawala wa nyumba, kila mmoja na kazi yake. Na kumwamuru mlinzi kukaa macho.
So si nyi gunv atugv naam ha nyira vdwgvlo akin-akin gv rise nga parlwkla okv agi kaaya nvngaka kaaya dubv parlwk pela adu lo mooying vngyu nyonam aingbv rire.
35 Kwa hiyo iweni macho! Kwani hamjui ni lini bwana wa nyumba atakaporudi nyumbani, yawezekana ni jioni, usiku wa manane, wakati jogoo atakapowika, au asubuhi.
Himasuto laka vbvrikunamv, ogulvgavbolo nonuno chimado vdwlo naam gv atu hv aarikudw—si arium nyika vmalo yupra nyika vmalo arumadv bv vmalo doonyie poklin madvbv.
36 Kama akija ghafla, asikukute umelala.
Nw dvminmabv aaku bolo, nonua yupla doodubv ninyia kaamu rungyoka.
37 Kile nikisemacho kwako nakisema kwa kila mtu: Kesheni”!
Ogugo ngo nonua mindudw, vbvrikunamv, ngo mindunv mvnwng ha: Hima silaka!”

< Marko 13 >