< Marko 13 >

1 Yesu alipokuwa akitembea kutoka hekaluni, mmoja wa wanafunzi wake akamwuliza, “Mwalimu, tazama mawe haya yakushangaza na majengo!”
Yesu mpwalafuma mu Ng'anda ya Lesa, umo wabeshikwiya bakendi walambeti, “Bashikwiyisha kamubonani kukonempa ne kubekema kwa mabwe ne manda awa?”
2 Akamwambia, Unaona majengo haya makubwa? Hakuna hata jiwe moja litakalo salia juu ya jingine ambalo halitaangushwa chini”.
Nomba nendi Yesu walamukumbuleti, “Nte ulabono manda anene anene awa onse? Paliya libwe nambi limo lyeti likashale pelu pa libwe linendi, lyeti likabule kumwaiwa.”
3 Naye alipokuwa amekaa juu ya Mlima wa Mizeituni nyuma ya hekalu, Petro, Yakobo, Yohana na Andrea wakamwuliza kwa siri,
Yesu mpwalekala panshi pamulundu wamaolifi, nkabali balangana ne Ng'anda ya Lesa, Petulo ne Jemusi, ne Yohane kayi ne Ndileya balamwipusha mpobalikuba bonka nendiye kwambeti
4 “Tuambie, mambo haya yatakuwa lini? Ni nini dalili ya mambo haya kutokea?”
“Kamutwambilani, inga bintu ibi nibikenshikelilyoni? Inga nicishibisho cini nceti tukaboneneko kwambeti byonsebi bilipepi kukwanilishiwa?”
5 Yesu alianza kuwaambia, “Kuweni makini kwamba mtu yoyote asiwapotoshe.
Yesu walabambileti “Cetukani, muntu uliyense katakamubepa.
6 Wengi watakuja kwa jina langu wakisema, 'Mimi ndiye', na watawapotosha wengi.
Pakwinga bantu bangi nibakese lina lyakame, ne kwambeti ‘njame Klistu!’ Bantu bangi nibakabepwe.
7 Mtakaposikia vita na tetesi za vita, msiogope; mambo haya hayana budi kutokea, lakini mwisho bado.
Mwakatatika kunyumfwa sha nkondo ne mbili shankondo kamutakayakamwa sobwe. ibi byelela kwinshika, nomba ntewo mapwililisho sobwe.
8 Taifa litainuka kinyume na taifa jingine, na ufalme kinyume na ufalme. Patakuwa na matetemeko sehemu mbalimbali, na njaa. Huu ni mwanzo wa utungu.
Mishobo ya bantu nikabukilane, bishi nibikabukilane, Nikukabe mikunkumo mumibibela byapusana pusana, kayi nikukabe nsala. Lino byonse ibi ekutatika kwa mapensho.”
9 Iweni macho. Watawapeleka hadi mabarazani, na mtapingwa katika masinagogi. Mtasimamishwa mbele ya watawala na wafalme kwa ajili yangu, kama ushuhuda kwao.
“Nomba amwe cetukani, pakwinga bantu nibakamutwale kunkuta ne kumukwapula mumanda akupaililamo. Nimukamane pamenso pa bendeleshi ba mfulumende ne bami, pacebo ca njame, kwambeti mukabe bakamboni bakame.
10 Lakini injili lazima kwanza ihubiriwe kwa mataifa yote.
Nomba kulayandikinga nanshi kwambeti Mulumbe Waina ukambaukwe kubantu ba mishobo yonse.
11 Watakapo wakamata na kuwakabidhi, msiogope kuhusu kile mtakachosema. Ndani ya muda huo, mtapewa nini cha kusema; hamtakuwa ninyi mtakaoongea, bali Roho Mtakatifu.
Nomba bakamwikata ne kumutawala kuya komboloshewa, kamutakalibilika nekwambeti, netwambe cani, Lesa nakamupe cakwamba pacindi copeleco pakwinga shikwamba ntamwe sobwe, nsombi ni Mushimu Uswepa.
12 Ndugu atamshitaki ndugu kuuawa, baba na mtoto wake. Watoto watasimama kinyume cha baba zao na kuwasababisha kuuawa.
Mukwabo nakashinishe mukwabo, bamashali nibakashinishe bana babo. Nabo bana nibakabukile bamashali babo ne kubashinisha
13 Mtachukiwa na kila mtu kwa sababu ya jina langu. Lakini atakayevumilia mpaka mwisho, mtu huyo ataokoka.
Kayi muntu uliyense nakamupele, pacebo ca Lina lyakame, nomba uyo eti akalishishibishe mpaka kumapwililisho endiye esha akapuluke.”
14 Mtakapoona chukizo la uharibifu limesimama pale lisipotakiwa kusimama (asomaye na afahamu), ndipo walioko ndani ya Yuda wakimbilie milimani,
Mwakabona cintu cishikusesemya kayi cishikononga, balacimaniki pamusena ngocabula kwelela, uyo labelengenga enshibe, abo bali mu Yudeya bafwambile ku milundu.
15 naye aliyeko juu ya nyumba asishuke chini ya nyumba, au kuchukua chochote kilichoko nje,
Uyo uli pelu pa ciluli kataseluka nekuya kwingila mung'anda yakendi kwambeti amantemo ciliconse.
16 na aliyeko shambani asirudi kuchukua vazi lake.
Uyo muntu uli mulibala katabwelela ku munshi kuya kumanta byakufwala mbyalashiyi
17 Lakini ole wao wanawake wenye mimba na wanyonyeshao katika siku hizo!
Ha! Akonempa mapensho kubatukashi bakute mabunda, ne beti bakayamwishenga bana mu masubayo!
18 Ombeni kwamba isitokee wakati wa baridi.
Kamupailani kwambeti kacitakaba mucindi camupewo.
19 Kwani patakuwa na mateso makubwa, ambayo hayajawahi kutokea, tangu Mungu alipoumba ulimwengu, mpaka sasa, hapana, wala haitatokea tena.
Pakwinga mumasubayo bantu nibakapenge ncebatana bapengapo kufuma kucindi Lesa ncalalenga cishi mpaka kushika cindi cino, kayi nteti bakapengepo cilico sobwe.
20 Mpaka Bwana atakapopunguza siku, hakuna mwili utakaookoka, lakini kwa ajili ya wateule, atakaowachagua, atapunguza namba za siku.
Lesa nalabula kwafumfwipishilalimo masubayo, nshinga ne palakabulu muntu naba umo shikupuluka, nomba pacebo ca bantu basalwa bakendi, masubayo walafumfwipishilalimo.
21 Wakati huo kama mtu yeyote atawaambia, Tazama, Kristo yuko hapa!' au 'Tazama, yuko pale!' msiamini.
Nomba pacindi copeleco, na muntu akamwambileti, “Kamubonani Klistu ulikuno, Nambi wambeti, ‘Klistu uli uko!’ Kamutakashoma.
22 Kwani Wakristo wa uongo na manabii wa uongo watatokea na watatoa ishara na maajabu, ili kwamba, wawadanganye, yamkini hata wateule.
Pakwinga nikukaboneke ba klistu bangi bandemi shibili ne bashinshimi bandemi shibili. Nibakensenga bingashilo ne bintu bishikukankamanisha, ne kubepa uliyense kayi na kacikonsheka, nabo basalwa, bashome bwepeshi.
23 Iweni macho! Nimekwisha wambia haya yote kabla ya wakati.
Neco amwe cetukani! Ndamwambilili limo bintu byeti bikenshike.”
24 Lakini baada ya mateso ya siku hizo, jua litatiwa giza, mwezi hautatoa mwanga wake,
Mumasubayo, cindi camapensho cakapita lisuba nilikasanduke mushinshe ne mwenshi nukaleke kubala.
25 nyota zitaanguka kutoka angani, na nguvu zilizoko mbinguni zitatikisika.
Nyenyenshi nishikatatike kulaka kufuma kwilu, ne ngofu sha bwendeleshi bwa mwilu nibukatenkane
26 Ndipo watakapomwona Mwana wa Adamu akija mawinguni kwa nguvu kubwa na utukufu.
Lino, bantu nibakamubone Mwana Muntu kesa mumakumbi ne ngofu shinene ne bulemeneno.
27 Ndipo atatuma malaika zake na atawakusanya pamoja wateule wake kutoka pande kuu nne za dunia, kutoka mwisho wa dunia mpaka mwisho wa mbingu.
Pacindico Yesu nakatume bangelo bakendi kuya kubunganya bantu basalwa mumbasu shonse, kufumina kwakuma cinshi ne kuya kwakuma cishi.
28 Kwa mtini jifunzeni. Kama tawi liwezavyo kutoa na kuweka haraka majani yake, ndipo mtajua kwamba kiangazi kiko karibu.
Kamwiyakoni mukoshanyo kucitondo camukuyu. Misampi yatatika kusonsa matewu mukute kwinshibeti mainsa alipepi.
29 Ndivyo ilivyo, mtakapoona mambo haya yakitokea, jueni kwamba yuko karibu, na malango.
Nenjamwe mwakabona bintu ibi kabinshika nimukenshibeti Mwana Muntu ulipepi, uli pacishinga.
30 Kweli, nawambieni, hiki kizazi hakitapita mbali kabla mambo haya hayajatokea.
Cakubinga ndamwambilishingeti uwu musemano nteti ukapite sobwe mpaka ibi bintu bikenshike.
31 Mbingu na nchi zitapita, lakini maneno yangu hayatapita kamwe.
Kwilu ne cishi capanshi nibikapite, nsombi ciyisho cakame nteti cikapite sobwe.
32 Lakini kuhusu siku hiyo au saa, hakuna ajuaye, hata malaika wa mbinguni, wala Mwana, ila Baba.
“Nomba kwamba sha cindi nambi busuba, paliya naba umo ubwinshi, nambi bangelo ba kwilu nkabacinshi, nambi mwana nkabwinshi nsombi Bata bonka.”
33 Iweni macho, Tazama, kwa sababu hamjui ni muda gani yatatokea. (Zingatia: Mstari huu, “Muwe waangalifu, Tazameni na ombeni kwa sababu...” haumo kwenye nakala za kale).
Cetukani, pembelelani, pakwinga nkamucishi na nililyoni cindi ncoti cikashike.
34 Ni kama mtu anayeenda safarini: akaacha nyumba yake, na kumweka mtumwa wake kuwa mtawala wa nyumba, kila mmoja na kazi yake. Na kumwamuru mlinzi kukaa macho.
Ici cili mbuli cikutekwinshika muntu aya pabulwendo, ukute ushiya mukowa nekupa ngofu basebenseshi bakendi, uliyense incito yakendi. Ne kumukonkomesha mulonda kwambeti katashinshilanga.
35 Kwa hiyo iweni macho! Kwani hamjui ni lini bwana wa nyumba atakaporudi nyumbani, yawezekana ni jioni, usiku wa manane, wakati jogoo atakapowika, au asubuhi.
Nenjamwe cetukani, pakwinga nkamucishi cindi ncoti akese mwine ng'anda, mpani ni mansailo, mpani ni paka pa mashiku, mpani pacindi ca malililo abakombwe mpani nimumenemene,
36 Kama akija ghafla, asikukute umelala.
kwambeti mwine ng'anda esa mwakutengashila, katesamucane kamuli monatulo.
37 Kile nikisemacho kwako nakisema kwa kila mtu: Kesheni”!
Neco ncondamwambilinga amwe ndambilinga bonse. Weco cetukani.

< Marko 13 >