< Marko 13 >

1 Yesu alipokuwa akitembea kutoka hekaluni, mmoja wa wanafunzi wake akamwuliza, “Mwalimu, tazama mawe haya yakushangaza na majengo!”
NI a kotieila jan ni im en kaudok, amen japwilim a tounpadak kan potoan on i: Jaunpadak, kom kotin majani takai o im pukat!
2 Akamwambia, Unaona majengo haya makubwa? Hakuna hata jiwe moja litakalo salia juu ya jingine ambalo halitaangushwa chini”.
A Iejuj kotin japen, majani on i: Koe kilekilan im kalaimun pukat? Jota takai eu pan mi pon eu, me jo pan lokidoki jan.
3 Naye alipokuwa amekaa juu ya Mlima wa Mizeituni nyuma ya hekalu, Petro, Yakobo, Yohana na Andrea wakamwuliza kwa siri,
Ari, ni a kotikot pon dol Oliwe jal don im en kaudok, Petruj, o Iakopuj, o Ioanej, o Andreaj, re ap kelep potoan on i:
4 “Tuambie, mambo haya yatakuwa lini? Ni nini dalili ya mambo haya kutokea?”
Re kotin majani on kit, iad mepukat pan wiaui o da pan kadapakilene en mepukat karoj a pan pwaida?
5 Yesu alianza kuwaambia, “Kuweni makini kwamba mtu yoyote asiwapotoshe.
Iejuj ap kotin japew irail majani: Kalaka, pwe meamen de kotaue komail!
6 Wengi watakuja kwa jina langu wakisema, 'Mimi ndiye', na watawapotosha wengi.
Pwe me toto pan kodo ni ad ai, inda: Nai i. Re ap pan kotaueda me toto.
7 Mtakaposikia vita na tetesi za vita, msiogope; mambo haya hayana budi kutokea, lakini mwisho bado.
O ni omail pan ron mauin o ron en mauin, komail depa majak! Pwe mepukat udan wiaui; a jaikenta imwi.
8 Taifa litainuka kinyume na taifa jingine, na ufalme kinyume na ufalme. Patakuwa na matetemeko sehemu mbalimbali, na njaa. Huu ni mwanzo wa utungu.
Pwe wei eu pan u on eu wei o pil wei en nanmarki ko, o jap rerer pan wiaui jili, o lek, o injenjued, mepukat kamoe en patau.
9 Iweni macho. Watawapeleka hadi mabarazani, na mtapingwa katika masinagogi. Mtasimamishwa mbele ya watawala na wafalme kwa ajili yangu, kama ushuhuda kwao.
A komail kalaka pein komail! Pwe re pan pan komail la on kapun o jinakoke kan; o komail pan kamekame o wijike don mon monjap o nanmarki kan pweki nai, pwen kadede on irail.
10 Lakini injili lazima kwanza ihubiriwe kwa mataifa yote.
O ronamau en kaloki on maj nan jap karoj.
11 Watakapo wakamata na kuwakabidhi, msiogope kuhusu kile mtakachosema. Ndani ya muda huo, mtapewa nini cha kusema; hamtakuwa ninyi mtakaoongea, bali Roho Mtakatifu.
A ni arail wa komail la o panla komail, der lamelame maj, me komail pan inda, pil der madamadaua maj. A iei me o, me pan ko on komail ni klok ota, I me komail en inda! Pwe kaidin komail me lokaia a Nen jaraui.
12 Ndugu atamshitaki ndugu kuuawa, baba na mtoto wake. Watoto watasimama kinyume cha baba zao na kuwasababisha kuuawa.
Pwe ol pan panala ri a ol, pwen kamela; o jam na jeri, o jeri ko pan u on jam, in, o pan kare on ir, en kamela.
13 Mtachukiwa na kila mtu kwa sababu ya jina langu. Lakini atakayevumilia mpaka mwisho, mtu huyo ataokoka.
Komail ap pan kaliwariwarla pan aramaj karoj pweki ad ai. A me dadaurata lao imwi lel, a pan dorela.
14 Mtakapoona chukizo la uharibifu limesimama pale lisipotakiwa kusimama (asomaye na afahamu), ndipo walioko ndani ya Yuda wakimbilie milimani,
Ni omail kilan wiawi jued ni kao lapalap, me a pan wiaui waja, me a jo kon on meamen wudok a en dedeki me mimi Iudaa, re en jopo won nan nana ko.
15 naye aliyeko juu ya nyumba asishuke chini ya nyumba, au kuchukua chochote kilichoko nje,
O me mi pon im, depa ko dido nan im; a depa pil pedelon on lole, pwen ki jan meakot.
16 na aliyeko shambani asirudi kuchukua vazi lake.
O me mi nan jap, depa japaledo ale a likau.
17 Lakini ole wao wanawake wenye mimba na wanyonyeshao katika siku hizo!
A pan non juede on me lijean o on ir, me kadidi ni ran oko.
18 Ombeni kwamba isitokee wakati wa baridi.
Komail kapakapeki, pwe omail japola de wiaui ni anjau en pou.
19 Kwani patakuwa na mateso makubwa, ambayo hayajawahi kutokea, tangu Mungu alipoumba ulimwengu, mpaka sasa, hapana, wala haitatokea tena.
Pwe ni ran oko kainjenjued pan wiaui, me jota due jan ni tapin jappa, ni en Kot a kotin wiada kokodo kokolata.
20 Mpaka Bwana atakapopunguza siku, hakuna mwili utakaookoka, lakini kwa ajili ya wateule, atakaowachagua, atapunguza namba za siku.
Ma Kaun o jota kotin kamotola ran oko, jota uduk, me pan dorela. A pweki me pilipildar akan, me a kotin piladar, iei me a kotin kamoto kila ran oko.
21 Wakati huo kama mtu yeyote atawaambia, Tazama, Kristo yuko hapa!' au 'Tazama, yuko pale!' msiamini.
Ma meamen indai on komail ni anjau o: Kilan, iet et Krijtuj! De ionen! Der kamelele.
22 Kwani Wakristo wa uongo na manabii wa uongo watatokea na watatoa ishara na maajabu, ili kwamba, wawadanganye, yamkini hata wateule.
Pwe Krijtuj likam o jaukop likam akai pan koda o re pan kajaleda kilel o manaman, pwen pil kotaue ir, me pilipildar akan ma re kak on.
23 Iweni macho! Nimekwisha wambia haya yote kabla ya wakati.
Komail ari kalaka! Pwe I kop on komail er meakaroj!
24 Lakini baada ya mateso ya siku hizo, jua litatiwa giza, mwezi hautatoa mwanga wake,
Ari, ni ran oko murin kain jenjued katipin pan rotala maram pan jolar linan.
25 nyota zitaanguka kutoka angani, na nguvu zilizoko mbinguni zitatikisika.
O uju en lan pan pupedi o kelail en lan akan pan mokimokid.
26 Ndipo watakapomwona Mwana wa Adamu akija mawinguni kwa nguvu kubwa na utukufu.
Ari, re ap pan kilan Nain aramaj pan kotikot kodo nan dapok ni a rojon melel o ni a linan.
27 Ndipo atatuma malaika zake na atawakusanya pamoja wateule wake kutoka pande kuu nne za dunia, kutoka mwisho wa dunia mpaka mwisho wa mbingu.
A ap pan kadar pajan na tounlan kan, kapokon pena jan pali en lan paieu japwilim a pil pildar akan, jan imwin jappa Iel imwin lan.
28 Kwa mtini jifunzeni. Kama tawi liwezavyo kutoa na kuweka haraka majani yake, ndipo mtajua kwamba kiangazi kiko karibu.
Komail en aja karajraj en tuka pik. Ni ra kan ar ponj o pepe pwarado, komail kin aja, me rak korenier.
29 Ndivyo ilivyo, mtakapoona mambo haya yakitokea, jueni kwamba yuko karibu, na malango.
O pil komail; ni omail kilan wiawia pukat a pan pwaida, komail en aja, me a korendor, a mier pan wanim.
30 Kweli, nawambieni, hiki kizazi hakitapita mbali kabla mambo haya hayajatokea.
Melel, I indai on komail: Di wet jota pan imwijokela, lao wiawia pukat pwaida.
31 Mbingu na nchi zitapita, lakini maneno yangu hayatapita kamwe.
Lan o jappa pan joredi, a ai majan jota pan joredi.
32 Lakini kuhusu siku hiyo au saa, hakuna ajuaye, hata malaika wa mbinguni, wala Mwana, ila Baba.
A duen ran o klok jota amen me aja. Tounlan kan, me mi lan, pil jota aja; Na pil jo, Jam eta.
33 Iweni macho, Tazama, kwa sababu hamjui ni muda gani yatatokea. (Zingatia: Mstari huu, “Muwe waangalifu, Tazameni na ombeni kwa sababu...” haumo kwenye nakala za kale).
Komail kalaka! Majamajan o kapakap! Pwe komail jaja anjau o!
34 Ni kama mtu anayeenda safarini: akaacha nyumba yake, na kumweka mtumwa wake kuwa mtawala wa nyumba, kila mmoja na kazi yake. Na kumwamuru mlinzi kukaa macho.
Due aramaj amen, me wia jailok doo, me kidi im a, ap ki on manaman ren a ladu kan, pil ki on karoj ar dodok, ap pil majani on jilepan wanim o, en majmajan.
35 Kwa hiyo iweni macho! Kwani hamjui ni lini bwana wa nyumba atakaporudi nyumbani, yawezekana ni jioni, usiku wa manane, wakati jogoo atakapowika, au asubuhi.
lei me komail en majamajaneki, pwe komail jaja anjau, jaumaj en im o a purodo, ma jautik, de ailep en pon, de ni malek kakorot, de ni manjan.
36 Kama akija ghafla, asikukute umelala.
Pwe a depa madanedo, diarada omail mamair.
37 Kile nikisemacho kwako nakisema kwa kila mtu: Kesheni”!
O me I indai on komail, I pil indai on karoj, majamajan!

< Marko 13 >