< Marko 13 >

1 Yesu alipokuwa akitembea kutoka hekaluni, mmoja wa wanafunzi wake akamwuliza, “Mwalimu, tazama mawe haya yakushangaza na majengo!”
Yesu peahumayi mu Nyumba ya Chapanga, mmonga wa vawuliwa vaki amjovili, “Muwula, lola maganga na majengu aga chegavili gabwina na kukangasa!”
2 Akamwambia, Unaona majengo haya makubwa? Hakuna hata jiwe moja litakalo salia juu ya jingine ambalo halitaangushwa chini”.
Yesu akamyangula, “Wu, ukugalola majengu aga zivaha? Kawaka liganga hati limonga lelisigalila panani ya liganga lingi, kila liganga yati ligwisiwa.”
3 Naye alipokuwa amekaa juu ya Mlima wa Mizeituni nyuma ya hekalu, Petro, Yakobo, Yohana na Andrea wakamwuliza kwa siri,
Yesu paatamili panani ya chitumbi cha Mizeituni kulolokesa Nyumba ya Chapanga, Petili na Yakobo na Yohani na Andelea vakamkota pevavi ngavene,
4 “Tuambie, mambo haya yatakuwa lini? Ni nini dalili ya mambo haya kutokea?”
“Tijovela mambu genago yati gihumila ndali? Na ulangisu woki weulangisa kuvya mambu aga gavi papipi kuhumila?”
5 Yesu alianza kuwaambia, “Kuweni makini kwamba mtu yoyote asiwapotoshe.
Yesu akatumbula kuvajovela, “Mujiyangalilayi mundu akotoka kuvakonga.”
6 Wengi watakuja kwa jina langu wakisema, 'Mimi ndiye', na watawapotosha wengi.
Muni vamahele yati vibwela na kulihengela liina langu, kila mundu yati ijova kuvya mwene ndi Kilisitu! Vene yati vakuvakonga vandu vamahele.
7 Mtakaposikia vita na tetesi za vita, msiogope; mambo haya hayana budi kutokea, lakini mwisho bado.
Pemyuwana gegivala ngondo na vandu vilongelela mambu ga ngondo mkotoka kuvagaya. Yikugagana mambu genaga kuhumila, nambu mwishu wene wakona.
8 Taifa litainuka kinyume na taifa jingine, na ufalme kinyume na ufalme. Patakuwa na matetemeko sehemu mbalimbali, na njaa. Huu ni mwanzo wa utungu.
Vandu va mulima umonga yati utovana na vandu va mulima wungi, unkosi umonga yati utovana na unkosi wungi, yati kwiva na mindendemo ya ndima pamonga na njala. Mambu ago ndi ngati utumbula wa lipyanda la kuveleka mwana.
9 Iweni macho. Watawapeleka hadi mabarazani, na mtapingwa katika masinagogi. Mtasimamishwa mbele ya watawala na wafalme kwa ajili yangu, kama ushuhuda kwao.
Nambu nyenye mjiyangalila. Muni yati vakuvatakila mumabanji ga mihalu, na kutovewa munyumba za kukonganekela Vayawudi. Mewawa yati vakuvapeleka palongolo ya vachilongosi na vankosi ndava ya nene, muni mujova ndava yangu.
10 Lakini injili lazima kwanza ihubiriwe kwa mataifa yote.
Nambu yiganikiwa hoti lilovi la Bwina likokosewayi kwa vandu voha kwakona mwishu wangahika.
11 Watakapo wakamata na kuwakabidhi, msiogope kuhusu kile mtakachosema. Ndani ya muda huo, mtapewa nini cha kusema; hamtakuwa ninyi mtakaoongea, bali Roho Mtakatifu.
Na pamwikamuliwa na kupelekwa mumabanji ga mihalu, mkoto kuhololela chakujova. Lukumbi lwenulo. Nambu mjova chechoha chemwipewa kujova, muni yati gihuma kwa Mpungu Msopi.
12 Ndugu atamshitaki ndugu kuuawa, baba na mtoto wake. Watoto watasimama kinyume cha baba zao na kuwasababisha kuuawa.
Mlongo yati akumng'anamukila mhaja waki akomiwa na dadi yati akumng'anamukila mwana waki, na vana yati vakuvang'anamukila dadi na nyina vavi vakomewayi.
13 Mtachukiwa na kila mtu kwa sababu ya jina langu. Lakini atakayevumilia mpaka mwisho, mtu huyo ataokoka.
Vandu voha yati vakuvagana lepi ndava ya liina langu. Nambu mweisindimala mbaka mwishu ndi Chapanga akumsangula kuhuma uhamula wa magono goha gangali mwishu.
14 Mtakapoona chukizo la uharibifu limesimama pale lisipotakiwa kusimama (asomaye na afahamu), ndipo walioko ndani ya Yuda wakimbilie milimani,
“Pemwilola ‘Yomeso lihakau lelilangisa uhalabisu’ Liyimili pandu pangaganikiwa kuvya.” Mweisoma malovi aga amanyalila. Hinu vevavili ku Yudea na vajumbalila kuchitumbi.
15 naye aliyeko juu ya nyumba asishuke chini ya nyumba, au kuchukua chochote kilichoko nje,
Mundu mweavili kuvala ya nyumba yaku akotoka kuyingila mugati kutola chindu, nambu atilayi!
16 na aliyeko shambani asirudi kuchukua vazi lake.
Mewawa mundu mweavili kumgunda akotoka kuwuya kunyumba yaki kutola nyula yaki.
17 Lakini ole wao wanawake wenye mimba na wanyonyeshao katika siku hizo!
Niviniswa mtima ndava ya vanandumbu na vevinyong'esa magono ago, ndava yati kwivya na mang'ahiso neju.
18 Ombeni kwamba isitokee wakati wa baridi.
Nambu mumuyupayi Chapanga mambu ago gakotoka kuhumila lukumbi lwa mbepu.
19 Kwani patakuwa na mateso makubwa, ambayo hayajawahi kutokea, tangu Mungu alipoumba ulimwengu, mpaka sasa, hapana, wala haitatokea tena.
Muni magono ago yati kwiva na mang'ahiso gakulu, gangahumila kuhuma Chapanga kuwumba mulima mbaka lelu, katu yati gihumila lepi kavili.
20 Mpaka Bwana atakapopunguza siku, hakuna mwili utakaookoka, lakini kwa ajili ya wateule, atakaowachagua, atapunguza namba za siku.
Ngati Bambu ngagapunguziwi lepi magono kawaka hati mundu mmonga wa kusanguliwa. Nambu ndava ya vahaguliwa vaki, Bambu agapungwizi magono ago.
21 Wakati huo kama mtu yeyote atawaambia, Tazama, Kristo yuko hapa!' au 'Tazama, yuko pale!' msiamini.
Kangi, mundu akavajovela, lolayi, Kilisitu avili apa! Amala, avili pala, mkotoka kusadika.
22 Kwani Wakristo wa uongo na manabii wa uongo watatokea na watatoa ishara na maajabu, ili kwamba, wawadanganye, yamkini hata wateule.
Muni yati vihumalila vakina Kilisitu vaudese na vamlota va udese, yati vikita ulangisu na chinamtiti, ngati yihotoleka ndava ya kuvabudisa hati vahaguliwa va Chapanga.
23 Iweni macho! Nimekwisha wambia haya yote kabla ya wakati.
Nambu nyenye mujiyangalila. Nene nivajovili mambu genaga kwakona gangahumila.
24 Lakini baada ya mateso ya siku hizo, jua litatiwa giza, mwezi hautatoa mwanga wake,
“Nambu pegimalika magono ago ga mang'ahiso, lilanga yati lisopewa chitita na mwehi yati ulangasa lepi.
25 nyota zitaanguka kutoka angani, na nguvu zilizoko mbinguni zitatikisika.
Ndondo yati zigwa kuhuma kunani, na vindu vyoha vya kumahundi yati vinyuguswa.
26 Ndipo watakapomwona Mwana wa Adamu akija mawinguni kwa nguvu kubwa na utukufu.
Penapo yati vakumlola Mwana wa Mundu, ibwela mulihundi kwa makakala gamahele na ukulu.
27 Ndipo atatuma malaika zake na atawakusanya pamoja wateule wake kutoka pande kuu nne za dunia, kutoka mwisho wa dunia mpaka mwisho wa mbingu.
Ndi yati akuvatuma vamitumu va kunani kwa Chapanga vavalunda vandu vevahaguliwi na Chapanga, kuhuma pandi mcheche za mulima, na hati kuhuma pandu pa kutali ya mulima woha.”
28 Kwa mtini jifunzeni. Kama tawi liwezavyo kutoa na kuweka haraka majani yake, ndipo mtajua kwamba kiangazi kiko karibu.
“Mujiwula kuhuma mumkongo wa mtini. Pemwilola mahamba gimela, nyenye mwimanya kuvya lusenje lwa fula luhegalili.
29 Ndivyo ilivyo, mtakapoona mambo haya yakitokea, jueni kwamba yuko karibu, na malango.
Mewawa na nyenye pemwilola mambu genago gihengeka, mmanya kuvya Mwana wa Mundu avi papipi neju kuhika.
30 Kweli, nawambieni, hiki kizazi hakitapita mbali kabla mambo haya hayajatokea.
Chakaka nikuvajovela, chiveleku ichi chipita lepi kwakona mambu aga kuhumila.
31 Mbingu na nchi zitapita, lakini maneno yangu hayatapita kamwe.
Hati ngati kunani kwa Chapanga na pamulima yati ziwuka, nambu malovi gangu yati gihumila ngati chenajovili.”
32 Lakini kuhusu siku hiyo au saa, hakuna ajuaye, hata malaika wa mbinguni, wala Mwana, ila Baba.
“Nambu, avi lepi mundu mweimanya ligono la mwishu yati libwela ndali, hati vamitumu va kunani kwa Chapanga, hati Mwana wa Chapanga. Dadi Chapanga ndu mweamanyili.
33 Iweni macho, Tazama, kwa sababu hamjui ni muda gani yatatokea. (Zingatia: Mstari huu, “Muwe waangalifu, Tazameni na ombeni kwa sababu...” haumo kwenye nakala za kale).
Mujiyangalila na mujitendekela, muni mumanyili lepi ligono amala lukumbi peluhumila.
34 Ni kama mtu anayeenda safarini: akaacha nyumba yake, na kumweka mtumwa wake kuwa mtawala wa nyumba, kila mmoja na kazi yake. Na kumwamuru mlinzi kukaa macho.
Yati yivya ngati mundu mweahambi lugendu na kuvalekela vahengaji utalalila, kila mundu na lihengu laki, akumjovela mlonda wa mlyangu avyai mihu.
35 Kwa hiyo iweni macho! Kwani hamjui ni lini bwana wa nyumba atakaporudi nyumbani, yawezekana ni jioni, usiku wa manane, wakati jogoo atakapowika, au asubuhi.
Mujitendelekela, ndava muni mmanyi lepi mkolo nyumba iwuya ndali. Pangi yivya kimihi, pagati ya kilu, hambakucha amala lukela.
36 Kama akija ghafla, asikukute umelala.
Mujitendelekela, muni ngati abwelili cha kukenyemusa, akotoka kuvakolela mgonili.
37 Kile nikisemacho kwako nakisema kwa kila mtu: Kesheni”!
Genikuvajovela nyenye, nikuvajovela mwavoha. Muvya mihu!”

< Marko 13 >