< Marko 13 >

1 Yesu alipokuwa akitembea kutoka hekaluni, mmoja wa wanafunzi wake akamwuliza, “Mwalimu, tazama mawe haya yakushangaza na majengo!”
Jitia Jisu mondoli pora ulaikene jai thakise, chela ekjon Taike koise, “Sikha manu, sabi, kineka bhal asurit pathor ase etu, aru kiman asurit ghor ase yate?
2 Akamwambia, Unaona majengo haya makubwa? Hakuna hata jiwe moja litakalo salia juu ya jingine ambalo halitaangushwa chini”.
Aru Jisu jowab di taike koise, “Tumi etu dangor ghor dikhi ase? Yate ekta pathor bhi ekta uporte nathiki jabo, sob pathor ke girai dibo.”
3 Naye alipokuwa amekaa juu ya Mlima wa Mizeituni nyuma ya hekalu, Petro, Yakobo, Yohana na Andrea wakamwuliza kwa siri,
Titia Tai mondoli samne te Oliv Pahar te bohi asele, titia Peter, James, John aru Andrew taikhan lukaikene Taike hudise.
4 “Tuambie, mambo haya yatakuwa lini? Ni nini dalili ya mambo haya kutokea?”
“Etu sob kotha kitia hobo, etu amikhan ke koi dibi, aru kitia etu sob kotha pura hobole hoi, etu laga chihna kineka hobo?”
5 Yesu alianza kuwaambia, “Kuweni makini kwamba mtu yoyote asiwapotoshe.
Aru Jisu taikhan ke jowab di koise, “Hoshiar hobi, kun pora bhi tumikhan ke thogabo nadibi.
6 Wengi watakuja kwa jina langu wakisema, 'Mimi ndiye', na watawapotosha wengi.
Kelemane bisi manu Ami laga naam loi ahikena kobo, ‘Moi he Tai ase,’ aru bisi manu ke thogai loijabo.
7 Mtakaposikia vita na tetesi za vita, msiogope; mambo haya hayana budi kutokea, lakini mwisho bado.
Kintu jitia tumikhan lorai aru mara-mari laga awaj hunibo, titia chinta nokoribi, kelemane eitu khan hobole dorkar ase, kintu etu bhi hekh somoi nohoi.
8 Taifa litainuka kinyume na taifa jingine, na ufalme kinyume na ufalme. Patakuwa na matetemeko sehemu mbalimbali, na njaa. Huu ni mwanzo wa utungu.
Kelemane ekta desh pora dusra desh ke bhirodh koribo, ekta rajyo pora dusra rajyo ke bhirodh koribo, aru jaga-jagate mati hili bo, aru titia khabole eku napabo. Etu sob to bacha jonom hobole shuru te bikha nisena ase.
9 Iweni macho. Watawapeleka hadi mabarazani, na mtapingwa katika masinagogi. Mtasimamishwa mbele ya watawala na wafalme kwa ajili yangu, kama ushuhuda kwao.
Tumikhan nijor hoshiar thakibi. Ami nimite tumikhan ke dhori kene sabhakhan te aru mondoli khan te di dibo, tumikhan ke maribo, pitibo, aru tumikhan ke sorkar aru raja khan usorte loijabo, taikhan nimite gawahi hobole.
10 Lakini injili lazima kwanza ihubiriwe kwa mataifa yote.
Kintu prothom te susamachar sob jati ke prochar kori dibo lagibo.
11 Watakapo wakamata na kuwakabidhi, msiogope kuhusu kile mtakachosema. Ndani ya muda huo, mtapewa nini cha kusema; hamtakuwa ninyi mtakaoongea, bali Roho Mtakatifu.
Jitia taikhan pora tumikhan ke dhori kene manu laga hathte di dibo, tumikhan ki kobo lage, etu nimite chinta na koribi, kintu tumikhan utu somoite ki kobo lage, etu he koi dibi, kelemane tumikhan pora nokobo, kintu Pobitro Atma pora he kobo.
12 Ndugu atamshitaki ndugu kuuawa, baba na mtoto wake. Watoto watasimama kinyume cha baba zao na kuwasababisha kuuawa.
Titia bhai pora bhai ke dhurikena morai dibo, aru baba pora bacha ke morai dibo, bacha khan pora nijor ama-baba laga bhirodh hoi kene taikhan ke morai dibo.
13 Mtachukiwa na kila mtu kwa sababu ya jina langu. Lakini atakayevumilia mpaka mwisho, mtu huyo ataokoka.
Aru Ami karone sob tumikhan ke ghin koribo, kintu hekh tak jun dhorjo thakibo paribo tai he poritran pabo.
14 Mtakapoona chukizo la uharibifu limesimama pale lisipotakiwa kusimama (asomaye na afahamu), ndipo walioko ndani ya Yuda wakimbilie milimani,
Kintu jitia paap laga ghin kaam khotom kora ke kuntu jagah te khara nathakibole lage ta te khara kora tumikhan dikhile- kun porhibo tai he bujhi bole dibi- titia jun Judea te ase, pahar te polai jabi,
15 naye aliyeko juu ya nyumba asishuke chini ya nyumba, au kuchukua chochote kilichoko nje,
Jun ghor uporte ase, taike niche najabole aru jai kene ghor bhitor pora kiba bahar te ulabole nadibi.
16 na aliyeko shambani asirudi kuchukua vazi lake.
Aru jun kheti te ase, taike nijor kapra lobole ghuri ahibo nadibi.
17 Lakini ole wao wanawake wenye mimba na wanyonyeshao katika siku hizo!
Kintu etu dinte jun maiki khan pet te bacha bukhi se, aru jun bacha dudh khilai thakise, taikhan nimite hai ase.
18 Ombeni kwamba isitokee wakati wa baridi.
Etu sob thanda dinte nohobo nimite prathana kori thakibi.
19 Kwani patakuwa na mateso makubwa, ambayo hayajawahi kutokea, tangu Mungu alipoumba ulimwengu, mpaka sasa, hapana, wala haitatokea tena.
Kelemane etu din eneka dukh din hobo, jitia shuru pora Isor sristi bona homoi pora aji tak eneka dukh aha nai, aru kitia bhi nohobo.
20 Mpaka Bwana atakapopunguza siku, hakuna mwili utakaookoka, lakini kwa ajili ya wateule, atakaowachagua, atapunguza namba za siku.
Aru jodi Probhu he etu din to khata kori nadile kunbi bachibole nohoi, kintu basi luwa khan karone Tai etu din khan khata kori dise.
21 Wakati huo kama mtu yeyote atawaambia, Tazama, Kristo yuko hapa!' au 'Tazama, yuko pale!' msiamini.
Aru jodi kunba tumikhan ke kobo, ‘Sabi, Khrista yate ase nohoile, ‘Sabi Tai ta te ase,’ etu biswas na koribi.
22 Kwani Wakristo wa uongo na manabii wa uongo watatokea na watatoa ishara na maajabu, ili kwamba, wawadanganye, yamkini hata wateule.
Kelemane misa khrista aru misa bhabobadi ahibo, aru chihna aru asurit dikha bo, aru jodi parile basi luwa khan ke bhi thogai loijabo.
23 Iweni macho! Nimekwisha wambia haya yote kabla ya wakati.
Kintu hoshiar thakibi, sabi Moi age pora tumikhan ke koi ase.
24 Lakini baada ya mateso ya siku hizo, jua litatiwa giza, mwezi hautatoa mwanga wake,
Kintu etu dukh din laga pichete Suryo andhera hoi jabo, Aru chand bhi ujala nadibo.
25 nyota zitaanguka kutoka angani, na nguvu zilizoko mbinguni zitatikisika.
Titia akas laga tara bhi giri jabo, Aru akas laga hokti hili jabo
26 Ndipo watakapomwona Mwana wa Adamu akija mawinguni kwa nguvu kubwa na utukufu.
Titia Manu laga Putro dangor hokti aru mohima hoi badal pora aha taikhan dikhibo.
27 Ndipo atatuma malaika zake na atawakusanya pamoja wateule wake kutoka pande kuu nne za dunia, kutoka mwisho wa dunia mpaka mwisho wa mbingu.
Titia Tai duth khan ke pathai kene prithibi laga kona pora akas laga kona tak, char phale hawa pora Tai basi luwa sobke joma kori lobo.
28 Kwa mtini jifunzeni. Kama tawi liwezavyo kutoa na kuweka haraka majani yake, ndipo mtajua kwamba kiangazi kiko karibu.
Titia dimoru ghas pora dristanto sikhi lobi, jitia ghas laga daal komoliya hoi, aru pata ulabole hoi, gorom din usor hoise koi kene tumikhan jani jai.
29 Ndivyo ilivyo, mtakapoona mambo haya yakitokea, jueni kwamba yuko karibu, na malango.
Etu karone jitia etu sob hoi thaka dikhile jani lobi Jisu dorja usorte ahi jaise.
30 Kweli, nawambieni, hiki kizazi hakitapita mbali kabla mambo haya hayajatokea.
Moi tumikhan ke hosa kobo, jitia tak etu sob kotha pura nohobo, titia tak etu yug laga manu khan harai najabo.
31 Mbingu na nchi zitapita, lakini maneno yangu hayatapita kamwe.
Akas aru prithibi harai jabo, kintu Ami laga kotha khan kitia bhi naharabo.
32 Lakini kuhusu siku hiyo au saa, hakuna ajuaye, hata malaika wa mbinguni, wala Mwana, ila Baba.
Kintu etu din aru etu somoi kun bhi najane, sorgodoth khan bhi, aru Putro bhi najane, kintu khali Baba he jane.
33 Iweni macho, Tazama, kwa sababu hamjui ni muda gani yatatokea. (Zingatia: Mstari huu, “Muwe waangalifu, Tazameni na ombeni kwa sababu...” haumo kwenye nakala za kale).
Hoshiar pora sai thakibi, uthi kene prathana kori thakibi kelemane tumikhan najane etu somoi kitia ahibo.
34 Ni kama mtu anayeenda safarini: akaacha nyumba yake, na kumweka mtumwa wake kuwa mtawala wa nyumba, kila mmoja na kazi yake. Na kumwamuru mlinzi kukaa macho.
Etu to ekjon manu pora tai laga nokorkhan ke adhikar dikene, taikhan sobke nijor kaam dikene aru chokidar ke bhal pora sob sai thaki bole hukum dikene dusra jagate jai ja nisena ase.
35 Kwa hiyo iweni macho! Kwani hamjui ni lini bwana wa nyumba atakaporudi nyumbani, yawezekana ni jioni, usiku wa manane, wakati jogoo atakapowika, au asubuhi.
Karone hoshiar thakibi, kelemane tumikhan najane, malik kitia ghor te ahibo, saam te hobo na adha rati te hobo, na murga hala kora homoi te hobo, nohoile phojurte hobo.
36 Kama akija ghafla, asikukute umelala.
Tai achanak ahikena tumikhan ghumai thaka pai jabo pare.
37 Kile nikisemacho kwako nakisema kwa kila mtu: Kesheni”!
Etu pora Moi tumikhan ke ki koise, Moi sobke koi ase; Hoshiar hoi thakibi!”

< Marko 13 >