< Marko 13 >

1 Yesu alipokuwa akitembea kutoka hekaluni, mmoja wa wanafunzi wake akamwuliza, “Mwalimu, tazama mawe haya yakushangaza na majengo!”
U Yesu vulgenda mutembile, ukongi yumo akhambuncha, “Imanyisi, lola amaule aga ga khu suugesya na majengo!”
2 Akamwambia, Unaona majengo haya makubwa? Hakuna hata jiwe moja litakalo salia juu ya jingine ambalo halitaangushwa chini”.
Akhambula, wilola amajengo amavaha aga? Lisikhuli eliwe elevakhwa lisigala pakianya paliwe elenge lilyo salelogwa pasi.”
3 Naye alipokuwa amekaa juu ya Mlima wa Mizeituni nyuma ya hekalu, Petro, Yakobo, Yohana na Andrea wakamwuliza kwa siri,
Umwene vu atamile pa khiamba kya miseituni khu sana khu tembile, u Peteli, u Yakobo, u Yohani nu Ndeleya vakhapuncha khuvutitu,
4 “Tuambie, mambo haya yatakuwa lini? Ni nini dalili ya mambo haya kutokea?”
“Imbombo, inchii nchiwa va ndeli? Hange kheilekhu eikhe hwani kya yene?”
5 Yesu alianza kuwaambia, “Kuweni makini kwamba mtu yoyote asiwapotoshe.
U Yesu akhatengula ukhuvavula, “Muve mcho umunu vevoni asite ukhuva siova.
6 Wengi watakuja kwa jina langu wakisema, 'Mimi ndiye', na watawapotosha wengi.
Vingi vikhuincha khulitawa lyango vitinchaga, 'Une nene luleli,' na vikhivayancha vingi.
7 Mtakaposikia vita na tetesi za vita, msiogope; mambo haya hayana budi kutokea, lakini mwisho bado.
Vumupulekha embancha nenchovele ncha mbancha musite ukhudwada pakhuva imbombo ncha lasima ukhuhumila pakhuva umwisyo badu.
8 Taifa litainuka kinyume na taifa jingine, na ufalme kinyume na ufalme. Patakuwa na matetemeko sehemu mbalimbali, na njaa. Huu ni mwanzo wa utungu.
Pakhuva ikhilunga khiihe galekhuta khuilwa nekhilunga ekhenge. Pivane khesenyenge isehemu nyingi, ne njala. Ugu gumwanjo gwa luvavo.
9 Iweni macho. Watawapeleka hadi mabarazani, na mtapingwa katika masinagogi. Mtasimamishwa mbele ya watawala na wafalme kwa ajili yangu, kama ushuhuda kwao.
Muve miho. Vuvikhuva helakha mu balasa, nukhu vatova muma Sinagogi. Gavene vikhu vimikha khuvulungolo khuva vaha na khuva kuludeva khunjila yango, nduvu suhuda khuvene.
10 Lakini injili lazima kwanza ihubiriwe kwa mataifa yote.
Welemenyu linogiwa lilumbileliwe khuvanya panji voni.
11 Watakapo wakamata na kuwakabidhi, msiogope kuhusu kile mtakachosema. Ndani ya muda huo, mtapewa nini cha kusema; hamtakuwa ninyi mtakaoongea, bali Roho Mtakatifu.
Vuvikhuvibata nukhuva kabisi, msite ukhudwada eikhei yakhei va muunchova. Mugati musikhe ugwa, vikhuvapa kheikhi eikya khunchova; samuuva mulemule umuli yakhiva umepo umbalanche.
12 Ndugu atamshitaki ndugu kuuawa, baba na mtoto wake. Watoto watasimama kinyume cha baba zao na kuwasababisha kuuawa.
Ulukolo ikhusitakha ulukololule ukhufya, ubaba nu mwana va mulene. Ava navikhweima vunge navo dada yavo nukhuva vikha vabudiwe.
13 Mtachukiwa na kila mtu kwa sababu ya jina langu. Lakini atakayevumilia mpaka mwisho, mtu huyo ataokoka.
(Mtachukiwa na kila mtu kwa sababu ya jina langu. Lakini atakayevumilia mpaka mwisho, mtu huyo ataokoka.
14 Mtakapoona chukizo la uharibifu limesimama pale lisipotakiwa kusimama (asomaye na afahamu), ndipo walioko ndani ya Yuda wakimbilie milimani,
Vumlolile uluvipolwa vuvivi lweimile pala apasapi nogiwa ukhumwema(uvikhweimba na alumanye), pu avavali nugati mwa Yuda vanyilelanga khufiamba,
15 naye aliyeko juu ya nyumba asishuke chini ya nyumba, au kuchukua chochote kilichoko nje,
Nu vialei khukianya khu nyumba, ikhage pasi pa nyumba, ewo khutola kyukyoni ei khele khunji,
16 na aliyeko shambani asirudi kuchukua vazi lake.
Nu vialei khukhialo asite ukhuvaya khulola eimlenda gwa mwene.
17 Lakini ole wao wanawake wenye mimba na wanyonyeshao katika siku hizo!
Lwa vene avadala avanya vinchitu navi khwosya isikhu incho!
18 Ombeni kwamba isitokee wakati wa baridi.
Mudovage ukhuta yeisite ukhuhumila usikhe gwa mepu.
19 Kwani patakuwa na mateso makubwa, ambayo hayajawahi kutokea, tangu Mungu alipoumba ulimwengu, mpaka sasa, hapana, wala haitatokea tena.
Pakhuwa khuiva nei sida eimbaha eiyesayegele yeihumile, ukhuhuma Unguluve vuivumba eikheilunga, mpakha lino, sayegelile ukhuhumila na sayi ulesya ukhumila.
20 Mpaka Bwana atakapopunguza siku, hakuna mwili utakaookoka, lakini kwa ajili ya wateule, atakaowachagua, atapunguza namba za siku.
Impakha udaada vuapuungwisye isikhu, gusikhuli mbilei ufu vakhova gumii pona, pakhuva khunjila ya vagolofu, avayakhiva ikhuva hala, ipungusya inamba ocha sikhu.
21 Wakati huo kama mtu yeyote atawaambia, Tazama, Kristo yuko hapa!' au 'Tazama, yuko pale!' msiamini.
Usikheli ugwa unga umunu ukhuvavula, ukhuta, u Yesu Kristi alei khunu! Awo alei apa!' msite ukhwudikha.
22 Kwani Wakristo wa uongo na manabii wa uongo watatokea na watatoa ishara na maajabu, ili kwamba, wawadanganye, yamkini hata wateule.
Pakhuva ava Kristi avavudesi navanyamalago avavudesi vihumila na vihumiaga ifihwani, ni fisaugo puvavasiove hate avagalola.
23 Iweni macho! Nimekwisha wambia haya yote kabla ya wakati.
Muve miho! Nei vavalile aga goni vu badu akhasikhe.
24 Lakini baada ya mateso ya siku hizo, jua litatiwa giza, mwezi hautatoa mwanga wake,
Ulwakhuva vayihumila eitasu va sikhu icho, eilinchuva liva hisi, umulenchi saguu humwa ulumuli lwa lwene,
25 nyota zitaanguka kutoka angani, na nguvu zilizoko mbinguni zitatikisika.
Inondwe nchiigwa ukhuhuma khuuki anya namakha agali khukianya gisiekhanikha.
26 Ndipo watakapomwona Mwana wa Adamu akija mawinguni kwa nguvu kubwa na utukufu.
Puvikhombona umwana va Adamu vuikhuincha, mumavingo khuu makha mingi nuvu dwadwa.
27 Ndipo atatuma malaika zake na atawakusanya pamoja wateule wake kutoka pande kuu nne za dunia, kutoka mwisho wa dunia mpaka mwisho wa mbingu.
Pu isuha avasuhwa va mwene ukhuvalunga manwa pu paninei avagolofu va mwene uvupande vune wa khilunga, ukhuhuma khumwi syo wa gwa khulunga mpakha umwisyo gwa khukianya.
28 Kwa mtini jifunzeni. Kama tawi liwezavyo kutoa na kuweka haraka majani yake, ndipo mtajua kwamba kiangazi kiko karibu.
Khubikheli mumanyilage ubukha vusaguwesya ukhu vikha amaswalinkhei mbeivi pu mukhulumanya ukhuta eikhei nchuva kheifikhe.
29 Ndivyo ilivyo, mtakapoona mambo haya yakitokea, jueni kwamba yuko karibu, na malango.
vuyueiwo, vumivona imbombo inchii nchihumila mulumanye ukhuta alipipi nuundiango.
30 Kweli, nawambieni, hiki kizazi hakitapita mbali kabla mambo haya hayajatokea.
Luleli, nikhuvavula, ukhuta eikheivumbukho akhei sakhuluta khutali vu imbombo nchii sanchii humile.
31 Mbingu na nchi zitapita, lakini maneno yangu hayatapita kamwe.
Khukianya na pasi filuta, lakhini amamenyu gango safiluta lusikhu.
32 Lakini kuhusu siku hiyo au saa, hakuna ajuaye, hata malaika wa mbinguni, wala Mwana, ila Baba.
Pakhuva eisikhu nelinchova na khasikhei asipali uviakhamanyile navavasuhwa vakhukianya nayu mwana, ila udaada.
33 Iweni macho, Tazama, kwa sababu hamjui ni muda gani yatatokea. (Zingatia: Mstari huu, “Muwe waangalifu, Tazameni na ombeni kwa sababu...” haumo kwenye nakala za kale).
Mave miho, lola, samulumanyile isikhei mukhii gi humile. (Zingatia: Mstari huu, “Muwe waangalifu, Tazameni na ombeni kwa sababu...” haumo kwenye nakala za kale).
34 Ni kama mtu anayeenda safarini: akaacha nyumba yake, na kumweka mtumwa wake kuwa mtawala wa nyumba, kila mmoja na kazi yake. Na kumwamuru mlinzi kukaa macho.
Muve miho lolaga nu khudova pakhuva: yilii ndumunu uvei isafili ikhuyilekha enyamba ya mwene nukhumbikho umbombi va mwene ukhuva undoleli va nyumba, khula munu ne mbombo ya mwene. Nukhumbula undindilenchi ukhutama miho.
35 Kwa hiyo iweni macho! Kwani hamjui ni lini bwana wa nyumba atakaporudi nyumbani, yawezekana ni jioni, usiku wa manane, wakati jogoo atakapowika, au asubuhi.
Muve miho! Pakhuva samlumanyile ndeli umbaha vanyumba ivuya muvomba, yiwesekhana lyakheimihe, pakilo pagati usikhei elikongove vulivikha eulo vukilo.
36 Kama akija ghafla, asikukute umelala.
Eingave ikhwincha khunjila ya khukenyemula, asite ukhukhuvona ugonelile.
37 Kile nikisemacho kwako nakisema kwa kila mtu: Kesheni”!
Kheila eikhei ninchova khuliuve ninchova khwu khila munu: muve miho”!

< Marko 13 >