< Marko 13 >

1 Yesu alipokuwa akitembea kutoka hekaluni, mmoja wa wanafunzi wake akamwuliza, “Mwalimu, tazama mawe haya yakushangaza na majengo!”
Uganiya sa Yesu ma suri udenge Asere ure unu tarsa umeme ma gu ma”unu dungara.
2 Akamwambia, Unaona majengo haya makubwa? Hakuna hata jiwe moja litakalo salia juu ya jingine ambalo halitaangushwa chini”.
ira a poo nan ti kura ti riri ti geme”. Yesu ma iki me ma gu ira ti kura ti riri ti geme ada ceke me iri imum ba.
3 Naye alipokuwa amekaa juu ya Mlima wa Mizeituni nyuma ya hekalu, Petro, Yakobo, Yohana na Andrea wakamwuliza kwa siri,
Ma iki Asere uzalang uzaitun upuri udenge Asere ba yakubu, yohana nan Andrawus wa eh wa kem me, wa iki me ni hunzi.
4 “Tuambie, mambo haya yatakuwa lini? Ni nini dalili ya mambo haya kutokea?”
Ma iki unu maya uni imum i geme idi eh? wadi wu aneni wa rusi?
5 Yesu alianza kuwaambia, “Kuweni makini kwamba mtu yoyote asiwapotoshe.
Yesu ma kabirka we magu”cukuno ni unu rusa kati arangi shi.
6 Wengi watakuja kwa jina langu wakisema, 'Mimi ndiye', na watawapotosha wengi.
Aye wadi eh anyimo ani za num, wadi wadi rangizi aye wa hunne me unna.
7 Mtakaposikia vita na tetesi za vita, msiogope; mambo haya hayana budi kutokea, lakini mwisho bado.
Ma guu ingi ya kunna abanga ani kono kati i basa ba, daki yamu ira imum ba imum i dadang i eze a dumo.
8 Taifa litainuka kinyume na taifa jingine, na ufalme kinyume na ufalme. Patakuwa na matetemeko sehemu mbalimbali, na njaa. Huu ni mwanzo wa utungu.
Ni henu ni di game ni henu ni lem ni di game ni lem idi kunna abanga uzuro adizi a ti hira sas, sas, adi wuzi ikomo. Ituba ijasi ya zigino me.
9 Iweni macho. Watawapeleka hadi mabarazani, na mtapingwa katika masinagogi. Mtasimamishwa mbele ya watawala na wafalme kwa ajili yangu, kama ushuhuda kwao.
Cukuno ni unu rusa, wadi han shi aje a gomo, adi tirzi shi anyimo ati denge tini gura ahan shi aje ananu ama nyanga nan na agomo adang une barki niza nim, idi cukuno imum kunna a hira awe me.
10 Lakini injili lazima kwanza ihubiriwe kwa mataifa yote.
Ti mum ti ginome ti da karti tize ti ugomo Asere u re aje ba, tize ti ugomo Asere at une.
11 Watakapo wakamata na kuwakabidhi, msiogope kuhusu kile mtakachosema. Ndani ya muda huo, mtapewa nini cha kusema; hamtakuwa ninyi mtakaoongea, bali Roho Mtakatifu.
Inki wa meki shi wa hanan aje ati gomo kati igizo imum me sa idi buki ba, anyimo. uganiya me, daki shi wa ni idi buki tize ba, Ugomo Asere ma di nya shi imum be sa idi. buki.
12 Ndugu atamshitaki ndugu kuuawa, baba na mtoto wake. Watoto watasimama kinyume cha baba zao na kuwasababisha kuuawa.
uhenu ma di nyari uhenu a hume, aco madi nya vanna u meme. Ahanna wadi game an de sa wa yoo we wadi nyari una sa adi huu anu yoo uweme.
13 Mtachukiwa na kila mtu kwa sababu ya jina langu. Lakini atakayevumilia mpaka mwisho, mtu huyo ataokoka.
Vat anu wadi game shi barki niza num. Desa ma tonno inikara barki mi, madi kem. uvenke.
14 Mtakapoona chukizo la uharibifu limesimama pale lisipotakiwa kusimama (asomaye na afahamu), ndipo walioko ndani ya Yuda wakimbilie milimani,
Inki ya ira ti mum ti ma dini ti zezen ati hira sa daki ya wunu ri ti cukuno nin ca unu poko aje marusi nan ande sa wa ra u yahudiya wa sumi uhana ahira zalan.
15 naye aliyeko juu ya nyumba asishuke chini ya nyumba, au kuchukua chochote kilichoko nje,
Desa ma tari asesere udenge kati ma tu ba, nani ma ziki iri mum a nyimo me.
16 na aliyeko shambani asirudi kuchukua vazi lake.
Kati desa mamu hana uruu magu madi ze ma ziki ugeptu uimpino ba.
17 Lakini ole wao wanawake wenye mimba na wanyonyeshao katika siku hizo!
Idi cukuno imum ugogoni ahira a desa wadi inta tipuru tu yoo nani a hana aneze nyimo tiye ti gino me.
18 Ombeni kwamba isitokee wakati wa baridi.
Wuzani biringara kati imum me i kem in nikuzi.
19 Kwani patakuwa na mateso makubwa, ambayo hayajawahi kutokea, tangu Mungu alipoumba ulimwengu, mpaka sasa, hapana, wala haitatokea tena.
Adi kunna ijasi igeme sa a mu kunna ba, adi iri imum me sa da mu ira usasana u ini ba.
20 Mpaka Bwana atakapopunguza siku, hakuna mwili utakaookoka, lakini kwa ajili ya wateule, atakaowachagua, atapunguza namba za siku.
Sarki Ugomo Asere ma kaska tiye ti inoma ba, inu ma bari uvenke ba, barki andesa azauka we madi kaska tiye ti gino me.
21 Wakati huo kama mtu yeyote atawaambia, Tazama, Kristo yuko hapa!' au 'Tazama, yuko pale!' msiamini.
In ki uye ma ranga shi ma ira Ugomo Asere aba, nani abini kati i hem ba.
22 Kwani Wakristo wa uongo na manabii wa uongo watatokea na watatoa ishara na maajabu, ili kwamba, wawadanganye, yamkini hata wateule.
Atiye ti gino me agomo ama cico nan anu rusa utize ta sere amacico wadi suri wa bezi shi tire ti mumum bati wa rangizi shi vat nan de sa ma zauka we.
23 Iweni macho! Nimekwisha wambia haya yote kabla ya wakati.
Cukuno nin unu rusa ma buka shi.
24 Lakini baada ya mateso ya siku hizo, jua litatiwa giza, mwezi hautatoa mwanga wake,
Inki tiye ti jasi ti gino me ta aka uwuyi udi game usuro, upeu udi game u nya u ma saa.
25 nyota zitaanguka kutoka angani, na nguvu zilizoko mbinguni zitatikisika.
Iwira idi rizizi asesere, adi zuruko une ini kara nu Ugomo Asere.
26 Ndipo watakapomwona Mwana wa Adamu akija mawinguni kwa nguvu kubwa na utukufu.
Abini adi. iri vana Ugomo Asere madi eh anyimo ati wiri anyimo ani kara nan ni nonzo ni meme.
27 Ndipo atatuma malaika zake na atawakusanya pamoja wateule wake kutoka pande kuu nne za dunia, kutoka mwisho wa dunia mpaka mwisho wa mbingu.
Abini madi ku tuma ahana akadura ka meme madi ori an desa mazauka we vat atikira tu nee na na asesere nan na asesere nan nadizi.
28 Kwa mtini jifunzeni. Kama tawi liwezavyo kutoa na kuweka haraka majani yake, ndipo mtajua kwamba kiangazi kiko karibu.
Tinka ni iri mum. ahira utiti upom. Inki wa. Kponko ma wa ma. uni urusi ni kuzi na biki urizo.
29 Ndivyo ilivyo, mtakapoona mambo haya yakitokea, jueni kwamba yuko karibu, na malango.
Ane ani. Inki ya ira ti mum ti geme ta aye irusi Ugomo Asere mabiki uzee.
30 Kweli, nawambieni, hiki kizazi hakitapita mbali kabla mambo haya hayajatokea.
Ma buka shi ucara ugeme udi aki me sarki u ira uti mumum ti geme.
31 Mbingu na nchi zitapita, lakini maneno yangu hayatapita kamwe.
Asesere nan adizi wadi mari, tize tum ti da mara me ba.
32 Lakini kuhusu siku hiyo au saa, hakuna ajuaye, hata malaika wa mbinguni, wala Mwana, ila Baba.
Abanga uwuyi nan uganiya uge me uye mada rusa me ba, nani ahana akadura ka meme, nan vana Ugomo Asere, aco me mani marusa unu ganiya ma.
33 Iweni macho, Tazama, kwa sababu hamjui ni muda gani yatatokea. (Zingatia: Mstari huu, “Muwe waangalifu, Tazameni na ombeni kwa sababu...” haumo kwenye nakala za kale).
Cukuno ni a nyimo u rusa, kati iperke ba, ida rusa uganiya sa madi eh ba.
34 Ni kama mtu anayeenda safarini: akaacha nyumba yake, na kumweka mtumwa wake kuwa mtawala wa nyumba, kila mmoja na kazi yake. Na kumwamuru mlinzi kukaa macho.
Ya cukuno gusi unakura mani sa ma nyari wuza tanu bama dusa ma nya urere umeme utarsa ina kura, ma hari we katuma koda vi in kame. Ba dusa magun unu nu hira akura me na cukuno sarki ugbiso.
35 Kwa hiyo iweni macho! Kwani hamjui ni lini bwana wa nyumba atakaporudi nyumbani, yawezekana ni jioni, usiku wa manane, wakati jogoo atakapowika, au asubuhi.
Barki an me cukuni unu be, barki ida rusa uwuyi me sa acoo akura me madi ze ba, nani madi ze unu wunjoro uni, nan ina ti aniye, uganiya sa bigoro bidi zin unu runzo.
36 Kama akija ghafla, asikukute umelala.
in ki ma aye sarki urusa u we me kati mukurka we.
37 Kile nikisemacho kwako nakisema kwa kila mtu: Kesheni”!
Imum sa ma buka shi, mabuka koda vi! cukunoni unu rusa.

< Marko 13 >