< Marko 13 >

1 Yesu alipokuwa akitembea kutoka hekaluni, mmoja wa wanafunzi wake akamwuliza, “Mwalimu, tazama mawe haya yakushangaza na majengo!”
uYesu nai wakatula ukugenda kupuma mi itekeelo, ung'wi nua amanysigwa akwe akamukolya, “Ng'walimu, goza i magwe aya ni aku kuilwa ni mazumba!”
2 Akamwambia, Unaona majengo haya makubwa? Hakuna hata jiwe moja litakalo salia juu ya jingine ambalo halitaangushwa chini”.
Akamutambuila, Ukihenga i mazumba aya ni makulu? Kutili ga nigwe ni ling'wi nilika sagiila migulya a lingiiza ni shanga aza likugwa pihi.”
3 Naye alipokuwa amekaa juu ya Mlima wa Mizeituni nyuma ya hekalu, Petro, Yakobo, Yohana na Andrea wakamwuliza kwa siri,
Nu ng'wenso nai wakatula wikie migulya a lugulu nula mizeituni kituli ki itekeelo, uPetro, Yakobo, Yohana nu Andrea akamukolya ku kinkunku.
4 “Tuambie, mambo haya yatakuwa lini? Ni nini dalili ya mambo haya kutokea?”
“Kuile, i makani aya akutula nali? Ingi ntuni i kilingasiilyo nika makani aya kupumila?”
5 Yesu alianza kuwaambia, “Kuweni makini kwamba mtu yoyote asiwapotoshe.
uYsu ai wandilye kuatambuila, “Tuli miakendegeeli kina mntu wihi waleke kumulimilya.
6 Wengi watakuja kwa jina langu wakisema, 'Mimi ndiye', na watawapotosha wengi.
Idu ikapembya ku lina nilane azeligitya 'Unene ng'wenso,' hangi akualimilya idu.
7 Mtakaposikia vita na tetesi za vita, msiogope; mambo haya hayana budi kutokea, lakini mwisho bado.
Ni mikija ulugu nu pwepwe nua uligu, leki kitumbi; makani aya atakiwe kupumila, kuiti i mpelo ikili.
8 Taifa litainuka kinyume na taifa jingine, na ufalme kinyume na ufalme. Patakuwa na matetemeko sehemu mbalimbali, na njaa. Huu ni mwanzo wa utungu.
Ihi likunyansuka kikua ni ihi lingiiza, nu utemi nsuta nu utemi. Yikatula ni matetemeko nkika nia kuli ni kuli, hangi nzala. Uwu ingi ng'wandyo nua uwai.
9 Iweni macho. Watawapeleka hadi mabarazani, na mtapingwa katika masinagogi. Mtasimamishwa mbele ya watawala na wafalme kwa ajili yangu, kama ushuhuda kwao.
Tuli miho. Akumutwala kupikiila mu maanza, hagi mukukuwa mu matekeelo. Mukimikigwa ntongeela a ahumi ni atemi ku nsoko ane, anga ukuiili kitalao.
10 Lakini injili lazima kwanza ihubiriwe kwa mataifa yote.
Kuiti i nkani ninza kusinja hanza itanantigwe ku anyaingu ihi.
11 Watakapo wakamata na kuwakabidhi, msiogope kuhusu kile mtakachosema. Ndani ya muda huo, mtapewa nini cha kusema; hamtakuwa ninyi mtakaoongea, bali Roho Mtakatifu.
Ni ikatula amuamba nu kuinkiilya, leki kitumbi kutula iko nimukaligitya. Mukati itungo nilanso, mukinkiiligwa ntuni nika kuligitya; shanga mikatula nyenye ni mikaligitya, ila Ng'wau Ng'welu.
12 Ndugu atamshitaki ndugu kuuawa, baba na mtoto wake. Watoto watasimama kinyume cha baba zao na kuwasababisha kuuawa.
Munyandugu ukumusemela u muluna kubulagwa, u tata nu ng'wana nuakwe. iAna akimika nsuta a atata ao hangi kuasasha kubulagwa.
13 Mtachukiwa na kila mtu kwa sababu ya jina langu. Lakini atakayevumilia mpaka mwisho, mtu huyo ataokoka.
Mukutakiilwa ni kila u muntu ku nsoko a lina nilane. Kuiti nuikagimya kupikiila i mpelo, muntu nuanso ukugunika.
14 Mtakapoona chukizo la uharibifu limesimama pale lisipotakiwa kusimama (asomaye na afahamu), ndipo walioko ndani ya Yuda wakimbilie milimani,
Ni mikihenga utaki nua ubipigwa wimikile pang'wanso ni shanga utakiwe kimika (nukusoma nua linge), papo niamoli mu Yuda amankiile mu malugulu,
15 naye aliyeko juu ya nyumba asishuke chini ya nyumba, au kuchukua chochote kilichoko nje,
nu ng'wenso nukoli migulya i ito nualeke kusima pihi ito, ang'wi kuhola kihi nikikoli kunzi,
16 na aliyeko shambani asirudi kuchukua vazi lake.
hangi nukoli mu mugunda waleke kusuka kuhola u ng'wenda nuakwe.
17 Lakini ole wao wanawake wenye mimba na wanyonyeshao katika siku hizo!
Kuiti ukia awo i asungu niakete inda nawa niakonsha mu mahiku nanso!
18 Ombeni kwamba isitokee wakati wa baridi.
Lompi kina ileke kupumila itungo nila ulyuuku.
19 Kwani patakuwa na mateso makubwa, ambayo hayajawahi kutokea, tangu Mungu alipoumba ulimwengu, mpaka sasa, hapana, wala haitatokea tena.
Kuiti yikatula nu lwago lukulu, naiza lukilikaya kupumila, puma Itunda nai u umbile u unkumbigulu, kupikiila itungili, ishi, ang'wi shanga ikapumila hangi.
20 Mpaka Bwana atakapopunguza siku, hakuna mwili utakaookoka, lakini kwa ajili ya wateule, atakaowachagua, atapunguza namba za siku.
Kupikiila u Mukulu nuikakepya i mahiku. Kutili u muili nuikagunika, kuiti ku nsoko a asagulwa, nuika asagula, wikakepya i namba nia mahiku.
21 Wakati huo kama mtu yeyote atawaambia, Tazama, Kristo yuko hapa!' au 'Tazama, yuko pale!' msiamini.
Matungo nanso anga ize muntu wihi wika mutambuila, 'Goza, uKristo ukoli apa!' ang'wi 'Goza, ukoli apo!' leki kuhuiili.
22 Kwani Wakristo wa uongo na manabii wa uongo watatokea na watatoa ishara na maajabu, ili kwamba, wawadanganye, yamkini hata wateule.
Kuiti iAkristo nia uteele ni anyakidagu nia uteele akupumila hangi akupumya ilingasiilyo nu ukuilwa, iti kina, amukongele, nsigile ga ni asagulwa.
23 Iweni macho! Nimekwisha wambia haya yote kabla ya wakati.
Tuli miho! Nakondyaa mutambuila aya ze akili i matungo.
24 Lakini baada ya mateso ya siku hizo, jua litatiwa giza, mwezi hautatoa mwanga wake,
Kuiyi ze yakilaa u lwago nula mahiku nanso, i lyoa likuikilwa kiti, u ng'weli shanga ukupumya u welu nuakwe,
25 nyota zitaanguka kutoka angani, na nguvu zilizoko mbinguni zitatikisika.
i nzota yukugwa kupuma kilunde, ni ingulu ni ikoli kilunde yukuhingiika.
26 Ndipo watakapomwona Mwana wa Adamu akija mawinguni kwa nguvu kubwa na utukufu.
Papo ni ikamihenga u Ng'wana wang'wa Adamu upembilye mu malunde ku ngulu nkulu ni ikulyo.
27 Ndipo atatuma malaika zake na atawakusanya pamoja wateule wake kutoka pande kuu nne za dunia, kutoka mwisho wa dunia mpaka mwisho wa mbingu.
Papo ukulagiilya i amalaika akwe hagi ukuilingiila palung'wi i asagulwa akwe kupuma nkika inne ni yihi, kupuma i mpelo nui ihi kupikiila i mpelo ilunde.
28 Kwa mtini jifunzeni. Kama tawi liwezavyo kutoa na kuweka haraka majani yake, ndipo mtajua kwamba kiangazi kiko karibu.
Ku mutini imanyisi. Anga itambi nili humile kupumya nu kuika u ukende mu matutu akwe, papo mukulinga kina i kipasu kikoli pakupi.
29 Ndivyo ilivyo, mtakapoona mambo haya yakitokea, jueni kwamba yuko karibu, na malango.
Uu gwa yili, nimikihenga i makani aya anga apumile, lingi kina ukoli pakupi, ni mimpita.
30 Kweli, nawambieni, hiki kizazi hakitapita mbali kabla mambo haya hayajatokea.
Tai, kumuili, uwu u ulelwa shanga ukukila kuli ze akili imakani aya kupumila.
31 Mbingu na nchi zitapita, lakini maneno yangu hayatapita kamwe.
Ilunde ni ihi yukukila, kuiti imakani ane shanga akukila lukulu. Kuiti kutula luhiku nulanso ang'wi saa,
32 Lakini kuhusu siku hiyo au saa, hakuna ajuaye, hata malaika wa mbinguni, wala Mwana, ila Baba.
kutili nulingile, ga nia malaika nia kilunde, ang'wi Ng'wana, ila Tata.
33 Iweni macho, Tazama, kwa sababu hamjui ni muda gani yatatokea. (Zingatia: Mstari huu, “Muwe waangalifu, Tazameni na ombeni kwa sababu...” haumo kwenye nakala za kale).
Tuli miho, Gozi, ku nsoko shanga mulingile ingi itungo kii akupumila. (Komaniilya; U lukiili ulu, “Mutule miakendegeeli, Gozeeli hangi lompi ku nsoko .....” umutili mu mbugulu nia kali).
34 Ni kama mtu anayeenda safarini: akaacha nyumba yake, na kumweka mtumwa wake kuwa mtawala wa nyumba, kila mmoja na kazi yake. Na kumwamuru mlinzi kukaa macho.
Ingi anga umuntu nulongoe muhinzo; wakaleka ito nilakwe, nu kumuika u mutuung'wa nuakwe kutula muhumi nu ito, kila ung'wi nu mulimo nuakwe. Nu kumulagiilya u musunja kikie miho.
35 Kwa hiyo iweni macho! Kwani hamjui ni lini bwana wa nyumba atakaporudi nyumbani, yawezekana ni jioni, usiku wa manane, wakati jogoo atakapowika, au asubuhi.
Ku lulo tuli miho! Kuiti shanga mulingile ingi nali u mukulu nu ito nuikagomoka ki ito, ihumikile ingi mpindi, utiku nuigingu, itungo nila nsambaligugu ni ikakunkula, ang'wi kidau dau.
36 Kama akija ghafla, asikukute umelala.
Anga waze kupumpugiilya, waleke kuhanga ulae.
37 Kile nikisemacho kwako nakisema kwa kila mtu: Kesheni”!
Iko ni kukiligitya ku kila u muntu; Huguki!”

< Marko 13 >