< Marko 13 >

1 Yesu alipokuwa akitembea kutoka hekaluni, mmoja wa wanafunzi wake akamwuliza, “Mwalimu, tazama mawe haya yakushangaza na majengo!”
ᎦᏄᎪᎮᏃ ᎤᏛᏅ-ᏗᎦᎳᏫᎢᏍᏗᏱ, ᎠᏏᏴᏫ ᎾᏍᎩ ᎬᏩᏍᏓᏩᏗᏙᎯ ᎯᎠ ᏄᏪᏎᎴᎢ, ᏔᏕᏲᎲᏍᎩ, ᎬᏂᏳᏉ Ꮎ ᏂᏕᎤᏍᏗ ᏅᏯ ᎠᎴ ᏂᏕᎤᏍᏗ ᏓᏓᏁ-ᎸᎢ?
2 Akamwambia, Unaona majengo haya makubwa? Hakuna hata jiwe moja litakalo salia juu ya jingine ambalo halitaangushwa chini”.
ᏥᏌᏃ ᎤᏁᏨ ᎯᎠ ᏄᏪᏎᎴᎢ, ᏕᎯᎪᏩᏗᏍᎪ ᎯᎠ ᎾᏍᎩ ᏤᏆ ᏓᏓᏁᎸᎢ? ᎥᏝ ᏌᏉ ᏅᏯ ᎧᏃᎯᏴᎯ ᏱᎨᏎᏍᏗ ᏱᏚᏓᏌᏝᎮᏍᏗ, ᎾᏍᎩ ᏂᎪᎲᏔᏅᎾ ᏱᎨᏎᏍᏗ.
3 Naye alipokuwa amekaa juu ya Mlima wa Mizeituni nyuma ya hekalu, Petro, Yakobo, Yohana na Andrea wakamwuliza kwa siri,
ᎣᎵᏩᏲᏃ ᎤᏌᎯᎸ ᎤᏬᎸᎢ, ᎤᏛᏅᏗᎦᎳᏫᎢᏍᏗᏱ ᎠᏓᏁᎸ ᏧᏳᎪᏗ, ᏈᏓ, ᎠᎴ ᏥᎻ, ᎠᎴ ᏣᏂ, ᎠᎴ ᎡᏂᏗ, ᎤᏅᏒ ᎨᏒ ᎬᏩᏛᏛᏁᎢ, ᎯᎠ ᏄᏂᏪᏎᎢ,
4 “Tuambie, mambo haya yatakuwa lini? Ni nini dalili ya mambo haya kutokea?”
ᏍᎩᏃᎲᏏ, ᎢᎳᎩᏳ ᎾᏍᎩ ᎯᎠ ᏅᏓᎦᎵᏍᏔᏂ? ᎠᎴ ᎦᏙ ᎤᏰᎸᏛ ᎨᏎᏍᏗ ᎾᎯᏳ ᎯᎠ ᎾᏍᎩ ᏂᎦᏛ ᎤᎵᏰᎢᎶᎯᏍᏗ ᎨᏒᎢ?
5 Yesu alianza kuwaambia, “Kuweni makini kwamba mtu yoyote asiwapotoshe.
ᏥᏌᏃ ᏚᏁᏤᎸ, ᎤᎴᏅᎮ ᎯᎠ ᏄᏪᏎᎢ, ᎢᏤᏯᏔᎮᏍᏗ, ᏞᏍᏗ ᎩᎶ ᏥᏥᎶᏄᎮᎵ.
6 Wengi watakuja kwa jina langu wakisema, 'Mimi ndiye', na watawapotosha wengi.
ᎤᏂᏣᏖᏍᏗᏰᏃ ᎠᏴ ᏓᏆᏙᏍᏛ ᎠᏂᎷᎯᏍᏗᏍᎨᏍᏗ, ᎯᎠ ᎾᏂᏪᏍᎨᏍᏗ, ᎠᏴ ᎾᏍᎩ; ᎠᎴ ᎤᏂᏣᏖᏍᏗ ᏓᏂᎶᏄᎮᏍᎨᏍᏗ.
7 Mtakaposikia vita na tetesi za vita, msiogope; mambo haya hayana budi kutokea, lakini mwisho bado.
ᎢᏣᏛᎩᏍᎨᏍᏗᏃ ᏓᏅᏩ, ᎠᎴ ᎠᏂᏃᎮᎵᏙᎲ ᏓᏅᏩ, ᏞᏍᏗ ᏱᏣᏕᏯᏔᏁᎮᏍᏗ; ᎾᏍᎩᏰᏃ ᎠᏎ ᎢᏳᎵᏍᏙᏗ; ᎤᎵᏍᏆᏗᏍᏗᏱᏍᎩᏂ ᎨᏒ ᎠᏏ ᎨᏎᏍᏗ.
8 Taifa litainuka kinyume na taifa jingine, na ufalme kinyume na ufalme. Patakuwa na matetemeko sehemu mbalimbali, na njaa. Huu ni mwanzo wa utungu.
ᏧᎾᏓᎴᏛᏰᏃ ᏴᏫ ᏙᏛᎾᎴᏂ ᏙᏛᎾᏓᏡᏔᏂ, ᎠᎴ ᎠᏰᎵ ᏕᎪᏢᏩᏗᏒ ᏙᏛᎾᏓᏡᏔᏂ; ᎠᎴ ᎦᏙᎯ ᏓᎵᏖᎸᏂᏙᎮᏍᏗ, ᎠᎴ ᏓᎪᏄᎶᏏᏙᎮᏍᏗ ᎠᎴ ᎤᏕᏯᏙᏗ ᏂᎦᎵᏍᏔᏂᏙᎮᏍᏗ; ᎯᎠ ᎾᏍᎩ ᎠᏓᎴᏂᏍᎬ ᎠᎩᎵᏯ.
9 Iweni macho. Watawapeleka hadi mabarazani, na mtapingwa katika masinagogi. Mtasimamishwa mbele ya watawala na wafalme kwa ajili yangu, kama ushuhuda kwao.
ᎠᏗᎾ ᎢᏤᏯᏔᎮᏍᏗ; ᏓᏂᎳᏫᎥᏰᏃ ᏕᎨᏥᏲᏍᎨᏍᏗ; ᏧᏂᏔᏫᎢᏍᏗᏱᏃ ᏕᏥᎵᎥᏂᎮᏍᏗ; ᎠᎴ ᏄᏂᎬᏫᏳᏌᏕᎩ ᎠᎴ ᎤᏂᎬᏫᏳᎯ ᎠᏂᏅ ᏤᏣᏖᏃᎯᏍᏗ ᎨᏎᏍᏗ ᎠᏴ ᎨᏒ ᏅᏗᎦᎵᏍᏙᏗᏍᎨᏍᏗ, ᎾᏍᎩ ᎪᎯᏳᏗᏍᎩ ᏧᏂᎦᏘᎴᎩ.
10 Lakini injili lazima kwanza ihubiriwe kwa mataifa yote.
ᎣᏍᏛᏃ ᎧᏃᎮᏛ ᎢᎬᏱ ᏂᎬᎾᏛ ᏧᏁᏩᏗᏒ ᏴᏫ ᎠᎵᏥᏙᏗ ᎨᏎᏍᏗ.
11 Watakapo wakamata na kuwakabidhi, msiogope kuhusu kile mtakachosema. Ndani ya muda huo, mtapewa nini cha kusema; hamtakuwa ninyi mtakaoongea, bali Roho Mtakatifu.
ᎠᎴ ᎿᎭᏉ ᏕᏣᏘᏁᎨᏍᏗ, ᎠᎴ ᏕᏥᏲᏍᎨᏍᏗ, ᏞᏍᏗ ᎢᎬᏱ ᎦᏰᎯ ᏱᏤᎵᎯᏍᎨᏍᏗ ᎢᏥᏪᏍᏗᏱ ᎢᏥᏁᎢᏍᏗᏱ, ᎠᎴ ᏞᏍᏗ ᎢᎬᏱ ᎦᏰᎯ ᏱᏣᏓᏅᏖᏍᎨᏍᏗ; ᏄᏍᏛᏍᎩᏂ ᏫᎯᏳ ᎨᏒ ᎡᏥᏁᎸ ᎾᏍᎩ ᎢᏥᏁᎨᏍᏗ; ᎥᏝᏰᏃ ᏂᎯ ᏱᏣᏁᎪᎢ, ᎦᎸᏉᏗᏳᏍᎩᏂ ᎠᏓᏅᏙ.
12 Ndugu atamshitaki ndugu kuuawa, baba na mtoto wake. Watoto watasimama kinyume cha baba zao na kuwasababisha kuuawa.
ᎠᎾᎵᏅᏟᏃ ᏚᏲᏍᎨᏍᏗ ᎠᎾᎵᏅᏟ ᎤᏲᎱᎯᎯᏍᏗᏱ; ᎠᏍᎦᏯᏃ ᎤᏪᏥ ᏚᏲᏍᎨᏍᏗ; ᎠᎴ ᏗᎨᎦᏅᎩ ᏓᎾᎴᎲᏍᎨᏍᏗ ᏧᏂᎦᏴᎵᎨ ᏓᎾᏡᏗᏍᎨᏍᏗ, ᎠᎴ ᎾᏍᎩ ᎾᏅᏂᏏᏍᎨᏍᏗ ᏕᎨᏥᎢᎮᏍᏗ.
13 Mtachukiwa na kila mtu kwa sababu ya jina langu. Lakini atakayevumilia mpaka mwisho, mtu huyo ataokoka.
ᎠᎴ ᏂᎦᏗᏳ ᏴᏫ ᎨᏥᏍᎦᎩ ᎨᏎᏍᏗ ᎠᏴ ᏧᏆᏙᎥ ᏅᏗᎦᎵᏍᏙᏗᏍᎨᏍᏗ; ᎩᎶᏍᎩᏂ ᎬᎵᏍᏆᏗᏍᎩ ᏗᎧᎿᎭᏩᏕᎩ, ᎾᏍᎩ ᎠᏥᏍᏕᎸᏗ ᎨᏎᏍᏗ.
14 Mtakapoona chukizo la uharibifu limesimama pale lisipotakiwa kusimama (asomaye na afahamu), ndipo walioko ndani ya Yuda wakimbilie milimani,
ᎢᏥᎪᏩᏘᏍᎨᏍᏗᏍᎩᏂ ᎤᏍᎦᎢᏍᏗ ᎠᏛᏗᏍᎩ ᏕᏂᎵ ᎠᏙᎴᎰᏍᎩ ᎤᏁᎢᏍᏔᏅᎯ, ᎦᏙᎨᏍᏗ ᎾᎿᎭᎬᏩᎴᏗ ᏂᎨᏒᎾ, ( ᎩᎶ ᎠᎪᎵᏰᏍᎨᏍᏗ ᎪᎵᎨᏍᏗ, ) ᎿᎭᏉ ᏧᏗᏱ ᎠᏂᏂ ᎠᎾᎵᏒᎭ ᏙᏦᏓᎸ ᏩᏂᎶᏒᎭ.
15 naye aliyeko juu ya nyumba asishuke chini ya nyumba, au kuchukua chochote kilichoko nje,
ᎠᎴ ᎩᎶ ᎦᏌᎾᎵ ᎤᎩᎴᏍᏗ, ᏞᏍᏗ ᏴᏗᏠᎠᏍᎨᏍᏗ ᎠᏓᏁᎸ ᏫᏯᏴᎯᎮᏍᏗ, ᎠᎴ ᏞᏍᏗ ᎾᎿᎭᏫᏯᏴᎯᎮᏍᏗ ᏭᎩᏍᏗᏱ ᎪᎱᏍᏗ ᎤᎿᎭᎥ ᎦᏁᎸᎢ.
16 na aliyeko shambani asirudi kuchukua vazi lake.
ᎠᎴ ᎩᎶ ᏠᎨᏏ ᎡᏙᎯ ᏞᏍᏗ ᏴᏗᎤᏨᏎᏍᏗ ᎤᏄᏬ ᏳᏁᏐᎴᏍᏗ.
17 Lakini ole wao wanawake wenye mimba na wanyonyeshao katika siku hizo!
ᎠᎴ ᎤᏲᎢᏳ ᎢᏳᎾᎵᏍᏓᏁᏗ ᏗᏂᏁᎵᏛ, ᎠᎴ ᏧᏂᏍᏓᎢ ᎾᎯᏳ ᎨᏎᏍᏗ.
18 Ombeni kwamba isitokee wakati wa baridi.
ᎠᎴ ᎢᏣᏓᏙᎵᏍᏗᏍᎨᏍᏗ ᎢᏥᏔᏲᎯᎮᏍᏗ ᎪᎳ ᎢᏣᎵᏍᏗᏱ ᏂᎨᏒᎾ ᎢᏳᎵᏍᏙᏗᏱ.
19 Kwani patakuwa na mateso makubwa, ambayo hayajawahi kutokea, tangu Mungu alipoumba ulimwengu, mpaka sasa, hapana, wala haitatokea tena.
ᎾᎯᏳᏰᏃ ᎨᏎᏍᏗ ᎠᎩᎵᏯ ᎡᎮᏍᏗ, ᎾᏍᎩ ᎪᏢᏅᎢ ᎾᏍᎩ ᎤᏁᎳᏅᎯ ᏧᏬᏢᏁ ᏅᏓᎬᏩᏓᎴᏅᏛ ᎪᎯ ᎢᏯᏍᏗ ᎥᏝ ᎾᏍᎩ ᎢᏳᏍᏗ ᏳᏕᏃᎢ, ᎥᏝ ᎠᎴ ᎤᏕᏗ ᏱᎨᏎᏍᏗ.
20 Mpaka Bwana atakapopunguza siku, hakuna mwili utakaookoka, lakini kwa ajili ya wateule, atakaowachagua, atapunguza namba za siku.
ᎠᎴ ᎤᎬᏫᏳᎯ ᏂᏚᎪᎳᏛᎾ ᏱᎨᏎ ᎾᎯᏳ ᎢᎦ, ᎥᏝ ᎤᏇᏓᎵ ᏱᎦᏰᏥᏍᏕᎸᎮᎢ; ᎨᎦᏑᏰᏛᏍᎩᏂ ᏅᏗᎦᎵᏍᏙᏗᎭ, ᎾᏍᎩ ᏧᏑᏰᏛ ᎨᏒᎢ, ᎾᏍᎩ ᏚᎪᎳᏛ ᎾᎯᏳ ᎢᎦ.
21 Wakati huo kama mtu yeyote atawaambia, Tazama, Kristo yuko hapa!' au 'Tazama, yuko pale!' msiamini.
ᎿᎭᏉᏃ ᎢᏳ ᎩᎶ ᎯᎠ ᏂᏥᏪᏎᎸᎭ, ᎬᏂᏳᏉ ᎠᏂ ᎦᎶᏁᏛ; ᎠᎴ ᎬᏂᏳᏉ ᎾᎿᎭᏂ; ᏞᏍᏗ ᎢᏦᎢᏳᏅᎩ;
22 Kwani Wakristo wa uongo na manabii wa uongo watatokea na watatoa ishara na maajabu, ili kwamba, wawadanganye, yamkini hata wateule.
ᎦᎶᏁᏛᏰᏃ ᎤᎾᏤᎸᎯ ᎠᎴ ᎠᎾᏙᎴᎰᏍᎩ ᎤᎾᏤᎸᎯ ᏛᏂᎾᏄᎪᏥ, ᎠᎴ ᎠᏂᎾᏄᎪᏫᏍᎨᏍᏗ ᎤᏰᎸᏛ ᎠᎴ ᎤᏍᏆᏂᎪᏗ, ᎾᏍᎩ ᏧᏂᎶᏄᎮᏗᏱ, ᎢᏳᏃ ᏰᎵ ᏱᎩ, ᎾᏍᏉ ᎨᎦᏑᏰᏛ.
23 Iweni macho! Nimekwisha wambia haya yote kabla ya wakati.
ᏂᎯᏍᎩᏂ ᎢᏤᏯᏔᎮᏍᏗ; ᎬᏂᏳᏉ ᏂᎦᏛ ᏂᏨᏃᏁᎸ.
24 Lakini baada ya mateso ya siku hizo, jua litatiwa giza, mwezi hautatoa mwanga wake,
ᎾᎯᏳᏍᎩᏂ ᎨᏎᏍᏗ, ᎤᎶᏐᏁᏍᏗ ᎾᏍᎩ ᎠᎩᎵᏯ, ᏅᏙ ᎢᎦ ᎡᎯ ᏛᎵᏏᎲᏏ, ᎠᎴ ᏅᏙ ᏒᏃᏱ ᎡᎯ ᎥᏝ ᎢᎦ ᏳᏖᏍᏕᏗ;
25 nyota zitaanguka kutoka angani, na nguvu zilizoko mbinguni zitatikisika.
ᎠᎴ ᏃᏈᏏ ᎠᏂᎧᎸ ᎦᎸᎶᎢ ᎠᏂᏅᎪᎠᏍᎨᏍᏗ, ᎠᎴ ᎤᏂᏣᏖ ᎦᎸᎶ ᏣᏂᎧᎳ ᏛᎾᎵᏖᎸᏂ.
26 Ndipo watakapomwona Mwana wa Adamu akija mawinguni kwa nguvu kubwa na utukufu.
ᎿᎭᏉᏃ ᏛᏂᎪᎯ ᏴᏫ ᎤᏪᏥ ᏣᎢᏎᏍᏗ ᎤᎶᎩᎸᎢ, ᎤᏄᏬᏍᏕᏍᏗ ᎤᏣᏘ ᎤᎵᏂᎩᏗᏳ ᎨᏒ ᎠᎴ ᎦᎸᏉᏗᏳ ᎨᏒᎢ.
27 Ndipo atatuma malaika zake na atawakusanya pamoja wateule wake kutoka pande kuu nne za dunia, kutoka mwisho wa dunia mpaka mwisho wa mbingu.
ᎿᎭᏉᏃ ᏙᏓᎦᏅᏏ ᏧᏤᎵ ᏗᏂᎧᎿᎭᏩᏗᏙᎯ, ᎠᎴ ᏙᏓᎦᏟᏌᏂ ᎨᎦᏑᏰᏛ ᏧᏤᎵᎦ ᏫᏙᏛᏯᏅᎯ ᏅᎩ ᏂᏙᏗᎦᎶᏍᎬ ᎤᏃᎴ, ᎡᎶᎯ ᏭᎵᏍᏘᏂᎸ ᏅᏓᏳᏓᎴᏅᏛ ᎦᎸᎶᏃ ᏭᎵᏍᏘᏂᎸ ᏫᎦᎷᎩ.
28 Kwa mtini jifunzeni. Kama tawi liwezavyo kutoa na kuweka haraka majani yake, ndipo mtajua kwamba kiangazi kiko karibu.
ᎢᏣᏕᎶᏆᏃ ᏒᎦᏔ-ᎢᏳᏍᏗ ᏡᎬ ᏓᏟᎶᏍᏛᎢ; ᎤᏩᏂᎦᎸ ᎿᎭᏉ ᎤᏓᎨ ᏂᎦᎵᏍᏓ, ᎠᎴ ᏥᎦᎵᏍᏚᎲᏍᎪᎢ, ᎢᏥᎦᏔᎰ ᎪᎩ ᎾᎥᏂᏳ ᎨᏒᎢ;
29 Ndivyo ilivyo, mtakapoona mambo haya yakitokea, jueni kwamba yuko karibu, na malango.
ᎾᏍᎩᏯ ᎾᏍᏉ ᏂᎯ, ᎿᎭᏉ ᎢᏥᎪᏩᏘᏍᎨᏍᏗ ᎯᎠ ᎾᏍᎩ ᏂᎦᎵᏍᏔᏂᏙᎲᎢ, ᎢᏥᎦᏔᎮᏍᏗ ᎾᎥᏂᏳ ᎨᏒᎢ, ᎦᎶᎯᏍᏗᏱᏉ ᎨᏒᎢ.
30 Kweli, nawambieni, hiki kizazi hakitapita mbali kabla mambo haya hayajatokea.
ᎤᏙᎯᏳᎯᏯ ᎯᎠ ᏂᏨᏪᏎᎮ, ᎯᎠ ᎾᏍᎩ ᎪᎯ ᏣᏁᎭ ᎥᏝ ᏴᏛᏂᎶᏐᏂ ᎬᏂ ᎯᎠ ᎾᏍᎩ ᏂᎦᏗᏳ ᏂᎦᎵᏍᏔᏅᎭ.
31 Mbingu na nchi zitapita, lakini maneno yangu hayatapita kamwe.
ᎦᎸᎶ ᎠᎴ ᎡᎶᎯ ᏛᏂᎶᏐᏂ; ᎠᏴᏍᎩᏂ ᎠᎩᏁᏨ ᎥᏝ ᏴᏓᎦᎶᏐᏂ.
32 Lakini kuhusu siku hiyo au saa, hakuna ajuaye, hata malaika wa mbinguni, wala Mwana, ila Baba.
ᎾᎯᏳᏍᎩᏂ ᎢᎦ ᎨᏒ ᎠᎴ ᎢᏳ ᎧᎳᏩᏗᏒ ᎥᏝ ᎩᎶ ᏯᎦᏔᎭ, ᎥᏝ ᎾᏍᏉ ᏗᏂᎧᎿᎭᏩᏗᏙᎯ ᎦᎸᎳᏗ ᎠᏁᎯ, Ꮭ ᎾᏉᏃ ᎤᏪᏥ, ᎠᎦᏴᎵᎨᏍᎩᏂ ᎤᏩᏒ.
33 Iweni macho, Tazama, kwa sababu hamjui ni muda gani yatatokea. (Zingatia: Mstari huu, “Muwe waangalifu, Tazameni na ombeni kwa sababu...” haumo kwenye nakala za kale).
ᎢᏤᏯᏔᎮᏍᏗ, ᎢᏥᏯᏫᏍᎨᏍᏗ ᎠᎴ ᎢᏣᏓᏙᎵᏍᏗᏍᎨᏍᏗ; ᎥᏝᏰᏃ ᏱᏥᎦᏔᎭ ᎢᏳ ᎨᏒᎢ.
34 Ni kama mtu anayeenda safarini: akaacha nyumba yake, na kumweka mtumwa wake kuwa mtawala wa nyumba, kila mmoja na kazi yake. Na kumwamuru mlinzi kukaa macho.
[ ᏴᏫᏰᏃ ᎤᏪᏥ ] ᎾᏍᎩᏯᏉ ᎠᏍᎦᏯ ᏣᏂᎩᏍᎪ ᎢᎸᎯᏢ ᏤᎪᎢ, ᎾᏍᎩ ᏥᎬᏕᎪ ᎦᏁᎸᎢ, ᎠᎴ ᎠᏂᎦᏘᏯ ᏥᏂᏕᎬᏁᎰ ᏧᏅᏏᏓᏍᏗ, ᎠᎴ ᎠᏂᏏᏴᏫᎭ ᏧᏂ ᎸᏫᏍᏓᏁᏗ ᏥᏓᏁᎰᎢ, ᎠᎴ ᎦᎶᎯᏍᏗᏱ ᎠᎦᏘᏯ ᏥᎧᏁᏤᎰ ᎤᏯᏫᏗᏱ.
35 Kwa hiyo iweni macho! Kwani hamjui ni lini bwana wa nyumba atakaporudi nyumbani, yawezekana ni jioni, usiku wa manane, wakati jogoo atakapowika, au asubuhi.
ᎾᏍᎩ ᎢᏳᏍᏗ ᎢᏥᏯᏫᏍᎨᏍᏗ; ᎥᏝᏰᏃ ᏱᏥᎦᏔᎭ ᎢᏳᏉ ᎤᎷᎯᏍᏗᏱ ᎦᏁᎳ, ᎤᏒᎢ, ᎠᎴ ᏒᏃᏱ ᎠᏰᎵ, ᎠᎴ ᏣᏔᎦ ᎠᏂᏴᎬᎢ, ᎠᎴ ᏑᎾᎴᎢ;
36 Kama akija ghafla, asikukute umelala.
ᏱᎦᎷᎩᏰᏃ ᏯᏰᎶᎢᏍᏓ, ᏴᏥᏩᏛᏓ ᎢᏥᎵᎾᎥᎢ.
37 Kile nikisemacho kwako nakisema kwa kila mtu: Kesheni”!
ᎾᏍᎩᏃ ᎯᎠ ᏂᎯ ᏥᏂᏨᏪᏎᎭ, ᎾᏍᎩ ᏂᎦᏛᏉ ᏂᎦᏥᏪᏎᎭ-ᎢᏥᏯᏫᏍᎨᏍᏗ.

< Marko 13 >