< Malaki 4 >

1 Tazama, siku inakuja, inaka kama tanuru, ambayo wote wenye kiburi na waharifu watakuwa mabua. siku inakuja itawachoma,” asema Bwana wa Majeshi, “siku hiyo itaondoa mzizi au shina.
For, behold, a day comes burning as an oven, and it shall consume them; and all the aliens, and all that do wickedly, shall be stubble: and the day that is coming shall set them on fire, says the Lord Almighty, and there shall not be left of them root or branch.
2 Lakini kwenu mnaoliogopa jina langu, jua la haki litawaangazia na uponyaji katika mbawa zake. Mtarukaruka kama ndama zizini.
But to you that fear my name shall the Sun of righteousness arise, and healing [shall be] in his wings: and you shall go forth, and bound as young calves let loose from bonds.
3 Na waovu wote mtawakanyaga chini, watakuwa majivu chini ya nyazo za miguu yenu siku hiyo nitatenda,”asema Bwana wa Majeshi.
And you shall trample the wicked; for they shall be ashes underneath your feet in the day which I appoint, says the Lord Almighty.
4 Kumbukeni kutii sheria za mtumishi wangu Musa, mmri na sheria nilizomwamuru huko Horebu, kwa Israel wote.
And, behold, I will send to you Elias the Thesbite, before the great and glorious day of the Lord comes;
5 Tazama, nitamtuma Eliya nabii mbele ya siku kuu na yenye kutisha ya kuja kwa Bwana.
who shall turn again the heart of the father to the son, and the heart of a man to his neighbour, lest I come and strike the earth grievously.
6 Atarudisha moyo wa baba kwa watoto, na mioyo ya watoto kwa baba zao; ili kwamba nisije nikaiangamiza nchi kwa uharibifu wote.”
Remember the law of my servant Moses, accordingly as I charged him [with it] in Choreb for all Israel, [even] the commandments and ordinances.

< Malaki 4 >