< Luka 8 >

1 Ilitokea muda mfupi baadaye kwamba Yesu alianza kusafiri katika miji na jiji mbalimbali, akihubiri na kutangaza habari njema ya ufalme wa Mungu na wale kumi wawili walikwenda pamoja naye,
In zgodí se po tem, in on je hodil po mestih in vaséh, učeč in oznanjujoč evangelj o kraljestvu Božjem; in dvanajsteri ž njim,
2 vilevile wanawake fulani waliokuwa wameponywa kutoka kwa roho wachafu na magonjwa mbalimbali. Walikuwa ni Mariamu aliyeitwa Magdalena ambaye alikuwa ametolewa pepo saba.
In nektere žene, ktere so uzdravljene bile od duhov hudobnih in od bolezni, Marija, ki se imenuje Magdalena, iz ktere je bilo sedem hudičev izšlo,
3 Yoana mke wa Kuza na meneja wa Herode, Susana, na wanawake wengine wengi, waliotoa mali vyao kwa ajili yao wenyewe.
Joana žena Huza pristavnika Herodovega, in Suzana, in drugih veliko, ktere so mu služile z imenjem svojim.
4 Nabaada ya umati wa watu kukusanyika pamoja, wakiwemo na watu waliokuja kwake kutoka miji mbalimbali, akazungumza nao kwa kutumia mifano.
Ko se je pa veliko ljudstva sešlo, in tistih, kteri so iz mest prihajali k njemu, pové jim v priliki:
5 “mpandaji alienda kupanda mbegu, alipokuwa apanda, baadhi ya mbegu hizo ziliangukia kando ya njia zikakanyagwa chini ya miguu, na ndege wa angani wakazila.
Izšel je sejalec sejat seme svoje; in ko je sejal, eno je padlo poleg ceste, in pogazilo se je, in tice nebeške so ga pozobale.
6 Mbegu zingine zilianguka juu ya udongo wa miamba na zilipoota na kuwa miche zilipooza kwa sababu hakukuwa na unyevunyevu.
In drugo je padlo na skalo, in ko je pognalo, usahnilo je, ker ni imelo vlage.
7 Mbegu zingine ziliangukia kwenye miti ya miiba, nayo hiyo miti ya miiba ikakua pamoja na zile mbegu na zikasongwa.
In drugo je padlo sredi trnja, in trnje je zrastlo, in udušilo ga je.
8 Lakini mbegu zingine ziliangukia kwenye udongo unaofaa na zikazaa mazao mara mia zaidi. “Baada ya Yesu kusema mambo haya, alipaza sauti,”Yeyote aliye na masikio ya kusikia na asikie.”
In drugo je padlo na dobro zemljo, in ko je pognalo, doneslo je stoteri sad. Ko je to pravil, klical je: Kdor ima ušesa, da sliši, naj sliši!
9 Tena wanafunzi wake wakamuuliza maana ya mfano huo,
Vpraševali pa so ga učenci njegovi, govoreč: Kakošna bi bila ta prilika?
10 Yesu akawaambia, “Mmepewa upendeleo wa kujua siri ya ufalme wa Mungu, lakini watu wengine watafundishwa tu kwa mifano, ili kwamba 'wakiona wasione na wakisikia wasielewe.'
On pa reče: Vam je dano, da spoznate skrivnosti kraljestva Božjega; drugim pa v prilikah, da gledajo in ne vidijo, ter slišijo in ne umejo.
11 Na hii ndiyo maana ya mfano huu. Mbegu ni neno la Mungu.
Ta prilika pa je: Seme je beseda Božja:
12 Mbegu zile zilizoanguka kando kando ya njia ndiyo wale watu wanaolisikia neno, na baadaye mwovu shetani hulichukua mbali kutoka moyoni, ili kwamba wasiamini na kuokolewa.
A kteri so poleg ceste posejani, ti so, kteri slišijo: ali potem pride hudič in vzeme besedo iz srca njih, da ne bi verovali in zveličali se.
13 Kisha na zile zilizoangukia kwenye mwamba ni watu wale wanaosikia neno na kulipokea kwa furaha lakini hawana mizizi yeyote, wanaamini tu kwa muda mfupi, na wakati wa majaribu huanguka.
A kteri so na skalo posejani, ti, kteri besedo, ko so jo sklišali, z veseljem sprejemajo; in ti korenine nimajo, kteri nekaj časa verujejo, a v čas izkušnjave odpadejo.
14 Na mbegu zile zilizoangukia kwenye miiba ni watu wanaosikia neno, lakini wanapoendelea kukua husongwa na huduma na utajiri na ubora wa maisha haya na hawazai matunda.
Kar je pa v trnje padlo, to so ti, kteri slišijo: ali ker za skrbmí in bogastvom in slastmi življenja hodijo, udušé se, in ne donašajo sadú.
15 Lakini zile mbegu zilizoangukia kwenye udongo mzuri ni wale watu, ambao ni wanyeyekevu na mioyo mizuri, baada ya kulisikia neno hulishikilia na likawa salama na kuazaa matunda ya uvumilivu.
Kar je pa na dobro zemljo padlo, to so ti, kteri v dobrem in blagem srcu varujejo besedo, ktero so slišali, in donašajo sad v trpljenji.
16 Sasa, hakuna hata mmoja, anayewasha taa na kuifunika kwa bakuli au kuiweka chini ya kitanda. Badala ya kuiweka kwenye kinara cha taa ili kwamba kila mmoja anayeingia apate kuiona.
Nikdor pa sveče, ko jo prižgè, ne skrije pod mernik, ali dene pod posteljo; nego postavi jo na svečnik, da ti, kteri vhajajo, vidijo luč.
17 Kwa kuwa hakuna kitakachojificha ambacho hakitajulikana, au chochote kilicho sirini ambacho hakitajulikana kikiwa kwenye mwanga.
Kajti nič ni prikritega, kar se ne bo razodelo; tudi skrivnega ne, kar se ne bo zvedelo in na svetlo prišlo.
18 kwa hiyo kuwa makini unapokuwa unasikiliza. Kwa sababu aliye nacho, kwake ataongezewa zaidi, lakini asiye nacho hata kile kidogo alicho nacho kitachukuliwa.”
Glejte torej, kako boste poslušali: kajti kdor imá, dalo mu se bo; a kdor nima, odvzelo mu se bo tudi to, kar misli, da ima.
19 baadaye mama yake Yesu na ndugu zake wakaja kwake hawakaribia kwa sababu ya umati wa watu.
Pridejo pa k njemu mati njegova in bratje njegovi; ali za voljo ljudstva niso mogli priti do njega.
20 Na akataarifiwa, “Mama yako na ndugu zako wako pale nje wanahitaji kukuona wewe.
In sporočé mu, govoreč: Mati tvoja in bratje tvoji stojé zunej, in radi bi te videli.
21 Lakini, Yesu akajibu akasema “Mama yangu na ndugu zangu ni wale wanaolisikia neno la Mungu na kulitii.”
On pa odgovarjajoč, reče jim: Mati moja in bratje moji so ti, kteri besedo Božjo poslušajo in delajo po njej.
22 Ilitokea siku moja kati ya siku zile Yesu na wanafunzi wake alipanda kwenye mtumbwi, na akawaambia, “Na tuvuke ng'ambo ya pili ya ziwa.” Wakaandaa mashua yao.
In zgodí se en dan, in on stopi v ladjo in učenci njegovi; in reče jim: Prepeljimo se na oni kraj jezera! In odpeljejo se.
23 Lakini walipoanza kuondoka, Yesu akalala usingizi, na dhoruba kali yenye upepo, na mashua yao ikaanza kujaa maji na walikuwa kwenye katika kubwa sana.
A ko so se peljali, zaspí. Kar snide vihar na jezero, in potapljali so se, in bili so v nevarnosti.
24 baadaye wanafunzi wake wakaja kwake na kumwamsha, wakisema, “Bwana mkubwa! Bwana mkubwa! tuko karibu kufa!” Akaamka na akaukemea upepo na mawimbi ya maji vikatulia na kukawa na utulivu.
In pristopivši, zbudé ga, govoreč: Učenik! učenik! pogibamo! A on vstavši, zapretí vetru in valovju; in umirita se, in nastala je tihota.
25 Tena akawaambia, “Imani yenu iko wapi?” Wakaogopa, Walishangaa, wakasemezana kia mmoja na mwenzake,”Huyu ni nani, kiasi kwamba anaamuru hata upepo, na maji na humtii?”
In reče jim: Kje je vera vaša? A oni so se uplašili, in začudijo se, govoreč eden drugemu: Kdo neki je ta, da tudi vetrovom zapoveduje in vodi, in poslušajo ga?
26 Wakafika kwenye mji wa Gerasini iliyo upande wa nyuma ya Galilaya.
In preplavijo se v zemljo Gadarensko, ktera je Galileji nasproti.
27 Yesu aliposhuka na kukanya kwenye ardhi, mtu fulani kutoka mjini, akakutana naye, na huyu mtu alikuwa na nguvu za giza. Kwa muda mrefu alikuwa havai nguo, na alikuwa haishi kwenye Nyumba, lakini aliishi kwenye makaburi.
Ko pa izide na zemljo, sreča ga en človek iz mesta, kteri je imel hudiča uže dolgo časa, in v obleko se ni oblačil, in v hiši ni prebival, nego v grobih.
28 Alipomwona Yesu akalia kwa sauti, na akaanguka chini mbele yake. kwa sauti kubwa akisema, Nimefanya nini kwako, Yesu mwana wa Mungu aliye juu? Nakusihi, Usiniadhibu mimi”
A ko ugleda Jezusa, zakričí in pade pred-nj, in z močnim glasom reče: Kaj imaš z menoj, Jezus, sin Boga najvišega: Prosim te, nikar mene muči!
29 Yesu akaamuru roho chafu imtoke mtu yule, kwa kuwa mara nyingi amepamgaa. hata kama alikuwa amefungwa minyororo na kubanwa na kuwekwa chini ya ulinzi, alivunja vifungo na kuendeshwa na mapepo mpaka jangwani.
Ukazal je bil namreč duhu nečistemu, naj izide iz človeka: kajti uže dolgo časa ga je bil metal, in vezali so ga z verigami in vezmí, ter so ga varovali; ali potrgal je vezí, in gonil ga je hudič po puščavah.
30 Yesu akamwuliza, “Jina lako nani?” akajibu akisema, “Legioni” Kwa maana mapepo mengi yameingia kwake.
Vpraša pa ga Jezus, govoreč: Kako ti je ime? On pa reče: Množica; kajti obsedlo ga je bilo mnogo hudičev.
31 Wakaendelea kumsihi usituamuru twende kwenye shimo. (Abyssos g12)
In prosili so ga, naj jim ne zapové iti v brezno. (Abyssos g12)
32 Kundi la Nguruwe lilikuwa likichunga juu ya kilima, wakamsihi awaruhusu wakaingie kwa hao nguruwe. Na akawaruhusu kufanya hivyo.
Bila je pa tam velika čreda svinj, ktere so se pasle na gori; in prosili so ga, naj jim dovoli, da vnidejo va-nje. In dovoli jim.
33 kwa hiyo wale mapepo wakamtoka mtu yule na kuingia kwa wale nguruwe, na lile kundi likakimbia kwenye mwinuko wa mlima mpaka ziwani na wakazama humo.
In hudiči izidejo iz človeka in vnidejo v svinje; in zakadí se čreda z brega v jezero, in potonejo.
34 wale watu waliokuwa wanachunga wale nguruwe walipoona kilichotokea, wakakimbia na wakatoa taarifa pale mjini na nje katika miji iliyowazunguka.
Videvši pa pastirji, kar se je zgodilo, pobegnejo, ter odidejo in sporočé po mestu in po vaséh.
35 Watu waliposikia hayo walienda kuona kilichotokea, na wakaja kwa Yesu na wakamwona mtu ambaye mapepo yalikuwa yamemtoka. alikuwa amevaa vizuri na mwenye akili timamu, amekaa kwenye miguu ya Yesu, na waliogopa.
Ter izidejo gledat, kaj se je zgodilo; in pridejo k Jezusu, in najdejo človeka, iz kterega so bili hudiči izšli, da je oblečen in pameten, in sedí pri nogah Jezusovih; in uplašijo se.
36 ndipo mmoja wao aliyeona kilichotokea alianza kuwasimlia wengine jinsi huyu mtu aliyekuwa anaongozwa na mapepo alivyoponywa.
Sporočé pa jim tudi ti, kteri so bili videli, kako je obsedenec ozdravel.
37 Watu wote wa mkoa wa Wagerasi na maeneo yaliyozunguka walimwomba Yesu aondoke kwao kwa sababu walikuwa na hofu kuu. Na aliingia kwenye mtumbwi ili arudi.
In zaprosi ga vsa množica iz okolice Gadarenske, naj odide od njih; kajti strah velik jih je preletal. A on stopi v ladjo in se vrne.
38 Mtu yule aliyetokwa na pepo alimsihi Yesu kwenda naye, lakini Yesu alimwambia aende na kusema,
Prosil pa ga je mož, iz kterega so bili izšli hudiči, da bi bil ž njim; ali Jezus ga odpravi, govoreč:
39 “Rudi kwenye nyumba yako na uhesabu yale yote ambayo Mungu amekutendea” Huyu mtu aliondoka, akitangaza pote katika mji wote yale yote ambayo Yesu aliyofanya kwa ajili yake.
Vrni se na dom svoj, in pripoveduj, kaj ti je storil Bog. Pa odide, po vsem mestu oznanjujoč, kaj mu je storil Jezus.
40 Na Yesu akarudi, makutano wakamkaribisha, kwa sababu wote walikuwa wanamngoja.
Zgodí se pa, ko se vrne Jezus, sprejme ga ljudstvo; kajti vsi so ga pričakovali.
41 Tazama akaja mtu mmoja anaitwa Yairo ni mmoja kati ya viongozi katika sinagogi. Yairo akaanguka miguuni pa Yesu na kumsihi aende nyumbani kwake,
In glej, pa pride mož, kteremu je bilo ime Jair, (in ta je bil starešina v shajališči, ) in pade Jezusu pred noge, in prosil ga je, naj vnide v hišo njegovo;
42 kwa sababu alikuwa na mtoto msichana mmoja tu, mwenye umri wa miaka kumi na wibili, na alikuwa katika hali ya kufa. Na alipokuwa akienda, makutano walikuwa wakisongama dhidi yake.
Kajti imel je hčer edinico pri dvanajstih letih, in ta je umirala. A ko je šel, stiskalo ga je ljudstvo.
43 Mwanamke mwenye kutokwa damu kwa miaka kumi na miwili alikuwa pale na alitumia pesa zote kwa waganga, lakini hakuna aliyemponya hata mmoja,
In žena, ktera je imela krvotok uže dvanajst let, in je bila vse imenje svoje potrošila na zdravnike, ktere ni mogel nobeden uzdraviti.
44 alikuja nyuma ya yesu na kugusa pindo la vazi lake, na ghafla kutokwa damu kukakoma.
Pristopi od zadi in se dotakne robú obleke njegove; in precej se je ustavil vir krví njene.
45 Yesu akasema, “Nani ambaye kanigusa?” Walipokataa wote, Petro akasema, Bwana Mkubwa, umati wa watu wanakusukuma na wanakusonga.”
Pa reče Jezus: Kdo se me je dotaknil? Ko so se pa vsi odgovarjali, reče Peter in kteri so bili ž njim; Učenik, ljudstvo te gnjete in stiska, pa praviš: Kdo se me je dotaknil?
46 Lakini Yesu akasema, “Mtu mmoja alinigusa, maana nilijua nguvu zimetoka kwangu.”
Jezus pa reče: Nekdo se me je dotaknil; kajti jaz sem očutil, da je odšla moč od mene.
47 Mwanamke alipoona ya kuwa hawezi kuficha alichokifanya, akaanza kutetemeka, akaanguka chini mbele za Yesu alitangaza mbele ya watu wote sababu zilizofanya amguse na vile alivyoponywa gafla.
Videč pa žena, da se ni prikrila, pristopi drhtajoč, in pade pred-nj, in pové mu pred vsem ljudstvom, za kaj se ga je dotaknila, in kako je ozdravela precej.
48 Kisha akasema kwake, “Binti, imani yako imekufanya uwe mzima. Enenda kwa Amani.”
On jej pa reče: Zaupaj, hčer! vera tvoja ti je pomogla; pojdi v miru.
49 Alipokuwa akiendelea kusema, mtu mmoja akaja kutoka kwenye nyumba ya kiongozi wa sinagogi, akisema, “Binti yako amefariki. Usimsumbue mwalimu.”
Ko je še govoril, pride nekdo od starešine shajališčnega, govoreč mu: Umrla je hčer tvoja; ne trudi učenika.
50 Lakini Yesu aliposikia hivyo, alimjibu, “Usiogope. Amini tu, na ataokolewa.”
Slišavši pa to Jezus, odgovorí mu, govoreč: Ne boj se! le veruj, in ozdravela bo.
51 Kisha alipoingia kwenye hiyo nyumba, hakuruhusu mtu yeyote kuingia pamoja naye, isipokuwa Petro, Yohana na Yakobo, baba yake binti, na mama yake.
Ko je pa prišel v hišo, ni dal nikomur vniti, razen Petru in Jakobu in Janezu, in očetu in materi deklice.
52 Sasa watu wote walikuwa wanaomboleza na kutoa sauti kwa ajili yake, lakini akasema, “Msipige kelele, hajafa, lakini amelala tu.”
Vsi pa so jokali, in tarnali po njej. On pa reče: Ne jokajte! ni umrla, nego spí.
53 Lakini wakamcheka kwa dharau, wakijua kuwa amekufa.
In posmehovali so mu se, vedoč, da je umrla.
54 Lakini Yeye, akimshika binti mkono, akaita kwa sauti, akisema, “Mtoto, inuka”
On pa izgnavši vse, in prijemši jo za roko, zakliče, govoreč: Deklica, vstani!
55 roho yake ikamrudia, na akainuka wakati huohuo. Akaamrisha kwamba, apewe kitu furani kwa ili ale.
In vrne se duh nje, in vstala je precej; in ukaže jim, naj jej dadó jesti.
56 Wazazi wake wakashangaa, lakini aliwaamuru wasimwambie mtu kilichokuwa kimetokea.
In zavzemeta se roditelja njena; a on jima naročí, naj nikomur ne povesta, kar se je zgodilo.

< Luka 8 >