< Luka 8 >

1 Ilitokea muda mfupi baadaye kwamba Yesu alianza kusafiri katika miji na jiji mbalimbali, akihubiri na kutangaza habari njema ya ufalme wa Mungu na wale kumi wawili walikwenda pamoja naye,
อปรญฺจ ยีศุ รฺทฺวาทศภิ: ศิไษฺย: สารฺทฺธํ นานานคเรษุ นานาคฺราเมษุ จ คจฺฉนฺ อิศฺวรียราชตฺวสฺย สุสํวาทํ ปฺรจารยิตุํ ปฺราเรเภฯ
2 vilevile wanawake fulani waliokuwa wameponywa kutoka kwa roho wachafu na magonjwa mbalimbali. Walikuwa ni Mariamu aliyeitwa Magdalena ambaye alikuwa ametolewa pepo saba.
ตทา ยสฺยา: สปฺต ภูตา นิรคจฺฉนฺ สา มคฺทลีนีติ วิขฺยาตา มริยมฺ เหโรทฺราชสฺย คฺฤหาธิปเต: โหเษ รฺภารฺยฺยา โยหนา ศูศานา
3 Yoana mke wa Kuza na meneja wa Herode, Susana, na wanawake wengine wengi, waliotoa mali vyao kwa ajili yao wenyewe.
ปฺรภฺฤตโย ยา พหฺวฺย: สฺตฺริย: ทุษฺฏภูเตโภฺย โรเคภฺยศฺจ มุกฺตา: สโตฺย นิชวิภูตี รฺวฺยยิตฺวา ตมเสวนฺต, ตา: สรฺวฺวาเสฺตน สารฺทฺธมฺ อาสนฺฯ
4 Nabaada ya umati wa watu kukusanyika pamoja, wakiwemo na watu waliokuja kwake kutoka miji mbalimbali, akazungumza nao kwa kutumia mifano.
อนนฺตรํ นานานคเรโภฺย พหโว โลกา อาคตฺย ตสฺย สมีเป'มิลนฺ, ตทา ส เตภฺย เอกำ ทฺฤษฺฏานฺตกถำ กถยามาสฯ เอก: กฺฤษีพโล พีชานิ วปฺตุํ พหิรฺชคาม,
5 “mpandaji alienda kupanda mbegu, alipokuwa apanda, baadhi ya mbegu hizo ziliangukia kando ya njia zikakanyagwa chini ya miguu, na ndege wa angani wakazila.
ตโต วปนกาเล กติปยานิ พีชานิ มารฺคปารฺเศฺว เปตุ: , ตตสฺตานิ ปทตไล รฺทลิตานิ ปกฺษิภิ รฺภกฺษิตานิ จฯ
6 Mbegu zingine zilianguka juu ya udongo wa miamba na zilipoota na kuwa miche zilipooza kwa sababu hakukuwa na unyevunyevu.
กติปยานิ พีชานิ ปาษาณสฺถเล ปติตานิ ยทฺยปิ ตานฺยงฺกุริตานิ ตถาปิ รสาภาวาตฺ ศุศุษุ: ฯ
7 Mbegu zingine ziliangukia kwenye miti ya miiba, nayo hiyo miti ya miiba ikakua pamoja na zile mbegu na zikasongwa.
กติปยานิ พีชานิ กณฺฏกิวนมเธฺย ปติตานิ ตต: กณฺฏกิวนานิ สํวฺฤทฺธฺย ตานิ ชคฺรสุ: ฯ
8 Lakini mbegu zingine ziliangukia kwenye udongo unaofaa na zikazaa mazao mara mia zaidi. “Baada ya Yesu kusema mambo haya, alipaza sauti,”Yeyote aliye na masikio ya kusikia na asikie.”
ตทนฺยานิ กติปยพีชานิ จ ภูมฺยามุตฺตมายำ เปตุสฺตตสฺตานฺยงฺกุรยิตฺวา ศตคุณานิ ผลานิ เผลุ: ฯ ส อิมา กถำ กถยิตฺวา โปฺรจฺไจ: โปฺรวาจ, ยสฺย โศฺรตุํ โศฺรเตฺร สฺต: ส ศฺฤโณตุฯ
9 Tena wanafunzi wake wakamuuliza maana ya mfano huo,
ตต: ปรํ ศิษฺยาสฺตํ ปปฺรจฺฉุรสฺย ทฺฤษฺฏานฺตสฺย กึ ตาตฺปรฺยฺยํ?
10 Yesu akawaambia, “Mmepewa upendeleo wa kujua siri ya ufalme wa Mungu, lakini watu wengine watafundishwa tu kwa mifano, ili kwamba 'wakiona wasione na wakisikia wasielewe.'
ตต: ส วฺยาชหาร, อีศฺวรียราชฺยสฺย คุหฺยานิ ชฺญาตุํ ยุษฺมภฺยมธิกาโร ทียเต กินฺตฺวเนฺย ยถา ทฺฤษฺฏฺวาปิ น ปศฺยนฺติ ศฺรุตฺวาปิ ม พุธฺยนฺเต จ ตทรฺถํ เตษำ ปุรสฺตาตฺ ตา: สรฺวฺวา: กถา ทฺฤษฺฏานฺเตน กถฺยนฺเตฯ
11 Na hii ndiyo maana ya mfano huu. Mbegu ni neno la Mungu.
ทฺฤษฺฏานฺตสฺยาสฺยาภิปฺราย: , อีศฺวรียกถา พีชสฺวรูปาฯ
12 Mbegu zile zilizoanguka kando kando ya njia ndiyo wale watu wanaolisikia neno, na baadaye mwovu shetani hulichukua mbali kutoka moyoni, ili kwamba wasiamini na kuokolewa.
เย กถามาตฺรํ ศฺฤณฺวนฺติ กินฺตุ ปศฺจาทฺ วิศฺวสฺย ยถา ปริตฺราณํ น ปฺราปฺนุวนฺติ ตทาศเยน ไศตาเนตฺย หฺฤทยาตฺฤ ตำ กถามฺ อปหรติ ต เอว มารฺคปารฺศฺวสฺถภูมิสฺวรูปา: ฯ
13 Kisha na zile zilizoangukia kwenye mwamba ni watu wale wanaosikia neno na kulipokea kwa furaha lakini hawana mizizi yeyote, wanaamini tu kwa muda mfupi, na wakati wa majaribu huanguka.
เย กถํ ศฺรุตฺวา สานนฺทํ คฺฤหฺลนฺติ กินฺตฺวพทฺธมูลตฺวาตฺ สฺวลฺปกาลมาตฺรํ ปฺรตีตฺย ปรีกฺษากาเล ภฺรศฺยนฺติ เตอว ปาษาณภูมิสฺวรูปา: ฯ
14 Na mbegu zile zilizoangukia kwenye miiba ni watu wanaosikia neno, lakini wanapoendelea kukua husongwa na huduma na utajiri na ubora wa maisha haya na hawazai matunda.
เย กถำ ศฺรุตฺวา ยานฺติ วิษยจินฺตายำ ธนโลเภน เอหิกสุเข จ มชฺชนฺต อุปยุกฺตผลานิ น ผลนฺติ ต เอโวปฺตพีชกณฺฏกิภูสฺวรูปา: ฯ
15 Lakini zile mbegu zilizoangukia kwenye udongo mzuri ni wale watu, ambao ni wanyeyekevu na mioyo mizuri, baada ya kulisikia neno hulishikilia na likawa salama na kuazaa matunda ya uvumilivu.
กินฺตุ เย ศฺรุตฺวา สรไล: ศุทฺไธศฺจานฺต: กรไณ: กถำ คฺฤหฺลนฺติ ไธรฺยฺยมฺ อวลมฺพฺย ผลานฺยุตฺปาทยนฺติ จ ต เอโวตฺตมมฺฤตฺสฺวรูปา: ฯ
16 Sasa, hakuna hata mmoja, anayewasha taa na kuifunika kwa bakuli au kuiweka chini ya kitanda. Badala ya kuiweka kwenye kinara cha taa ili kwamba kila mmoja anayeingia apate kuiona.
อปรญฺจ ปฺรทีปํ ปฺรชฺวาลฺย โกปิ ปาเตฺรณ นาจฺฉาทยติ ตถา ขฏฺวาโธปิ น สฺถาปยติ, กินฺตุ ทีปาธาโรปรฺเยฺยว สฺถาปยติ, ตสฺมาตฺ ปฺรเวศกา ทีปฺตึ ปศฺยนฺติฯ
17 Kwa kuwa hakuna kitakachojificha ambacho hakitajulikana, au chochote kilicho sirini ambacho hakitajulikana kikiwa kwenye mwanga.
ยนฺน ปฺรกาศยิษฺยเต ตาทฺฤคฺ อปฺรกาศิตํ วสฺตุ กิมปิ นาสฺติ ยจฺจ น สุวฺยกฺตํ ปฺรจารยิษฺยเต ตาทฺฤคฺ คฺฤปฺตํ วสฺตุ กิมปิ นาสฺติฯ
18 kwa hiyo kuwa makini unapokuwa unasikiliza. Kwa sababu aliye nacho, kwake ataongezewa zaidi, lakini asiye nacho hata kile kidogo alicho nacho kitachukuliwa.”
อโต ยูยํ เกน ปฺรกาเรณ ศฺฤณุถ ตตฺร สาวธานา ภวต, ยสฺย สมีเป พรฺทฺธเต ตไสฺม ปุนรฺทาสฺยเต กินฺตุ ยสฺยาศฺรเย น พรฺทฺธเต ตสฺย ยทฺยทสฺติ ตทปิ ตสฺมาตฺ เนษฺยเตฯ
19 baadaye mama yake Yesu na ndugu zake wakaja kwake hawakaribia kwa sababu ya umati wa watu.
อปรญฺจ ยีโศ รฺมาตา ภฺราตรศฺจ ตสฺย สมีปํ ชิคมิษว:
20 Na akataarifiwa, “Mama yako na ndugu zako wako pale nje wanahitaji kukuona wewe.
กินฺตุ ชนตาสมฺพาธาตฺ ตตฺสนฺนิธึ ปฺราปฺตุํ น เศกุ: ฯ ตตฺปศฺจาตฺ ตว มาตา ภฺราตรศฺจ ตฺวำ สากฺษาตฺ จิกีรฺษนฺโต พหิสฺติษฺฐนตีติ วารฺตฺตายำ ตไสฺม กถิตายำ
21 Lakini, Yesu akajibu akasema “Mama yangu na ndugu zangu ni wale wanaolisikia neno la Mungu na kulitii.”
ส ปฺรตฺยุวาจ; เย ชนา อีศฺวรสฺย กถำ ศฺรุตฺวา ตทนุรูปมาจรนฺติ เตอว มม มาตา ภฺราตรศฺจฯ
22 Ilitokea siku moja kati ya siku zile Yesu na wanafunzi wake alipanda kwenye mtumbwi, na akawaambia, “Na tuvuke ng'ambo ya pili ya ziwa.” Wakaandaa mashua yao.
อนนฺตรํ เอกทา ยีศุ: ศิไษฺย: สารฺทฺธํ นาวมารุหฺย ชคาท, อายาต วยํ หฺรทสฺย ปารํ ยาม: , ตตเสฺต ชคฺมุ: ฯ
23 Lakini walipoanza kuondoka, Yesu akalala usingizi, na dhoruba kali yenye upepo, na mashua yao ikaanza kujaa maji na walikuwa kwenye katika kubwa sana.
เตษุ เนากำ วาหยตฺสุ ส นิทเทฺรา;
24 baadaye wanafunzi wake wakaja kwake na kumwamsha, wakisema, “Bwana mkubwa! Bwana mkubwa! tuko karibu kufa!” Akaamka na akaukemea upepo na mawimbi ya maji vikatulia na kukawa na utulivu.
อถากสฺมาตฺ ปฺรพลฌญฺภฺศคมาทฺ หฺรเท เนากายำ ตรงฺไคราจฺฉนฺนายำ วิปตฺ ตานฺ ชคฺราสฯ ตสฺมาทฺ ยีโศรนฺติกํ คตฺวา เห คุโร เห คุโร ปฺราณา โน ยานฺตีติ คทิตฺวา ตํ ชาครยามฺพภูวุ: ฯ ตทา ส อุตฺถาย วายุํ ตรงฺคำศฺจ ตรฺชยามาส ตสฺมาทุเภา นิวฺฤตฺย สฺถิเรา พภูวตุ: ฯ
25 Tena akawaambia, “Imani yenu iko wapi?” Wakaogopa, Walishangaa, wakasemezana kia mmoja na mwenzake,”Huyu ni nani, kiasi kwamba anaamuru hata upepo, na maji na humtii?”
ส ตานฺ พภาเษ ยุษฺมากํ วิศฺวาส: ก? ตสฺมาตฺเต ภีตา วิสฺมิตาศฺจ ปรสฺปรํ ชคทุ: , อโห กีทฺฤคยํ มนุช: ปวนํ ปานียญฺจาทิศติ ตทุภยํ ตทาเทศํ วหติฯ
26 Wakafika kwenye mji wa Gerasini iliyo upande wa nyuma ya Galilaya.
ตต: ปรํ คาลีลฺปฺรเทศสฺย สมฺมุขสฺถคิเทรียปฺรเทเศ เนากายำ ลคนฺตฺยำ ตเฏ'วโรหมาวาทฺ
27 Yesu aliposhuka na kukanya kwenye ardhi, mtu fulani kutoka mjini, akakutana naye, na huyu mtu alikuwa na nguvu za giza. Kwa muda mrefu alikuwa havai nguo, na alikuwa haishi kwenye Nyumba, lakini aliishi kwenye makaburi.
พหุติถกาลํ ภูตคฺรสฺต เอโก มานุษ: ปุราทาคตฺย ตํ สากฺษาจฺจการฯ ส มนุโษ วาโส น ปริทธตฺ คฺฤเห จ น วสนฺ เกวลํ ศฺมศานมฺ อธฺยุวาสฯ
28 Alipomwona Yesu akalia kwa sauti, na akaanguka chini mbele yake. kwa sauti kubwa akisema, Nimefanya nini kwako, Yesu mwana wa Mungu aliye juu? Nakusihi, Usiniadhibu mimi”
ส ยีศุํ ทฺฤษฺไฏฺวว จีจฺฉพฺทํ จการ ตสฺย สมฺมุเข ปติตฺวา โปฺรจฺไจรฺชคาท จ, เห สรฺวฺวปฺรธาเนศฺวรสฺย ปุตฺร, มยา สห ตว ก: สมฺพนฺธ: ? ตฺวยิ วินยํ กโรมิ มำ มา ยาตยฯ
29 Yesu akaamuru roho chafu imtoke mtu yule, kwa kuwa mara nyingi amepamgaa. hata kama alikuwa amefungwa minyororo na kubanwa na kuwekwa chini ya ulinzi, alivunja vifungo na kuendeshwa na mapepo mpaka jangwani.
ยต: ส ตํ มานุษํ ตฺยกฺตฺวา ยาตุมฺ อเมธฺยภูตมฺ อาทิเทศ; ส ภูตสฺตํ มานุษมฺ อสกฺฤทฺ ทธาร ตสฺมาโลฺลกา: ศฺฤงฺขเลน นิคเฑน จ พพนฺธุ: ; ส ตทฺ ภํกฺตฺวา ภูตวศตฺวาตฺ มเธฺยปฺรานฺตรํ ยเยาฯ
30 Yesu akamwuliza, “Jina lako nani?” akajibu akisema, “Legioni” Kwa maana mapepo mengi yameingia kwake.
อนนฺตรํ ยีศุสฺตํ ปปฺรจฺฉ ตว กินฺนาม? ส อุวาจ, มม นาม พาหิโน ยโต พหโว ภูตาสฺตมาศิศฺริยุ: ฯ
31 Wakaendelea kumsihi usituamuru twende kwenye shimo. (Abyssos g12)
อถ ภูตา วินเยน ชคทุ: , คภีรํ ครฺตฺตํ คนฺตุํ มาชฺญาปยาสฺมานฺฯ (Abyssos g12)
32 Kundi la Nguruwe lilikuwa likichunga juu ya kilima, wakamsihi awaruhusu wakaingie kwa hao nguruwe. Na akawaruhusu kufanya hivyo.
ตทา ปรฺวฺวโตปริ วราหวฺรชศฺจรติ ตสฺมาทฺ ภูตา วินเยน โปฺรจุ: , อมุํ วราหวฺรชมฺ อาศฺรยิตุมฺ อสฺมานฺ อนุชานีหิ; ตต: โสนุชชฺเญาฯ
33 kwa hiyo wale mapepo wakamtoka mtu yule na kuingia kwa wale nguruwe, na lile kundi likakimbia kwenye mwinuko wa mlima mpaka ziwani na wakazama humo.
ตต: ปรํ ภูตาสฺตํ มานุษํ วิหาย วราหวฺรชมฺ อาศิศฺริยุ: วราหวฺรชาศฺจ ตตฺกฺษณาตฺ กฏเกน ธาวนฺโต หฺรเท ปฺราณานฺ วิชฺฤหุ: ฯ
34 wale watu waliokuwa wanachunga wale nguruwe walipoona kilichotokea, wakakimbia na wakatoa taarifa pale mjini na nje katika miji iliyowazunguka.
ตทฺ ทฺฤษฺฏฺวา ศูกรรกฺษกา: ปลายมานา นครํ คฺรามญฺจ คตฺวา ตตฺสรฺวฺววฺฤตฺตานฺตํ กถยามาสุ: ฯ
35 Watu waliposikia hayo walienda kuona kilichotokea, na wakaja kwa Yesu na wakamwona mtu ambaye mapepo yalikuwa yamemtoka. alikuwa amevaa vizuri na mwenye akili timamu, amekaa kwenye miguu ya Yesu, na waliogopa.
ตต: กึ วฺฤตฺตมฺ เอตทฺทรฺศนารฺถํ โลกา นิรฺคตฺย ยีโศ: สมีปํ ยยุ: , ตํ มานุษํ ตฺยกฺตภูตํ ปริหิตวสฺตฺรํ สฺวสฺถมานุษวทฺ ยีโศศฺจรณสนฺนิเธา สูปวิศนฺตํ วิโลกฺย พิภฺยุ: ฯ
36 ndipo mmoja wao aliyeona kilichotokea alianza kuwasimlia wengine jinsi huyu mtu aliyekuwa anaongozwa na mapepo alivyoponywa.
เย โลกาสฺตสฺย ภูตคฺรสฺตสฺย สฺวาสฺถฺยกรณํ ททฺฤศุเสฺต เตภฺย: สรฺวฺววฺฤตฺตานฺตํ กถยามาสุ: ฯ
37 Watu wote wa mkoa wa Wagerasi na maeneo yaliyozunguka walimwomba Yesu aondoke kwao kwa sababu walikuwa na hofu kuu. Na aliingia kwenye mtumbwi ili arudi.
ตทนนฺตรํ ตสฺย คิเทรียปฺรเทศสฺย จตุรฺทิกฺสฺถา พหโว ชนา อติตฺรสฺตา วินเยน ตํ ชคทุ: , ภวานฺ อสฺมากํ นิกฏาทฺ วฺรชตุ ตสฺมาตฺ ส นาวมารุหฺย ตโต วฺยาฆุฏฺย ชคามฯ
38 Mtu yule aliyetokwa na pepo alimsihi Yesu kwenda naye, lakini Yesu alimwambia aende na kusema,
ตทานีํ ตฺยกฺตภูตมนุชเสฺตน สห สฺถาตุํ ปฺรารฺถยาญฺจเกฺร
39 “Rudi kwenye nyumba yako na uhesabu yale yote ambayo Mungu amekutendea” Huyu mtu aliondoka, akitangaza pote katika mji wote yale yote ambayo Yesu aliyofanya kwa ajili yake.
กินฺตุ ตทรฺถมฺ อีศฺวร: กีทฺฤงฺมหากรฺมฺม กฺฤตวานฺ อิติ นิเวศนํ คตฺวา วิชฺญาปย, ยีศุ: กถาเมตำ กถยิตฺวา ตํ วิสสรฺชฯ ตต: ส วฺรชิตฺวา ยีศุสฺตทรฺถํ ยนฺมหากรฺมฺม จการ ตตฺ ปุรสฺย สรฺวฺวตฺร ปฺรกาศยิตุํ ปฺราเรเภฯ
40 Na Yesu akarudi, makutano wakamkaribisha, kwa sababu wote walikuwa wanamngoja.
อถ ยีเศา ปราวฺฤตฺยาคเต โลกาสฺตํ อาทเรณ ชคฺฤหุ รฺยสฺมาตฺเต สรฺเวฺว ตมเปกฺษาญฺจกฺริเรฯ
41 Tazama akaja mtu mmoja anaitwa Yairo ni mmoja kati ya viongozi katika sinagogi. Yairo akaanguka miguuni pa Yesu na kumsihi aende nyumbani kwake,
ตทนนฺตรํ ยายีรฺนามฺโน ภชนเคหไสฺยโกธิป อาคตฺย ยีโศศฺจรณโย: ปติตฺวา สฺวนิเวศนาคมนารฺถํ ตสฺมินฺ วินยํ จการ,
42 kwa sababu alikuwa na mtoto msichana mmoja tu, mwenye umri wa miaka kumi na wibili, na alikuwa katika hali ya kufa. Na alipokuwa akienda, makutano walikuwa wakisongama dhidi yake.
ยตสฺตสฺย ทฺวาทศวรฺษวยสฺกา กไนฺยกาสีตฺ สา มฺฤตกลฺปาภวตฺฯ ตตสฺตสฺย คมนกาเล มารฺเค โลกานำ มหานฺ สมาคโม พภูวฯ
43 Mwanamke mwenye kutokwa damu kwa miaka kumi na miwili alikuwa pale na alitumia pesa zote kwa waganga, lakini hakuna aliyemponya hata mmoja,
ทฺวาทศวรฺษาณิ ปฺรทรโรคคฺรสฺตา นานา ไวไทฺยศฺจิกิตฺสิตา สรฺวฺวสฺวํ วฺยยิตฺวาปิ สฺวาสฺถฺยํ น ปฺราปฺตา ยา โยษิตฺ สา ยีโศ: ปศฺจาทาคตฺย ตสฺย วสฺตฺรคฺรนฺถึ ปสฺปรฺศฯ
44 alikuja nyuma ya yesu na kugusa pindo la vazi lake, na ghafla kutokwa damu kukakoma.
ตสฺมาตฺ ตตฺกฺษณาตฺ ตสฺยา รกฺตสฺราโว รุทฺธ: ฯ
45 Yesu akasema, “Nani ambaye kanigusa?” Walipokataa wote, Petro akasema, Bwana Mkubwa, umati wa watu wanakusukuma na wanakusonga.”
ตทานีํ ยีศุรวทตฺ เกนาหํ สฺปฺฤษฺฏ: ? ตโต'เนไกรนงฺคีกฺฤเต ปิตรสฺตสฺย สงฺคินศฺจาวทนฺ, เห คุโร โลกา นิกฏสฺถา: สนฺตสฺตว เทเห ฆรฺษยนฺติ, ตถาปิ เกนาหํ สฺปฺฤษฺฏอิติ ภวานฺ กุต: ปฺฤจฺฉติ?
46 Lakini Yesu akasema, “Mtu mmoja alinigusa, maana nilijua nguvu zimetoka kwangu.”
ยีศุ: กถยามาส, เกนาปฺยหํ สฺปฺฤษฺโฏ, ยโต มตฺต: ศกฺติ รฺนิรฺคเตติ มยา นิศฺจิตมชฺญายิฯ
47 Mwanamke alipoona ya kuwa hawezi kuficha alichokifanya, akaanza kutetemeka, akaanguka chini mbele za Yesu alitangaza mbele ya watu wote sababu zilizofanya amguse na vile alivyoponywa gafla.
ตทา สา นารี สฺวยํ น คุปฺเตติ วิทิตฺวา กมฺปมานา สตี ตสฺย สมฺมุเข ปปาต; เยน นิมิตฺเตน ตํ ปสฺปรฺศ สฺปรฺศมาตฺราจฺจ เยน ปฺรกาเรณ สฺวสฺถาภวตฺ ตตฺ สรฺวฺวํ ตสฺย สากฺษาทาจเขฺยาฯ
48 Kisha akasema kwake, “Binti, imani yako imekufanya uwe mzima. Enenda kwa Amani.”
ตต: ส ตำ ชคาท เห กเนฺย สุสฺถิรา ภว, ตว วิศฺวาสสฺตฺวำ สฺวสฺถามฺ อการฺษีตฺ ตฺวํ เกฺษเมณ ยาหิฯ
49 Alipokuwa akiendelea kusema, mtu mmoja akaja kutoka kwenye nyumba ya kiongozi wa sinagogi, akisema, “Binti yako amefariki. Usimsumbue mwalimu.”
ยีโศเรตทฺวากฺยวทนกาเล ตสฺยาธิปเต รฺนิเวศนาตฺ กศฺจิโลฺลก อาคตฺย ตํ พภาเษ, ตว กนฺยา มฺฤตา คุรุํ มา กฺลิศานฯ
50 Lakini Yesu aliposikia hivyo, alimjibu, “Usiogope. Amini tu, na ataokolewa.”
กินฺตุ ยีศุสฺตทากรฺณฺยาธิปตึ วฺยาชหาร, มา ไภษี: เกวลํ วิศฺวสิหิ ตสฺมาตฺ สา ชีวิษฺยติฯ
51 Kisha alipoingia kwenye hiyo nyumba, hakuruhusu mtu yeyote kuingia pamoja naye, isipokuwa Petro, Yohana na Yakobo, baba yake binti, na mama yake.
อถ ตสฺย นิเวศเน ปฺราปฺเต ส ปิตรํ โยหนํ ยากูพญฺจ กนฺยายา มาตรํ ปิตรญฺจ วินา, อนฺยํ กญฺจน ปฺรเวษฺฏุํ วารยามาสฯ
52 Sasa watu wote walikuwa wanaomboleza na kutoa sauti kwa ajili yake, lakini akasema, “Msipige kelele, hajafa, lakini amelala tu.”
อปรญฺจ เย รุทนฺติ วิลปนฺติ จ ตานฺ สรฺวฺวานฺ ชนานฺ อุวาจ, ยูยํ มา โรทิษฺฏ กนฺยา น มฺฤตา นิทฺราติฯ
53 Lakini wakamcheka kwa dharau, wakijua kuwa amekufa.
กินฺตุ สา นิศฺจิตํ มฺฤเตติ ชฺญาตฺวา เต ตมุปชหสุ: ฯ
54 Lakini Yeye, akimshika binti mkono, akaita kwa sauti, akisema, “Mtoto, inuka”
ปศฺจาตฺ ส สรฺวฺวานฺ พหิ: กฺฤตฺวา กนฺยายา: กเรา ธฺฤตฺวาชุหุเว, เห กเนฺย ตฺวมุตฺติษฺฐ,
55 roho yake ikamrudia, na akainuka wakati huohuo. Akaamrisha kwamba, apewe kitu furani kwa ili ale.
ตสฺมาตฺ ตสฺยา: ปฺราเณษุ ปุนราคเตษุ สา ตตฺกฺษณาทฺ อุตฺตเสฺยาฯ ตทานีํ ตไสฺย กิญฺจิทฺ ภกฺษฺยํ ทาตุมฺ อาทิเทศฯ
56 Wazazi wake wakashangaa, lakini aliwaamuru wasimwambie mtu kilichokuwa kimetokea.
ตตสฺตสฺยา: ปิตเรา วิสฺมยํ คเตา กินฺตุ ส ตาวาทิเทศ ฆฏนายา เอตสฺยา: กถำ กไสฺมจิทปิ มา กถยตํฯ

< Luka 8 >