< Luka 7 >

1 Baada ya Yesu kumaliza kila kitu alichokuwa anasema kwa watu waliomsikiliza, akaingia Kapernaumu.
След като свърши всичките Свои речи към людете, които Го слушаха(Гръцки: В ушите на людете.), Исус влезе в Капернаум.
2 Mtumwa fulani wa akida, aliyekuwa wa thamani sana kwake, alikuwa mgonjwa sana na alikuwa karibu ya kufa.
А на някой си стотник слугата, който му беше мил, боледуваше на умиране.
3 Lakini akiwa amesikia kuhusu Yesu, yule Akida alimtuma kiongozi wa kiyahudi, kumwomba aje kumwokoa mtumwa wake ili asife.
И като чу за Исуса, изпрати до Него някои юдейски старейшини да Го помолят да дойде и да оздрави слугата му.
4 Walipofika karibu na Yesu, walimsihi kwa bidii na kusema, “anastahili kwamba unapaswa kufanya hivi kwa ajili yake,
Те, прочее, дойдоха при Исуса и Му се молеха усърдно, като казваха: Той заслужава да му сториш това;
5 kwa sababu analipenda taifa letu, na ndiye aliyejenga sinagogi kwa ajili yetu”.
защото обича нашия народ, и той ни е построил синагогата.
6 Yesu akaendelea na safari yake pamoja nao. lakini kabla hajaenda mbali na nyumba, afisa mmoja aliwatuma marafiki zake kuzungumza naye. “Bwana, usijichoshe mwenyewe kwa sababu mimi sistahili wewe kuingia kwenye dari yangu.
А когато Исус вървеше, с тях и не беше вече далеч от къщата, стотникът изпрати до Него приятели да Му кажат: Господи, не си прави труд, защото не съм достоен да влезеш под стряхата ми;
7 Kwa sababu hii sikufikiria hata mimi mwenyewe kuwa ninafaa kuja kwako, lakini sema neno tu na mtumishi wangu atapona.
затова нито счетох себе си достоен да дойда при тебе; кажи само дума, и слугата ми ще оздравее.
8 Kwani mimi pia ni mtu niliyewekwa kwenye mamlaka na nina askari chini yangu. Husema kwa huyu “Nenda” na huenda, na kwa mwingine, “Njoo” naye huja, na kwa mtumishi wangu 'Fanya hiki', na yeye hufanya”.
Защото и аз съм човек, поставен под власт, и имам подчинени на мен войници; и казвам на един: Иди, и той отива; и на друг: Дойди, и дохожда; и на слугата си: Направи това, и го прави.
9 Yesu aliposikia haya alishangaa, na kuwageukia makutano waliokuwa wanamfuata na kusema.”Nawaambia, hata katika Israeli, sijawahi kuona mtu mwenye imani kuu kama huyu.
Като чу това, Исус му се почуди; обърна се и рече на вървящия подир Него народ: Казвам ви, нито в Израил съм намерил толкова вяра.
10 Kisha wale waliokuwa wametumwa walirudi nyumbani na kumkuta mtumishi akiwa mzima.
И когато изпратените се върнаха в къщата, намериха слугата оздравял.
11 fulani baada ya haya, ilitokea kuwa Yesu alikuwa anasafiri kwenda mji ulioitwa Naini. wanafunzi wake wakaenda pamoja naye wakiambana na umati wa watu.
А скоро след това, Исус отиде в един град, наречен Наин; и с Него вървяха учениците Му и едно голямо множество.
12 Alipofika karibu na Lango la jiji tazama, mtu aliyekufa alikuwa amebebwa, na ni mtoto wa pekee kwa mama yake. aliyekuwa mjane, na umati wa wawakilishi kutoka kwenye jiji walikuwa pamoja naye.
И когато се приближи до градската порта, ето, изнасяха мъртвец, едничък син на майка си, която беше и вдовица; и с нея имаше голямо множество от града.
13 Alipomwona, Bwana akamsogelea kwa huruma kubwa sana juu yake na akamwambia, “Usilie”.
И Господ, като я видя, смили се за нея и рече -: Недей плака!
14 Kisha akasogea mbele akaligusa jeneza ambalo walibebea mwili, na wale waliobeba wakasimama akasema “Kijana nasema amka”
Тогава се приближи и се допря до носилото; а носачите се спряха. И рече: Момче, казвам ти, стани!
15 Mfu akainuka na kukaa chini na akaanza kuongea. Kisha Yesu akamkabidhi kwa mama yake.
И мъртвият се подигна и седна, и почна да говори. И Исус го даде на майка му.
16 Kisha hofu ikawajaa wote. wakaendelea kumtukuza Mungu wakisema “Nabii mkuu ameinuliwa miongoni mwetu” na “Mungu amewaangalia watu wake”
И страх обзе всички, и славеха Бога, казвайки: Велик пророк се издигна между нас; и Бог посети Своите люде.
17 Hizi habari njema za Yesu zilienea Yudea yote na kwa mikoa yote ya jirani.
И това, което казваха, се разнесе за Него по цяла Юдея и по цялата околност.
18 Wanafunzi wa Yohana walimwamwambia mambo haya yote.
И учениците на Иоана му известиха за всичко това.
19 Ndipo Yohana akawaita wawili wa wanafunzi wake na kuwatuma kwa Bwana kusema “Wewe ndiye yule ajaye, au kuna mtu mwingine tumtazamie?
И Иоан повика двама от учениците си и ги прати при Господа да кажат: Ти ли си Оня, Който има да дойде, или друг да очакваме?
20 Walipofika karibu na Yesu hawa wakasema, “Yohana mbatizaji ametutuma kwako kusema, 'Wewe ni yule ajaye au kuna mtu mwingine tumtazamie?”
И като дойдоха при Него човеците рекоха: Иоан Кръстител ни прати до Тебе да кажем: Ти ли си Оня, Който има да дойде, или друг да очакваме?
21 kwa wakati huo aliowaponya watu wengi kutoka katika magonjwa na mateso, kutoka kwa roho wachafu, na kwa watu wenye upofu aliwapa kuona.
И в същия час Той изцели мнозина от болести и язви, и зли духове, и на мнозина слепи подари зрение.
22 Yesu akajibu na kusema kwao. “Baada ya kuwa mmekwenda mlikotoka mtamjulisha Yohana mlichokiona na kukisikia. Wenye upofu wanapokea kuona na viwete wanatembea, wenye ukoma wanatakasika, viziwi wanasikia, wafu wanafufuliwa na kuwa hai tena, masikini wanaambiwa habari njema.
Тогава в отговор им каза: Идете и разкажете на Иоана това, което видяхте и чухте, че слепи прогледват, куци прохождат, прокажени се очистват, и глухи прочуват; мъртви биват възкресени, и на сиромасите се проповядва благовестието.
23 Na mtu ambaye hataacha kuniamini mimi kwa sababu ya matendo yangu amebarikiwa”.
И блажен е оня, който не се съблазни в Мене.
24 Baada ya wale waliotumwa na Yohana kurudi walikotoka, Yesu akaanza kusema kwa makutano juu ya Yohana, “Mlikwenda nje kuona nini, mwanzi ukiwa unatikiswa na upepo?
А когато си отидоха пратените от Иоана, Исус почна да говори на народа за Иоана: Какво излязохте да видите в пустинята? Тръстика ли от вятър разлюлявана?
25 lakini mlikwenda nje kuona nini, mtu aliyevaa vizuri? tazama watu wale wanaovaa mavazi ya kifalme na kuishi maisha ya starehe wako kwenye nafasi za wafalme.
Но какво излязохте да видите? Човек ли в меки дрехи облечен? Ето великолепно облечените и ония, които живеят разкошно, са в царските дворци.
26 lakini mnakwenda nje kuona nini, Nabii? Ndiyo, ninasema kwenu na zaidi sana kuliko nabii.
Но какво излязохте да видите? Пророк ли? Да, казвам ви, и повече от пророк.
27 Huyu ndiye aliyeandikiwa, “Tazama, namtuma mjumbe wangu mbele ya macho yenu, atakeyeandaa njia kwa ajili yangu,
Това е оня, за когото е писано:
28 Nasema kwenu, kati ya wale waliozaliwa na mwanamke, hakuna mkuu kama Yohana, lakini mtu asiye muhimu sana atakayeishi na Mungu mahali alipo yeye, atakuwa mkuu kuliko Yohana.”
Казвам ви: Между родените от жена няма по-голям от Иоана; обаче, по-малкият в Божието царство е по-голям от него.
29 Na watu wote waliposikia haya pamoja na watoza ushuru, walitangaza kuwa Mungu ni mwenye Haki. Walikuwepo kati yao wale waliobatizwa kwa ubatizo wa Yohana.
(И всички люде и бирници, като чуха това, признаха Божията правда, като бяха се кръстили с Иоановото кръщение.
30 Lakini mafarisayo na wataalamu wa sheria za kiyahudi, ambao hawakubatizwa na yeye walikataa hekima za Mungu kwa ajili yao wenyewe.
А фарисеите и законниците осуетиха Божията воля спрямо себе си, като не бяха се кръстили от него).
31 Tena naweza kuwalinganisha na nini watu wa kizazi hiki? Wakoje hasai?
А на какво да уподобя човеците от това поколение? И на какво приличат?
32 Wanafanana na watoto wanaocheza kwenye eneo la soko, wanaokaa na kuitana mmoja baada wa mwingine wakisema, 'Tumepuliza filimbi kwa ajili yenu, na hamkucheza. tumeomboleza na hamkulia.'
Те приличат на деца, седящи на пазаря, които викат едно на друго, казвайки: Свирихме ви, и не играхте; ридахме, и не плакахте.
33 Yohana mbatizaji alikuja hakula mkate wala hakunywa divai, na mkasema “Ana pepo.
Защото Иоан Кръстител дойде, който нито хляб яде, нито вино пие, и казвате: Бяс има.
34 Mwana wa Mtu amekuja amekula na kunywa na mkasema, “Angali ni mlafi na mlevi, rafiki wa watoza ushuru na wenye dhambi!
Дойде Човешкият Син, който яде и пие, и казвате: Ето човек лаком и винопиец, приятел на бирниците и на грешниците.
35 Lakini hekima imetambulika kuwa ina haki kwa watoto wake wote.”
Но пак мъдростта се оправдава от всичките си чада.
36 Mmoja wa mafarisayo alimwomba Yesu aende kula pamoja naye. Baada ya Yesu kuingia kwenye nyumba ya farisayo, aliegemea kwenye meza ili ale.
И един от фарисеите го покани да яде с него; и Той влезе във фарисеевата къща и седна на трапезата.
37 Tazama kulikuwa na mwanamke mmoja katika jiji hilo aliyekuwa na dhambi. Akagundua kuwa alikuwa amekaa kwa Farisayo, akaleta chupa ya manukato.
И, ето, една жена от града, която беше грешница, като разбра, че седи на трапезата във фарисеевата къща, донесе алавастрен съд с миро.
38 Alisimama nyuma yake karibu na miguu yake huku akilia. Tena alianza kulowanisha miguu yake kwa machozi, na kuifuta kwa nywele za kichwa chake, akiibusu miguu yake na kuipaka manukato.
И като застана отзаде при нозете Му и плачеше, почна да облива нозете Му със сълзи и да ги изтрива с косата си, целуваше нозете Му, и мажеше ги с мирото.
39 Na yule farisayo aliyekuwa amemwalika Yesu alipoona hivyo, akawaza mwenyewe akisema, “Kama huyu mtu angekuwa nabii, angejua huyu ni nani na ni aina gani ya mwanamke anayemgusa, ya kuwa ni mwenye dhambi.
А като видя това фарисеят, който Го бе поканил, думаше в себе си, казвайки: Тоя ако беше пророк, щеше да знае коя и каква е жената, която се допира до Него, че е грешница.
40 Yesu akajibu na kumwambia, “Simoni nina kitu cha kukuambia. “Akasema” “Kiseme tu mwalimu!”
А Исус в отговор му рече: Симоне, имам нещо да ти кажа. А той рече: Учителю, кажи!
41 Yesu akasema “Kulikuwa na wadaiwa wawili kwa mkopeshaji mmoja. Mmoja alikuwa anadaiwa dinari mia tano na wa pili alidaiwa dinari hamsini.
Някой си заемодавец имаше двама длъжника; единият дължеше петстотин динара, а другият
42 Na walipokuwa hawana pesa ya kumlipa aliwasamehe wote. Sasa ni nani atampenda zaidi?
И понеже нямаха с какво да му платят, той прости и на двамата. И тъй, кой от тях ще го обикне повече?
43 Simoni akamjibu na kusema, “Nadhani aliyesamehewa zaidi.”Yesu akamwambia, “Umehukumu kwa usahihi.”
В отговор Симон рече: Мисля, че оня, комуто е простил повечето. А Той му рече: Право си отсъдил.
44 Yesu akamgeukia mwanamke na kusema kwa Simoni, “Unamwona huyu mwanamke. Nimeingia kwenye Nyumba yako. Hukunipa maji kwa ajili ya miguu yangu, lakini huyu, kwa machozi yake, alilowanisha miguu yangu na kuifuta kwa nywele zake.
И като се обърна към жената, рече на Симона: Видиш ли тая жена? Влязох в къщата ти, и ти вода за нозете Ми не даде; а тя със сълзи обля нозете Ми, и с косата си ги изтри.
45 Hukunibusu, lakini yeye, tangu alipoingia humu hakuacha kunibusu miguu yangu.
Ти целувка ми не даде; а тя, откак съм влязъл не е престанала да целува нозете Ми.
46 Hukuipaka miguu yangu kwa mafuta, lakini ameipaka miguu yangu kwa manukato.
Ти с масло не помаза главата Ми; а тя с миро помаза нозете Ми.
47 Kwa jambo hili, nakwambia kwamba alikuwa na dhambi nyingi na amesamehewa zaidi, na pia alipenda zaidi. Lakini aliyesamehewa kidogo, hupenda kidogo tu.”
Затова ти казвам: Прощават - се многото грехове; (защото тя обикна много); а комуто малко се прощава, той малко обича.
48 Baadaye akamwambia mwanamke, “Dhambi zako zimesamehewa”
И рече -: Прощават ти се греховете.
49 Wale waliokaa mezani pamoja naye wakaanza kusemezana wao kwa wao, “Huyu ni nani mpaka anasamehe dhambi?”
И тия, които седяха с Него на трапезата, почнаха да казват помежду си: Кой е тоя, който и греховете прощава?
50 Na Yesu akamwambia mwanamke, “Imani yako imekuokoa. Enenda kwa amani”
И рече на жената: Твоята вяра те спаси; иди си с мир.

< Luka 7 >