< Luka 6 >

1 Sasa ilitokea kwenye Sabato kwamba Yesu alikuwa akipita katika ya shamba la nafaka na wanafunzi wake walikuwa wakichuma masuke, wakayasuguasugua kati ya mikono yao wakala nafaka.
YA susede y un sabado, jumajanao si Jesus gui fangualuan maies; ya y disipuluña sija, manmanjajala ni y masotcan maies, ya jacano, jagugugan ni y canaeñija.
2 Lakini baadhi ya Mafarisayo wakasema, “Kwa nini mnafanya kitu ambacho si halali kisheria kukifanya siku ya sabato”?
Ya y Fariseo sija ilegñija: Jafa na infatitinas y ti tunas na umafatinas gui sabado na jaane:
3 Yesu, akawajibu, akisema, “Hamkuwahi kusoma kile Daudi alifanya alipokuwa na njaa, yeye na wanaume waliokuwa pamoja naye?
Ya maninepe as Jesus iligña: Taya nae intaetae este y finatinas David anae ñalang yan y mangachongña?
4 Alikwenda katika nyumba ya Mungu, na akachukuwa mikate mitakatifu na kuila baadhi, na kuitoa baadhi kwa watu aliokuwa nao kuila, hatakama ilikuwa halali kwa makuhani kuila.”
Anae jumalom gui guimayuus, ya jachule ya jacano y pan ni y mafamamauleg, yan janae locue y mangachongña: ni y ti tunas na ucano na para y mamaleja?
5 Kisha akawaambia, “Mwana wa Adamu ni Bwana wa Sabato.”
Ya ilegña nu sija: Y Lajin Taotao locue Señot y sabado.
6 Ilitokea katika Sabato nyingine kwamba alikwenda ndani ya sinagogi na kuwafundisha watu huko. Palikuwa na mtu ambaye mkono wake wa kulia ulikuwa umepooza.
Ya susede y otro sabado, na jumalom gui guimayuus ya mamanagüe: ya estaba güije un taotao na anglo y agapa na canaeña.
7 Waandishi na Mafarisayo walikuwa wanamwangalia kwa makini kuona kama angemponya mtu siku ya Sabato, ili waweze kupata sababu ya kumshtaki kwa kufanya kosa.
Ya y escriba yan y Fariseo sija maaatan güe, cao unajomlo gui sabado na jaane; para uquefanmañoda jafa ya umafaaela.
8 Lakini alijua nini walikuwa wanafikiri na akasema kwa mtu aliyekuwa amepooza mkono, “Amka, simama hapa katikati ya kila mmoja.” Hivyo huyo mtu akanyanyuka na kusimama pale.
Lao jatungoja y jinasonñija; ya ilegña ni ayo na taotao y anglo canaeña: Cajulo ya untojgue gui tálolo! ya tumojgue julo.
9 Yesu akasema kwao, “Nawauliza ninyi, ni halali siku ya Sabato kufanya mema au kufanya madhara, kuokoa maisha au kuyaharibu?” Kisha aliwaangalia wote na kumwambia yule mtu,
Ya ilegña si Jesus nu sija: Jufafaesen jamyo uno. Tunas gui sabado na umafatinas y mauleg pat y taelaye? numalibre linâlâ pat mamuno?
10 “Nyoosha mkono wako.” Akafanya hivyo, na mkono wake ulikuwa umeponywa.
Ya jaatan todos y oriyañija ya ilegña nu güiya: Estira mona y canaemo. Ya guiya jafatinas taegüije, ya y canaeña numalo ya magong taegüije y otro.
11 Lakini walijawa na hasira, wakaongeleshana wao kwa wao kuhusu nini wanapaswa wafanye kwa Yesu.
Ya sija mansénbubo, ya manguecuentos uno yan otro, jafa mojon ujafatinas gui as Jesus.
12 Ilitokea siku hizo kwamba alikwenda mlimani kuomba. Aliendelea usiku mzima kumuomba Mungu.
Ya susede gui ayo sija na jaane, jumanao para ufanaetae gui un ogso ya todo y puenge jasigue di manaetaeja para as Yuus.
13 Ilipokuwa asubuhi, aliwaita wanafunzi wake kwake, na akawachagua kumi na wawili kati yao, ambao pia aliwaita “mitume.”
Ya anae manana, jaagang y disipuluña sija; ya jaayig dose guiya sija, ni manmafanaan locue apostoles.
14 Majina ya wale mitume yalikuwa Simoni (ambaye pia alimwita Petro) na Andrea ndugu yake, Yakobo, Yohana, Filipo, Bartolomayo,
Si Simon ni jafanaan locue Pedro, yan si Andres cheluña, yan si Santiago, yan si Juan, si Felipe, yan si Bartolome,
15 Mathayo, Tomaso na Yakobo mwana wa Alfayo, Simoni, ambaye aliitwa Zelote,
Yan si Mateo, yan si Tomas, yan si Santiago, lajin Alfeo, yan si Simon ni mafanaan Selote,
16 Yuda mwana Yakobo na Yuda Iskariote, ambaye alikuwa msaliti msaliti.
Yan si Judas chelun Santiago, yan si Judas Iscariote ni y traidot;
17 Kisha Yesu alitelemka pamoja nao toka mlimani na kusimama mahali tambarare. Idadi kubwa ya wanafunzi wake walikuwa huko, pamoja na idadi kubwa ya watu kutoka Uyahudi na Yerusalemu, na kutoka pwani ya Tiro na Sidoni.
Ya manunog yan sija ya tumojgue gui un lugat ni yano; yan y dangculon linajyan disipuluña sija, yan y dangculon linajyan taotao, guinin todo yya Judea, yan yya Jerusalem, yan y tano Tiro yan yya Sidon, ni manmato para umaecungog, yan para uninafanmagong y chetnotñija;
18 Walikuja kumsikiliza na kuponywa magonjwa yao. Watu waliokuwa wakisumbuliwa na pepo wachafu waliponywa pia.
Yan manafanmagong ayo sija y munafanachatsaga ni y espiritun áplacha.
19 Kila mmoja kwenye hilo kusanyiko alijaribu kumgusa kwa sababu nguvu za uponyaji zilikuwa zikitokea ndani yake, na aliwaponya wote.
Ya manmalago pumapacha güe y linajyan taotao: sa manjujuyong guiya güiya ninasiña ya janafanmamagong todo sija.
20 Kisha akawaangalia wanafunzi wake, na kusema, “Mmebarikiwa ninyi mlio maskini, kwa maana ufalme wa Mungu ni wenu.
Ya güiya manatan julo gui disipuluña, ya ilegña: Mandichoso jamyo ni mamobble; sa iyonmiyo y raenon Yuus.
21 Mmebarikiwa ninyi mlio na njaa sasa, kwa maana mtashibishwa. Mmebarikiwa ninyi mliao sasa, kwa maana mtacheka.
Mandichoso jamyo ni y manñalang pago: sa ufanjaspog. Mandichoso y manatanges: sa ufañaleg.
22 Mmebarikiwa ninyi ambao watu watakapowachukia na kuwatenga na kuwashutumu ninyi kwamba ni waovu, kwa ajili ya Mwana Adamu.
Mandichoso jamyo yaguin y taotao sija infanchinatlie, yan ujaapatta sija guiya jamyo ya ujalalatde jamyo ya ujayute juyong y naanmiyo pot taelaye pot causa y Lajin taotao.
23 Furahini katika siku hiyo na kurukaruka kwa furaha, kwa sababu hakika mtakuwa na thawabu kubwa mbinguni, kwa maana baba zao waliwatendea vivyohivyo manabii.
Fansenmagof güije na jaane; yan infanayog ni minagofmiyo: sa, estagüe, y premionmiyo dangculo gui langet; sa taegüenaoja jafatitinas y tatañija ni y profeta sija.
24 Lakini ole wenu mlio matajiri! Kwa maana mmekwisha pata faraja yenu.
Lao ay jamyo ni manrico! sa esta guaja consuelonmiyo.
25 Ole wenu mlio shiba sasa! Kwa maana mtaona njaa baadaye. Ole wenu mnaocheka sasa! Kwa maana mtaomboleza na kulia baadaye.
Ay jamyo ni esta manjaspog pago! sa infanñalang. Ay jamyo ni mañachaleg pago! sa jamyo infanugong yan infananges.
26 Ole wenu, mtakaposifiwa na watu wote! Kwa maana baba zao waliwatendea manabii wa uongo vivyohivyo.
Ay jamyo yaguin todo y taotao sija manguecuentos mauleg nu jamyo! sa taegüenaoja ujafatinas y tatañija ni y manfatso na profeta.
27 Lakini nasema kwenu ninyi mnaonisikiliza, wapendeni adui zenu na kufanya mema kwa wanao wachukieni.
Lao jusangangane jamyo ni jumujungog: Güaeya y enemigonmiyo; fatinas mauleg ni y chumatlie jamyo,
28 Wabarikini wale wanao walaani ninyi na waombeeni wale wanaowaonea.
Bendise y mumatdise jamyo, ya infanmanaetae pot y namamajlao jamyo.
29 Kwake yeye akupigaye shavu moja, mgeuzie na la pili. Kama mtu akikunyang'anya joho lako usimzuilie na kanzu.
Ya pumatmada y un banda fasumo, naeja locue ni y otro, ya y chumule y capamo, chamo chumochoma na uchule y chininamo locue.
30 Mpe kila akuombaye. Kama mtu akikunyang'anya kitu ambacho ni mali yako, usimuombe akurudishie.
Ya cada uno ni y gumagaojao, nae; ya y chumule y güinajamo, chamo tumalulugua gumagao.
31 Kama mpendavyo watu wawatendee, nanyi watendeeni vivyo hivyo.
Ya jafa y malagomiyo ni y taotao jafatinas nu jamyo; taegüijija fatinas locue nu sija:
32 Kama mkiwapenda watu wawapendao ninyi tu, hiyo ni thawabu gani kwenu? Kwamaana hata wenye dhambi huwapenda wale wawapendao.
Sa yaguin inguaeya y gumaeya jamyo, jafa na grasia guajanmiyo? sa y manisao locue jaguaeya y gumaeya sija.
33 Kama mkiwatendea mema wale wanaowatendea ninyi mema, hiyo ni thawabu gani kwenu? Kwa maana hata wenye dhambi hufanya vivyo hivyo.
Yaguin infatinas mauleg ni y fumamamauleg jamyo, jafa na grasia guajanmiyo? sa y manisao locue jafatitinasja taegüenao.
34 Kama mkikopesha vitu kwa watu ambao mnategemea watawarudishia, hiyo ni thawabu gani kwenu? Hata wenye dhambi huwakopesha wenye dhambi, na hutegemea kupokea kiasi hicho hicho tena.
Yanguin innaayao na ayo sija ni y guaja ninanggamo para infanresibe, jafa na grasia guajanmiyo: sa y manisao janaayao y manisao para ufanmanresibe taegüije talo.
35 Lakini wapendeni adui zenu na watendeeni mema. Wakopesheni na msihofu kuhusu kurudishiwa, na thawabu yenu itakuwa kubwa. Mtakuwa wana wa Aliye Juu, kwasababu yeye mwenyewe ni mwema kwa watu wasio na shukurani na waovu.
Lao guaeya jamyo y enimigunmiyo ya infatinas mauleg nu sija: ya innaaayao, ya chamiyo fantataeninangga, ya udangculo y premionmiyo yan infanfamaguon y Gueftaguilo: sa güiya cariñoso nu y ingrato sija, yan y taelaye.
36 Iweni na huruma, kama Baba yenu alivyo na huruma.
Jamyo locue fanyóase, taegüije y tatanmiyo ni y gaegue gui langet yóase.
37 Msihukumu, nanyi hamta hukumiwa. Msilaani, nanyi hamtalaaniwa. Sameheni wengine, nanyi mtasamehewa.
Chamiyo jumusga, sa ti infanjinisga: chamiyo sumetetensia, sa ti infansinentensia: nafanlibre, ya y ninafanlibre:
38 Wapeni wengine, nanyi mtapewa. Kiasi cha ukarimu - kilichoshindiliwa, kusukwasukwa na kumwagika - kitamwagika magotini penu. Kwa sababu kwa kipimo chochote mnachotumia kupimia, kipimo hicho hicho kitatumika kuwapimia ninyi.”
Fanmanae, ya infanmanae; mauleg na medida y majoño papa, ya umachaochao ya umachúchuda, ufanmannae y taotao sija gui jalom pechonmiyo; sa ayoja na medida y anae manmide jamyo: infanmamediye talo jamyo.
39 Kisha akawaambia mfano pia. “Je mtu aliye kipofu aweza kumwongoza mtu mwingine kipofu? Kama alifanya hivyo, basi wote wangalitumbukia shimoni, je wasingetumbukia?
Ya jasangane sija un acomparasion ilegña: Siña y bachet jaosgaejon y otro bachet? ti ujaachapodong y dos gui joyo?
40 Mwanafunzi hawi mkubwa kuliko mwalimu wake, lakini kila mtu akiisha kufundishwa kwa ukamilifu atakuwa kama mwalimu wake.
Y disipulo ti taquiloña qui y maestro: lao cada uno ni y cabales, güiya utaegüijija y maestroña.
41 Na kwa nini basi wakitazama kibanzi kilicho ndani ya jicho la ndugu yako, na boriti lililo ndani ya jicho lako huliangalii?
Ya jafa muna unlilie y migo gui atadog y chelumo; ya ti unlilie y jayo gui atadogmo?
42 Utawezaje kumwambia ndugu yako, 'Ndugu, naomba nikitoe kibanzi kilicho ndani ya jicho lako,' nawe huangalii boriti iliyo katika jicho lako mwenyewe? Mnafiki wewe! Kwanza itoe boriti katika jicho lako mwenyewe, ndipo utaona vizuri kutoa kibanzi katika jicho la ndugu yako.
Ya jafa muna siña unalog ni y chelumo: Chelujo, maela ya junajanao y migo gui atadogmo, yanguin jago ti unlilie y jayo gui atadogmo? Hipocrita jao, yute juyong finena y jayo gui atadogmo, ya ayo nae unlie claro para unnajanao y migo gui atadog y chelumo.
43 Kwa sababu hakuna mti mzuri uzaao matunda mabaya, wala hakuna mti mbaya uzaao matunda mazuri.
Sa taya mauleg na trongco, ni y fanogcha taelaye, ni y taelaye na trongco ni y fanogcha mauleg.
44 Kwa sababu kila mti hutambulika kwa matunda yake. Kwa sababu watu hawachumi tini kutoka kwenye miba, wala hawachumi zabibu kutoka kwenye michongoma.
Sa cada trongco matungoja pot y tinegchaña. Sa ti ufanmanrecoje y taotao sija igos gui manituca ni ufanmanrecoje ubas gui jalom gadon.
45 Mtu mwema katika hazina njema ya moyo wake hutoa yaliyo mema, na mtu mwovu katika hazina mbovu ya moyo wake hutoa yaliyo maovu. Kwa sababu kinywa chake husema yale yaujazayo moyo wake.
Y mauleg na taotao, ni y mauleg na guinaja gui corasonña, mañuñule mauleg; ya y taelaye na taotao, ni y taelaye na güinaja gui corasonña, mañuñule taelaye: sa y minegae y corason jasasangan y pachotña.
46 Kwanini mnaniita, 'Bwana, Bwana', na bado hamyatendi yale nisemayo?
Ya jafa na infananaanyo Señot, Señot, ya ti infatitinas y jusangangane jamyo?
47 Kila mtu ajaye kwangu na kuyasikia maneno yangu na kuyatendea kazi, nitawaonyesha jinsi alivyo.
Jaye y mato guiya guajo ya jaecungog y sinanganjo ya jafatinas; jufanue jaye parejuña:
48 Anafanana na mtu ajengae nyumba yake, ambaye huchimba chini sana, na kujenga msingi wa nyumba juu ya mwamba imara. Mafuriko yalipokuja, maporomoko ya maji yaliipiga nyumba, lakini hayakuweza kuitikisa, kwa sababu ilikuwa imejengwa vizuri.
Parejo yan un taotao ni y manjatsa guma, ya jaguadog tadong ya japolo y simiento gui jilo y fitme na acho; ya yanguin cajulo y manadan janom, ya milag y sadog chineneg ayo na guma; lao ti umayengyong, sa maplanta gui jilo y acho.
49 Lakini yeyote asikiaye neno langu na hakulitii; mfano wake ni mtu aliyejenga nyumba juu ya ardhi pasipokuwa na msingi, mto ulipoishukia kwa nguvu, nyumba ile ilitopata maangamizi makubwa.
Lao ayo y umeecungog ya ti jafatinas; parejo yan y taotao ni y manjatsa guma gui jilo oda ya ti janaye simiento; ya anae milag y sadog ya chineneg, enseguidas upodong; ya dangculo y yinilang ayo na guma.

< Luka 6 >