< Luka 5 >

1 Basi ilitokea wakati watu walipomkusanyikia na kumzunguka Yesu na kusikiliza neno la Mungu, ambapo alikuwa amesimama kando ya ziwa Genesareti.
А еднаж, когато народът Го притискаше да слуша Божието слово, Той стоеше при Генисаретското езеро.
2 Aliona mashua mbili zimetia nanga pembeni mwa ziwa. Wavuvi walikuwa wametoka na walikuwa wakiosha nyavu zao.
И видя две ладии, спрени край езерото; а рибарите бяха излезли от тях и изпираха мрежите си.
3 Yesu akaingia katika mojawapo ya zile mashua, ambayo ilikuwa ya Simoni na kumwomba aipeleke majini mbali kidogo na nchi kavu. Kisha akakaa na kufundisha kutokea kwenye mashua.
И като влезе в една от ладиите, която беше Симонова, помоли го да я отдалечи малко от сушата; и седна та поучаваше народа от ладията.
4 kuongea, akamwambia Simoni, “Ipeleke mashua yako mpaka kwenye kilindi cha maji nakushusha nyavu zako ili kuvua samaki.”
И като престана да говори, рече на Симона: Оттегли ладията към дълбокото и хвърлете мрежите за ловитба.
5 Simon akajibu na kusema, Bwana, tumefanya kazi usiku wote, na hatukukamata chochote, lakini kwa neno lako, nitazishusha nyavu.
А Симон в отговор рече: Учителю, цяла нощ се трудихме и нищо не уловихме; но по Твоята дума ще хвърля мрежите.
6 Walipofanya hivyo walikusanya kiasi kikubwa cha samaki na nyavu zao zikaanza kukatika.
И като сториха това, уловиха твърде много риба, така щото се прокъсваха мрежите им.
7 Hivyo wakawaashiria washirika wao kwenye mashua nyingine ili waja na kuwasaidia. Walikuja wakazijaza mashua zote, kiasi kwamba zikaanza kuzama.
И извикаха съдружниците си от другата ладия да им дойдат на помощ; и те дойдоха и напълниха и двете ладии, до толкова, щото щяха да потънат.
8 Lakini Simoni Petro, alipoona hivyo, alianguka magotini pa Yesu akisema,”Ondoka kwangu, kwa sababu mimi ni mtu mwenye dhambi Bwana.”
А Симон Петър, като видя това, падна пред Исусовите колене и каза: Иди си от мене, Господи, защото съм грешен човек.
9 Kwa sababu alishangazwa, na wote waliokuwa pamoja naye, kwa uvuvi wa samaki waliokuwa wameufanya.
Понеже той и всички, които бяха с него, се учудиха на ловитбата на рибите що уловиха,
10 Hili liliwajumuisha Yakobo na Yohana wana wa Zebedayo, ambao walikuwa washirika wa Simoni. Na Yesu akamwambia Simoni, “Usiogope, kwa sababu kuanzia sasa na kuendelea utavua watu.”
също и Яков и Иоан, синове на Заведея, които бяха Симонови съдружници. А Исус рече на Симона: Не бой се; отсега човеци ще ловиш.
11 Walipokwishazileta mashua zao nchi kavu, waliacha kila kitu na kumfuata yeye.
И когато извлякоха ладиите на сушата, оставиха всичко и отидоха след Него.
12 Ilitokea kwamba alipokuwa katika mji mmojawapo, mtu aliyekuwa amejaa ukoma alikuwa huko. Wakati alipomuona Yesu, alianguka akiinamisha uso kwake mpaka chini na kumuomba, akisema, “Bwana, ikiwa unataka, waweza kunitakasa.”
И когато беше в един от градовете, ето, човек, който беше цял прокажен, като видя Исуса, падна на лицето си и Му се помоли, казвайки: Господи, ако искаш можеш да ме очистиш.
13 Kisha Yesu alinyoosha mkono wake na kumgusa, akisema, “Nataka. Takasika.” Na saa ileile ukoma ukamwacha.
А Той простря ръка и се допря до него, и рече: Искам: бъди очистен! И на часа проказата го остави.
14 “Alimwagiza asimwambie mtu yeyote, lakini alimwambia, “Nenda zako, na ukajionyeshe kwa makuhani na utoe sadaka ya utakaso wako, sawasawa na kile Musa alichokiamuru, kwa ushuhuda kwao.”
И Той му заръча, никому да не каже това: Но, за свидетелство на тях, иди, каза, и се покажи на свещеника, и принеси за очистването си, според както е заповядал Моисей.
15 Lakini habari kumuhusu yeye zikaenea mbali zaidi, na umati mkubwa wa watu ukaja pamoja kumsikiliza akifundisha na kuponywa magonjwa yao.
Но още повече се разнасяше вестта за Него; и големи множества се събираха да слушат и да се изцеляват от болестите си.
16 Lakini mara kwa mara alijitenga faraghani na kuomba.
А Той се оттегляше в пустините и се молеше.
17 Ilitokea siku moja kati ya hizo siku alikuwa akifundisha, na walikuwapo Mafarisayo na waalimu wa sheria wamekaa hapo ambao walikuja wakitokea vijiji vingi tofauti katika mkoa wa Galilaya na Yudea, na pia kutokea katika mji wa Yerusalemu. Nguvu ya Bwana ilikuwa pamoja naye kuponya.
И през един от тия дни, когато Той поучаваше, там седяха фарисеи и законоучители, надошли от всяко село на Галилея, Юдея и Ерусалим; и сила от Господа бе с Него да изцелява.
18 watu kadhaa walikuja, wamembeba kwenye mkeka mtu aliyepooza, na wakatafuta njia ya kumwingiza ndani ili kumlaza chini mbele ya Yesu.
И ето мъже, които носеха на постелка един болен човек, който беше паралитик; и опитаха се да го внесат вътре и да го сложат пред Него.
19 Hawakupata njia ya kumwingiza ndani kwa sababu ya umati, hivyo walipanda juu ya paa la nyumba na kumshusha yule mtu chini kupitia kwenye vigae, juu mkeka wake katikati ya watu, mbele kabisa ya Yesu.
Но понеже не намериха през где да го внесат вътре, поради народа, качиха се на покрива, и през керемидите го спуснаха с постелката насред пред Исуса.
20 Akiangalia imani yao, Yesu alisema, “Rafiki, dhambi zako umesamehewa.”
И Той, като видя вярата им рече: Човече, прощават ти се греховете.
21 Waandishi na Mafarisayo waliaanza kuhoji hilo, wakisema, “Huyu ni nani anayeongea makufuru? Ni nani anaweza kusamehe dhambi ila Mungu pekee yake?”
Тогава книжниците и фарисеите почнаха да се препират, казвайки: Кой е Тоя, Който богохулствува? Кой може да прощава грехове, освен един Бог?
22 Lakini Yesu, akitambua nini walichokuwa wakifikiri, aliwajibu na kuwaambia, “Kwa nini mnaulizana hili mioyoni mwenu?
Но Исус, като видя разискванията им, каза им в отговор: Защо разисквате в сърцата си?
23 Kipi ni rahisi kusema, 'Dhambi zako zimesamehewa' au kusema 'Simama utembee?'
Кое е по-лесно, да река: Прощават ти се греховете, или да река: Стани и ходи?
24 Lakini mjue ya kwamba Mwana wa Adamu anayo mamlaka duniani ya kusamehe dhambi, Nakwambia wewe, 'Amka, chukua mkeka wako na uende nyumbani kwako.'”
Но за да познаете, че Човешкият Син има власт на земята да прощава грехове, (рече на паралитика): Казвам ти: Стани, дигни постелката си, и иди у дома си.
25 Wakati huo huo akaamka mbele yao na akachukua mkeka wake aliokuwa ameulalia. Kisha akariudi nyumbani kwake akimtukuza Mungu.
И начаса той стана пред тях, дигна това, на което лежеше, и отиде у дома си, като славеше Бога.
26 Kila mmoja alishangazwa na wakamtukuza Mungu. Walijawa na hofu, wakisema, “Tumeona mambo yasiyo ya kawaida leo.”
И те всички се учудиха и славеха Бога, и, изпълнени със страх, казваха: Днес видяхме пречудни неща.
27 Baada ya mambo haya kutokea, Yesu alitoka huko na akamwona mtoza ushuru aliyeitwa Lawi amekaa eneo la kukusanyia kodi. Akamwambia, “Nifuate.”
След това Исус като излезе, видя един бирник, на име Левий, седящ в бирничеството, и рече му: Върви след Мене.
28 Hivyo Lawi akanyanyuka na kumfuata, akiacha kila kitu nyuma.
Той остави всичко, стана и тръгна след Него.
29 Kisha Lawi akaandaa nyumbani kwake karamu kubwa kwa ajili ya Yesu. Walikuwapo watozaushuru wengi kule na watu wengi walioketi mezani wakila pamoja nao.
А Левий Му направи голямо угощение в къщата си; и имаше голямо множество бирници и други, които седяха на трапезата с тях.
30 Lakini Mafarisayo na waandishi wao walikuwa wakiwanung'unikia wanafunzi, wakisema, “Kwa nini mnakula na kunywa na watoza ushuru pamoja na watu wengine wenye dhambi?”
А фарисеите и техните книжници роптаеха против учениците Му, казвайки: Защо ядете и пиете с бирниците и грешниците?
31 Yesu akawajibu, “Watu walio katika afya njema hawahitaji tabibu, ni wale tu wanaoumwa ndiyo watakao mhitaji mmoja.
Исус в отговор им рече: Здравите нямат нужда от лекар, а болните.
32 Sikuja kuwaita watu wenye haki haki wapate kutubu, bali kuwaita wenye dhambi wapate kutubu.”
Не съм дошъл да призова праведните, но грешните на покаяние.
33 Wakamwambia, “Wanafunzi wa Yohana mara nyingi hufunga na kuomba, na wanafunzi wa Mafarisayo nao hufanya vivyo hivyo. Lakini wanafunzi wako hula na kunywa.”
И те Му рекоха: Иоановите ученици често постят и правят молитви, така и фарисейските, а Твоите ядат и пият.
34 Yesu akawaambia, “Inawezekana mtu yeyote akawafanya waliohudhuria harusi ya Bwana Arusi kufunga wakati Bwana Arusi bado yu pamoja nao?
Исус им рече: Можете ли да накарате сватбарите да постят докато е с тях младоженецът?
35 Lakini siku zitakuja wakati Bwana Arusi atakapoondolewa kwao, ndipo katika siku hizo watafunga.”
Ще дойдат, обаче дни, когато младоженецът ще се отнеме от тях; тогава, през ония дни, ще постят.
36 Kisha Yesu aliongea pia kwao kwa mfano. “Hakuna anayechana kipande cha nguo kutoka kwenye vazi jipya na kukitumia kurekebisha vazi la zamani. Kama akifanya hivyo, ataichana nguo mpya, na kipande cha nguo kutoka vazi jipya kisengefaa kutumika na nguo ya vazi la zamani.
Каза им още и притча: Никой не отдира кръпка от нова дреха да я тури на вехта дреха; инак и новата дреха се съдира, и кръпката от новата не прилича на вехтата.
37 pia, hakuna mtu ambaye huweka divai mpya kwenye viriba vikuukuu. Kama akifanya hivyo, divai mpya ingepasua kile chombo, na divai ingemwagika, na viriba vingeharibika.
И никой не налива ново вино в стари мехове; инак, новото вино ще пръсне меховете, и то само ще изтече, и меховете ще се изхабят.
38 Lakini divai mpya lazima iwekwe kwenye viriba vipya.
Но трябва да се налива ново вино в нови мехове.
39 Na hakuna mtu baada ya kunywa divai ya zamani, hutataka mpya, kwa sababu husema, 'Ya zamani ni bora.”'
И никой, след като е пил старо вино, не иска ново, защото казва: Старото е по-добро.

< Luka 5 >