< Luka 24 >

1 Mapema sana siku ya kwanza ya juma, walikuja kaburini, wakileta manukato ambayo walikuwa wameyaandaa.
Dănzorja ăn duminikă mujeri apljikat la gruapă ku jarbilje š ku unturilje karje miruasă če lja pripremit.
2 Wakakuta jiwe limevingirishwa mbali na kaburi.
Kănd jalje ažuns, avizut k je buluvanu karje ăvilja ulazu la gruapă runkat ăn partje.
3 Wakaingia ndani, lakini hawakuukuta mwili wa Bwana Yesu.
Auntrat ănontru, ali na găsăt tjela alu Domnuluj Isusuluj.
4 Ilitokea kwamba, wakati wamechanganyikiwa kuhusu hili, ghafla, watu wawili walisimama katikati yao wamevaa mavazi ya kung'aa.
Pănd jalje aša astat zbunjitje păntruv aja če sa dogodit, dăturdată pănglă jej sa pojavit doj omurj ăn cualje karje blistjaštje.
5 Wanawake wakiwa wamejaa hofu na wakiinamisha nyuso zao chini, wakawaambia wanawake, “Kwanini mnamtafuta aliye hai miongoni mwa wafu?
Mujerilje sa spirjat š sa poklonit ku lica kătri pămănt. Doj omurj lja tribat: “Dăče kătăc p viuv ăntră morc?
6 Hayupo hapa, ila amefufuka! Kumbukeni alivyosema nanyi alipokuwa angali Galilaya,
Nuje aiča. Auskrăsnit! Dali nu vu găndic če vam zăs još ăn Galileja:
7 akisema kwamba Mwana wa Adamu lazima atolewe kwenye mikono ya watu wenye dhambi na asulubishwe, na siku ya tatu, afufuke tena.”
‘Jo, Bijatu alu Omuluj, mora s fiuv predajit ăn mănj alu grešnikulor š jej p minje osă m razapnjaskă, ali jo aldă trje zălje osă m skol dăla morc.’”
8 Wale wanawake wakakumbuka maneno yake,
Jalje sa dat d gănd k Isusu aja azăs.
9 na wakarudi kutoka kaburini na wakawaambia mambo haya yote wale kumi na moja na wengine wote.
Š sa tors dăla gruapă s javjaskă alu unsprjače apostolurj š alu toc alcilor.
10 Basi Maria Magdalena, Joana, Maria mama wa Yakobo, na wanawake wengine pamoja nao wakatoa taarifa hizi kwa mitume.
Irja alja Marija d trg Magdala, Ivana š Marija, mama alu Jakov, š još njeke mujerj. Arubit tot alu apostolilor če sa dogodit,
11 Lakini ujumbe huu ukaonekana kama mzaha tu kwa mitume, na hawakuwaamini wale wanawake.
ali alu apostolilor sa spurut k tot aja mujerj aizmislit. Š nu lja krizut alu mujerilor.
12 Hata hivyo Petro aliamka, na akakimbia kuelekea kaburini, na akichungulia na kuangalia ndani, aliona sanda peke yake. Petro kisha akaondoka akaenda nyumbani kwake, akistaajabu nini ambacho kimetokea.
Ipak, Petar dă fuga pănla gruapă. Kănd ažuns, s ujtă ănontru ali na vizut nimika osim skumpă albă plahtă ăn karje irja Isusu. Apljikat dăla gruapă š s ăntriba če sa dogodit.
13 Na tazama, wawili miongoni mwao walikuwa wakienda siku hiyo hiyo katika kijiji kimoja kiitwacho Emmau, ambacho kilikuwa maili sitini kutoka Yerusalemu.
Ăn zuvaja doj učenikurj alu Isusuluj pljakă ăn sat Emaus, dăpartje d Jeruzalem njeđe unsprjače kilomjatrje.
14 Wakajadiliana wao kwa wao kuhusu mambo yote yaliyotokea.
P drum arubit d tot ča fost.
15 Ikatokea kwamba, wakati walipokuwa wakijadiliana na kuulizana maswali, Yesu akasogea karibu akaambatana nao.
Pănd jej aša arubit š raspravlja ăntră jej, avinjit Isusu š pljakă ku jej.
16 Lakini macho yao yalizuiliwa katika kumtambua yeye.
Ali alu vojki alor irja skuns s l kunaskă.
17 Yesu akawaambia, “Nini ambacho ninyi wawili mnakiongelea wakati mnatembea?” Wakasimama pale wakionekana na huzuni.
Isusu lja antribat: “D čaja aja raspravljic pănd putujic?” Jej astat pljinj d tugă.
18 Mmoja wao, jina lake Cleopa, akamjibu, “Je wewe ni mtu pekee hapa Yerusalemu ambaye hajui mambo yaliyotokea huko siku hizi?”
Unu dăn jej, karje s kjamă Kleofa, ja odgovorit: “Tu ješt jedini om karje avinjit d praznik ăn Jeruzalem karje nu štije ča fost ăn zuviljaštja.”
19 Yesu akawaambia, “Mambo gani?” Wakamjibu, “Mambo kuhusu Yesu Mnazareti, ambaye alikuwa nabii, muweza katika matendo na maneno mbele za Mungu na watu wote.
Isusu ăntrijabă: “Če afost?” Azăs: “Pa aja ča fost ku Isusu dăn Nazaret. Jel irja proroku š tuată lumja aputut s vjadă ku vorbilje š ku djela aluj k la trimjes Dimizov.
20 Na kwa jinsi ambayo wakuu wa makuhani na viongozi wetu walivyomtoa kuhukumiwa kifo na kumsulubisha.
Pănglă aja glavni popurlje š alji noštri altje članurlje alu vječe Amarje la predajit s fije osudit p muartje š la dat s l razapnjaskă.
21 Lakini tulitumaini kwamba yeye ndiye atakaye waweka huru Israeli. Ndiyo, mbali na haya yote, sasa ni siku ya tatu tangu mambo haya yatokee.
A noj njam nadit k jel ăla karje osă spasaskă p narodu alu Izrael dăla dušmanu aluj, već atrikut trje zălje d kănd je mort.
22 Lakini pia, baadhi ya wanawake kutoka katika kundi letu walitushangaza, baada ya kuwapo kaburini asubuhi na mapema.
Ali aja nuje tot k š njeke mujeri karje l pratja ku toc noj, nja zbunjit p noj: čim asvanit zuva jalje apljikat la gruapă,
23 Walipoukosa mwili wake, wakaja, wakisema kwamba waliona pia maono ya malaika waliosema kwamba yu hai.
ali ačija na găsăt tjela aluj. Avinjit š azăs k lji sa pokazăt anđelurlje š lja zăs k Isusu viuv.
24 Baadhi ya wanaume ambao walikuwa pamoja nasi walienda kaburini, na kukuta ni kama vile wanawake walivyosema. Lakini hawakumuona yeye.”
Njeki dăn noj adat fuga la gruapă š angăsăt k je gruapa guală baš kum azăs mujerilje, ali na vizut p Isusu k je viuv.”
25 Yesu akawaambia, “Ninyi watu wajinga na wenye mioyo mizito ya kuamini yote ambayo manabii wamesema!
P aja Isusu lja zăs: “O kum ištjec nerazumni! Dăče vuavă grjev s kridjec ăn aja ča zăs prorokurlje?
26 Je haikuwa lazima Yesu kuteseka kwa mambo haya, na kuingia katika utukufu wake?”
Dali nu tribja Kristu s trpjaskă tot majdată njego če s ănčapje s vladjaskă p toc?”
27 Kisha kuanzia kutoka kwa Musa na manabii wote, Yesu akawatafsiria mambo yanayomuhusu yeye katika maandiko yote.
Aša Isusu lja objasnit tot če Mojsije š toc prorokurlje azăs ăn Svăntă pismă d jel.
28 Walipokaribia kile kijiji, huko walikokuwa wakienda, Yesu akafanya kana kwamba anaendelea mbele.
Kănd avinjit upruapje d sat undje pljakă, Isusu sa fukut k vrja s pljače maj dăpartje.
29 Lakini walimlazimisha, wakisema, “Kaa pamoja nasi, maana inaelekea jioni na siku ni kama imeisha.” Hivyo Yesu akaingia kwenda kukaa nao.
Ali jej la nagovorit: “Rămăj ku noj! Već je sara. Vinje nuaptja!” Aša auntrat ăn kasă s rămăje ku jej.
30 Ilitokea kwamba, wakati amekaa nao kula, alichukua mkate, akaubariki, na kuuvunja, akawapa.
Pănd afost ku jej la astal, Isusu alat mălaju, zahvaljit alu Dimizovuluj, la frănt š la dat alor.
31 Kisha macho yao yakafunguliwa, wakamjua, na akatoweka ghafla mbele ya macho yao.
Atunča alor sa diškis vojki š jej la kunuskut. Ali jel la vojki alor anistanit.
32 Wakasemezana wao kwa wao, “Hivi mioyo yetu haikuwaka ndani yetu, wakati alipoongea nasi njiani, wakati alipotufungulia maandiko?”
A jej azăs unu alu altuluj: “Kum nja fost pljinje inimilje kănd p drum rubja ku noj š nji objasnja Svănta pisma!”
33 Wakanyanyuka saa hiyo hiyo, na kurudi Yerusalemu. Wakawakuta wale kumi na mmoja wamekusanyika pamoja, na wale waliokuwa pamoja nao,
Sa skulat š sa tors ăn Jeruzalem. Apljikat la lok undje sa străns unsprjače apostolurj š p alcă sljedbenikurj alu Isusuluj.
34 wakisema, “Bwana amefufuka kwelikweli, na amemtokea Simoni.”
Jej zăče: “Istina je, Domnu Isusu auskrisnit. Sa ukazăt alu Šimunuluj!”
35 Hivyo wakawaambia mambo yaliyotokea njiani, na namna Yesu alivyodhihirishwa kwao katika kuumega mkate.
Atunča š ăštja alji doj rubja če sa dogodit p drum š kum akunuskut p Isusu pănd jel afrănt mălaju.
36 Wakati wakiongea mambo hayo, Yesu mwenyewe alisimama katikati yao, na akawaambia, “Amani iwe kwenu.”
Pănd jej doj rubja, Isusu dăturdată astat ăntră jej toc. Lji zăče: “Mir vuavă!”
37 Lakini waliogopa na kujawa na hofu, na wakafikiri kwamba waliona roho.
Ali lja afost frikă daja če găndit k vjadje măroj.
38 Yesu akawaambia, Kwanini mnafadhaika? Kwanini maswali yanainuka mioyoni mwenu?
Š Isusu lji zăče: “Dăče vu frikă? Dăče ăn voj s fače sumnje ăn inimă?”
39 Angalieni mikono yangu na miguu yangu, kwamba ni mimi mwenyewe. Niguseni na muone. Kwa maana roho haina nyama na mifupa, kama mnionavyo mimi kuwa navyo.”
Atunča lja arătat mănjilje š pičuarilje š azăs: “Ujtacăvă la rănj! Jo sănt aja! Punjec mănilje p minje š osă vidjec! Măroji narje karnje š vuasă kašă če lji am jo!”
40 Alipokwisha kusema hivi, akawaonyesha mikono yake na miguu yake.
41 Walipokuwa bado na furaha iliyochanganyikana na kutokuamini, na kustaajabu, Yesu akawaambia, “Je mna kitu chochote cha kula?”
A jej d radost na putut s krjadă alu vojki alor, njego sa mirat. Jel ăntrijabă: “Avjec čiva d mănkat?”
42 Wakampa kipande cha samaki aliyechomwa.
Ja dat krod d pjaštje pržăt,
43 Yesu akakichukua, na kukila mbele yao.
a jel l ja š mălănk pănglă jej.
44 Akawaambia, “Nilipokuwa nanyi, niliwaambia kwamba yote yalioandikwa kwenye sheria ya Musa na manabii na Zaburi lazima yatimilike.”
Atunča zăče: “Asta če sa dogodit upravo aja če vam zăs k osă dogodjaskă. Pănd majdată amfost ku voj, vam zăs: atribut s s ispunjaskă tot če skrije d minje ăn zakonu alu Mojsije, ăn knjige d prorokurj š ăn Psalmi.”
45 Kisha akafungua akili zao, kwamba waweze kuyaelewa maandiko.
Atunča lja žutat s razumjaskă čije skris ăn Svăntă pismă.
46 Akawaambia, “Kwamba imeandikwa, Kristo lazima ateseke, na kufufuka tena kutoka katika wafu siku ya tatu.
Kănd azavršăt jel azăs: “Kašă kum vidjec, aša skrije ăn Svăntă pismă k jo, Kristu, trjebje s trpjesk š s mor š aldă trje zălje s m skol dăla morc
47 Na toba na msamaha wa dhambi lazima ihubiriwe kwa jina lake kwa mataifa yote, kuanzia kutokea Yerusalemu.
š ku autoritetu alu mjov s rubjaskă alu tuată lumja k trjebje s s okrinjaskă dăla grešală š Dimizov osă lji oprostjaskă grešala. Osă ănčipjec ăn Jeruzalem
48 Ninyi ni mashahidi wa mambo haya.
s zăčec alu alcilor aja če voj auzăt š avizut dăla minje.
49 Angalia, nawapelekea ahadi ya Baba yangu juu yenu. Lakini subirini hapa jijini, mpaka mtakapovishwa nguvu kutoka juu.
A jo osă vu trimjet p Sufljetu alu Svăntuluj, p karje Tatimjov ăn čerj aobečit k vuavă osă vije. Răminjec ăn trg Jeruzalem pănd Dimizov nu trimjatje p voj săla d sus!”
50 Kisha Yesu akawaongoza nje mpaka walipokaribia Bethania. Akainua mikono yake juu, na akawabariki.
Isusu atunča askos p učenikurlje aluj d trg Jeruzalem pănla lok upruapje d sat Betanija. Ănklo adrikat mănilje š sa rugat s lji blagoslovjaskă Dimizov.
51 Ikatokea kwamba, wakati alipokuwa akiwabariki, aliwaacha na akabebwa juu kuelekea mbinguni.
Pănd lja blagoslovit, Isusu afost drikat p čerj tot pănd nu lja nistanit dăn vojk.
52 Basi wakamwabudu, na kurudi Yerusalemu na furaha kuu.
Učenikurlje sa poklonit la Isusu, a atunča jej sa tors ku marje radost ăn Jeruzalem.
53 Waliendelea kuwepo hekaluni, wakimbariki Mungu.
Atunča irja stalno ăn Hram š slavja p Dimizov.

< Luka 24 >