< Luka 21 >

1 Yesu alitazama akawaona wanaume matajiri waliokuwa wanaweka zawadi zao kwenye hazina.
Yesu walalangishisha, walabona bantu babile kababika bipo byabo mucakubikamo bipo byamali mu Ng'anda ya Lesa.
2 Akamuona mjane mmoja masikini akiweka senti zake mbili.
Walabona mutukashi mukalubingi kabikamo tumali tubili.
3 Hivyo akasema, “Kweli nawaambieni, huyu Mjane maskini ameweka nyingi kuliko wengine wote.
Lino Yesu walambeti, “Ndamwambilinga cakubinga uyu mukalubingi wapenga labikimo bupe bwapitapo bambi bonse.
4 Hawa wote wametoa hizi zawadi kutoka katika vingi walivyonavyo. Lakini huyu mjane, katika umaskini wake, ametoa fedha zote alizokuwa nazo kwa ajili ya kuishi kwake.”
Pakwinga bonse aba, balafunyu pa mali angi ngobakute, nsombi neye mubupenshi bwakendi labikimo mali onse ngakutenga mung'anda yakendi.”
5 Wakati wengine walipokuwa wakisema juu ya hekalu, namna lilivyokuwa limepambwa na mawe mazuri na matoleo, alisema,
Beshikwiya nabambi bali kabamba pamakani a Ng'anda ya Lesa eti balaibaka ne mabwe eshikuboneka cena, kayi nebipo byakutwala kuli Lesa. Lino Yesu walambeti,
6 “Kwa habari ya mambo haya mnayoyaona, siku zitakuja ambazo hakuna jiwe moja ambalo litaachwa juu ya jiwe jingine ambalo halitabomolewa.”
“Ibi byonse mbyomulabononga, nicikashike cindi mpoti kukabule libwe nambi limo lyeti likashale palibwe linendi, mabwe onse nakamwayaulwe.”
7 Hivyo wakamuuliza, wakasema, “Mwalimu, mambo haya yatatokea lini? Na nini ni itakuwa ishara kwamba haya mambo yako karibu kutokea?”
Lino beshikwiya balepusha Yesu eti, “Bashikwiyisha, nomba ibi nibikenshike lilyoni? Kayi nitukenshibile kucani eti bintu byonse ibi bili pepi kwinshika?”
8 Yesu akajibu, “Muwe waangalifu kwamba msidanganywe. Kwa sababu wengi watakuja kwa jina langu, wakisema, 'Mimi ndiye, 'na 'Muda umekaribia'. Msiwafuate.
Yesu walambeti, “Kamucenjelani kwambeti kutakaba muntu naba umo eti akamubepe. Pakwinga bantu bangi balakesanga mulina lyakame kabambeti, ‘Njame Mupulushi usa Walaiwa.’ Kayi eti, ‘cindi cilashiki.’ Mutakabakonkela.
9 Mkisikia vita na vuruguvurugu msiogope, kwa sababu haya mambo lazima yatokee kwanza, lakini mwisho hautatokea upesi.”
Mwakanyumfwa makani a nkondo kayi nebimfulunganya mubishi, mutakatina. Ibi bintu byelela kutanguna kwinshika, nomba nteko kwambeti mapwililisho a cishi alashiki.”
10 Kisha akawaambia, “Taifa litainuka kupigana na taifa jingine, na ufalme juu ya ufalme mwingine.
Lino Yesu walapitilisha kubambileti, “Bishi nibikalwane ne bishi nabimbi, nayoyo mishobo nikabukilane ne mishobo inabo.
11 Kutakuwa na matetemeko makubwa, na njaa na tauni katika maeneo mbalimbali. Kutakuwa na matukio ya kutisha na ishara za kutisha kutoka mbinguni.
Nikukabe mikukumo iyosha. Nikukabe nsala, malwashi ne lulanga mumisena yapusana pusana. Nikukenshike bintu byeshikuyosha nebingashilo byeshikukankamanisha kwilu.
12 Lakini kabla ya mambo haya yote, wataweka mikono yao juu yenu na kuwatesa, kuwapeleka kwenye masinagogi na magereza, kuwaleta mbele za wafalme na wenye mamlaka kwa sababu ya jina langu.
“Nsombi byonse ibi kabitana binshika, nimukasungwe nekupenshewa. Nimukatwalwe mumanda akupaililamo, nimukabetekwe nekubikwa mujele. Nimukatwalwe ku bami ne baleli pacebo ca njame.
13 Hii itawafungulia fursa kwa ushuhuda wenu.
Ici nicikabe cindi caina ca kukambauka Mulumbe Waina.
14 Kwahiyo amueni mioyoni mwenu kutoandaa utetezi wenu mapema,
Lino mutakasukama mumyoyo kuyeyeti nitwambe cani pamulanduyu.
15 kwa sababu nitawapa maneno na hekima, ambayo adui zenu wote hawataweza kuipinga au kuikana.
Pakwinga ninkamupe maswi a mano cakwambeti kuliya mulwani wenu eti akacikonshe kukana nambi kutoteka.
16 Lakini mtakataliwa pia na wazazi wenu, ndugu zenu, jamaa zenu na rafiki zenu, na watawaua baadhi yenu.
Ne bamashali benu bonse, bamakwenu, beshikamukowa, nebanenu, nibakamutwale kubalwani benu, bambi pakati penu nibakamushine.
17 Mtachukiwa na kila mmoja kwa sababu ya jina langu.
Bantu bonse nibakamupate pacebo ca njame.
18 Lakini hakuna hata unywele mmoja wa vichwa vyenu utakaopotea.
Necikabeco kuliya mushishi nambi umo wenu weshi ukataike.
19 Katika kuvumilia mtaziponya nafsi zenu.
Mukalimbikile cakubula kubwelela munyuma nimukatambule buyumi bwenu.”
20 Mtakapoona Yerusalemu imezungukwa na majeshi, basi jueni kwamba uharibifu wake umekaribia.
Mwakaboneti munshi wa Yelusalemu ulashingulukwa ne beshi nkondo, mukenshibeti konongeka kwawo kulashiki.
21 Hapo wale walioko Yudea wakimbilie milimani, na wale walioko katikati ya jiji waondoke, na msiwaache walioko vijijini kuingia.
Lino abo bali mu Yudeya bakafwambile kumilundu, abo beshi bakabenga mukati mu Yelusalemu bakapulemo, balikumabala kabatakengila mu Yelusalemu.
22 Maana hizi ni siku za kisasi, ili kwamba mambo yote yaliyoandikwa yapate kutimilika.
Pakwinga ici nicikabe cindi cacisubulo, kwambeti byonse bisa byalalembwa mumabala bikenshike.
23 Ole ni kwa wale walio na mimba na kwa wale wanyonyeshao katika siku hizo! Kwa maana kutakuwa na adha kuu juu ya nchi, na ghadhabu kwa watu hawa.
Batukashi beti bakabenga ne mabunda nibakabe mumapensho, nabo beshi bakabenga ne bana balayamwanga mumasubayo. Pakwinga nikukabe mapensho anene mucishici, kayi ne bukalu bwa Lesa nibukabe pabantu bamu Isilaeli.
24 Na wataanguka kwa ncha ya upanga na watachukuliwa mateka kwa mataifa yote, na Yerusalem itakanyagwa na watu wa mataifa, mpaka wakati wa watu wa mataifa utakapotimilika.
Nabambi nibakayaswe bibeshi kayi nibakamantwe busha kubantu bamishobo imbi. Lino Yelusalemu nikalyataulwe ne baswamashi kushikila cindi cabo cikapwe.
25 Kutakuwa na ishara katika jua, mwezi na nyota. Na katika nchi kutakuwa na dhiki ya mataifa, katika kukata tamaa kutokana na mlio wa bahari na mawimbi.
“Kulakabanga bingashilo kulisuba ne kumwenshi ne kunyenyenshi. Pacishi pano, bantu nibakalisukame nekutina pakunyumfwa kuwota kwa lwenje ne mankape.
26 Kutakuwa na watu wakizimia kwa hofu na katika kutarajia mambo yatakoyo tokea juu ya dunia. Kwa maana nguvu za mbingu zitatikiswa.
Bantu nibakawisuke ne buyowa pakulangilila bilandanga kwinshika mucishi ca panshi conse, pakwinga ngofu sha kwilu nishikatenkanishiwe.
27 Kisha watamwona Mwana wa Adamu akija mawinguni katika nguvu na utukufu mkuu.
Lino nibakabone ame nde Mwana Muntu kanjisa mumakumbi nengofu kayi nebulemu bunene.
28 Lakini mambo haya yatakapoanza kutokea, simameni, inueni vichwa vyenu, kwa sababu ukombozi wenu umesogea karibu.”
Lino bintu ibi byakatatika kwinshika, mukanyamuke nekwinuna mitwi yenu, pakwinga kulubulwa kwenu kulasenene pepi.”
29 Yesu akawaambia kwa mfano, “Uangalieni mtini, na miti yote.
Lino Yesu walabambila mukoshano eti, “Kamulangani mukuyu nebitondo bimbi byonse.
30 Inapotoa machipukizi, mnajionea wenyewe na kutambua kwamba kiangazi tayari kiko karibu.
Na mulabono matewu atatiki kusonsa mukute kwishibeti cilimo cili pepi.
31 Vivyo hivyo, mnapoona mambo haya yanatokea, ninyi tambueni ya kwamba ufalme wa Mungu umekaribia.
Copeleco nenjamwe mwakabona bintu ibi kabinshika mukenshibe kwambeti Bwami bwa Lesa buli pepi.
32 Kweli, nawaambieni, kizazi hiki hakitapita, mpaka mambo haya yote yatakapotokea.
“Ndamwambilinga cakubingeti musemano uwu nteti ukapwe kufwa bintu ibi kabitana binshika.
33 Mbingu na nchi zitapita, lakini maneno yangu hayatapita kamwe.
Kwilu ne cishi ca panshi nibikapite, nsombi maswi akame nteshi akapwepo ngofu sobwe.”
34 Lakini jiangalieni wenyewe, ili kwamba mioyo yenu isije ikalemewa na ufisadi, ulevi, na mahangaiko ya maisha haya. Kwa sababu ile siku itawajia ghafla
“Kamucenjelani kwambeti mutaba bantu basuni kulya ne kusekelela malyalya, nekukolwa kayi nekusukama pa bintu bya buyumi buno, pakwinga busuba ubo ngabwisa mwakutenshiba eti kose.
35 kama mtego. Kwasababu itakuwa juu ya kila mmoja aishiye katika uso wa dunia nzima.
Nibukese bushikubo pabantu bonse bekala pa cishi capanshi
36 Lakini mwe tayari wakati wote, mwombe kwamba mtakuwa imara vya kutosha kuyaepuka haya yote yatakayotokea, na kusimama mbele za Mwana wa Adamu.”
Ikalani mwalibambila lyonse, nekupaila cindi conse, kwambeti mube nengofu shakupuluka kubintu ibi byeshibikeshike, kwambeti mukemane pamenso pa Mwana Muntu.”
37 Hivyo wakati wa mchana alikuwa akifundisha hekaluni na usiku alitoka nje, na kwenda kukesha katika mlima unaoitwa wa Mzeituni.
Masuba ayo, Yesu walikeyisha mu Ng'anda ya Lesa, nsombi mashiku lyonse walikuya ku mulundu wa maolifi akwikala.
38 Watu wote walimjia asubuhi na mapemaili kumsikiliza ndani ya hekalu.
Lino mumenemene bantu bangi bali kabaya ku Ng'anda ya Lesa kuya kukutika kwiyisha kwakendi.

< Luka 21 >