< Luka 21 >

1 Yesu alitazama akawaona wanaume matajiri waliokuwa wanaweka zawadi zao kwenye hazina.
Yesu pealolokesa takataka, avawene vandu vevana vindu vyamahele chevisopa luteta muchijomela cha Nyumba ya Chapanga.
2 Akamuona mjane mmoja masikini akiweka senti zake mbili.
Mewa amuwene lipwela mngangu isopa mashonga sendi zivili.
3 Hivyo akasema, “Kweli nawaambieni, huyu Mjane maskini ameweka nyingi kuliko wengine wote.
Akajova, “Chakaka nikuvajovela, uyu lipwela mngangu asopili neju kuliku voha.
4 Hawa wote wametoa hizi zawadi kutoka katika vingi walivyonavyo. Lakini huyu mjane, katika umaskini wake, ametoa fedha zote alizokuwa nazo kwa ajili ya kuishi kwake.”
Muni, vangi voha vasopili luteta, muvindu vyavi vyeviyonjokisi, nambu mau uyu pamonga na ungangu waki asopili chindu cheavi nachu ndava ya wumi waki.”
5 Wakati wengine walipokuwa wakisema juu ya hekalu, namna lilivyokuwa limepambwa na mawe mazuri na matoleo, alisema,
Vandu vangi valongelelayi malovi ga kuyivala Nyumba ya Chapanga, cheyinyambwisi bwina kwa maganga ga mashonga gamahele, na luteta zezasopiwi kwa Chapanga kangi Yesu akajova.
6 “Kwa habari ya mambo haya mnayoyaona, siku zitakuja ambazo hakuna jiwe moja ambalo litaachwa juu ya jiwe jingine ambalo halitabomolewa.”
“Goha aga gemkugawona galabwela magono kawaka hati liganga limonga lelisigalila panani ya liganga lingi, kila chindu yati chidenyekana.”
7 Hivyo wakamuuliza, wakasema, “Mwalimu, mambo haya yatatokea lini? Na nini ni itakuwa ishara kwamba haya mambo yako karibu kutokea?”
Ndi vakamkota, “Muwula mambu, genago yati gihumila ndali? Hinu ulangisu woki weulangisa papipi pagihumila mambu genago?”
8 Yesu akajibu, “Muwe waangalifu kwamba msidanganywe. Kwa sababu wengi watakuja kwa jina langu, wakisema, 'Mimi ndiye, 'na 'Muda umekaribia'. Msiwafuate.
Yesu akavayangula, “Mujiyangalilayi, mkoto kukongiwa muni vamahele yati vibwela na kulihengela liina langu. Kuni kila mmonga yati ijova kuvya ‘Mwene ndi Kilisitu msangula!’ ‘Lukumbi luhikili!’ Nambu nyenye mkoto kuvalanda.
9 Mkisikia vita na vuruguvurugu msiogope, kwa sababu haya mambo lazima yatokee kwanza, lakini mwisho hautatokea upesi.”
Hinu, pamwiyuwana malovi ga ngondo na mng'anamukanu nakuyogopa, muni yiganikwa genago gahumila hoti, nambu pamwishu wene wakona.”
10 Kisha akawaambia, “Taifa litainuka kupigana na taifa jingine, na ufalme juu ya ufalme mwingine.
Kangi akayendelela kujova, “Vandu va mulima umonga yati witovana na vandu va mulima wungi, na unkosi umonga yati utovana na unkosi wungi.”
11 Kutakuwa na matetemeko makubwa, na njaa na tauni katika maeneo mbalimbali. Kutakuwa na matukio ya kutisha na ishara za kutisha kutoka mbinguni.
Kila pandu yati pivya na mindendemo yivaha ya ndima na njala na matamu ga kukangasa na kuyogofya, na ulangisu ukulu kuhumila kunani kuliundi.
12 Lakini kabla ya mambo haya yote, wataweka mikono yao juu yenu na kuwatesa, kuwapeleka kwenye masinagogi na magereza, kuwaleta mbele za wafalme na wenye mamlaka kwa sababu ya jina langu.
Nambu, kwakona kuhumila genago goha, yati vakuvakamula na vakuvang'aha na kuvapeleka munyumba za kukonganekela Vayawudi na kuvakunga muchifungu, yati vakuvapeleka kwa vankosi na vachilongosi, ndava ya liina langu,
13 Hii itawafungulia fursa kwa ushuhuda wenu.
muhotola kujova kwa vene.
14 Kwahiyo amueni mioyoni mwenu kutoandaa utetezi wenu mapema,
Mkangamala mumitima yinu, mkoto kuholela kwakona, wuli mukujikengelela,
15 kwa sababu nitawapa maneno na hekima, ambayo adui zenu wote hawataweza kuipinga au kuikana.
Ndava namwene yati nikuvapela malovi ga luhala, hati makoko winu yati nakuhotola kukangamala amala kuvabelela.
16 Lakini mtakataliwa pia na wazazi wenu, ndugu zenu, jamaa zenu na rafiki zenu, na watawaua baadhi yenu.
Vadadi na Vanyina vinu, valongo na vandu va lukolo lwinu na vankozi vinu, yati vakuvang'anamukila nyenye, vangi pagati yinu yati mwikomiwa.
17 Mtachukiwa na kila mmoja kwa sababu ya jina langu.
Vandu voha yati vakuvahakalila nyenye ndava yangu.
18 Lakini hakuna hata unywele mmoja wa vichwa vyenu utakaopotea.
Nambu, hati luyunju lumonga wa mumitu yinu lwiyaga lepi.
19 Katika kuvumilia mtaziponya nafsi zenu.
Msindimala, kwa kusindimala kwinu, yati mwisangula wumi winu.
20 Mtakapoona Yerusalemu imezungukwa na majeshi, basi jueni kwamba uharibifu wake umekaribia.
Nambu, “Pemwilola chikundi cha manjolinjoli chiutindili muji wa Yelusalemu, mumanya kuvya lusenje lwa kudenyeka kwaki luhikili.
21 Hapo wale walioko Yudea wakimbilie milimani, na wale walioko katikati ya jiji waondoke, na msiwaache walioko vijijini kuingia.
Hinu, vevavi ku Yudea vajumbalila kuchitumbi na vevavi kumuji vawuka na vevavi kumgunda vala vakotoka kuwuya kumuji.
22 Maana hizi ni siku za kisasi, ili kwamba mambo yote yaliyoandikwa yapate kutimilika.
Ndava magono ago ndi magono ga Chapanga kuvabuna vandu vaki, muni kukita mambu goha gegayandikwi mu Mayandiku Gamsopi gahengeka.
23 Ole ni kwa wale walio na mimba na kwa wale wanyonyeshao katika siku hizo! Kwa maana kutakuwa na adha kuu juu ya nchi, na ghadhabu kwa watu hawa.
Valachikolela vadala vana ndumbu na vevinyongesa magono genago! Muni yati kwiva na mang'ahiso gamahele mu mulima na ligoga la Chapanga likuvabwelela vandu va mulima wa Vayawudi.
24 Na wataanguka kwa ncha ya upanga na watachukuliwa mateka kwa mataifa yote, na Yerusalem itakanyagwa na watu wa mataifa, mpaka wakati wa watu wa mataifa utakapotimilika.
Vangi vikomiwa kwa upanga, vangi vitoliwa na kupechenganwa mumilima yoha, muji wa Yelusalemu yati wilongoswa na vandu vangali Vayawudi, mbaka mwishu wa ulongosi wavi.”
25 Kutakuwa na ishara katika jua, mwezi na nyota. Na katika nchi kutakuwa na dhiki ya mataifa, katika kukata tamaa kutokana na mlio wa bahari na mawimbi.
“Yati kwivya na ulangisu mulilanga na mwehi na ndondo. Na vandu pamulima yati vivagaya ndava ya wogohi wa kubuma kwa luyuga lwa nyanja.
26 Kutakuwa na watu wakizimia kwa hofu na katika kutarajia mambo yatakoyo tokea juu ya dunia. Kwa maana nguvu za mbingu zitatikiswa.
Vandu yati vihinduka ndava ya wogohi, pevilola mambu gegakuukolela mulima, muni vindu vyoha vya kulihundi lilanga na mwehi na ndondo na vingi vyoha yati vinyugusika.
27 Kisha watamwona Mwana wa Adamu akija mawinguni katika nguvu na utukufu mkuu.
Kangi, yati vamlola Mwana wa Mundu ibwela mulihundi, ana makakala na ukulu wamahele.
28 Lakini mambo haya yatakapoanza kutokea, simameni, inueni vichwa vyenu, kwa sababu ukombozi wenu umesogea karibu.”
Lukumbi mambu genago pagitumbula kuhumila, myimayi mkangamala, muni kugomboka kwinu kuhegalili.”
29 Yesu akawaambia kwa mfano, “Uangalieni mtini, na miti yote.
Kangi akavajovela luhumu, “Mlola mkongo wa mtini na mikongo yingi yoha.
30 Inapotoa machipukizi, mnajionea wenyewe na kutambua kwamba kiangazi tayari kiko karibu.
Pemwilola yitumbula kumela mahamba, mwavene mwimanya kuvya lusenje lwa fula luhegelili.
31 Vivyo hivyo, mnapoona mambo haya yanatokea, ninyi tambueni ya kwamba ufalme wa Mungu umekaribia.
Mewawa, pamwilola mambu genago gihengeka yati mwimanya kuvya Unkosi wa Chapanga uvi papipi.
32 Kweli, nawaambieni, kizazi hiki hakitapita, mpaka mambo haya yote yatakapotokea.
Chakaka nikuvajovela, chiveleku ichi cha hinu chipita lepi kwakona genago goha kuhengeka.
33 Mbingu na nchi zitapita, lakini maneno yangu hayatapita kamwe.
Kunani kwa Chapanga na pamulima yati ziwuka, nambu malovi gangu katu gipita lepi.”
34 Lakini jiangalieni wenyewe, ili kwamba mioyo yenu isije ikalemewa na ufisadi, ulevi, na mahangaiko ya maisha haya. Kwa sababu ile siku itawajia ghafla
“Mujiyangalilayi! Mitima yinu yikotoka kutopelwa, kwa mambu ga kugala na uhutulu na mang'ahiso ga mulima uwu. Muni ligono lenilo likuvabwelela chigafula.
35 kama mtego. Kwasababu itakuwa juu ya kila mmoja aishiye katika uso wa dunia nzima.
Muni yikuvabwelela ngati likoka vandu voha vevitama pamulima poha.
36 Lakini mwe tayari wakati wote, mwombe kwamba mtakuwa imara vya kutosha kuyaepuka haya yote yatakayotokea, na kusimama mbele za Mwana wa Adamu.”
Hinu muvyamihu, na muyupayi kwa Chapanga lukumbi lwoha muni muhotola mpata makakala ga kuyepa mambu genago goha pegihumila, na kuyima palongolo ya Mwana wa Mundu.”
37 Hivyo wakati wa mchana alikuwa akifundisha hekaluni na usiku alitoka nje, na kwenda kukesha katika mlima unaoitwa wa Mzeituni.
Kila ligono muhi magono ago, Yesu avi mukuwula vandu mu Nyumba ya Chapanga, nambu kilu ahambayi kuchitumbi cha mizeituni na kutama kwenuko.
38 Watu wote walimjia asubuhi na mapemaili kumsikiliza ndani ya hekalu.
Na vandu voha vayumwiki lukela hambakucha kuhamba pa Nyumba ya Chapanga, vapata kumyuwanila Yesu.

< Luka 21 >