< Luka 21 >

1 Yesu alitazama akawaona wanaume matajiri waliokuwa wanaweka zawadi zao kwenye hazina.
Jesu ha lola aba boni bafumi niba bika impo zabo mwi citanda.
2 Akamuona mjane mmoja masikini akiweka senti zake mbili.
A ba boni mwanakazi yo fwililwe yo nyandite habika tuhafu twe pene.
3 Hivyo akasema, “Kweli nawaambieni, huyu Mjane maskini ameweka nyingi kuliko wengine wote.
Chawamba, Zeniti nami bona, Uzu mwanakazi yo fwililwe wa zwisa kumihita.
4 Hawa wote wametoa hizi zawadi kutoka katika vingi walivyonavyo. Lakini huyu mjane, katika umaskini wake, ametoa fedha zote alizokuwa nazo kwa ajili ya kuishi kwake.”
Mubonse mwa zwisa impo zenu, Kono uzu mwanakazi ya sena chakwe wa mihita ka kuli waleta zonse zakakwete mubu njebwe bwakwe.
5 Wakati wengine walipokuwa wakisema juu ya hekalu, namna lilivyokuwa limepambwa na mawe mazuri na matoleo, alisema,
Bamwi ba bali ku wamba Inkeleke mwiba kabisezwe ka bukwala ni mavwe ni mpo, cawamba.
6 “Kwa habari ya mambo haya mnayoyaona, siku zitakuja ambazo hakuna jiwe moja ambalo litaachwa juu ya jiwe jingine ambalo halitabomolewa.”
Kwezo zintu zimubwene, inako mwikeze kakwina ivwe lyete nilishale kulimwi nilisawi”.
7 Hivyo wakamuuliza, wakasema, “Mwalimu, mambo haya yatatokea lini? Na nini ni itakuwa ishara kwamba haya mambo yako karibu kutokea?”
Chiba mubuza kuti muluti, Izo kazi tendahale lili? Hape chisupo chete chitondeze kuti kazi tendahale?
8 Yesu akajibu, “Muwe waangalifu kwamba msidanganywe. Kwa sababu wengi watakuja kwa jina langu, wakisema, 'Mimi ndiye, 'na 'Muda umekaribia'. Msiwafuate.
ce taba; mumamele, kanzi muchengwa. Bangi kabeze che zina lyangu, Nokucho kuti; Njime kreste, inako chiya chuta, kono kanji mubechilili.
9 Mkisikia vita na vuruguvurugu msiogope, kwa sababu haya mambo lazima yatokee kwanza, lakini mwisho hautatokea upesi.”
Ha muzuwa inkondo ni kuli sandukila, Kanji mutiyi, Izo zintu kazi pangahali pili, kono kanji ma mani mani.
10 Kisha akawaambia, “Taifa litainuka kupigana na taifa jingine, na ufalme juu ya ufalme mwingine.
Chawamba kubali; Masika kalwise masika amwi; Mushobo ni mushobo kabalwe.
11 Kutakuwa na matetemeko makubwa, na njaa na tauni katika maeneo mbalimbali. Kutakuwa na matukio ya kutisha na ishara za kutisha kutoka mbinguni.
Izikinyebo ikando mwi kanda iboneke, Nilufu lungi muzibaka zingi, Ni zala, Nizitiza, Ni zikomosa zikando zizwa kwe lreeza kwi wulu.
12 Lakini kabla ya mambo haya yote, wataweka mikono yao juu yenu na kuwatesa, kuwapeleka kwenye masinagogi na magereza, kuwaleta mbele za wafalme na wenye mamlaka kwa sababu ya jina langu.
Izi, ni ziseni kwiza, Bantu kaba milwise kamayaza, Bami sukulule niku mikwitila mu masinagoge, ni mwi tolongo, bami twale kuba simwine, niku ba atuli bezintu kebaka lyezina lyangu.
13 Hii itawafungulia fursa kwa ushuhuda wenu.
Izo kazi mizile kuti muwambe buniti.
14 Kwahiyo amueni mioyoni mwenu kutoandaa utetezi wenu mapema,
Aho muli lemuhele mwi inkulo zenu, kuti kanji mulitukisezi pili zete muli tabilile kazo.
15 kwa sababu nitawapa maneno na hekima, ambayo adui zenu wote hawataweza kuipinga au kuikana.
Mukuti ime kanimihe mamzwi ni butali, kuti bami lwisa bakangwe kumi taba ni kumi kananisa.
16 Lakini mtakataliwa pia na wazazi wenu, ndugu zenu, jamaa zenu na rafiki zenu, na watawaua baadhi yenu.
Kamu betekwa niku bazazi benu, niba kwaluzubo benu, niba likani benu, kabe haye bamwi kwenu.
17 Mtachukiwa na kila mmoja kwa sababu ya jina langu.
Imi kamu toiwe bantu bonse ibaka lyezina lyangu.
18 Lakini hakuna hata unywele mmoja wa vichwa vyenu utakaopotea.
Imi ka kwina nanta lusuki lu mwina lwete nilu shale kumitwi yenu.
19 Katika kuvumilia mtaziponya nafsi zenu.
Kamu haze ihuho zenu kaku kola kwenu.
20 Mtakapoona Yerusalemu imezungukwa na majeshi, basi jueni kwamba uharibifu wake umekaribia.
Chimwa bona Jerusalema izimbukitwe masole mwizibe kuti kuza kunuka kwayo chiku chunine.
21 Hapo wale walioko Yudea wakimbilie milimani, na wale walioko katikati ya jiji waondoke, na msiwaache walioko vijijini kuingia.
linu, bena kwa Judea batilile ku malundu; Bena mu munzi bazwe mo'imi bena mwi kanda kanji bazwimo, ku bolela ku munzi.
22 Maana hizi ni siku za kisasi, ili kwamba mambo yote yaliyoandikwa yapate kutimilika.
Mukuti inako yaku bozekeza bantu bubi bwabo, kuti ziñoletwe zi boneke zose.
23 Ole ni kwa wale walio na mimba na kwa wale wanyonyeshao katika siku hizo! Kwa maana kutakuwa na adha kuu juu ya nchi, na ghadhabu kwa watu hawa.
Bukabo kabwizile banakazi ba lihindite niba nyosa mwao mazuba; ka kuti bukabo bukando ka bube kwa nteni mwi kanda; imi bukali kabu sukile abo bantu.
24 Na wataanguka kwa ncha ya upanga na watachukuliwa mateka kwa mataifa yote, na Yerusalem itakanyagwa na watu wa mataifa, mpaka wakati wa watu wa mataifa utakapotimilika.
Mubawe kabu kali bwe sumo, kaba hapwe batwalwe kubantu bonse, imi jelusalema ka lyatolwe kube kanda mane ba maninine.
25 Kutakuwa na ishara katika jua, mwezi na nyota. Na katika nchi kutakuwa na dhiki ya mataifa, katika kukata tamaa kutokana na mlio wa bahari na mawimbi.
Zisupo kazi boneke hezuba ni mwezi ni nkani; imi mwi kanda mahasi kahwilwe niku njanja kebaka lya mawate ni masunda.
26 Kutakuwa na watu wakizimia kwa hofu na katika kutarajia mambo yatakoyo tokea juu ya dunia. Kwa maana nguvu za mbingu zitatikiswa.
Bantu kaba zumininine kebaka lyo kutiya niku lindila zete zize mwi kanda; ka kuti zina ziho zo kwi wulu muzi nyanganye.
27 Kisha watamwona Mwana wa Adamu akija mawinguni katika nguvu na utukufu mkuu.
Imi kaba bone Mwana wo Muntu heti chokeza mu makope ke ziho ni kanya ikando.
28 Lakini mambo haya yatakapoanza kutokea, simameni, inueni vichwa vyenu, kwa sababu ukombozi wenu umesogea karibu.”
Izo chizatanga kwiza; mu loleze menso kwi wulu, Imi muinuke; ka kuli kulukululwa kwenu chi kwina hafwihi.
29 Yesu akawaambia kwa mfano, “Uangalieni mtini, na miti yote.
Cha ba wambila inguli, Chati' mubone i samu lye feiga ni zisamu zimwi.
30 Inapotoa machipukizi, mnajionea wenyewe na kutambua kwamba kiangazi tayari kiko karibu.
Hali tumpa makoba, Imi mwi ziba ni kulemuha kuti imbumbi chiina hafuhi.
31 Vivyo hivyo, mnapoona mambo haya yanatokea, ninyi tambueni ya kwamba ufalme wa Mungu umekaribia.
Ka mukwa wina bulyo, ne nwe, hamu bona izo chizi keza, mwina no kwi ziba kuti mubuso we Ireeza chi wina hafuhi.
32 Kweli, nawaambieni, kizazi hiki hakitapita, mpaka mambo haya yote yatakapotokea.
Kabuniti ni wamba kwenu, ulu luzubo kete lumane, zonse zi seni ku tendahala.
33 Mbingu na nchi zitapita, lakini maneno yangu hayatapita kamwe.
Iwulu kali mane ni kanda bulyo; mi manzwi angu kete ni a mane.
34 Lakini jiangalieni wenyewe, ili kwamba mioyo yenu isije ikalemewa na ufisadi, ulevi, na mahangaiko ya maisha haya. Kwa sababu ile siku itawajia ghafla
Imi mu mamele inkulo zenu kanji zi lyanganiswa kulya kwenu, niku kolwa mutoho, niku bilela zo buhalo.
35 kama mtego. Kwasababu itakuwa juu ya kila mmoja aishiye katika uso wa dunia nzima.
mane ilyo izuba kali miwane kamu litukise; MU kuti kachiwile bonse bazakite mwi kanda yonse.
36 Lakini mwe tayari wakati wote, mwombe kwamba mtakuwa imara vya kutosha kuyaepuka haya yote yatakayotokea, na kusimama mbele za Mwana wa Adamu.”
Mi he, mutonde mulapele inako yonse, ili kuti mukole ni kubanduka kwezo zonse zete nizi boneke, ni kwa kwe habusu bwa Mwana Muntu.
37 Hivyo wakati wa mchana alikuwa akifundisha hekaluni na usiku alitoka nje, na kwenda kukesha katika mlima unaoitwa wa Mzeituni.
Jesu abali kulutanga musihali mwi nkeleke imi masiku aba kuzwanga niku ka lindila hachi wulu chisumpwa ze samu lya olive.
38 Watu wote walimjia asubuhi na mapemaili kumsikiliza ndani ya hekalu.
Imi chichaba chonse chibali kwiza kakusasani mwi nkeleke kuku mutekeleza.

< Luka 21 >