< Luka 21 >

1 Yesu alitazama akawaona wanaume matajiri waliokuwa wanaweka zawadi zao kwenye hazina.
Jesuh naw mang hü lü, bawimangki he naw, Temple khawh petnak üng ami khawh pe u se a jah hmuh.
2 Akamuona mjane mmoja masikini akiweka senti zake mbili.
Acunüng, m'yenksekia hmeinu mat pi, tangka ca nghngih pe law hnga se hmu lü,
3 Hivyo akasema, “Kweli nawaambieni, huyu Mjane maskini ameweka nyingi kuliko wengine wote.
“Akcanga ka ning jah mthehki, hin hea kthaka pi, acuna m'yenkse hmeinu naw a pet däm bawk ve;
4 Hawa wote wametoa hizi zawadi kutoka katika vingi walivyonavyo. Lakini huyu mjane, katika umaskini wake, ametoa fedha zote alizokuwa nazo kwa ajili ya kuishi kwake.”
“Hin he naw ami taka kpawih pe lawki he; cunsepi, hina hmeinu naw a xünnak vaia a tak naküt pe ve,” a ti.
5 Wakati wengine walipokuwa wakisema juu ya hekalu, namna lilivyokuwa limepambwa na mawe mazuri na matoleo, alisema,
Acunüng, axüisaw he avang naw, Temple lunga kyäpa mawng, a dawa mawng la Pamhnam ami petmsawta mawng pyen u se,
6 “Kwa habari ya mambo haya mnayoyaona, siku zitakuja ambazo hakuna jiwe moja ambalo litaachwa juu ya jiwe jingine ambalo halitabomolewa.”
Jesuh naw, “Hin atuh nami jah hmuh, hin üng lung matca pi am ve se, avan a kpyehnaka kcün pha law khai,” a ti.
7 Hivyo wakamuuliza, wakasema, “Mwalimu, mambo haya yatatokea lini? Na nini ni itakuwa ishara kwamba haya mambo yako karibu kutokea?”
Amimi naw, “Saja aw, acun cun itia kya law khai? Acun a pha law hlü üng msingnak i ve law khai?” tia, ami kthäh.
8 Yesu akajibu, “Muwe waangalifu kwamba msidanganywe. Kwa sababu wengi watakuja kwa jina langu, wakisema, 'Mimi ndiye, 'na 'Muda umekaribia'. Msiwafuate.
Jesuh naw, “Ä ami ning jah hleihlaknak vaia a na cäiei ua. Khyang khawjah naw, ‘Kei Khritaw ni,’ ‘Akcün pha law hlü ve,’ ti u lü, keia ngming pyen u lü, ngdang law khai he; acun he ä nami jah läk vai.
9 Mkisikia vita na vuruguvurugu msiogope, kwa sababu haya mambo lazima yatokee kwanza, lakini mwisho hautatokea upesi.”
Acunüng, ngtungahnak la nghnengnaka ngthu nami ngjak üng, ä nami kyüh vai. Acun he akcüka ve law khai he, cunsepi acuna phäha adütnak ng'et lawkia am kya pha naw.
10 Kisha akawaambia, “Taifa litainuka kupigana na taifa jingine, na ufalme juu ya ufalme mwingine.
“Pung la pung ngtu law khai he, khawe la khawe ngtu law khai he;
11 Kutakuwa na matetemeko makubwa, na njaa na tauni katika maeneo mbalimbali. Kutakuwa na matukio ya kutisha na ishara za kutisha kutoka mbinguni.
“Mkhyü aknuia ngsün law khai, pung avana khawjaw law khai, mnehmnang da law khai, khankhawa am hmuh khawia msingnak he aktäkpaia ngdang law khai he.
12 Lakini kabla ya mambo haya yote, wataweka mikono yao juu yenu na kuwatesa, kuwapeleka kwenye masinagogi na magereza, kuwaleta mbele za wafalme na wenye mamlaka kwa sababu ya jina langu.
“Acun he avan am a pha law hlan üng, ka ngminga phäha, ning jah man u lü, ning jah mkhuimkha u lü, Sinakok la thawngima ning jah cehpüi khai he. Sangpuxang he la khawbawi hea veia ning jah cehpüi khai he.
13 Hii itawafungulia fursa kwa ushuhuda wenu.
“Cunsepi, acun cun thangkdaw nami pyenak vaia kcün kdawa kya khai.
14 Kwahiyo amueni mioyoni mwenu kutoandaa utetezi wenu mapema,
“Akcün am a pha law hlan üng ikba nami pyen be vaia ä cäi ua.
15 kwa sababu nitawapa maneno na hekima, ambayo adui zenu wote hawataweza kuipinga au kuikana.
“Nami ye he naw, am ami ning jah nängnak vaia, khyaihnaka ngthu la ksingnak kei naw ka ning jah pe khai.
16 Lakini mtakataliwa pia na wazazi wenu, ndugu zenu, jamaa zenu na rafiki zenu, na watawaua baadhi yenu.
“Nami nu la nami pa he, nami hnunpüi he, nami püi he naw pi ning jah ceng u lü ning jah man law sak khai he; avang ning jah hnim khai he.
17 Mtachukiwa na kila mmoja kwa sababu ya jina langu.
“Keia ngminga phäha khyang avan naw ning jah hneng law khai he.
18 Lakini hakuna hata unywele mmoja wa vichwa vyenu utakaopotea.
“Cunsepi, nami lusam matca pi am khyük khai ni.
19 Katika kuvumilia mtaziponya nafsi zenu.
“Nami khängceknak am nami ngküikyanei kyu khai.
20 Mtakapoona Yerusalemu imezungukwa na majeshi, basi jueni kwamba uharibifu wake umekaribia.
“Acunüng, yekap he naw Jerusalem nglung law na u se nami hmuh üng, Jerusalem pyeh law hlüki ti nami ksing vai.
21 Hapo wale walioko Yudea wakimbilie milimani, na wale walioko katikati ya jiji waondoke, na msiwaache walioko vijijini kuingia.
“Judah khawa awmki he mcung hea dawng u se; mlüh k’uma awmki he kpunga dawng u se; mlüh kpunga awmki he mlüh k’uma ä lut be u se.
22 Maana hizi ni siku za kisasi, ili kwamba mambo yote yaliyoandikwa yapate kutimilika.
“Acuna mhmüp cun, cangcim üng ng’yuki akümnak vaia, Mkhuimkhanaka Mhmüpa kya khai.
23 Ole ni kwa wale walio na mimba na kwa wale wanyonyeshao katika siku hizo! Kwa maana kutakuwa na adha kuu juu ya nchi, na ghadhabu kwa watu hawa.
“Acuna mhmüp üng m'yaieiki he la naca kpawmeiki he ta ami jo se ve; hina mdeka khana khuikhanak cang pha law khai, hina khyang hea khana Mhnama mkhuimkhanak pha law khaia kyaki.
24 Na wataanguka kwa ncha ya upanga na watachukuliwa mateka kwa mataifa yote, na Yerusalem itakanyagwa na watu wa mataifa, mpaka wakati wa watu wa mataifa utakapotimilika.
“Avang he Mthikcim am jah hnim khai he, avang he pung kcea jah cehpüi u lü thawngim üng jah khyum khai he; khyangmjükce hea mhmüp am a küm hlana küt üng, Jerusalem cun khyangmjükce hea khaw keha ve khai.
25 Kutakuwa na ishara katika jua, mwezi na nyota. Na katika nchi kutakuwa na dhiki ya mataifa, katika kukata tamaa kutokana na mlio wa bahari na mawimbi.
“Nghngi, khya la aisi hea khana msingnak he ngdang law khai he; mliktui nghmüm law lü phu law se khawmdek khan avan üng khyang he kyükyawk u lü cäicah law khai he.
26 Kutakuwa na watu wakizimia kwa hofu na katika kutarajia mambo yatakoyo tokea juu ya dunia. Kwa maana nguvu za mbingu zitatikiswa.
“Khan ngsün law khaia kyase, khawmdek khana pha law khaia khuikhanak vai ngaihkyunak la kyühkyawk lawa phäha pi khyang he käikang law khai he.
27 Kisha watamwona Mwana wa Adamu akija mawinguni katika nguvu na utukufu mkuu.
“Acunüng, khyanga Capa cun johit la hlüngtainak am khawngmei üng kyum law lü ngdang law khai.
28 Lakini mambo haya yatakapoanza kutokea, simameni, inueni vichwa vyenu, kwa sababu ukombozi wenu umesogea karibu.”
“Acun hea tünei law üng, ngdüi u lü han teng u, nami hama küikyannak ng'et law ve,” a ti.
29 Yesu akawaambia kwa mfano, “Uangalieni mtini, na miti yote.
Acunüng, Jesuh naw ami veia msuimcäpnak pyen be lü, “Fik thing la thing avan jah ngai u;
30 Inapotoa machipukizi, mnajionea wenyewe na kutambua kwamba kiangazi tayari kiko karibu.
“Hlip law se nami hmuh la khawkhye ng’et lawki ti nami ksingki.
31 Vivyo hivyo, mnapoona mambo haya yanatokea, ninyi tambueni ya kwamba ufalme wa Mungu umekaribia.
“Acukba bäa nangmi pi acun he awm law u se, nami jah hmu üng, Pamhnama khaw pha law hlüki ni ti ksing ua.
32 Kweli, nawaambieni, kizazi hiki hakitapita, mpaka mambo haya yote yatakapotokea.
“Hina khyang he am thi pha u se, acun he avan pha law khai ti ksing u.
33 Mbingu na nchi zitapita, lakini maneno yangu hayatapita kamwe.
“Khankhaw la mce khyük ni se pi ka ngthu am khyük.
34 Lakini jiangalieni wenyewe, ili kwamba mioyo yenu isije ikalemewa na ufisadi, ulevi, na mahangaiko ya maisha haya. Kwa sababu ile siku itawajia ghafla
“Acunakyase, a na cäiei u, am acunüng ta ei ngang, aw ngang u lü khawmdek khawhthema phäha nami mlunga bawngkha k'um üng, acuna mhmüp am nami sima pha law sawxat khai ni.
35 kama mtego. Kwasababu itakuwa juu ya kila mmoja aishiye katika uso wa dunia nzima.
“Acuna mhmüp cun ngvaia kba khawmdek avan üng awmkia khyang hea khana pha law khaia kyaki.
36 Lakini mwe tayari wakati wote, mwombe kwamba mtakuwa imara vya kutosha kuyaepuka haya yote yatakayotokea, na kusimama mbele za Mwana wa Adamu.”
“Acunakyase, kya law khaia khuikhanak üngka naw phyawng u lü khyanga Capaa ma nami ngdüi hlawt khaia anglät se ktaiyü u lü a na k’äih ua,” a ti.
37 Hivyo wakati wa mchana alikuwa akifundisha hekaluni na usiku alitoka nje, na kwenda kukesha katika mlima unaoitwa wa Mzeituni.
Acunüng Jesuh cun amhmüp tä se Temple k'uma jah mthei lü amthan tä se Olip mcung ami tia ktaiyü khaia citki.
38 Watu wote walimjia asubuhi na mapemaili kumsikiliza ndani ya hekalu.
Angawi tä se a ngthu ngai khai hea khyang avan Temple üng citki he.

< Luka 21 >