< Luka 21 >

1 Yesu alitazama akawaona wanaume matajiri waliokuwa wanaweka zawadi zao kwenye hazina.
Yeecu, kun nuweri to nobo cuwe cuwe, buro mer luma mor bala yoka lumak.
2 Akamuona mjane mmoja masikini akiweka senti zake mbili.
To kange nawiye bune, fuyai mer aniniyoti yob mor.
3 Hivyo akasema, “Kweli nawaambieni, huyu Mjane maskini ameweka nyingi kuliko wengine wote.
Bilenke ma yi komti, nawiye bune, fuyai, meri la ciye gwam.
4 Hawa wote wametoa hizi zawadi kutoka katika vingi walivyonavyo. Lakini huyu mjane, katika umaskini wake, ametoa fedha zote alizokuwa nazo kwa ajili ya kuishi kwake.”
Gwam nobo wuro ne luma ciyeke mor cuweka ciye ko tenange nyeu. La nawiye fuyai bune, mor bune ce co merken kiyemer cero gwam, wo co cike.
5 Wakati wengine walipokuwa wakisema juu ya hekalu, namna lilivyokuwa limepambwa na mawe mazuri na matoleo, alisema,
Na wo kamenbo tok ker bikurwabe, kambo ci ma cimen bwayileneu ki tero keneu, neka luma.
6 “Kwa habari ya mambo haya mnayoyaona, siku zitakuja ambazo hakuna jiwe moja ambalo litaachwa juu ya jiwe jingine ambalo halitabomolewa.”
Dike wo kom to tiye, kakuko wi boti wo tero mani a yito dor kecereu na wo mani a bubatiye.
7 Hivyo wakamuuliza, wakasema, “Mwalimu, mambo haya yatatokea lini? Na nini ni itakuwa ishara kwamba haya mambo yako karibu kutokea?”
La cin me co ki, Nii “Meranka, fiyan dike wo a bwitiye? Ye a yilam yitom ti na dike borombo na yoten na bwikari?
8 Yesu akajibu, “Muwe waangalifu kwamba msidanganywe. Kwa sababu wengi watakuja kwa jina langu, wakisema, 'Mimi ndiye, 'na 'Muda umekaribia'. Msiwafuate.
Yeecu ciya, ki kom ti ki bata, kari kange bol kom, diitce an bou mor dene mi, ci yi ti ki, “Man co”, na we dadom, kom bwang cinentende.
9 Mkisikia vita na vuruguvurugu msiogope, kwa sababu haya mambo lazima yatokee kwanza, lakini mwisho hautatokea upesi.”
Tano kom nuwa ker kwenerdi kom kange dii bwali, kom cure, tamyo dike borombo a bwi bwiri, dila cwile mani a boiti nyo na wo.
10 Kisha akawaambia, “Taifa litainuka kupigana na taifa jingine, na ufalme juu ya ufalme mwingine.
Nyori con yi ci bero an kwenan bero ninten, liyar an kwenan liyaro ninteu.
11 Kutakuwa na matetemeko makubwa, na njaa na tauni katika maeneo mbalimbali. Kutakuwa na matukio ya kutisha na ishara za kutisha kutoka mbinguni.
An ma mukaka bitine ko wo tenang tenange fiye ki dimen ki dimen, take an ma wura kange wurolo. An maran yiromtaiyer kange yirombo dur dikwama.
12 Lakini kabla ya mambo haya yote, wataweka mikono yao juu yenu na kuwatesa, kuwapeleka kwenye masinagogi na magereza, kuwaleta mbele za wafalme na wenye mamlaka kwa sababu ya jina langu.
Fiya na dike wuro gwam, ciyan tam kom, ci ne kom dotange, ciyan neken kom mor kurbiwaber kange loni furcuna, ciyan boki kom kabom liyare kange nobo durtinim ki ker denemir.
13 Hii itawafungulia fursa kwa ushuhuda wenu.
A yila kumen fiye ka tokom fulen miro tiye.
14 Kwahiyo amueni mioyoni mwenu kutoandaa utetezi wenu mapema,
Ko to fo nerkumer, kom kade batito wo ya ko toktiye.
15 kwa sababu nitawapa maneno na hekima, ambayo adui zenu wote hawataweza kuipinga au kuikana.
Mo ma nekom kero kange yilendo, wo nob kurome kume gwam, mani ciya dol kobkanka ti kange kome, kaka ci kim kerkume ro.
16 Lakini mtakataliwa pia na wazazi wenu, ndugu zenu, jamaa zenu na rafiki zenu, na watawaua baadhi yenu.
Kange Te, kange yitub, kange naniyak kange farub, ciyan kan kom, ci twallum kangem kumen.
17 Mtachukiwa na kila mmoja kwa sababu ya jina langu.
Nobo gwam ciyan kokom kiker dene mi.
18 Lakini hakuna hata unywele mmoja wa vichwa vyenu utakaopotea.
Yiri kume win wo mani a kwob ti,
19 Katika kuvumilia mtaziponya nafsi zenu.
Mor birum nekume kan fiyau dumetinim.
20 Mtakapoona Yerusalemu imezungukwa na majeshi, basi jueni kwamba uharibifu wake umekaribia.
Tano kom to Urucalima kentangum ki nobo tee kwentiyeri kom nyomom yarka ceko dadom.
21 Hapo wale walioko Yudea wakimbilie milimani, na wale walioko katikati ya jiji waondoke, na msiwaache walioko vijijini kuingia.
Nobo Yahudiya a cu ci yaken diyele kange, nobo tiber cinanlore ciya cu, ciya dobre nobo mwanlore ci dou mor.
22 Maana hizi ni siku za kisasi, ili kwamba mambo yote yaliyoandikwa yapate kutimilika.
Kakuko wo na yaka cunere ce, beri dike ci mulange gwam na dim.
23 Ole ni kwa wale walio na mimba na kwa wale wanyonyeshao katika siku hizo! Kwa maana kutakuwa na adha kuu juu ya nchi, na ghadhabu kwa watu hawa.
Kwanci nubo ki fwereu kange nobe ne yir tiyeu mor kumetinwo! Annuwa dotange kambo ken wo tenang tenange bitinim. Ki funer fiye nobo wo wiye.
24 Na wataanguka kwa ncha ya upanga na watachukuliwa mateka kwa mataifa yote, na Yerusalem itakanyagwa na watu wa mataifa, mpaka wakati wa watu wa mataifa utakapotimilika.
Ciyan yari ki caka kulener take a yaken ki ci canga bitine nin gwam, nobo manki kwama an duwarangum Urucalima ya ciko fiya nobo nyombo kwama ciye a dinitiye
25 Kutakuwa na ishara katika jua, mwezi na nyota. Na katika nchi kutakuwa na dhiki ya mataifa, katika kukata tamaa kutokana na mlio wa bahari na mawimbi.
Atan yirombo mor kakuke kange cwiyak, kange bitiren. Dorbitine tak nobo nyombo kwama cin nuwa dotange, fwer ciyero an burom temi dir mwenger wima.
26 Kutakuwa na watu wakizimia kwa hofu na katika kutarajia mambo yatakoyo tokea juu ya dunia. Kwa maana nguvu za mbingu zitatikiswa.
No a fumom ki ten kange kwaka neret dike a bwi dorbitinero, min. An mok kibikwam dii kwamaro.
27 Kisha watamwona Mwana wa Adamu akija mawinguni katika nguvu na utukufu mkuu.
Nimde ciyan to bibwe Nifire bo ti mor bilore ki bi kwan kange. Duktankako dur.
28 Lakini mambo haya yatakapoanza kutokea, simameni, inueni vichwa vyenu, kwa sababu ukombozi wenu umesogea karibu.”
Dila nimde dike wuro ci ter bwikari. Kweni timtiye, la kun dor kumero dii, wori fuloka kumeko dadom.
29 Yesu akawaambia kwa mfano, “Uangalieni mtini, na miti yote.
Yeecu ne dangke, “To tii nyencen do kange tiini gwam.
30 Inapotoa machipukizi, mnajionea wenyewe na kutambua kwamba kiangazi tayari kiko karibu.
Na ci ter fu ka laluko, kan tom ki bwikom, komki Tirakko dadom tak.
31 Vivyo hivyo, mnapoona mambo haya yanatokea, ninyi tambueni ya kwamba ufalme wa Mungu umekaribia.
Nyo tano kom to dike wuro ter bwikakori, kom nyomom liyar kwamaro dadom.
32 Kweli, nawaambieni, kizazi hiki hakitapita, mpaka mambo haya yote yatakapotokea.
Bilenke ma yi kom ti kaldo wo mani a cuti, dike wuro an bwi gwam.
33 Mbingu na nchi zitapita, lakini maneno yangu hayatapita kamwe.
Dii kok kange bitini an cum dila kermiro mani a cuti.
34 Lakini jiangalieni wenyewe, ili kwamba mioyo yenu isije ikalemewa na ufisadi, ulevi, na mahangaiko ya maisha haya. Kwa sababu ile siku itawajia ghafla
Di kom kom ka bati ki dor kume, kati kom ne nerkumero tutum ki kwomka dorbitinero kange norangka, kange komka kwarcek. Dila kakuko an bo bati man.
35 kama mtego. Kwasababu itakuwa juu ya kila mmoja aishiye katika uso wa dunia nzima.
Mwinin cito. Dila an bo dor nober gwam wo kwarce tikob dor bitinero nin gwam.
36 Lakini mwe tayari wakati wote, mwombe kwamba mtakuwa imara vya kutosha kuyaepuka haya yote yatakayotokea, na kusimama mbele za Mwana wa Adamu.”
Dila kom yi ki bati kang kang, kom kwob diloti bena kom fiya bi kwam do ka torum dike woti gwam a bwitiye, kange kambo katimti kabum Bibwe Nifire”.
37 Hivyo wakati wa mchana alikuwa akifundisha hekaluni na usiku alitoka nje, na kwenda kukesha katika mlima unaoitwa wa Mzeituni.
Ki kakuk, ki merangi mor bikurwabe, kume del yakenti bang ci cotiki zaitune.
38 Watu wote walimjia asubuhi na mapemaili kumsikiliza ndani ya hekalu.
Nobo gwam tura yaka fiye co wiyeki bwiri cin nowa co bikur waber.

< Luka 21 >