< Luka 20 >

1 Ikawa siku moja, Yesu alipokuwa akiwafundisha watu Hekaluni na kuhubiri injili, makuhani wakuu na walimu wa Sheria walimwendea pamoja na wazee.
And it came to pass on one of the days (of those *k) when is teaching He the people in the temple and evangelising came up the (chief priests *NK+o) and the scribes with the elders
2 Walizungumza, wakimwambia, 'Tuambie ni kwa mamlaka gani unafanya mambo haya? Au ni nani huyo ambaye amekupa mamlaka haya? “
and spoke saying to Him: do tell us by what authority these things You do or who is the [one] having given to You authority this?
3 Naye akajibu, akawaambia, 'Nami pia nitawauliza swali. Niambieni
Answering now He said to them; Will ask you I myself also I myself also (one *k) thing, and do tell Me:
4 ubatizo wa Yohana. Je, ulitoka mbinguni ama kwa watu? '
The baptism of John from heaven was it or from men?
5 Lakini wakajadiliana wao kwa wao, wakisema, 'Tukisema, `litoka mbinguni, atatuuliza, ` Basi, mbona hamkumwamini?'
And they reasoned among themselves saying that If we shall say: From heaven, He will say; Because of why (therefore *K) not did you believe in him?
6 Na tukisema; ilitoka kwa wanadamu; watu wote hapa watatupiga mawe, maana wote wanaamini kwamba Yohana alikuwa nabii. '
If however we shall say; From men, the people (all *N+kO) will stone us; persuaded for they are John a prophet to be.
7 Basi, wakamjibu ya kwamba hawakujua ilikotoka.
And they answered not to know from where.
8 Yesu akawaambia, '“Wala mimi siwaambii ninyi ni kwa mamlaka gani ninafanya mambo haya.”
And Jesus said to them; Neither I myself tell you by what authority these things I am doing.
9 Aliwaambia watu mfano huu, “Mtu mmoja alipanda shamba la mizabibu, akalikodisha kwa wakulima wa mizabibu, na akaenda nchi nyingine kwa muda mrefu.
He began then to the people to speak parable this: A man (certain *NK) planted a vineyard and rented it to farmers and went abroad a time long.
10 Kwa muda uliopangwa, alimtuma mtumishi kwa wakulima mizabibu, kwamba wampe sehemu ya matunda ya shamba la mizabibu. Lakini wakulima wa mzabibu wakampiga, wakamrudisha mikono- mitupu.
And (in *k) [in the] season he sent to the farmers a servant that from the fruit of the vineyard (they will give *N+kO) to him; But the farmers sent away him having beaten [him] empty-handed.
11 Kisha akamtuma tena mtumishi mwingine na nao wakampiga, kumtendea vibaya, na wakamrudisha mikono- mitupu.
And he proceeded another to send a servant; but him him having beaten and having dishonored they sent away empty-handed.
12 Alimtuma tena wa tatu na nao wakamjeruhi na kumtupa nje.
And he proceeded a third to send; They then also him having wounded they cast out.
13 Hivyo bwana wa shamba akasema, 'Nitafanya nini? Nitamtuma mwanangu mpendwa. Labda watamheshimu. '
Said then the master of the vineyard; What shall I do? I will send the son of mine the beloved; perhaps him (having seen *K) they will respect.
14 Lakini wakulima wa mzabibu walipomwona, walijadili wao kwa wao wakisema, `Huyu ndiye mrithi. Tumuue, ili urithi wake uwe wetu. '
Having seen now him the farmers were reasoning among (one another *N+kO) saying; This is the heir; (come *K) let us kill him so that ours may become the inheritance.
15 Wakamtoa nje ya shamba la mizabibu na kumuua. Je bwana shamba atawafanya nini?
And having cast forth him outside the vineyard they killed [him]. What therefore will do to them the master of the vineyard?
16 Atakuja kuwaangamiza wakulima wa mzabibu, na atawapa shamba hilo wengine”. 'Nao waliposikia hayo, wakasema, 'Mungu amekataa'
He will come and he will destroy farmers these and will give the vineyard to others. Having heard [it] then they said; Never would it be!
17 Lakini Yesu akawatazama, akasema, “Je andiko hili lina maana gani? 'Jiwe walilolikataa wajenzi, limekuwa jiwe la pembeni'?
But having looked at them He said; What then is that written this: [The] stone which rejected those building, this has become into [the] head of [the] corner’?
18 Kila mtu aangukaye juu ya jiwe hilo, atavunjika vipande vipande. Lakini yule ambaye litamwangukia, litamponda. '
Everyone falling on that [very] stone will be broken; on whomever but maybe it may fall, it will grind into powder him.
19 Hivyo waandishi na wakuu wa makuhani walitafuta njia ya kumkamata wakati huohuo, walijua kwamba alikuwa amesema mfano huu dhidi yao. Lakini waliwaogopa watu.
And sought the scribes and the chief priests to lay on Him hands in that hour and they feared the people; they perceived for that against them He was speaking parable this.
20 Walimuangalia kwa makini, wakatuma wapelelezi waliojifanya kuwa watu wa haki, ili wapate kupata kosa kwa hotuba yake, ili kumpelekakwa watawala na wenye mamlaka.
And having watched [Him] they sent spies feigning themselves righteous to be, that they may catch Him in talk, (in order *N+kO) to deliver Him to the rule and to the authority of the governor.
21 Nao wakamwuliza, wakisema, “Mwalimu, tunajua kwamba unasema na kufundisha mambo ya kweli na si kushawishiwa na mtu yeyote, lakini wewe hufundisha ukweli kuhusu njia ya Mungu.
And they questioned Him saying; Teacher, we know that rightly You speak and You teach and not You receive [any] person but on the basis of truth the way of God teach.
22 Je, ni halali kwetu kulipa kodi kwa Kaisari, au la?”
Is it lawful (for us *N+kO) to Caesar tribute to give or not?
23 Lakini Yesu alitambua mtego wao, akawaambia,
having perceived however of them the craftiness He said to them (why *KO) (me do you test; *K)
24 “Nionyesheni dinari. Sura na chapa ya nani ipo juu yake?” Walisema, '“Ya Kaisari.”
(do show *N+kO) Me a denarius; Of whom has it [the] image and inscription? (Those *N+KO) And they said; Caesar’s.
25 Naye akawaambia, 'Basi, mpeni Kaisari yaliyo yake Kaisari, na Mungu yaliyo yake Mungu.'
And He said (to *no) (them; *N+kO) Therefore do give back the [things] of Caesar to Caesar and the [things] of God to God.
26 Waandishi na wakuu wa makuhani hawakuwa na uwezo wa kukosoa kile alichosema mbele ya watu. Wakastaajabia majibu yake na hawakusema chochote.
And not they were able to catch Him in (His *NK+o) declaration before the people, and having marveled at the answer of Him they became silent.
27 Baadhi ya Masadukayo wakamwendea, wale ambao wanasema kwamba hakuna ufufuo,
Having approached then some of the Sadducees, the ones (denying *NK+o) a resurrection not being, they questioned Him
28 wakamwuliza, wakisema, “Mwalimu, Musa alituandikia kwamba kama mtu akifiwa na ndugu mwenye mke ambaye hana mtoto basi anapaswa kumchukuna mke wa ndugu yake na kuzaa nae kwa ajili ya kaka yake.
saying; Teacher, Moses wrote to us: if anyone’s brother shall die having a wife and he childless (shall be, *N+KO) that shall take the brother of him the wife and shall raise up seed to the brother of him.
29 Kulikuwa na ndugu saba Wa kwanza alioa, akafa bila kuacha mtoto,
Seven therefore brothers there were; and the first having taken a wife died childless,
30 na wa pili pia.
and (took *K) the second (wife and this died childless *K)
31 Wa tatu akamchukua vilevile, vivyo hivyo wa saba hakuacha watoto na akafa.
and the third took her (likewise *o) likewise then also the seven not did leave children and died.
32 Baadaye yule mwanamke pia akafa.
Finally (now of all *K) also the woman died.
33 Katika ufufuo atakuwa mke wa nani? Maana wote saba walikuwa wamemwoa. '
(The woman *no) therefore in the resurrection, of which of them does she become wife? For the seven had her as wife.
34 Yesu akawaambia, “Wana wa ulimwengu huu huoa na kuolewa. (aiōn g165)
And (answering *k) said to them Jesus; The sons of the age this marry and (are given in marriage, *N+kO) (aiōn g165)
35 Lakini wale wanastaohili kupokea ufufuo wa wafu na kuingia uzima wa milele hawaoi wala hawaolewi. (aiōn g165)
those however having been considered worthy of the age that [one] to obtain and of the resurrection from [the] dead neither marry nor (are given in marriage; *N+k+o) (aiōn g165)
36 Wala hawawezi kufa tena, kwa sababu huwa sawasawa na malaika na ni watoto wa Mungu, wana wa ufufuo.
(neither *N+kO) for to die any more are they able, like [the] angels for they are, and sons they are of God of the resurrection sons being.
37 Lakini hiyo wafu wanafufuliwa, hata Musa alionyesha mahali katika habari za kichaka, pale alimwita Bwana kama Mungu wa Ibrahimu na Mungu wa Isaka na Mungu wa Yakobo.
for however are raised the dead, even Moses showed at the bush when he names [the] Lord the God of Abraham and (the *k) God of Isaac and (the *k) God of Jacob.’
38 Sasa, yeye si Mungu wa wafu, bali wa walio hai, kwa sababu wote huishi kwake. “
God now not He is of [the] dead but of [the] living; all for to Him live.
39 Baadhi ya walimu wa Sheria wakamjibu, 'Mwalimu, umejibu vema. '
Answering now some of the scribes said; Teacher, well you have spoken.
40 Hawakuthubutu kumwuliza maswali mengine zaidi.
no longer no longer (then *N+kO) were they daring to ask Him no [thing].
41 Yesu akawaambia, “Ki vipi watu wanasema kwamba Kristo ni mwana wa Daudi?
He said then to them; How do they declare the Christ to be David's Son
42 Maana Daudi mwenyewe anasema katika Zaburi: Bwana alimwambia Bwana wangu: Keti mkono wa kulia,
(and *ko) Himself (for *no) David says in [the] book of Psalms: Said (the *ko) Lord to the Lord of me; do sit at [the] right hand of Me
43 mpaka niwaweke adui zako chini ya miguu yako. '
until when I may place the enemies of You [as] a footstool of the feet of You.
44 Daudi anamwita Kristo 'Bwana', basi atakuwaje mwana wa Daudi?”
David therefore Lord Him calls, and how of him son is He?
45 Watu wote walipokuwa wakimsikiliza akawaambia wanafunzi wake,
When are listening now all the people He said to the disciples of Him;
46 'Jihadharini na waandishi, wapendao kutembea wamevaa mavazi marefu, na wapenda salamu maalum sokoni na viti vya heshima katika masinagogi, na maeneo ya heshima karamuni.
do beware of the scribes who are desiring to walk in long robes and loving greetings in the marketplaces and first seats in the synagogues and first places in the banquets,
47 Wao pia hula nyumba za wajane, na wanajifanya wanasali sala ndefu. Hawa watapokea hukumu kubwa zaidi. '
who devour the houses of widows and as a pretext at great length pray; These will receive more excessive condemnation.

< Luka 20 >