< Luka 19 >

1 Yesu aliingia na kupita katikati ya Yeriko.
Yeso ma ribe ma hai u hana ujeriko.
2 Na hapo palikuwa na mtu mmoja aitwaye Zakayo. Ambaye alikuwa mkuu wa watoza ushuru tena mtu tajiri.
Ure unu niza nimeme takka, ma zi ugomo u kabsa.
3 Alikuwa anajaribu kumwona Yesu ni mtu wa namna gani, lakini hakuweza kuona kwa sababu ya umati wa watu, kwa kuwa alikuwa mfupi wa kimo.
Ma zin nu suu u ira Yeso, senke ma iri meba, barki ma zi kauf.
4 Hivyo, alitangulia mbio mbele za watu, akapanda juu ya mkuyu ili aweze kumwona, kwa sababu Yesu alikaribia kupita njia hiyo.
Ma sumi aje ma nyene utiti ma iri Yeso, barki Yeso ma zinnu aka.
5 Wakati Yesu alipofika mahali pale, aliangalia juu akamwambia, 'Zakayo, shuka upesi, maana leo ni lazima nishinde nyumbani mwako.'
Sa Yeso ma eh a hira me, ma yeze aje ma iri zakka ma gu, “Aye debe, ka nime in di cukuno a kura awe me.
6 Akafanya haraka, akashuka na kumkaribisha kwa furaha.
Maa tuu debe debe, ma ziki me inna puru arum.
7 Watu wote walipoona hayo, wakalalamika, wakisema, 'Amekwenda kumtembelea mtu mwenye dhambi.'
Sa anu vat wa iri we, wa wu bibukum innu gusa, “Ma hana akura unu madini”.
8 Zakayo akasimama akamwambia Bwana, Tazama Bwana nusu ya mali yangu nawapa maskini, na ikiwa nimemnyang'anya mtu yeyote kitu, nitamrudishia mara nne. '
Zakka ma tonno magu, “Una kura ira, ukasu uturunga tum in di nya dira, inka ma cuzo i uye, indi kurzo wen kani na nazi.
9 Yesu akamwambia, 'Leo wokovu umefika katika nyumba hii, kwa sababu yeye pia ni mwana wa Ibrahimu.
Yeso ma gu in me, “Ka nime, ubura unice wa eye akura ageme, barki me me vana u Ibrahim mani.
10 Kwa maana Mwana wa Mtu amekuja kutafuta na kuokoa watu waliopotea. '
Barki vana unubu ma eh unyara 'imum ige sa ya kurno me, ma buri anu sa wa hurno we'.
11 Waliposikia hayo, aliendelea kuongea na alitoa mfano, kwa sababu alikuwa karibu na Yerusalemu, na wao walidhani ya kuwa ufalme wa Mungu ulikuwa karibu kuonekana mara moja.
Sa wa kuna tize me vat, ma tunga no uboo tize ta nyimo barki ma eh mamu nan Urshalima, wa gusi akura Asere adi kem we debe.
12 Hivyo akawaambia, 'Ofisa mmoja alikwenda nchi ya mbali ili apokee ufalme na kisha aurudi.
Ma gu ba! Ure unu ribe a mare ma nyanga a piit ma kabi akura a nice ni meme, makuri.
13 Aliwaita watumishi wake kumi, akawapa mafungu kumi, akawaambia, 'fanyeni biashara mpaka nitakaporudi.'
Ma titi ukirau a nyimo anu rere me, ma nya we ikirfi ukirau, magu in we, gamara tarin wa be u aye umeme.
14 Lakini wananchi wake walimchukia na hivyo wakatuma wajumbe waende kumfuata na kusema, 'Hatutaki mtu huyu atutawale.'
Senke anu ni pin me nyari me, wa timi aye adumo ameme, wa gu, “Wada hem unu ugeme ma cukuno ugomo uruba.
15 Ikawa aliporudi nyumbani baada ya kufanywa mfalme, akaamuru wale watumishi aliokuwa amewaachia fedha waitwe kwake, apate kujua faida gani waliyoipata kwa kufanya biashara.
Ya cukuno ani me sa ma kuuri ma eh, makabi ni nonzo, ma dungurka arere me sa ma nyawe ikirfi me a hira a meme, barki ma rusi nyanini wakem a nyimo katuma me.
16 Wa kwanza akaja, akasema, `Bwana, fungu lako limefanya mafungu kumi zaidi. '
Unutuba aye a hira ame magu unakura! Unu katuma kawe me ma kinki ikirfi inu kirau a hira igino me.
17 Huyo Ofisa akamwambia, Vema, mtumishi mwema. Kwa sababu ulikuwa mwaminifu katika jambo dogo, utakuwa na madaraka juu ya miji kumi. '
Una dandang magun me, “Gajiya, ureme uriri, barki wa wuzi katuma kang imum 'icin', udi kem nikara ni canta utibira tinu kirau.
18 Wa pili akaja, akasema, 'Bwana, fungu lako limefanya mafungu matano.'
Uhana ukure me, mangu unakura ukure uwe me ma kem ukinki mani ciibi.
19 Huyo Afisa akamwambia, 'Chukua mamlaka juu ya miji mitano.'
Unu dandang magu, udi canti ti hira tinu ciibi.
20 Na mwingine akaja, akasema, `Bwana hii hapa fedha yako, ambayo niliihifadhi salama katika kitambaa,
Uye ma eh magu, “Una kura! Kaba ikirfi iweme sa ma inki memerum a nyimo aturunga.
21 kwa maana niliogopa kwa sababu wewe ni mtu mkali. Unaondoa kile usichokiweka na kuvuna usichopanda. '
Barki ma kumna biyau bi we me barki hu unu buru mani. Uke uziki a hira sa daa wa inkon ba, uke u ari ahira sa da wa birin ba.
22 Huyo Ofisa akamwambia, 'Kwa maneno yako mwenyewe, nitakuhukumu, ewe mtumishi mbaya. Ulijua kwamba mimi ni mtu mkali, nachukua nisichokiweka na kuvuna ambacho sikupanda.
Unu udandang magu in me, “Atize tiwe me indi weki tize we me hu uburu mani. Urusa me unu buru mani, uni zinsa imum sa daa ma inki ba, unnu oro igesa da ma bira ma.
23 Basi, mbona hukuweka fedha yangu katika benki, ili nikirudi niichukue pamoja na faida?
Barki nyanini da wa inki ikirfi um me a hira u inso ikirfi ba, barki inka uganiya u kurzo ikirfi akem ya yoo.
24 Ofisa akawaambia watu waliokuwa wamesimama hapo, 'Mnyang'anyeni hilo fungu na kumpa yule mwenye mafungu kumi.'
Unu udandang magu in nanu age sa wa turi upuru umeme. Kaba ni ikirfi inya a deesa anya manu kiran.
25 Wakamwambia, `Bwana, yeye ana mafungu kumi. '
Wa gu imme, “Una kura'. Me mazin inu kirau.
26 'Nawaambia, kila mtu ambaye anacho atapewa zaidi, lakini ambaye hana, hata kile alicho nacho kitachukuliwa.
Ma buka shi, vat deesa mazin adi kinki men, senki deesa mazin adi kabi a hira ameme.
27 Lakini hawa maadui zangu, ambao hawakutaka niwe Mfalme wao, waleteni hapa na kuwaua mbele yangu. ''
Senke anu ishina um, An deesa wada zo me innu suu a wuzi katuma ace a we me, ayen we a hira am ihu we aje am.
28 Baada ya kusema hayo, aliendelea mbele akipanda kwenda Yerusalemu.
Sa ma buki tizeme, ma meki una uhana Urshalima.
29 Ikawa alipokaribia Bethfage na Bethania, karibu na mlima wa Mizeituni, aliwatuma wanafunzi wake wawili,
Uganiya wa biki sa ma eh upuru u Betafaji na u Baitanya, a nipana sa a tisa ulivet, ma a tumi anu ware ana tarsa umeme.
30 akisema: `Nendeni katika kijiji cha jirani. Mkiingia, mtakuta mwana-punda hajapandwa bado. Mfungueni, mkamlete kwangu.
Magu, “hani a giro ukure me, inka ya ribe idi kem vana ubezenki sa daa amu tara me ucira ba, sopo ni bini i eh mini.
31 Kama mtu akiwauliza, `Mbona mnamfungua? ' Semeni, “Bwana anamhitaji. ''
Inka uye ma iko shi nyani ya wuna izinni sopo ubini? Guna, “Una kura ma nyara bini”.
32 Wale waliotumwa wakaenda wakamwona mwana-punda kama Yesu alivyokuwa amewaambia.
Anu age sa a tume we wa kem vana ubizenki gu ubuka u Yeso me.
33 Walipokuwa wanamfungua mwana punda wamiliki wakawaambia, 'Kwa nini mnamfungua mwana punda huyu?'
Sa wa zinnu sopo u vana ubizenki me, unu ubini magu in we aneni izinnu sopo u bini?
34 Wakasema, `Bwana anamhitaji. '
Waa gu, “Una kura ma zinmu suu ubini.
35 Basi, wakampelekea Yesu, wakatandika nguo zao juu ya mwana punda na wakampandisha Yesu juu yake.
Wa ha in bini a hira Yeso, wa vete turunga tiwe me azesere a bini watari Yeso azesere me.
36 Alipokuwa akienda watu wakatandaza mavazi yao barabarani.
Sa ma ha, waa nati turunga tiwe uname.
37 Alipokuwa anateremka mlima wa Mizeituni, jumuiya yote ya wanafunzi wakaanza kushangilia na kumtukuza Mungu kwa sauti kubwa, kwa sababu ya mambo makuu waliyoyaona,
Sa ma eh mamu ahira a ni pana ni o live ma tuu, vat anu tarsa umeme wa tunguno u tarsa ume unu. nonzo ume innu yeze agwiran barki vat katuma ka dandang sa wa iri.
38 wakisema, 'Ndiye mbarikiwa Mfalme ajaye kwa jina la Bwana! Amani mbinguni, na utukufu juu!'
Wa ga, “Ugomo ugongon mani sa ma di eh a nyimo aniza ni na kura. Apuru arum azesere nan ni nonzo ni dandang.
39 Baadhi ya Mafarisayo katika mkutano wakamwambia, Mwalimu, wanyamazishe wanafunzi wako. '
Aye anu rusa utize a nyimo anu agwardang wa gun me “Anu bezi utize, gwarika anu tarsa uwe me.
40 Yesu akajibu, akasema, `Nawaambieni, kama hawa wakinyamaza, mawe yatapaza sauti. '
Yeso ma gu, “Ma buka shi in ka anu wa wu tik, apo adi yeze angiran.
41 Yesu alipoukaribia mji aliulilia,
Sa Yeso ma biki a nipin, maa shii barki nipin me.
42 akisema, laiti ungelijua hata wewe, katika siku hii mambo ambayo yanayokuletea amani! Lakini sasa yamefichika machoni pako.
Magu, “Inka i nisa vat a tiye tigeme, ko shi me, imum sa i eze inna purum! Senke a humze uni aje ashi me.
43 Kwa kuwa siku zinakuja ambapo adui zako watajenga boma karibu na wewe, na kukuzunguka na kukukandamiza kutoka kila upande.
Ba! Tiye tide eh ace ashi me sa anushina ushi me wadi barka ugombi uhara uru, wadi kete shin wa noko shi ko uya uwatu.
44 Watakuangusha chini wewe na watoto wako. Hawatakuachia hata jiwe moja juu ya jingine, kwa sababu haukutambua wakati Mungu alipokuwa anajaribu kukuokoa'.
Wadi vavi shi adizi nan na hana ashi me. Wa daa ciki nire nipo azesere anire ba, barki ya nyari uka ba me uganiya sa Asere ma nyari ubura ushi me.
45 Yesu aliingia Hekaluni, akaanza kuwafukuza wale waliokuwa wakiuza,
Yeso marube a nyimo udenge Asere ma tun gono u suzo anu age sa wazin bi ziza ziza.
46 akiwaambia, “Imeandikwa, 'Nyumba yangu itakuwa nyumba ya sala,' lakini ninyi mmeifanya kuwa pango la wanyang'anyi”.
Magu in we. A nyettike a kura am adi cukuno a biringara, ya kurzo ani ubanku u cukuzono wa kari.
47 Kwa hiyo, Yesu alikuwa akifundisha kila siku hekaluni. Makuhani wakuu na walimu wa Sheria na viongozi wa watu walitaka kumuua,
Ba! Yeso ma zinni beziza anu ko uya uwui a nyimo udenge wa Asere me. Una dang anu dungurka ma nan na nu rusa, nan na na aje wa nabu wa nyari wa hume.
48 lakini hawakuweza kupata njia ya kufanya hivyo, kwa sababu watu wote walikuwa wakimsikiliza kwa makini.
Senke daa wa kem una uwuza anime ba, senke vat anime sa wazi inna kumna ume memerum.

< Luka 19 >