< Luka 19 >

1 Yesu aliingia na kupita katikati ya Yeriko.
U Yesu aewingie nukukela mukate a Yeriko.
2 Na hapo palikuwa na mtu mmoja aitwaye Zakayo. Ambaye alikuwa mkuu wa watoza ushuru tena mtu tajiri.
Nepang'wanso aukole muntu elina lakwe Zakayo. Hange ae mukulu waatoza ushulu hange muntu numugole.
3 Alikuwa anajaribu kumwona Yesu ni mtu wa namna gani, lakini hakuweza kuona kwa sababu ya umati wa watu, kwa kuwa alikuwa mfupi wa kimo.
Aukugema kumuona u Yesu muntu wa namunake, lakini shanga aukondilye kuona kunsoko amilundo wa antu, kunsoko aemukupe wakimo.
4 Hivyo, alitangulia mbio mbele za watu, akapanda juu ya mkuyu ili aweze kumwona, kwa sababu Yesu alikaribia kupita njia hiyo.
Kuite wikatongela intambo ntongeela aantu, wikanankela migulya amunkuyu kuite wahume kuona, kunsoko u Yesu aewahumbela ukukeela inzila yeyo.
5 Wakati Yesu alipofika mahali pale, aliangalia juu akamwambia, 'Zakayo, shuka upesi, maana leo ni lazima nishinde nyumbani mwako.'
Imatungo u Yesu naupikile pang'wanso, augozile migulya akamuila, “Zakayo sima kaya, kundogoelyo lelo lazima nshinde munyumbako.
6 Akafanya haraka, akashuka na kumkaribisha kwa furaha.
Wikituma halaka, wekasima nukumukalibisha kwakiloelya.
7 Watu wote walipoona hayo, wakalalamika, wakisema, 'Amekwenda kumtembelea mtu mwenye dhambi.'
Eantu ehi naaine nanso, akalalameka, nukulunga, “Wendamugendela umuntu nukete imilandu.”
8 Zakayo akasimama akamwambia Bwana, Tazama Bwana nusu ya mali yangu nawapa maskini, na ikiwa nimemnyang'anya mtu yeyote kitu, nitamrudishia mara nne. '
U Zakayo wikimeka wikamuila Bwana, goza Bwana enusu ansailo yane kuapa eaula, anga itule numuhegeye muntuwehi ekentu, kumusukelya nkua inne.”
9 Yesu akamwambia, 'Leo wokovu umefika katika nyumba hii, kwa sababu yeye pia ni mwana wa Ibrahimu.
U Yesu wikamuila, Elelo uugunwa upikile munyumba yeye, kunsoko nuanso nung'wenso ng'wana wang'wa Ibrahimu.
10 Kwa maana Mwana wa Mtu amekuja kutafuta na kuokoa watu waliopotea. '
Kundogoelyo ung'wana wamuntu uzile kuduma nukuaokola eantu nialimie.”
11 Waliposikia hayo, aliendelea kuongea na alitoa mfano, kwa sababu alikuwa karibu na Yerusalemu, na wao walidhani ya kuwa ufalme wa Mungu ulikuwa karibu kuonekana mara moja.
Naaigulye nanso, wikaendelea kuligitya nukuapumilya impyani, kunsoko aukole pakupe ne Yerusalemu, neenso alengile kina utemi wang'wi Tunda aeukole pakupe kigela nkuaing'wi.
12 Hivyo akawaambia, 'Ofisa mmoja alikwenda nchi ya mbali ili apokee ufalme na kisha aurudi.
Kuite wekamuila, “ofisa ung'wi aewendile ihe akole ili apokeele utemi hange wasuke.
13 Aliwaita watumishi wake kumi, akawapa mafungu kumi, akawaambia, 'fanyeni biashara mpaka nitakaporudi.'
Aeutangile iitumi akwe ikumi, wikaapa mafungu ikumi, wikaaila, itumi ebiashala kuite mpaka nekusuka.
14 Lakini wananchi wake walimchukia na hivyo wakatuma wajumbe waende kumfuata na kusema, 'Hatutaki mtu huyu atutawale.'
Lakini enihe akwe shanga aeamuloilwe kuite wekaatuma eajumbe ende amudume nukulunga, shangakutakile umuntu uyu ite wakutawale.
15 Ikawa aliporudi nyumbani baada ya kufanywa mfalme, akaamuru wale watumishi aliokuwa amewaachia fedha waitwe kwake, apate kujua faida gani waliyoipata kwa kufanya biashara.
Kuite nausukile kito baada akupegwa uutemi, akalagelya eitumi naualekee impia itangwe kung'wakwe ahume kumanya faedake naamepatile naeitumile ebiashala.
16 Wa kwanza akaja, akasema, `Bwana, fungu lako limefanya mafungu kumi zaidi. '
Nuang'wandyo wekeza, nukulunga, “Bwana ifungu lako litumile mafungu ikumi zaidi.”
17 Huyo Ofisa akamwambia, Vema, mtumishi mwema. Kwa sababu ulikuwa mwaminifu katika jambo dogo, utakuwa na madaraka juu ya miji kumi. '
Uofisa nuanso akamuila, iza, mitume numuza, kunsoko aeumuhueli kueke nekenino, ukutula nuuhueli migulya aisale ikumi.
18 Wa pili akaja, akasema, 'Bwana, fungu lako limefanya mafungu matano.'
Nuakabeele wekiza, akalunga, “Bwana ifungu lako lituma mafungu ataano.
19 Huyo Afisa akamwambia, 'Chukua mamlaka juu ya miji mitano.'
Uofisa nuanso wekamuila, Hola utawala migulya aisale itaano.”
20 Na mwingine akaja, akasema, `Bwana hii hapa fedha yako, ambayo niliihifadhi salama katika kitambaa,
Nuyu numungiza wekiza, akalunga, “Bwana seye apa empia ako, kuite aembekile iza mukitambala,
21 kwa maana niliogopa kwa sababu wewe ni mtu mkali. Unaondoa kile usichokiweka na kuvuna usichopanda. '
kundogoilyo aenogopile kunsoko, kunsoko uewe umutaki, nihola neshanukeekile nukuvuna neshauketeme.”
22 Huyo Ofisa akamwambia, 'Kwa maneno yako mwenyewe, nitakuhukumu, ewe mtumishi mbaya. Ulijua kwamba mimi ni mtu mkali, nachukua nisichokiweka na kuvuna ambacho sikupanda.
Uofisa nuanso akamuila, “Kunkani yako uewe, nukuhukumu, ue umitumi numube. Aulengile kina unene nemuntu numutaki, nehola neshanganukeekile, nukuvuna nishanga nuketemee.
23 Basi, mbona hukuweka fedha yangu katika benki, ili nikirudi niichukue pamoja na faida?
Ite shangawekaekane empia ane mubenki, kuite nensukile numehole palung'wi nefaida?
24 Ofisa akawaambia watu waliokuwa wamesimama hapo, 'Mnyang'anyeni hilo fungu na kumpa yule mwenye mafungu kumi.'
Uofisa wekaaela eantu naeakole imekile apaite, Muhegelyi ifungu nelanso nukumupa uyu nuamafungu ikumi.”
25 Wakamwambia, `Bwana, yeye ana mafungu kumi. '
Wekamuela, Bwana, nuanso ukete mafungu ikumi.
26 'Nawaambia, kila mtu ambaye anacho atapewa zaidi, lakini ambaye hana, hata kile alicho nacho kitachukuliwa.
Kumuela, kila umuntu nukete ukupegwa ikulu, lakini uyu numugila, ata keke nukete kekuholwa.
27 Lakini hawa maadui zangu, ambao hawakutaka niwe Mfalme wao, waleteni hapa na kuwaua mbele yangu. ''
Lakini awaite ebee ane, kuite shangae atakile ntule numutemi wao, aleti apaite muabulage ntongeela ane.”
28 Baada ya kusema hayo, aliendelea mbele akipanda kwenda Yerusalemu.
Baada akulunga nanso, wikendelea kuntongela nukunankela kulongola ku Yerusalemu.
29 Ikawa alipokaribia Bethfage na Bethania, karibu na mlima wa Mizeituni, aliwatuma wanafunzi wake wawili,
Kuite nauhugie ku Bethfage nuku Bethania, pakupe numulema wa Mizeituni, autumile eamanyisigwa akwe abeele,
30 akisema: `Nendeni katika kijiji cha jirani. Mkiingia, mtakuta mwana-punda hajapandwa bado. Mfungueni, mkamlete kwangu.
akalunga: “Longoli kijiji nekakesale. Mingile mukumuhanga ng'wandogwe nukele kunankelwa. Mutungoli, mumulete kung'waane.
31 Kama mtu akiwauliza, `Mbona mnamfungua? ' Semeni, “Bwana anamhitaji. ''
Anga muntu wamukolya, “Mbona mukumutungwela? “Lungu, “Bwana umutakile.”
32 Wale waliotumwa wakaenda wakamwona mwana-punda kama Yesu alivyokuwa amewaambia.
Awa naatumilwe akalongola ekamuona ung'we - ndogwe anga u Yesu nauaee.
33 Walipokuwa wanamfungua mwana punda wamiliki wakawaambia, 'Kwa nini mnamfungua mwana punda huyu?'
Naakumutungula ung'wa-ndogwe eatawala akaela, kuneke mukumutungula ung'wa ndogwe uyuite?
34 Wakasema, `Bwana anamhitaji. '
Ekalunga, Bwana umutakile.
35 Basi, wakampelekea Yesu, wakatandika nguo zao juu ya mwana punda na wakampandisha Yesu juu yake.
Kuite, akamutaila u Yesu, ekaela ian'wenda ao migulya mung'wa - ndogwe ekamunankelya u Yesu migulya akwe.
36 Alipokuwa akienda watu wakatandaza mavazi yao barabarani.
Nautuile ukolongola eantu akaela iang'wenda ao mubalabala.
37 Alipokuwa anateremka mlima wa Mizeituni, jumuiya yote ya wanafunzi wakaanza kushangilia na kumtukuza Mungu kwa sauti kubwa, kwa sababu ya mambo makuu waliyoyaona,
Nautuile ukusima mumulima wa Mizeituni umilondo wehi nuamanyisigwa akwe akanza kumulombeelya nukumukulya Itunda kululi nulukulu, kunsoko amakani nemakulu naamaine,
38 wakisema, 'Ndiye mbarikiwa Mfalme ajaye kwa jina la Bwana! Amani mbinguni, na utukufu juu!'
ekalunga, “Inge ukembetilwe umutemi nuzile kulina lang'wa Bwana! Ulowa, Milunde, nuutukufu migulya!
39 Baadhi ya Mafarisayo katika mkutano wakamwambia, Mwalimu, wanyamazishe wanafunzi wako. '
Baadhi amafarisayo mukate amilundo ekamuila, Mwalimu akilagye imagwe akukulya ululi.
40 Yesu akajibu, akasema, `Nawaambieni, kama hawa wakinyamaza, mawe yatapaza sauti. '
U Yesu wekaasukilya, nukulunga, wekaaila, anga wawa akilage, imagwe akukulya ululi.”
41 Yesu alipoukaribia mji aliulilia,
U Yesu nauhugie ikesale wekakelela,
42 akisema, laiti ungelijua hata wewe, katika siku hii mambo ambayo yanayokuletea amani! Lakini sasa yamefichika machoni pako.
wikalunga, tazu angezeune ata uewe, muluhiku ulu emakani aya nekuletela ulowa! Lakini itungele apihilwe mumiho ako.
43 Kwa kuwa siku zinakuja ambapo adui zako watajenga boma karibu na wewe, na kukuzunguka na kukukandamiza kutoka kila upande.
Kunsoko ipembilye insiku eabee ako akuzenga itando pakupe nuewe.
44 Watakuangusha chini wewe na watoto wako. Hawatakuachia hata jiwe moja juu ya jingine, kwa sababu haukutambua wakati Mungu alipokuwa anajaribu kukuokoa'.
Akugwisa pihe uewe neana ako. Shangaakulekela ata igwe neleng'we migulya anilengiza, kunsoko shanga aulengile imatungo Itunda naugemile kuokoa.
45 Yesu aliingia Hekaluni, akaanza kuwafukuza wale waliokuwa wakiuza,
Uye wakingila mihekalu, akandya kuazunsa awa naeakugulya,
46 akiwaambia, “Imeandikwa, 'Nyumba yangu itakuwa nyumba ya sala,' lakini ninyi mmeifanya kuwa pango la wanyang'anyi”.
wekaaela, “Yandekilwe, Enyumbane ekutula nyumba amalompi, lakini unyenye yatula anga ikulungu lahegelyi”
47 Kwa hiyo, Yesu alikuwa akifundisha kila siku hekaluni. Makuhani wakuu na walimu wa Sheria na viongozi wa watu walitaka kumuua,
Kuite, u Yesu aewimanyisa kila uluhiku mihekalu. Eatongeli neakulu nealimu a shelia neatongeli antu naatakile kumubulaga.
48 lakini hawakuweza kupata njia ya kufanya hivyo, kwa sababu watu wote walikuwa wakimsikiliza kwa makini.
Lakini shangaekaweza kulija enzila nakituma nanso, kunsoko eantu ehi amutegeye kwamakini.

< Luka 19 >