< Luka 19 >

1 Yesu aliingia na kupita katikati ya Yeriko.
YA jumalom si Jesus, ya malofan inanaco Jerico.
2 Na hapo palikuwa na mtu mmoja aitwaye Zakayo. Ambaye alikuwa mkuu wa watoza ushuru tena mtu tajiri.
Ya, estagüe, güije un taotao na y naanña si Saqueo, magas y publicano, na rico güe.
3 Alikuwa anajaribu kumwona Yesu ni mtu wa namna gani, lakini hakuweza kuona kwa sababu ya umati wa watu, kwa kuwa alikuwa mfupi wa kimo.
Ya jaquequeliija jaye si Jesus; lao ti siña, pot y linajyan taotao, yan pot y etigo güe.
4 Hivyo, alitangulia mbio mbele za watu, akapanda juu ya mkuyu ili aweze kumwona, kwa sababu Yesu alikaribia kupita njia hiyo.
Ya malago mona, ya umeculo gui trongcon sicomoro para ulie: sa nesesita na ufapos güije.
5 Wakati Yesu alipofika mahali pale, aliangalia juu akamwambia, 'Zakayo, shuka upesi, maana leo ni lazima nishinde nyumbani mwako.'
Ya anae mato si Jesus güije na lugat, manatan julo, ya ilegña nu güiya: Saqueo, tunog lasajyao, sa pago na, jaane nesesita na jusaga gui guimamo.
6 Akafanya haraka, akashuka na kumkaribisha kwa furaha.
Ya sumajyao papa, ya jaresibe güe yan y minagofña.
7 Watu wote walipoona hayo, wakalalamika, wakisema, 'Amekwenda kumtembelea mtu mwenye dhambi.'
Ya anae malie este, todos mangonggong, ilegñija: Mapos, para usaga gui isao na taotao.
8 Zakayo akasimama akamwambia Bwana, Tazama Bwana nusu ya mali yangu nawapa maskini, na ikiwa nimemnyang'anya mtu yeyote kitu, nitamrudishia mara nne. '
Ya si Saqueo tumojgue ya ilegña ni y Señot: Estagüe, Señot, y lamita gui güinajajo junae y mamobble sija; ya yanguin guaja chinelejo pot finababa bae junae cuatro talo.
9 Yesu akamwambia, 'Leo wokovu umefika katika nyumba hii, kwa sababu yeye pia ni mwana wa Ibrahimu.
Ya ilegña si Jesus nu güiya: Pago na jaane mato y satbasion güine na guma; sa güiya locue Lajin Abraham.
10 Kwa maana Mwana wa Mtu amekuja kutafuta na kuokoa watu waliopotea. '
Sa y Lajin taotao mato para ualigao, yan usatba y manmalingo.
11 Waliposikia hayo, aliendelea kuongea na alitoa mfano, kwa sababu alikuwa karibu na Yerusalemu, na wao walidhani ya kuwa ufalme wa Mungu ulikuwa karibu kuonekana mara moja.
Ya mientras majujungog este sija, jaaumenta ya jasangan un acomparasion, sa pot y esta jijijot Jerusalem, yan pot y jinasonñija na enseguidas ufato y raenon Yuus.
12 Hivyo akawaambia, 'Ofisa mmoja alikwenda nchi ya mbali ili apokee ufalme na kisha aurudi.
Pot este na ilegña: Un taotao na magas, jumanao para y chago na tano para uresibe y raeno, yan para utaloja guato.
13 Aliwaita watumishi wake kumi, akawapa mafungu kumi, akawaambia, 'fanyeni biashara mpaka nitakaporudi.'
Ya jaagang y dies na tentagoña, ya jaentrega dies na minan moneda, ya ilegña nu sija: Nafangagana asta qui ufato.
14 Lakini wananchi wake walimchukia na hivyo wakatuma wajumbe waende kumfuata na kusema, 'Hatutaki mtu huyu atutawale.'
Lao y taotaoña gui güije na tano machatlie güe, ya manmanago un compañia guato guiya güiya, ilegñija: Mungajam na ufangobietna este na taotao gui jilo mame.
15 Ikawa aliporudi nyumbani baada ya kufanywa mfalme, akaamuru wale watumishi aliokuwa amewaachia fedha waitwe kwake, apate kujua faida gani waliyoipata kwa kufanya biashara.
Ya susede anae esta jaresibe y raeno, tumalo guato, ya manago na ufanmaagange y tentago sija ni y janae ni y salape, para utungo cuanto cada uno güinanaña.
16 Wa kwanza akaja, akasema, `Bwana, fungu lako limefanya mafungu kumi zaidi. '
Ya anae mato y finenana, ilegña: Señot, y minamo mangana dies na mina mas.
17 Huyo Ofisa akamwambia, Vema, mtumishi mwema. Kwa sababu ulikuwa mwaminifu katika jambo dogo, utakuwa na madaraka juu ya miji kumi. '
Ya ilegña nu güiya: Mauleg na finatinasmo, mauleg jao na tentago. Pot y tunas jao gui didide, guaja ninasiñamo gui jilo y dies na siuda.
18 Wa pili akaja, akasema, 'Bwana, fungu lako limefanya mafungu matano.'
Ya anae mato y mina dos, ilegña: Señot, y minamo mangana sinco na mina.
19 Huyo Afisa akamwambia, 'Chukua mamlaka juu ya miji mitano.'
Ya locue ilegña nu güiya: Jago gui jilo sinco na siuda.
20 Na mwingine akaja, akasema, `Bwana hii hapa fedha yako, ambayo niliihifadhi salama katika kitambaa,
Ya mato y otro ilegña: Señot, estagüe y minamo na juadaje ya jupolo gui jalom y setbiyetas:
21 kwa maana niliogopa kwa sababu wewe ni mtu mkali. Unaondoa kile usichokiweka na kuvuna usichopanda. '
Sa maañaoyo nu jago, sa recto jao na taotao: unchuchule y ti unpolo, ya uncococo y ti untanom.
22 Huyo Ofisa akamwambia, 'Kwa maneno yako mwenyewe, nitakuhukumu, ewe mtumishi mbaya. Ulijua kwamba mimi ni mtu mkali, nachukua nisichokiweka na kuvuna ambacho sikupanda.
Ya ilegña nu güiya: Taelaye jao na tentago, y guinin y pachotmo nae jujusga jao. Untungoja na recto yo na taotao, juchuchuleja y ti jupolo, ya jucococoja y ti jutanme:
23 Basi, mbona hukuweka fedha yangu katika benki, ili nikirudi niichukue pamoja na faida?
Jafa na ti unpolo y salapejo gui banco; sa para yanguin matoyo jugagao yan y ganansia?
24 Ofisa akawaambia watu waliokuwa wamesimama hapo, 'Mnyang'anyeni hilo fungu na kumpa yule mwenye mafungu kumi.'
Ya ilegña nu ayo sija y manotojgue gui oriya: Nasuja guiya güiya y minan moneda ya umanae ayo y guaja dies na mina.
25 Wakamwambia, `Bwana, yeye ana mafungu kumi. '
Ya ilegñija nu güiya: Señot, guajaja güe dies na mina.
26 'Nawaambia, kila mtu ambaye anacho atapewa zaidi, lakini ambaye hana, hata kile alicho nacho kitachukuliwa.
Sa jusangane jamyo, na masqueseaja jaye y guaja iyoña, umanae; lao y taya iyoña, achogja y guajaña umanasuja guiya guiya.
27 Lakini hawa maadui zangu, ambao hawakutaka niwe Mfalme wao, waleteni hapa na kuwaua mbele yangu. ''
Lao aya sija y enemigujo, ni y ti manmalago na jufangobietna gui jiloñija, cone mague, ya ufanmadegüeya gui menajo.
28 Baada ya kusema hayo, aliendelea mbele akipanda kwenda Yerusalemu.
Ya anae munjayan jasangan este, malag y sumanmena, ya cajulo Jerusalem.
29 Ikawa alipokaribia Bethfage na Bethania, karibu na mlima wa Mizeituni, aliwatuma wanafunzi wake wawili,
Ya susede anae esta jijot Betfage, yan Betania, gui egso ni y mafanaan ogso Olibo, jatago dos gui disipuluña,
30 akisema: `Nendeni katika kijiji cha jirani. Mkiingia, mtakuta mwana-punda hajapandwa bado. Mfungueni, mkamlete kwangu.
Ilegña: Janao fanmalag esta mona y sengsong; ya an manjalom jamyo güije, inseda un patgon bulico na magogode, na taya ni un taotao tumachojnge: pula ya inquene mague.
31 Kama mtu akiwauliza, `Mbona mnamfungua? ' Semeni, “Bwana anamhitaji. ''
Ya yanguin jaye na taotao fumaesen jamyo: Jafa miña inpila? Sangane taegüine: Sa janesesita y Señot.
32 Wale waliotumwa wakaenda wakamwona mwana-punda kama Yesu alivyokuwa amewaambia.
Ya manjanao ayo sija y manmatago, ya jasoda jaftaemano y mansinangane sija.
33 Walipokuwa wanamfungua mwana punda wamiliki wakawaambia, 'Kwa nini mnamfungua mwana punda huyu?'
Ya anae mapupula y patgon bulico, ilegña y gaega nu sija: Jafa muna inpípila y patgon bulico.
34 Wakasema, `Bwana anamhitaji. '
Ya ilegñija: Janesesita y Señot.
35 Basi, wakampelekea Yesu, wakatandika nguo zao juu ya mwana punda na wakampandisha Yesu juu yake.
Ya macone guato gui as Jesus: ya japolo y magagoñija gui jilo y patgon bulico, ya manmaudae si Jesus,
36 Alipokuwa akienda watu wakatandaza mavazi yao barabarani.
Ya anae jumajanao, jababa y magagoñija gui chalan.
37 Alipokuwa anateremka mlima wa Mizeituni, jumuiya yote ya wanafunzi wakaanza kushangilia na kumtukuza Mungu kwa sauti kubwa, kwa sababu ya mambo makuu waliyoyaona,
Ya anae esta jijijot, esta tumutunog gui egso Olibo, todo y manadan disipulo matutujon manmagof ya maalaba si Yuus, yan dangculo inagang, pot y liniiñija todo ni y finatinas namanman.
38 wakisema, 'Ndiye mbarikiwa Mfalme ajaye kwa jina la Bwana! Amani mbinguni, na utukufu juu!'
Ylegñija: Dichoso y Ray ni y mato pot y naan y Señot: pas gui langet, yan minalag guiya jululo.
39 Baadhi ya Mafarisayo katika mkutano wakamwambia, Mwalimu, wanyamazishe wanafunzi wako. '
Ya palo gui Fariseo sija, manestaba gui entalo y linajyan taotao ilegñija nu güiya: Maestro, reprende y disipulumo sija.
40 Yesu akajibu, akasema, `Nawaambieni, kama hawa wakinyamaza, mawe yatapaza sauti. '
Ya manope ilegña: Jusangane jamyo, na yanguin manmamatquilo este sija, y acho enseguidas ufanagang.
41 Yesu alipoukaribia mji aliulilia,
Ya anae esta jijot, ya jalile y siuda, ninacasao pot güiya.
42 akisema, laiti ungelijua hata wewe, katika siku hii mambo ambayo yanayokuletea amani! Lakini sasa yamefichika machoni pako.
Ylegña: Yanguin untungo, pago gui jaanimo, jagoja, y güinaja ni y iyon y pas! lao pago esta maatogüe y atadogmo.
43 Kwa kuwa siku zinakuja ambapo adui zako watajenga boma karibu na wewe, na kukuzunguka na kukukandamiza kutoka kila upande.
Sa ufanmato jaane guiya jago, na y enemigumo sija utanmancolat oda gui oriyamo, ya unmaoriyaye, ya unmaadaje cada banda,
44 Watakuangusha chini wewe na watoto wako. Hawatakuachia hata jiwe moja juu ya jingine, kwa sababu haukutambua wakati Mungu alipokuwa anajaribu kukuokoa'.
Ya umayute papa gui jilo oda yan y famaguonmo ni y mangaegue gui sumanjalommo; ya ti unmapoluye un acho gui jilo y otro; sa ti untungo y tiempon y mabisitamo.
45 Yesu aliingia Hekaluni, akaanza kuwafukuza wale waliokuwa wakiuza,
Ya jumalom gui templo, ya jatutujon yumute juyong todo ayo sija y manmanbebende güije;
46 akiwaambia, “Imeandikwa, 'Nyumba yangu itakuwa nyumba ya sala,' lakini ninyi mmeifanya kuwa pango la wanyang'anyi”.
Ya ilegña nu sija: Esta matugue: Y gumajo, uguma manaetae; lao jamyo infaliyang saque.
47 Kwa hiyo, Yesu alikuwa akifundisha kila siku hekaluni. Makuhani wakuu na walimu wa Sheria na viongozi wa watu walitaka kumuua,
Ya mamanagüe gui templo cada jaane. Lao y magas mamale sija, yan y escriba, yan y manmagas y taotao sija, maaliligao para umaqueyulang.
48 lakini hawakuweza kupata njia ya kufanya hivyo, kwa sababu watu wote walikuwa wakimsikiliza kwa makini.
Ya ti jajulat sumoda jafa ujachogüe: sa todo y taotao gumeguesecungog güe.

< Luka 19 >