< Luka 19 >

1 Yesu aliingia na kupita katikati ya Yeriko.
Yeecu do yarico la cukenti morece.
2 Na hapo palikuwa na mtu mmoja aitwaye Zakayo. Ambaye alikuwa mkuu wa watoza ushuru tena mtu tajiri.
Nikange wi deu cero zakka, dur nobo yo dortiye, nii cwika,
3 Alikuwa anajaribu kumwona Yesu ni mtu wa namna gani, lakini hakuweza kuona kwa sababu ya umati wa watu, kwa kuwa alikuwa mfupi wa kimo.
Con mani no co to keno we yecudi. La co dol bo toka wor, nobo durce, take con nii bi kwen.
4 Hivyo, alitangulia mbio mbele za watu, akapanda juu ya mkuyu ili aweze kumwona, kwa sababu Yesu alikaribia kupita njia hiyo.
Laco cukken kab ya con kwiken tii nyincin naco tom co, wori Yeecu acuwi fonure cuwonin.
5 Wakati Yesu alipofika mahali pale, aliangalia juu akamwambia, 'Zakayo, shuka upesi, maana leo ni lazima nishinde nyumbani mwako.'
Kambo Yeecu lau weyeri kung nuwe dii layico ki zakka yi rau wulom daten mwo da lomo.
6 Akafanya haraka, akashuka na kumkaribisha kwa furaha.
La yilau wulumm-wulum yuwo co ki fuwor neret.
7 Watu wote walipoona hayo, wakalalamika, wakisema, 'Amekwenda kumtembelea mtu mwenye dhambi.'
La gwam ciye cin to wori, ci ma fwennati ki, ya fura lo nii bwiranke.
8 Zakayo akasimama akamwambia Bwana, Tazama Bwana nusu ya mali yangu nawapa maskini, na ikiwa nimemnyang'anya mtu yeyote kitu, nitamrudishia mara nne. '
Zakka kweni tii, ki to Teluwe, man. Kabkangum cweka miko more yob nane fuwa wine tana man yodiger nii cum wo ma yotiyeri, ma yila neti kiriti na'ar.
9 Yesu akamwambia, 'Leo wokovu umefika katika nyumba hii, kwa sababu yeye pia ni mwana wa Ibrahimu.
Yeecu yi coki duwen fuloka bou fo luwe wurini nii co bi bwe Ibrayim.
10 Kwa maana Mwana wa Mtu amekuja kutafuta na kuokoa watu waliopotea. '
Bi bwe nii bo na do kange fuloka nobo leme.
11 Waliposikia hayo, aliendelea kuongea na alitoa mfano, kwa sababu alikuwa karibu na Yerusalemu, na wao walidhani ya kuwa ufalme wa Mungu ulikuwa karibu kuonekana mara moja.
Di di nuwe digewo digewo nyer. Con yoten coti tokki ki danke, wori co bi dom kange Urcalima. Cin tuken liyar kwamaro biyeken nawo.
12 Hivyo akawaambia, 'Ofisa mmoja alikwenda nchi ya mbali ili apokee ufalme na kisha aurudi.
La con yiciki nii dur cu bitine kange, ya ca yo liyar na co yilam.
13 Aliwaita watumishi wake kumi, akawapa mafungu kumi, akawaambia, 'fanyeni biashara mpaka nitakaporudi.'
Con co, cangace kwob, la yi ciki kom yila kangi, ko tiye kom miye nakom fiya mwen dorcet, mimale yilau.
14 Lakini wananchi wake walimchukia na hivyo wakatuma wajumbe waende kumfuata na kusema, 'Hatutaki mtu huyu atutawale.'
La nobo loce ko co, cin twom nob bwiko cek ki manya ciya ti niwo a ca ciyar dor nyer.
15 Ikawa aliporudi nyumbani baada ya kufanywa mfalme, akaamuru wale watumishi aliokuwa amewaachia fedha waitwe kwake, apate kujua faida gani waliyoipata kwa kufanya biashara.
La ci ne nii wo liyoro, kambo co bou lo weri co tomi ki ciya cucine ne congetini na co nyomom kiyemero co ne ciyeu ki ciya yila kalakangtiyeu.
16 Wa kwanza akaja, akasema, `Bwana, fungu lako limefanya mafungu kumi zaidi. '
Wi kabako be cinen ki Teluwe fam mwem bo we ma fiya mwen dorcet, fambo kwob.
17 Huyo Ofisa akamwambia, Vema, mtumishi mwema. Kwa sababu ulikuwa mwaminifu katika jambo dogo, utakuwa na madaraka juu ya miji kumi. '
Liya yi co ki dong dong canga ken, wuri mo, maken dor dike bi dure, man nenen tako cunnucut do kwob.
18 Wa pili akaja, akasema, 'Bwana, fungu lako limefanya mafungu matano.'
Na yobe ce bo yitiki fam mwembo Teluwe ma fiya mwembo fam bo nung.
19 Huyo Afisa akamwambia, 'Chukua mamlaka juu ya miji mitano.'
Liya yicoki tom cunnukirning mwo tamciko.
20 Na mwingine akaja, akasema, `Bwana hii hapa fedha yako, ambayo niliihifadhi salama katika kitambaa,
Na taarece bo yitiki, fam mwembo wo man yo ken co yora mor kulene,
21 kwa maana niliogopa kwa sababu wewe ni mtu mkali. Unaondoa kile usichokiweka na kuvuna usichopanda. '
man nuwa tai mwe to, wori mor ni funere, moki to tike mo yobe, mo biye dige mo fii be.
22 Huyo Ofisa akamwambia, 'Kwa maneno yako mwenyewe, nitakuhukumu, ewe mtumishi mbaya. Ulijua kwamba mimi ni mtu mkali, nachukua nisichokiweka na kuvuna ambacho sikupanda.
Liya yi co ki ki ker mwer ma mamwer bo langtiye, mwo cange bwit mo nyomon moki mo man nii maki to re dike ma yobe,
23 Basi, mbona hukuweka fedha yangu katika benki, ili nikirudi niichukue pamoja na faida?
ye bwi mo yobo ki kye miro fiye bini kiyeme no bwiko ma bori na yo co ki mwen.
24 Ofisa akawaambia watu waliokuwa wamesimama hapo, 'Mnyang'anyeni hilo fungu na kumpa yule mwenye mafungu kumi.'
Liya yi nobo tin wiye, kom yom fam bo co tan cike, kom niken niwo ki fam bo kwobbe.
25 Wakamwambia, `Bwana, yeye ana mafungu kumi. '
Ciki Teluwe, wii ki fam bo kwob.
26 'Nawaambia, kila mtu ambaye anacho atapewa zaidi, lakini ambaye hana, hata kile alicho nacho kitachukuliwa.
Miki niwo ki dikereri, cin yok cinen ten, niwo man cikeri an yom tangnin bo cine nen.
27 Lakini hawa maadui zangu, ambao hawakutaka niwe Mfalme wao, waleteni hapa na kuwaua mbele yangu. ''
Ki nobo biro koki yilare liya ciye kom bo ki ci fiyemi wii na twallangum ci fo kami.
28 Baada ya kusema hayo, aliendelea mbele akipanda kwenda Yerusalemu.
La kambo co to kan nyeri cui ken Urcelima.
29 Ikawa alipokaribia Bethfage na Bethania, karibu na mlima wa Mizeituni, aliwatuma wanafunzi wake wawili,
Kambo cibo bidom kange Betafaji kange Betani dor bange ci coti ki zaitun, co tom nob bwangka coko nyo yob.
30 akisema: `Nendeni katika kijiji cha jirani. Mkiingia, mtakuta mwana-punda hajapandwa bado. Mfungueni, mkamlete kwangu.
Yi ciki, kom ya cuinukur do wureno ka kome. No com yari kanto be gelba kange tekum we kom kwiu. Kom bou men ciko.
31 Kama mtu akiwauliza, `Mbona mnamfungua? ' Semeni, “Bwana anamhitaji. ''
No nii kange me kom ki, 'Ye bwiyi kom kwi tiyeri? kom yi co ki teruwe cuitiye.
32 Wale waliotumwa wakaenda wakamwona mwana-punda kama Yesu alivyokuwa amewaambia.
Nobo biro cu tom ciyeu yaci, fiya be gelba na wo Yeecu yiciyeu.
33 Walipokuwa wanamfungua mwana punda wamiliki wakawaambia, 'Kwa nini mnamfungua mwana punda huyu?'
Kambo ci kwi be gelba tiyeri, nob gelba me ciki, ye bwi ci kwi gelba tiye?
34 Wakasema, `Bwana anamhitaji. '
Ciki teluwe cuii tiye.
35 Basi, wakampelekea Yesu, wakatandika nguo zao juu ya mwana punda na wakampandisha Yesu juu yake.
Ci bo Yeecu nin ciko, cin miti kuleu ciye ro dor be gelba, co ci kun Yeecu ci yoti dorcere.
36 Alipokuwa akienda watu wakatandaza mavazi yao barabarani.
Kambo yaken tiyeri cimiten kulen ciyero ti dor nure
37 Alipokuwa anateremka mlima wa Mizeituni, jumuiya yote ya wanafunzi wakaanza kushangilia na kumtukuza Mungu kwa sauti kubwa, kwa sababu ya mambo makuu waliyoyaona,
Di con dedom yirakako kong zaitun, la nob tomange ceu cin ter bilantumbo ci wab kwamati ki diro dur wori nangeu nyo mamka ci to we.
38 wakisema, 'Ndiye mbarikiwa Mfalme ajaye kwa jina la Bwana! Amani mbinguni, na utukufu juu!'
Bibwiyer lamiyo fiye liya wiyewo boti den Tere fuwor neret firen dii kwama kange yorkako wo na duk kakoce.
39 Baadhi ya Mafarisayo katika mkutano wakamwambia, Mwalimu, wanyamazishe wanafunzi wako. '
Kangum Fariciyawa mor nob mwe kanka nyico ki ni murangka kwanan nob bwingka mweko.
40 Yesu akajibu, akasema, `Nawaambieni, kama hawa wakinyamaza, mawe yatapaza sauti. '
Yeecu yilci miyikum bi rin keti bwenteno nobo biro kumom di terentiyo ki bwiyici ciya bi lange
41 Yesu alipoukaribia mji aliulilia,
Fiya Yeecu bou bidomri la ci lam bero cori la com ciwiyeu dor cer
42 akisema, laiti ungelijua hata wewe, katika siku hii mambo ambayo yanayokuletea amani! Lakini sasa yamefichika machoni pako.
tok ki, waki kom nyomom dike abou ti ki furnare di dila cumom nuwi kime mani ka to ti.
43 Kwa kuwa siku zinakuja ambapo adui zako watajenga boma karibu na wewe, na kukuzunguka na kukukandamiza kutoka kila upande.
Dila diye boli mwinen, wo nob ki Yeecu mwe, ciyan mu ki yalange kentangum nen, ciyan kwenang mwenten culang ko gwam.
44 Watakuangusha chini wewe na watoto wako. Hawatakuachia hata jiwe moja juu ya jingine, kwa sababu haukutambua wakati Mungu alipokuwa anajaribu kukuokoa'.
Ciyan kun kom bitine wari kange bi beiyo lomwe. Mani ciya dob kange terti dor kecer wori mo kabo bati fiya kwama cwinco tiken nenen.
45 Yesu aliingia Hekaluni, akaanza kuwafukuza wale waliokuwa wakiuza,
Yeecu do bicor wabe co la tir yuwanob miyankake,
46 akiwaambia, “Imeandikwa, 'Nyumba yangu itakuwa nyumba ya sala,' lakini ninyi mmeifanya kuwa pango la wanyang'anyi”.
yi ci ti ki mulangum mulange lomi a yila lo diko, kom yilam bwak nob kwiyeb.
47 Kwa hiyo, Yesu alikuwa akifundisha kila siku hekaluni. Makuhani wakuu na walimu wa Sheria na viongozi wa watu walitaka kumuua,
Yeecu wi merang kang kang mor bikur waber. Dila dur wabero kange nob mulanka kange nobo dor noberoci cwiti na ci twallumco.
48 lakini hawakuweza kupata njia ya kufanya hivyo, kwa sababu watu wote walikuwa wakimsikiliza kwa makini.
Di la ci fiya bo nor maka, wori nobo cuwati ti cinen kambo ken.

< Luka 19 >