< Luka 18 >

1 Kisha akawaambia mfano wa namna wanavyopaswa kuomba daima, na wasikate tamaa.
to say then (and *ko) parable it/s/he to/with the/this/who be necessary always to pray (it/s/he *no) and not to lose heart
2 akaisema, 'Kulikuwa na hakimu katika mji fulani, ambaye hakuwa anamwogopa Mungu na hakuwaheshimu watu.
to say judge one to be in/on/among one city the/this/who God not to fear and a human not to cause shame
3 Kulikuwa na mjane katika jiji hilo, naye alimwendea mara nyingi, akisema, 'Nisaidie kupata haki dhidi ya mpinzani wangu.'
widow then to be in/on/among the/this/who city that and to come/go to/with it/s/he to say to avenge me away from the/this/who opponent me
4 Kwa muda mrefu hakuwa tayari kumsaidia, lakini baada ya muda akasema moyoni mwake, `Ingawa mimi simwogopi Mungu au kuheshimu mtu,
and no (to will/desire *N+kO) upon/to/against time with/after then this/he/she/it to say in/on/among themself if: even though and the/this/who God no to fear (nor *N+kO) a human to cause shame
5 lakini kwa vile huyu mjane ananisumbua nitamsaidia kupata haki yake, ili asije akanichosha kwa kunijia mara kwa mara. ''
through/because of indeed the/this/who to furnish occasion me labor the/this/who widow this/he/she/it to avenge it/s/he in order that/to not toward goal/tax to come/go to wear out me
6 Kisha Bwana akasema, 'Sikiliza alivyosema huyo hakimu dhalimu.
to say then the/this/who lord: God to hear which? the/this/who judge the/this/who unrighteousness to say
7 Je Mungu pia hataleta haki kwa wateule wake ambao wanamlilia mchana na usiku? Je, yeye hatakuwa mvumilivu kwao?
the/this/who then God no not (to do/make: do *N+kO) the/this/who vengeance the/this/who select it/s/he the/this/who to cry out (to/with *k) (it/s/he *N+kO) day and night and (to have patience *N+kO) upon/to/against it/s/he
8 Nawaambia kwamba ataleta haki kwao upesi. Lakini wakati Mwana wa Adamu atakapokuja, je, atakuta imani duniani? '
to say you that/since: that to do/make: do the/this/who vengeance it/s/he in/on/among speed but/however the/this/who son the/this/who a human to come/go no? to find/meet the/this/who faith upon/to/against the/this/who earth: planet
9 Ndipo akawaambia mfano huu kwa baadhi ya watu ambao wanajiona wenyewe kuwa wenye haki na kuwadharau watu wengine,
to say then and to/with one the/this/who to persuade upon/to/against themself that/since: that to be just and (to reject *NK+o) the/this/who remaining the/this/who parable this/he/she/it
10 'Watu wawili walipanda kwenda hekaluni kusali: mmoja Mfarisayo mwingine mtoza ushuru.
a human two to ascend toward the/this/who temple to pray the/this/who one Pharisee and the/this/who other tax collector
11 Farisayo akasimama akaomba mambo haya juu yake mwenyewe, 'Mungu, nakushukuru kwa vile mimi si kama watu wengine ambao ni wanyang'anyi, watu wasio waadilifu, wazinzi, au kama huyu mtoza ushuru.
the/this/who Pharisee to stand to/with themself this/he/she/it to pray the/this/who God to thank you that/since: that no to be (just as *NK+o) the/this/who remaining the/this/who a human rapacious unjust adulterer or and as/when this/he/she/it the/this/who tax collector
12 Nafunga mara mbili kila wiki. Natoa zaka katika mapato yote ninayopata. '
to fast twice the/this/who Sabbath to tithe all just as/how much to posses
13 Lakini yule mtoza ushuru, alisimama mbali, bila hakuweza hata kuinua macho yake mbinguni, akagonga kifua chake akisema, 'Mungu, nirehemu mimi mwenye dhambi.'
(and *ko) the/this/who (then *no) tax collector from afar to stand no to will/desire nor the/this/who eye to lift up toward the/this/who heaven but to strike (toward *k) the/this/who chest (it/s/he *NK+o) to say the/this/who God to propitiate me the/this/who sinful
14 Nawaambia, mtu huyu alirudi nyumbani akiwa amehesabiwa haki kuliko yule mwingine, kwa sababu kila ajikwezaye atashushwa, lakini kila mtu anayejinyenyekeza atainuliwa. '
to say you to come/go down this/he/she/it to justify toward the/this/who house: home it/s/he (or *k) (from/with/beside *n+o) (that *N+kO) that/since: since all the/this/who to lift up themself to humble the/this/who then to humble themself to lift up
15 Watu walimletea watoto wao wachanga, ili aweze kuwagusa, lakini wanafunzi wake walipoona hayo, wakawazuia.
to bring to then it/s/he and the/this/who infant in order that/to it/s/he to touch to perceive: see then the/this/who disciple (to rebuke *N+kO) it/s/he
16 Lakini Yesu akawaita kwake akisema, 'Waacheni watoto wadogo waje kwangu, wala msiwazuie. Maana ufalme wa Mungu ni wa watu kama hao.
the/this/who then Jesus (to call to/summon *N+kO) it/s/he (to say *N+kO) to release: permit the/this/who child to come/go to/with me and not to prevent it/s/he the/this/who for such as this to be the/this/who kingdom the/this/who God
17 Amin, nawaambia, mtu yeyote asiyeupokea ufalme wa Mungu kama mtoto ni dhahiri hatauingia. '
amen to say you which (if *N+kO) not to receive the/this/who kingdom the/this/who God as/when child no not to enter toward it/s/he
18 Mtawala mmoja akamwuliza, akisema, 'Mwalimu mwema, nifanye nini ili niurithi uzima wa milele?' (aiōnios g166)
and to question one it/s/he ruler to say teacher good which? to do/make: do life eternal to inherit (aiōnios g166)
19 Yesu akamwambia, 'Kwa nini unaniita mwema? Hakuna mtu aliye mwema, ila Mungu peke yake.
to say then it/s/he the/this/who Jesus which? me to say: call good none good if: not not one the/this/who God
20 Unazijua amri- usizini, usiue, Usiibe, usishuhudie uongo, waheshimu baba yako na mama yako.
the/this/who commandment to know not to commit adultery not to murder not to steal not to perjure to honor the/this/who father you and the/this/who mother (you *k)
21 Yule mtawala akasema, 'Mambo haya yote nimeyashika tangu nilipokuwa kijana.'
the/this/who then to say this/he/she/it all (to keep/guard: observe *N+kO) out from youth (me *ko)
22 Yesu alipoyasikia hayo akamwambia, '“Umepungukiwa jambo moja. Lazima uuze vyote ulivyonavyo na uwagawie maskini, nawe utakuwa na hazina mbinguni -kisha njoo, unifuate. '
to hear then (this/he/she/it *k) the/this/who Jesus to say it/s/he still one you to lack all just as/how much to have/be to sell and to distribute poor and to have/be treasure in/on/among (the/this/who *no) (heaven *N+kO) and come to follow me
23 Lakini tajiri aliposikia hayo, alihuzunika sana, kwa sababu alikuwa tajiri sana.
the/this/who then to hear this/he/she/it sorrowful (to be *N+kO) to be for rich very
24 Kisha Yesu, akamwona alivyohuzunika sana akasema, 'Jinsi gani itakavyokuwa vigumu kwa matajiri kuingia katika Ufalme wa Mungu!
to perceive: see then it/s/he the/this/who Jesus sorrowful to be to say how! difficultly the/this/who the/this/who money to have/be toward the/this/who kingdom the/this/who God (to enter *N+kO)
25 Maana ni rahisi sana kwa ngamia kupita katika tundu la sindano, kuliko kwa tajiri kuingia katika Ufalme wa Mungu. '
easy for to be camel through/because of (hole needle *N+kO) to enter or rich toward the/this/who kingdom the/this/who God to enter
26 Wale waliosikia hayo, wakasema, 'Nani basi, atakayeweza kuokolewa?'
to say then the/this/who to hear and which? be able to save
27 Yesu akajibu, 'Mambo yasiyowezekana kwa mwanadamu kwa Mungu yanawezekana.”
the/this/who then to say the/this/who unable from/with/beside a human able from/with/beside the/this/who God to be
28 Petro akasema, 'Naam, sisi tumeacha kila kitu na tumekufuata wewe. '
to say then the/this/who Peter look! me (to release: leave *N+kO) (the/this/who *no) (one's own/private *N+kO) (and *k) to follow you
29 Kisha Yesu akawaambia, Amin, nawaambia kwamba hakuna mtu aliyeacha nyumba, au mke, au ndugu, au wazazi au watoto, kwa ajili ya Ufalme wa Mungu,
the/this/who then to say it/s/he amen to say you that/since: that none to be which to release: leave home or woman: wife or brother or parent or child because of the/this/who kingdom the/this/who God
30 ambaye hatapokea mengi zaidi katika ulimwengu huu, na katika ulimwengu ujao, uzima wa milele. ' (aiōn g165, aiōnios g166)
which (not! *N+kO) not (to get back *NK+o) many times more in/on/among the/this/who time/right time this/he/she/it and in/on/among the/this/who an age: age the/this/who to come/go life eternal (aiōn g165, aiōnios g166)
31 Baada ya kuwakusanya wale kumi na wawibili, akawaambia, 'Tazama, tunapanda kwenda Yerusalemu, na mambo yote ambayo yameandikwa na manabii kuhusu Mwana wa Adamu yatakamilishwa.
to take then the/this/who twelve to say to/with it/s/he look! to ascend toward (Jerusalem *N+kO) and to finish all the/this/who to write through/because of the/this/who prophet the/this/who son the/this/who a human
32 Kwa maana atatiwa mikononi mwa watu wa Mataifa na atatendewa dhihaka na jeuri, na kutemewa mate.
to deliver for the/this/who Gentiles and to mock and to mistreat and to spit on/at
33 Baada ya kumchapa viboko watamwua na siku ya tatu atafufuka. '
and to whip to kill it/s/he and the/this/who day the/this/who third to arise
34 Hawakuelewa mambo haya, na neno hili lilikuwa limefichwa kwao, na hawakuelewa mambo yaliyosemwa.
and it/s/he none this/he/she/it to understand and to be the/this/who declaration this/he/she/it to hide away from it/s/he and no to know the/this/who to say
35 Ikawa Yesu ulipokaribia Yeriko, mtu mmoja kipofu alikuwa ameketi kando ya barabara akiomba msaada,
to be then in/on/among the/this/who to come near it/s/he toward Jericho blind one to sit from/with/beside the/this/who road (to ask/beg *N+kO)
36 aliposikia umati wa watu ukipita aliuliza nini kinatokea.
to hear then crowd to go through to inquire which? (if *o) to be this/he/she/it
37 Wakamwambia kwamba Yesu wa Nazareti anapita.
to announce then it/s/he that/since: that Jesus the/this/who Nazareth to pass by
38 Hivyo yule kipofu akalia kwa sauti, akisema, 'Yesu, Mwana wa Daudi, unirehemu.'
and to cry out to say Jesus son David to have mercy me
39 wale waliokuwa wakitembea walimkemea huyo kipofu, wakamwambia anyamaze. Lakini yeye akazidi kulia kwa sauti, 'Mwana wa Daudi, unirehemu.
and the/this/who to go/bring before to rebuke it/s/he in order that/to (be silent *N+kO) it/s/he then much more to cry son David to have mercy me
40 Yesu akasimama akaamuru mtu yule aletwe kwake. Kisha yule kipofu alipomkaribia, Yesu akamwuliza,
to stand then the/this/who Jesus to order it/s/he to bring to/with it/s/he to come near then it/s/he to question it/s/he
41 'Unataka nikufanyie nini?' Akasema, 'Bwana, nataka kuona.'
(to say *ko) which? you to will/desire to do/make: do the/this/who then to say lord: God in order that/to to look up/again
42 Yesu akamwambia, 'Upate kuona. Imani yako imekuponya. '
and the/this/who Jesus to say it/s/he to look up/again the/this/who faith you to save you
43 Mara hiyo akapata kuona, akamfuata Yesu akimtukuza Mungu. Walipoona hili, watu wote wakamsifu Mungu.
and instantly to look up/again and to follow it/s/he to glorify the/this/who God and all the/this/who a people to perceive: see to give praise the/this/who God

< Luka 18 >