< Luka 16 >

1 Yesu aliwaambia tena wanafunzi wake, “Palikuwa na mtu mmoja tajiri aliyekuwa na meneja, na alitaarifiwa ya kwamba meneja huyu anatapanya mali zake.
Jisua'n a ruoisingei kôma, “Mineipa inkhatin a tîrlâm, a rochon enkolpu a neia, a pu sum ânchêk tiin a pu kôma an nôna.
2 Hivyo tajiri akamwita, akamwambia, “Ni nini hii ninayo isikia juu yako? Toa hesabu ya umeneja wako, kwa kuwa huwezi kuwa meneja tena.'
Masikin a pûn a koia a kôma, Nu chung roi ki riet hih inmo ani? Nu sum enkol, a roi an rêngin miziekin mi pêk roh, atûn renga chu sum enkolpu chang thei khâi no tinih,” a tipea.
3 Yule meneja akasema moyoni mwake, Nifanye nini, maana bwana wangu ananiondolea kazi yangu ya umeneja? Sina nguvu za kulima, na kuomba naona haya.
Ha tîrlâm han, “ku pûn ki sinna ni minmâkin imo ki sin rang? pil tuk laka rât mu-unga, kutdo laka kên zaka,” a tia.
4 Najua nitakalotenda ili nitakapotolewa katika kazi yangu ya uwakili watu wanikaribishe nyumbani mwao.
Hanchu, ki sin hih ni minmâk tika, malngeiin an ina min man om theina rang chang ki riet zoi, a tia.
5 Hivyo wakili akawaita wadeni wa bwana wake kila mmoja akamwambia wa kwanza, 'unadaiwa kiasi gani na bwana wangu?'
Hanchu, a pu sum ântângngei nâm a koia, amotontakpa kôma, “idôrmo nêntâng?” a tia.
6 Akasema vipimo mia moja vya mafuta akamwambia 'chukua hati yako keti upesi andika hamsini.'
Ama han, “Olive sariek ûm razakhat” a tia. A kôma, “hi nêntângna lekha, thuon inla, sômrangngân miziek roh,” a tipea.
7 kisha akamwambia mwingine na wewe unadaiwa kiasi gani?' akasema 'vipimo mia moja vya unga vya ngano.' Akamwambia 'twaa hati yako andika themanini.'
Midang a rekel nôka, nangte idôr mo nêntâng? a tia. “Bu tumbu isângkhat” a tia. “Hi nêntângna lekha, razarietin miziek roh” a tipea.
8 Yule bwana akamsifu meneja dhalimu kwa vile alivyotenda kwa wereu. Kwakua watoto wa ulimwengu huu ni werevu nyingi na hushughulika kwa ujanja na watu wa upande wao kuliko walivyo watoto wa nuru. (aiōn g165)
Hanchu, a pu sum enkolpu dikloi, a milak thei tie ânpâka, avâr nâingei nêkin rammuol nâingei hi atûnlai roia chu an vâr uol, a tia. (aiōn g165)
9 Nami nawaambia jifanyieni marafiki kwa mali ya udhalimu ili itakapokosekana wawakaribishe katika makao ya milele. (aiōnios g166)
Jisua'n, “Nangni ki ril, rammuol rochonin ruol sin no ungla, aboi tikin kumtuong ina nin om theina rangin,” a tia. (aiōnios g166)
10 Aliye mwaminifu katika lililo dogo sana huwa mwaminifu katika lililo kubwa pia. na aliye dhalimu katika lililo dogo huwa dhalimu katika lililo kubwa pia.
Tutu atômte chunga iemom chu atam chunga khom iem aom ngâi, tutu atômte chunga iemomloi chu atam chunga khom iemom ngâi mak.
11 Kama ninyi hamkuwa waaminifu katika mali ya udhalimu ni nani atakayewaamini katika mali ya kweli?
Rammuol rochona luo iem nin om nônte, tumo rochon tak vâng hate nangni minrâk ranga?
12 Na kama hamkuwa waaminifu katika kutumia mali ya mtu mwingine ni nani atakayewapa iliyo yenu wenyewe?
Midang ta chunga luo iem nin om thei nônte, ninta hah tumo nangni pêk ranga?
13 Hakuna mtumishi awezaye kutumikia mabwana wawili, kwamaana atamchukia mmoja na kumpenda mwingine, ama atashikamana na huyu na kumdharau huyu. Hamuwezi kumtumikia Mungu na mali.”
“Tîrlâm inkhatin pu inik sin tho pe thei no nih. Inkhat heng a ta inkhat midit a tih, nônchu, inkhat sûr a ta, inkhat mathân a tih. Pathien le sum sin minlop thei no tunui,” a tia.
14 Basi Mafarisayo, ambao walikuwa wanapenda fedha waliyasikia haya yote na wakamdhihaki.
Hanchu, Pharisee, sum rangâiminlut ngei han a chong murdi an rieta, an chiera.
15 Na akawaambia, “Ninyi ndiyo mnaojidai haki mbele ya wanadamu, lakini Mungu anaijua mioyo yenu. Kwa kuwa lililotukuka kwa wanadamu huwa chukizo mbele za Mungu.
Jisua'n an kôma, “Mi mitmua a dikin nin inlanga, ania, Pathien'n nin mulung a riet. Miriemin neinun aliena ai be hih Pathien mitmûn chu akâmboi ani,” a tia.
16 Sheria na manabii vilikuwapo mpaka Yohana alivyokuja. Tangu wakati huo, habari njema ya ufalme wa Mungu hutangazwa, na kila mtu hujaribu kujiingiza kwa nguvu.
Moses Balam le dêipungei lekha ngei han Baptispu John tena hah a huoma, masuo renga chu Pathien Rêngram Thurchi Sa an misîra, mitinin rangrâta lût rangin an pût chita.
17 Lakini ni rahisi kwa mbingu na nchi vitoweke kuliko hata herufi moja ya sheria ikosekane.
Ania, Balam chong, miziek minhâng chînte boi nêkin invân le pil aboi abai uol.
18 Kila amwachaye mkewe na kumwoa mke mwingine azini, naye amwooaye yeye aliyeachwa na mumewe azini.
“Tutu a lômnu a mâka, midang a neiin chu a inrê ani, mi imâknu neipu khom a inrê ani.”
19 Palikua na mtu mmoja tajiri aliyevaa nguo za rangi ya zambarau na kitani safi na alikua akifurahia kila siku utajiri wake mkubwa.
Mineipa inkhat a oma, puon mantam ngei silin nîngtinin hoiinhâia lêngin a om ngâia.
20 Na maskini mmoja jina lake Lazaro aliwekwa getini pake, na ana vidonda.
Inrieng inkhat, a riming Lazarus a vun pânin a tuom, mineipa inkot bula an hongtuong ngâi, a oma.
21 Naye alikua akitamani kushibishwa kwa makombo yaliyoanguka katika meza ya yule tajiri hata mbwa wakaja wakamlamba vidonda vyake.
Mineipa dosâng nuoia bu ramal tâk nêk rang a nuoma, uingei lakin apân an miliek pe ngâia.
22 Ikawa yule maskini alikufa na akachukuliwa na Malaika mpaka kifuani kwa Ibrahimu. Yule tajiri naye akafa akazikwa.
Inriengte hah a thia, invânram ruolhoia Abraham kôla insung rangin vântîrtonngeiin an tuonga. Mineipa khom a thia an phûma.
23 Na kule kuzimu alipokua katika mateso aliyainua macho yake akamuona Ibrahimu kwa mbali na Lazaro kifuani mwake. (Hadēs g86)
Ithi khuoa ana tuongin a oma, a hong tanga lâtaka Lazarus, Abraham kôla insung a hong mua. (Hadēs g86)
24 Akalia akasema, 'Baba Ibrahimu, nihurumue umtume Lazaro achovye ncha ya kidole chake majini, auburudishe ulimi wangu; kwa sababu ninateswa katika moto huu.
Hanchu ân-ieka, “O pa, Abraham lungkham ni mu inla, Lazarus a kutpâra, tui mindui senla, ke melei mindâi rangin ni juongtîr pe roh, hi meia hin ana ki rietrai zoi sikin,” a tia.
25 Lakini Ibrahimu akasema, 'Mwanangu kumbuka ya kwamba katika maisha yako uliyapokea mambo yako mema, na Lazaro vivyo alipata mabaya. Ila sasa yupo hapa anafarijiwa na wewe unaumizwa.
“Ania, Abraham'n, Ka nâipasal, ni ring lâiin, neinunsa murdi na changa, Lazarus rêk chu asaloi murdi ai chang hah riet roh bah, ania atûn ama chu, hoi takin a oma, nang chu ana tuongin no om zoi ani.
26 Na zaidi ya hayo, kumewekwa shimo kubwa na refu kati yetu, ili wale wanaotaka kutoka huku kwenda kwenu wasiweze wala watu wa kwenu wasivuke kuja kwetu.'
Mapêna tutu anuom khomin, hi tieng renga ha tieng inkân thei loina rang le ha tieng renga hi tieng kânga hôn kân thei loina rangin ei kâra hin pil achat inthûk a om kêng,” a tia.
27 Yule tajiri akasema, 'Nakuomba Baba Ibrahimu, kwamba umtume nyumbani kwa baba yangu
Hanchu mineipa han, “O pa, Abraham, Lazarus hah ka pa insûngkuoa ni tîr pe rangin nang ki ngên.
28 kwa kuwa ninao ndugu watano ili awaonye, kwa hofu kwamba wao pia watkuja mahali hapa pa mateso. '
Lâibung rangnga ke neia, hi natna muna an hong loina rangin ni juong ril pe rese,” a tia.
29 Lakini Ibrahimu akasema, 'Wanao Musa na manabii. Waache wawasikilize wao.
Abraham'n, “Na lâibungngei ril rang chu Moses le dêipungei an nei mo ka ta, ha ngei chong hah rangâi rese ngei,” a tia.
30 Yule tajiri akasema, 'hapana, Baba Ibrahimu, lakini kama akiwaendea mtu atokaye kwa wafu watatubu.'
“Mineipa han, O, pa Abraham, mavai han chu chuk thei no nih, athi renga ânthoi ngei an kôma se vaiin kêng an sietna an insîr rang,” a tia.
31 Lakini Ibrahimu akamwambia, 'wasipowasikia Musa na manabii hawatashawishiwa hata mtu akifufuka katika wafu.
“Ania, Abraham'n, Moses le dêipungei hê an lâk nônchu, athi renga inthoinôkin se senla ngei khoma, taksôn uol noni ngei,” a tipe.

< Luka 16 >