< Luka 16 >

1 Yesu aliwaambia tena wanafunzi wake, “Palikuwa na mtu mmoja tajiri aliyekuwa na meneja, na alitaarifiwa ya kwamba meneja huyu anatapanya mali zake.
A PIL kotin majani on tounpadak kan: Ol kapwapwa men mia, me a jaunkoa men indandeki, a peitlakit a koa kapwa kan.
2 Hivyo tajiri akamwita, akamwambia, “Ni nini hii ninayo isikia juu yako? Toa hesabu ya umeneja wako, kwa kuwa huwezi kuwa meneja tena.'
I ari eker don i indan i: Iaduen ai ronadar duen koe? Kaineneta noum kijin likau duen om dodok! Pwe koe jolar kak jaunkoa.
3 Yule meneja akasema moyoni mwake, Nifanye nini, maana bwana wangu ananiondolea kazi yangu ya umeneja? Sina nguvu za kulima, na kuomba naona haya.
Jaunkoa ap madamadaua indada: Da me i en wia, pwe ai monjap pan ki jan ia ai koa, nan I jota kak weweir, a poekipoeki me i namenokki.
4 Najua nitakalotenda ili nitakapotolewa katika kazi yangu ya uwakili watu wanikaribishe nyumbani mwao.
I ap ajada, me i pan wia, i lao japwilidi jan ai koa, pwe irail en kajamo ia Ion on nan im ar akan.
5 Hivyo wakili akawaita wadeni wa bwana wake kila mmoja akamwambia wa kwanza, 'unadaiwa kiasi gani na bwana wangu?'
I ari ekeredo me pwaipwand on a monjap, ap idok ren men maj: Da me om pwaipwand on ai monjap?
6 Akasema vipimo mia moja vya mafuta akamwambia 'chukua hati yako keti upesi andika hamsini.'
A inda: Potel en le epuki. A indai on i: Ale noum puk mondi pitipit intiniedi me limeijok!
7 kisha akamwambia mwingine na wewe unadaiwa kiasi gani?' akasema 'vipimo mia moja vya unga vya ngano.' Akamwambia 'twaa hati yako andika themanini.'
Ap pil indai on amen: A koe, da me om pwaipwand? A inda: Kopa en wan korn epuki. A indan i: Ale noum puk intiniedi me waleijok!
8 Yule bwana akamsifu meneja dhalimu kwa vile alivyotenda kwa wereu. Kwakua watoto wa ulimwengu huu ni werevu nyingi na hushughulika kwa ujanja na watu wa upande wao kuliko walivyo watoto wa nuru. (aiōn g165)
Monjap ap kapina jaunkoa japun, pweki a dodok lolekon. Pwe jeri en jappa kan me lolekon ni jon ar jan jeri en marain akan. (aiōn g165)
9 Nami nawaambia jifanyieni marafiki kwa mali ya udhalimu ili itakapokosekana wawakaribishe katika makao ya milele. (aiōnios g166)
I ap indai on komail, komail wia kompoke pamail ki mamon japun pwe komail lao jama malar, ren kajamolon on nan deu potopot. (aiōnios g166)
10 Aliye mwaminifu katika lililo dogo sana huwa mwaminifu katika lililo kubwa pia. na aliye dhalimu katika lililo dogo huwa dhalimu katika lililo kubwa pia.
Meamen apwali mau me tikitik o, nan i me pil kin apwali mau me lapalap. A me kin japun ni me tikitik o, nan i me pil japun ni me toto.
11 Kama ninyi hamkuwa waaminifu katika mali ya udhalimu ni nani atakayewaamini katika mali ya kweli?
Ma komail jota apwali mau ai pali pa, ij me pan liki on omail pai pali poa?
12 Na kama hamkuwa waaminifu katika kutumia mali ya mtu mwingine ni nani atakayewapa iliyo yenu wenyewe?
O ma komail jota apwali mau en amen a kapwa, ij me pan liki on komail me udan omail?
13 Hakuna mtumishi awezaye kutumikia mabwana wawili, kwamaana atamchukia mmoja na kumpenda mwingine, ama atashikamana na huyu na kumdharau huyu. Hamuwezi kumtumikia Mungu na mali.”
Jota ladu men me pan kak papa jaumaj riamen; pwe a pan kailonki amen o pok on me teio. De kajampwaleki amen o mama leki me teio. Komail jota pan kak pariai pena Kot o mamon.
14 Basi Mafarisayo, ambao walikuwa wanapenda fedha waliyasikia haya yote na wakamdhihaki.
Pari jar akan, me kin pok on moni, pil ronadar mepukat, ap kaurureki i.
15 Na akawaambia, “Ninyi ndiyo mnaojidai haki mbele ya wanadamu, lakini Mungu anaijua mioyo yenu. Kwa kuwa lililotukuka kwa wanadamu huwa chukizo mbele za Mungu.
A kotin majani on irail: Nan komail me kin akapunki pein komail ren aramaj, a Kot kin mani nan monion omail. Pwe me kajampwal ren aramaj, kin me mal ren Kot.
16 Sheria na manabii vilikuwapo mpaka Yohana alivyokuja. Tangu wakati huo, habari njema ya ufalme wa Mungu hutangazwa, na kila mtu hujaribu kujiingiza kwa nguvu.
Kapun o jaukop akan kokoper lel ni muein Ioanej. A jan ni anjau o ronamau en wein Kot kin lolok jili, a karoj kin pedelonki manaman.
17 Lakini ni rahisi kwa mbingu na nchi vitoweke kuliko hata herufi moja ya sheria ikosekane.
Nan me monai, lan o jappa pan jorela, jan ekij kijan kapun en lokidokila.
18 Kila amwachaye mkewe na kumwoa mke mwingine azini, naye amwooaye yeye aliyeachwa na mumewe azini.
Meamen kajela a paud, ap paudeki amen li, nan i me kamal, o meamen me paudekida me lokidokila jan ren ol amen, nan i me kamal.
19 Palikua na mtu mmoja tajiri aliyevaa nguo za rangi ya zambarau na kitani safi na alikua akifurahia kila siku utajiri wake mkubwa.
Ol kapwapwa men mia, me a likau waitata o materok o a kin kamadip o peren ni ran karoj.
20 Na maskini mmoja jina lake Lazaro aliwekwa getini pake, na ana vidonda.
O pil amen ol me jamama, ad a Lajaruj, me kin wonon pan wanim en ol kapwapwa o; a kenjela kili karoj.
21 Naye alikua akitamani kushibishwa kwa makombo yaliyoanguka katika meza ya yule tajiri hata mbwa wakaja wakamlamba vidonda vyake.
Ap men tunole maremor akan, me kin pupedi ni tepel en me kapwapwa; a kidi kan kin tamotamo a kenj akan.
22 Ikawa yule maskini alikufa na akachukuliwa na Malaika mpaka kifuani kwa Ibrahimu. Yule tajiri naye akafa akazikwa.
A kadekadeo me jamama o mela o tounlan kai ap wadala pon kapa en Apraam. A me kapwapwa o pil mela o jaredier.
23 Na kule kuzimu alipokua katika mateso aliyainua macho yake akamuona Ibrahimu kwa mbali na Lazaro kifuani mwake. (Hadēs g86)
Ni a mi nan pweleko, wajan waiwairok, ap jarada, udial Apraam ni waja doo o Lajaruj mondi pon kapa, (Hadēs g86)
24 Akalia akasema, 'Baba Ibrahimu, nihurumue umtume Lazaro achovye ncha ya kidole chake majini, auburudishe ulimi wangu; kwa sababu ninateswa katika moto huu.
Ap likwirda indada: Jam (ai) Apraam, kom kotin kupura ia, poronedo Lajaruj en kaduedi jondin pa a nan pil, ki on pon lo i, pwe i kin waiwairok nani iai wet.
25 Lakini Ibrahimu akasema, 'Mwanangu kumbuka ya kwamba katika maisha yako uliyapokea mambo yako mema, na Lazaro vivyo alipata mabaya. Ila sasa yupo hapa anafarijiwa na wewe unaumizwa.
A Apraam kotin majani: Nai, tamanda, me koe tunoler om mau kan karoj ni maur om, a Lajaruj a me jued akan; ari a pan pereperenta, a koe pan kalokolok.
26 Na zaidi ya hayo, kumewekwa shimo kubwa na refu kati yetu, ili wale wanaotaka kutoka huku kwenda kwenu wasiweze wala watu wa kwenu wasivuke kuja kwetu.'
A pil eu me kawela, wau kalaimun eu mi nan pun atail, pwe ma amen kit men japale won re omail, a jota pan kak, pil jota amen komail pan kakedo.
27 Yule tajiri akasema, 'Nakuomba Baba Ibrahimu, kwamba umtume nyumbani kwa baba yangu
A ap inda: I ap men poeki, jam ai, komui en kotin poronelan Lajaruj nan im en jam ai.
28 kwa kuwa ninao ndugu watano ili awaonye, kwa hofu kwamba wao pia watkuja mahali hapa pa mateso. '
Pwe ri ai ol me limen, me a pan kaajaki irail; pwe ren de lel on waja apwal wet!
29 Lakini Ibrahimu akasema, 'Wanao Musa na manabii. Waache wawasikilize wao.
A Apraam majani on i: Mojej o jaukop akan mi re’rail, ren nok ron irail.
30 Yule tajiri akasema, 'hapana, Baba Ibrahimu, lakini kama akiwaendea mtu atokaye kwa wafu watatubu.'
A ol o potoan on: Kaidin jam (ai) Apraam, a ma amen jan ren me melar akan pan pwara don irail, rap pan kalula.
31 Lakini Ibrahimu akamwambia, 'wasipowasikia Musa na manabii hawatashawishiwa hata mtu akifufuka katika wafu.
A ap majani on i: Ma re jota pan ron Mojej o jaukop akan, re pil jota pan pojon la, ma amen pan maureda jan ren me melar akan.

< Luka 16 >