< Luka 16 >

1 Yesu aliwaambia tena wanafunzi wake, “Palikuwa na mtu mmoja tajiri aliyekuwa na meneja, na alitaarifiwa ya kwamba meneja huyu anatapanya mali zake.
Jesu naye cha wamba valutwana vakwe, “Kuvena mukwame wa muhumi avena muyendisi wa misevezi yakwe, mi kuva vihiwa kuti muyendisi wa misevezi ya kwe u kwete ku mu sinyeza iluwo lya kwe.
2 Hivyo tajiri akamwita, akamwambia, “Ni nini hii ninayo isikia juu yako? Toa hesabu ya umeneja wako, kwa kuwa huwezi kuwa meneja tena.'
Cwale muhumi cha musupa mi chati kwali, 'Zintu nzi zi nizule kuamana niwe? U nihe chakwizula za musevezi wako, ili kuti kese uzwile havusu ni vuyendisi.'
3 Yule meneja akasema moyoni mwake, Nifanye nini, maana bwana wangu ananiondolea kazi yangu ya umeneja? Sina nguvu za kulima, na kuomba naona haya.
Muyendisi cha liwambila, 'chiniswanela kupanga chinzi, hakuva mukulwana choni zwisa musevezi? Ka nina ziho za kusha, mi niswava ku mukumbila.
4 Najua nitakalotenda ili nitakapotolewa katika kazi yangu ya uwakili watu wanikaribishe nyumbani mwao.
Nizi chini swanela ku tenda, ili kuti china zwiswa ha musevezi wangu wa vu yendisi, bantu va ni tambule mu mazuvo avo.
5 Hivyo wakili akawaita wadeni wa bwana wake kila mmoja akamwambia wa kwanza, 'unadaiwa kiasi gani na bwana wangu?'
Cwale muyendisi chasupa zumwi ni zumwi ya vaali kukolota si mwin'a kwe, mi cha vuza we ntazi, 'U kolota vukayi simwin'a ngu? 6.
6 Akasema vipimo mia moja vya mafuta akamwambia 'chukua hati yako keti upesi andika hamsini.'
Cha wamba, 'Ni kolota makumi ekumi ya byima bya mafuta e oli.' Mi chati kwali, muhinde zikoloti zenu, mwikale kapili, mi muñole makumi akwana yanza.'
7 kisha akamwambia mwingine na wewe unadaiwa kiasi gani?' akasema 'vipimo mia moja vya unga vya ngano.' Akamwambia 'twaa hati yako andika themanini.'
Cwale muyendisi cha wamba ku zumwi, 'mi vukayi yo kolota?' Chati, 'makumi ekumi a vuyima bwa vuroto.' Chati kwali, 'hinde chikoloti mi u ñole makumi akwana yenza ni to tatwe.
8 Yule bwana akamsifu meneja dhalimu kwa vile alivyotenda kwa wereu. Kwakua watoto wa ulimwengu huu ni werevu nyingi na hushughulika kwa ujanja na watu wa upande wao kuliko walivyo watoto wa nuru. (aiōn g165)
Simwin'a kwe cha lumba chikombwa chi sa sepahali kakuti ava sevezi mu kusasepahala. Vaana ve fasi ilyi vena ahulu mukusa sepahala chiva kwete kuseveza ni vantu vavo hita vaana vena mu liseli. (aiōn g165)
9 Nami nawaambia jifanyieni marafiki kwa mali ya udhalimu ili itakapokosekana wawakaribishe katika makao ya milele. (aiōnios g166)
Ni wamba kwenu, mutende valikani che nzila za mashenyi a sa sepahali, kutendela kuti chi bwamana, va woole ku mitambula mu mazuvo asamani. (aiōnios g166)
10 Aliye mwaminifu katika lililo dogo sana huwa mwaminifu katika lililo kubwa pia. na aliye dhalimu katika lililo dogo huwa dhalimu katika lililo kubwa pia.
Iye yo sepahala ku zinini mwa sepahale ni ku zikando, mi niya sasepahali mu zinini kasepahali mu zikando.
11 Kama ninyi hamkuwa waaminifu katika mali ya udhalimu ni nani atakayewaamini katika mali ya kweli?
Haiva kena u va sepahali ku ku sevelisa mashelenyi a fosahele, nje ni yeta kusepe mu chifumu che niti?
12 Na kama hamkuwa waaminifu katika kutumia mali ya mtu mwingine ni nani atakayewapa iliyo yenu wenyewe?
Mi haiva kawini ku sepahala mu kusevelisa mashelinyi a vamwi, njeni ya sa kuhe mashelenyi ako u mwine?
13 Hakuna mtumishi awezaye kutumikia mabwana wawili, kwamaana atamchukia mmoja na kumpenda mwingine, ama atashikamana na huyu na kumdharau huyu. Hamuwezi kumtumikia Mungu na mali.”
Ka kwina muhikana yo wola ku seveleza malena vo vele, kusicwalo mwa toye umwi ni kusaka zumwi, mwa kumalele umwi kapa kunyefula zumwi. Ko woli kuseveleza Ereeza ni chifumu.
14 Basi Mafarisayo, ambao walikuwa wanapenda fedha waliyasikia haya yote na wakamdhihaki.
Hanu Vafalisi, va vali kusaka hahulu mashelenyi, va va zuwi zoose inzi, mi chi va museka.
15 Na akawaambia, “Ninyi ndiyo mnaojidai haki mbele ya wanadamu, lakini Mungu anaijua mioyo yenu. Kwa kuwa lililotukuka kwa wanadamu huwa chukizo mbele za Mungu.
Mi chati kuvali, “Mu li shiyamisa mu menso a vantu, kono Ireeza wizi ikulo zenu. Zina zivoneka vulotu mumeeso a vantu kwe Reeza zi fosahele.
16 Sheria na manabii vilikuwapo mpaka Yohana alivyokuja. Tangu wakati huo, habari njema ya ufalme wa Mungu hutangazwa, na kila mtu hujaribu kujiingiza kwa nguvu.
Mulao ni vupolofita ziva kuseveza kuleta Johani hasika. Ku zwa iyo nako, inzwii lya muvuso we Reeza li va kutazwa, mi zumwi ni zumwi ava sa kuhambiliza inzila za vo mwateni.
17 Lakini ni rahisi kwa mbingu na nchi vitoweke kuliko hata herufi moja ya sheria ikosekane.
Kono kuhuva kwiwulu ni hansi zi mane isi kuti intaku imwi ya mulao sanzi ivi ni mutendo.
18 Kila amwachaye mkewe na kumwoa mke mwingine azini, naye amwooaye yeye aliyeachwa na mumewe azini.
Yense yo kauhana ni mwanakazi wakwe ni kusesa zumwi u chita vushahi, mi yo sesa mwanakazi ya va kanwa kwa mwihyabwe naye utenda vushahi.
19 Palikua na mtu mmoja tajiri aliyevaa nguo za rangi ya zambarau na kitani safi na alikua akifurahia kila siku utajiri wake mkubwa.
Linu ku vena mukwame ya va humite, ya va kuzwete zi zwato ze pulipera ni line mi mazuva onse ava kulikola chifumu cha kwe.
20 Na maskini mmoja jina lake Lazaro aliwekwa getini pake, na ana vidonda.
Mukumbizi ava kusumpwa Lazaro ava lele hamulyango, avali kwizwile zilavi muvili wonse.
21 Naye alikua akitamani kushibishwa kwa makombo yaliyoanguka katika meza ya yule tajiri hata mbwa wakaja wakamlamba vidonda vyake.
Mi avali kuhala kulya vungululwa vu vali kuwa hentafule ya muhumi, mi kuzwaho, vambwa va vali kukomba zilavi zakwe.
22 Ikawa yule maskini alikufa na akachukuliwa na Malaika mpaka kifuani kwa Ibrahimu. Yule tajiri naye akafa akazikwa.
Ku vezi kuva kuti mukumbizi chafwa, mi avezi ku hindwa mangeloi ku mutwala kwimbali ya Abrahama. Muhumi naye chafwa mi cha zikwa,
23 Na kule kuzimu alipokua katika mateso aliyainua macho yake akamuona Ibrahimu kwa mbali na Lazaro kifuani mwake. (Hadēs g86)
mi mu lyangalilo, na sukulukite, cha kotola menso mi cha vona Abrahama nena vutavule ni Lazaro nena ha chizuva chakwe. (Hadēs g86)
24 Akalia akasema, 'Baba Ibrahimu, nihurumue umtume Lazaro achovye ncha ya kidole chake majini, auburudishe ulimi wangu; kwa sababu ninateswa katika moto huu.
Cha lila mi chati, Tayo Abrahama, uni zuwile kusasama, mi tumine Lazaro, kuti a tompe munwe wakwe mu menzi mi nja tontoze lulimi lwangu, kakuti ni hile maswe mowu mulilo.
25 Lakini Ibrahimu akasema, 'Mwanangu kumbuka ya kwamba katika maisha yako uliyapokea mambo yako mema, na Lazaro vivyo alipata mabaya. Ila sasa yupo hapa anafarijiwa na wewe unaumizwa.
Kono Abrahama chati, 'mwan'a ngu, u hupule kuti muvuhalo bwako uva tambuli zako zilotu, mi Lazaro mwinzila iswana ava ku tavela zintu zivilala, kono hanu cho kwete kusengwa sengwa kunu, mi iwe wina mumanyando.
26 Na zaidi ya hayo, kumewekwa shimo kubwa na refu kati yetu, ili wale wanaotaka kutoka huku kwenda kwenu wasiweze wala watu wa kwenu wasivuke kuja kwetu.'
Mi kuzwaho zintu zoose, chigodi chikando chivavi mukati, ili kuti avo vasaka kuluta kuzwa kunu kwiza kwako kese vawole, mi kakwina yese awole kuzwa uko kwiza kwetu.'
27 Yule tajiri akasema, 'Nakuomba Baba Ibrahimu, kwamba umtume nyumbani kwa baba yangu
Muhumi chati, ni ku kumbila, Tayo Abrahama, kuti umuni tumine kuzuvo ya tayo
28 kwa kuwa ninao ndugu watano ili awaonye, kwa hofu kwamba wao pia watkuja mahali hapa pa mateso. '
kakuti nina vanche vava swisu va tenda yanza - kutendela kuti akava kalimele, kutiya kuti navo chiveza mwe chi chivaka cha masukuluka.'
29 Lakini Ibrahimu akasema, 'Wanao Musa na manabii. Waache wawasikilize wao.
Kono Abrahama chati, veena Mushe ni vapolofita; mu vasiye va tekeleze ku vali.'
30 Yule tajiri akasema, 'hapana, Baba Ibrahimu, lakini kama akiwaendea mtu atokaye kwa wafu watatubu.'
Muhumi che tava chati, 'Nanta, Tayo Abrahama, kono haiva zumwi na yenda kuvali kuvafwile, mu va lichiule.'
31 Lakini Ibrahimu akamwambia, 'wasipowasikia Musa na manabii hawatashawishiwa hata mtu akifufuka katika wafu.
Kono Abrahama chati kwali, 'Haiba ni vasa tekelezi kwa Mushe ni vapolofita, kese vaole kuzumina ni haiva vafwile kuti va vuke.'”

< Luka 16 >