< Luka 16 >

1 Yesu aliwaambia tena wanafunzi wake, “Palikuwa na mtu mmoja tajiri aliyekuwa na meneja, na alitaarifiwa ya kwamba meneja huyu anatapanya mali zake.
Yesu akabhajobhela bhanafunzi bha muene, “Pajhele ni munu mmonga tajiri ajhe ni meneja, na ataarifibhu jha kujha meneja ojho itapanya mali sya muene.
2 Hivyo tajiri akamwita, akamwambia, “Ni nini hii ninayo isikia juu yako? Toa hesabu ya umeneja wako, kwa kuwa huwezi kuwa meneja tena.'
Hivyo tajiri akan'kuta, akan'jobhela, “kiki ekhe kya nikakip'eleka juu jha bhebhe? Bhosiajhi hesabu jha umeneja bhwa jhobhi, kwandabha wibhwesya lepi kuja meneja kabhele.'
3 Yule meneja akasema moyoni mwake, Nifanye nini, maana bwana wangu ananiondolea kazi yangu ya umeneja? Sina nguvu za kulima, na kuomba naona haya.
Meneja jhola akajobha mu muoyo bhwa muene, nikhetayi kiki, maana bwana ghwa nene akanibhosya mu kazi jhangu jha umeneja? nijhelepi ni nghofu sya kulema, ni kus'oka nibhona soni.
4 Najua nitakalotenda ili nitakapotolewa katika kazi yangu ya uwakili watu wanikaribishe nyumbani mwao.
Nimanyili lyaibeta kubhomba ili panibeta kubhosibhwa mu mbombo jhangu jha uwakili bhanu bhanikaribisiajhi mu nyumba sya bhene
5 Hivyo wakili akawaita wadeni wa bwana wake kila mmoja akamwambia wa kwanza, 'unadaiwa kiasi gani na bwana wangu?'
Hivyo wakili akabhakuta bhadeni bhwa bwana ghwa muene kwa khila mmonga akan'jobhela ghwa kuanza, 'ghwidaibhwa kiasi gani ni bwana bhangu?'
6 Akasema vipimo mia moja vya mafuta akamwambia 'chukua hati yako keti upesi andika hamsini.'
Akajobha fipemu mia moja fya mafuta akan'jobhela 'tolayi hati jha jhobhi tamayi manyata yandikayi hamsini.'
7 kisha akamwambia mwingine na wewe unadaiwa kiasi gani?' akasema 'vipimo mia moja vya unga vya ngano.' Akamwambia 'twaa hati yako andika themanini.'
Kisha akan'jobhela jhongi ni bhebhe widaibhwa kiasi gani?' akajobha 'fipemu mia moja fya sembe ghwa ngano.' Akan'jobhela 'letayi hati jha bhebhe jhandikayi themanini.'
8 Yule bwana akamsifu meneja dhalimu kwa vile alivyotenda kwa wereu. Kwakua watoto wa ulimwengu huu ni werevu nyingi na hushughulika kwa ujanja na watu wa upande wao kuliko walivyo watoto wa nuru. (aiōn g165)
bwana jhola akan'sifu meneja dhalimu kwa vile kyaabhombili kwa wereu. Kwa kujha bhanu bha ulimwengu obho bherevu bhingi na bhishughulika kwa ujanja ni bhanu bha lubhafu lwa bhene kuliko kya bhajhele bhana bha nuru. (aiōn g165)
9 Nami nawaambia jifanyieni marafiki kwa mali ya udhalimu ili itakapokosekana wawakaribishe katika makao ya milele. (aiōnios g166)
Nani nikabhajobhela mwikibhekayi marafiki kwa mali gha udhalimu ili pajhibeta kukosekana bhabhakaribisiajhi mu makao gha milele. (aiōnios g166)
10 Aliye mwaminifu katika lililo dogo sana huwa mwaminifu katika lililo kubwa pia. na aliye dhalimu katika lililo dogo huwa dhalimu katika lililo kubwa pia.
Jhaajhe mwaminifu kwa e'le lidebe nesu ijha mwaminifu mu libhaha kabhele. na jhaajhe dhalimu kwa ele lidebe ijha dhahalimu kwa lijhele libhaha kabhele.
11 Kama ninyi hamkuwa waaminifu katika mali ya udhalimu ni nani atakayewaamini katika mali ya kweli?
Kama muenga mwajhelepi mwebhaaminifu mu mali gha udhalimu niani jha ibeta kubhaamini mu mali gha bhukweli?
12 Na kama hamkuwa waaminifu katika kutumia mali ya mtu mwingine ni nani atakayewapa iliyo yenu wenyewe?
Na kama mwajhelepi bhaaminifu katika mali gha munu jhongi niani ibeta kubhaamini kwa gha muenga?
13 Hakuna mtumishi awezaye kutumikia mabwana wawili, kwamaana atamchukia mmoja na kumpenda mwingine, ama atashikamana na huyu na kumdharau huyu. Hamuwezi kumtumikia Mungu na mali.”
Ajhelepi mtumishi jha ibhwesya kutumikila mabwana bhabhele, kwandabha ibeta kun'dadila mmonga ni kun'gana jhongi, ama ibeta kushikamana ni ojho nikumdharau ojho. Mwibhwesya lepi kun'tumikila K'yara ni mali.”
14 Basi Mafarisayo, ambao walikuwa wanapenda fedha waliyasikia haya yote na wakamdhihaki.
Basi Mafarisayo, bhabhasiganili hela bhaghap'eliki agha ghoha na bhan'dhihakili.
15 Na akawaambia, “Ninyi ndiyo mnaojidai haki mbele ya wanadamu, lakini Mungu anaijua mioyo yenu. Kwa kuwa lililotukuka kwa wanadamu huwa chukizo mbele za Mungu.
Na akabhajobhela, “Muenga ndo mwamikidayi haki mbele jha bhanadamu, lakini Mungu ajhimanyili mioyo ghya muenga. Kwa kujha lyalitukuiki kwa mwanadamu lijha chukizo kwa K'yara.
16 Sheria na manabii vilikuwapo mpaka Yohana alivyokuja. Tangu wakati huo, habari njema ya ufalme wa Mungu hutangazwa, na kila mtu hujaribu kujiingiza kwa nguvu.
Sheria ni manabii fyajhele mpaka Yohana bho ahidili. Kuh'omela bhwakati obhu, habari jhinofu jha ufalme bhwa K'yara bhwitangesibhwa ni kila munu ijaribu kwijhingisya kwa nghofu.
17 Lakini ni rahisi kwa mbingu na nchi vitoweke kuliko hata herufi moja ya sheria ikosekane.
Lakini rahisi kwa mbingu ni nchi fibhokayi kuliko hata herufi jhimonga jha sheria kukosekana.
18 Kila amwachaye mkewe na kumwoa mke mwingine azini, naye amwooaye yeye aliyeachwa na mumewe azini.
Kila jhaakandeka nd'ala munu ni kun'gega n'dala jhongi idhinilepi, ni muene jhaakan'gega jha alekibhu ni n'gosi munu izinilepi.
19 Palikua na mtu mmoja tajiri aliyevaa nguo za rangi ya zambarau na kitani safi na alikua akifurahia kila siku utajiri wake mkubwa.
Pajhele ni munu mmonga tajiri jhaafwalili nghobho sya rangi sya zambarau ni kitani kinofu na akajha furahila kila ligono utajiri bhwa muene mbaha.
20 Na maskini mmoja jina lake Lazaro aliwekwa getini pake, na ana vidonda.
Ni maskini mmonga lihina lya muene Lazaro abhekibhu pageti lya muene, na ajhe ni filonda.
21 Naye alikua akitamani kushibishwa kwa makombo yaliyoanguka katika meza ya yule tajiri hata mbwa wakaja wakamlamba vidonda vyake.
Ni muene akajha inoghela kushibishwa kwa makombo ghaghabinili kuh'oma pameza pa jhola tajiri hata mabwa ghakahida kun'yabha filonda fya muene.
22 Ikawa yule maskini alikufa na akachukuliwa na Malaika mpaka kifuani kwa Ibrahimu. Yule tajiri naye akafa akazikwa.
Ikajha maskini jhola afwili na atolibhu ni malaika mpaka pakifua kya Ibrahimu. Tajiri jhola ni muene afwili na asyelibhu.
23 Na kule kuzimu alipokua katika mateso aliyainua macho yake akamuona Ibrahimu kwa mbali na Lazaro kifuani mwake. (Hadēs g86)
Ni khola kuzimu paajhele mu malombosi akaghajhinula mihu gha muene akambona Ibrahimu kwa patali ni Lazaro pakifua kya muene. (Hadēs g86)
24 Akalia akasema, 'Baba Ibrahimu, nihurumue umtume Lazaro achovye ncha ya kidole chake majini, auburudishe ulimi wangu; kwa sababu ninateswa katika moto huu.
Akalela akajobha, 'Dadi Ibrahimu, unihurumilayi un'tumayi Lazaro ajhinayi ncha jha kikonji kya muene mumasi, auburudisiajhi lumilu lwa nene; kwandabha nitesibhwa mu muoto obho.
25 Lakini Ibrahimu akasema, 'Mwanangu kumbuka ya kwamba katika maisha yako uliyapokea mambo yako mema, na Lazaro vivyo alipata mabaya. Ila sasa yupo hapa anafarijiwa na wewe unaumizwa.
Lakini Ibrahimu akajobha, 'Mwanabhangu khombokayi katika maisha gha jhobhi ghwa ejhapokili mambo gha jhobhi manofu ni Lazaro mebhu akabhili manofu lepi. Ila henu ajhe apa ifarijibhwa ni bhebhe wilamasibhwa.
26 Na zaidi ya hayo, kumewekwa shimo kubwa na refu kati yetu, ili wale wanaotaka kutoka huku kwenda kwenu wasiweze wala watu wa kwenu wasivuke kuja kwetu.'
Ni zaidi jha aghu libhekibhu lilende libhaha na litali kati jha tete, ili bhala bhabhilonda kubhoka khoni kulota kwa jhomu bhasibhwesi wala bhanu bha muenga bhasilobhoki kuhida khoni.'
27 Yule tajiri akasema, 'Nakuomba Baba Ibrahimu, kwamba umtume nyumbani kwa baba yangu
Tajiri jhola akajobha, 'Nikus'oka Dadi Ibrahimu, kwamba undaghisiajhi kunyumba kwa dadijhangu
28 kwa kuwa ninao ndugu watano ili awaonye, kwa hofu kwamba wao pia watkuja mahali hapa pa mateso. '
kwakujha nijhe nibhalongo bhangu bhahanu ili abhaonyanyi, kwa hofu kujha na bhene kabhele bhibeta kuhida mahali pa mal'ombosi.
29 Lakini Ibrahimu akasema, 'Wanao Musa na manabii. Waache wawasikilize wao.
Lakini Ibrahimu akajobha, 'Bhajheni Musa ni manabii. Bhalekayi bhabhapelekesiajhi bhene.
30 Yule tajiri akasema, 'hapana, Baba Ibrahimu, lakini kama akiwaendea mtu atokaye kwa wafu watatubu.'
Tajiri jhola akajobha, 'lepi, Dadi Ibrahimu, lakini kama abhalotili munu jha ih'omela kwa bhafu bhibeta kutubu.'
31 Lakini Ibrahimu akamwambia, 'wasipowasikia Musa na manabii hawatashawishiwa hata mtu akifufuka katika wafu.
Lakini Ibrahimu akabhajobhela, 'bhakabelayi lubhap'eleka Musa ni manabii bhibeta lepi kushawishibhwa hata munu akafufukayi kwa bhafu.

< Luka 16 >