< Luka 16 >

1 Yesu aliwaambia tena wanafunzi wake, “Palikuwa na mtu mmoja tajiri aliyekuwa na meneja, na alitaarifiwa ya kwamba meneja huyu anatapanya mali zake.
Yesu da Ea ado ba: su dunuma amane sia: i, “Muni ouligisu dunu afae da bagade gagui dunu ea liligi ouligilalu. Amo muni ouligisu da ea hina ea muni udigili ha: digi, noga: le hame ouligi. Amaiba: le, eno dunu da bagade gagui hina ema ouligisu ea hou olelei.
2 Hivyo tajiri akamwita, akamwambia, “Ni nini hii ninayo isikia juu yako? Toa hesabu ya umeneja wako, kwa kuwa huwezi kuwa meneja tena.'
Amaiba: le, hina dunu da muni ouligisu ema misa: ne sia: ne, ema amane sia: i, ‘Na da dia houba: le adi sia: nababala: ? Dia muni amola liligi huluane ouligisu hou huluane nama olelema. Bai di da amo ouligisu hou bu hamomu da hamedei galebe.’
3 Yule meneja akasema moyoni mwake, Nifanye nini, maana bwana wangu ananiondolea kazi yangu ya umeneja? Sina nguvu za kulima, na kuomba naona haya.
Amalalu, muni ouligisu dunu da ea asigi dawa: su ganodini amane dawa: i, ‘Na da adi hamoma: bela: ? Na hawa: hamosu na hina da hedofamuba: le, na adi hamoma: bela: ? Na gasa hameba: le, osobo gasa: mu hamedei galebe. Na gogosiasa: besa: le, eno dunuma muni udigili edegemu hamedei.
4 Najua nitakalotenda ili nitakapotolewa katika kazi yangu ya uwakili watu wanikaribishe nyumbani mwao.
A! Defea! Na hamomu na dawa: Na hina da na hawa: hamosu hedofasea, eno dunu ilia nama aowasu hamoma: ne, na da agoane hamomu.’
5 Hivyo wakili akawaita wadeni wa bwana wake kila mmoja akamwambia wa kwanza, 'unadaiwa kiasi gani na bwana wangu?'
Amalalu, dunu eno ilia da ea hina ema dabe imunu galu. E da amo dunu huluane ema misa: ne sia: i. E da ilima amane sia: i, ‘Na hinama, di da dabe habodayane imunu ganabela: ?’
6 Akasema vipimo mia moja vya mafuta akamwambia 'chukua hati yako keti upesi andika hamsini.'
Afadafa da bu adole i, ‘Na da olife susuligi gaga 100 agoane imunu gala.’ Ema e amane sia: i, ‘Defea! Dabe imunu meloa lale, hedolowane 50 fawane bu dedema.’
7 kisha akamwambia mwingine na wewe unadaiwa kiasi gani?' akasema 'vipimo mia moja vya unga vya ngano.' Akamwambia 'twaa hati yako andika themanini.'
Eno dunuma e amane sia: i, ‘Di da dabe habodayane imunu ganabela: ?’ E bu adole i, ‘Na da widi daba 1000 agoane imunu gala,’ Muni ouligisu dunu da ema amane sia: i, ‘Defea! Dabe imunu meloa lale, 800 fawane dedema.’
8 Yule bwana akamsifu meneja dhalimu kwa vile alivyotenda kwa wereu. Kwakua watoto wa ulimwengu huu ni werevu nyingi na hushughulika kwa ujanja na watu wa upande wao kuliko walivyo watoto wa nuru. (aiōn g165)
Amalalu, ogogosu muni ouligisu dunu da dawa: iwane hamoiba: le, ea hina da ema nodone sia: i. Bai osobo bagade dunu ilia muni ouligisu hou da hadigi lai dunu ilia muni ouligisu hou baligisa. (aiōn g165)
9 Nami nawaambia jifanyieni marafiki kwa mali ya udhalimu ili itakapokosekana wawakaribishe katika makao ya milele. (aiōnios g166)
Amaiba: le na dilima sia: sa. Muni da osobo bagade liligi fawane. Be osobo bagade dunu da dilima asigima: ne, muni ouligisu hou noga: le hamoma. Agoane hamosea, hobea amo hou da dagoiwane ba: beba: le, Gode da dilima misa: ne sia: beba: le, dilia da Hebene sogega doaga: sea, ilia dima hahawane yosia: mu. (aiōnios g166)
10 Aliye mwaminifu katika lililo dogo sana huwa mwaminifu katika lililo kubwa pia. na aliye dhalimu katika lililo dogo huwa dhalimu katika lililo kubwa pia.
Nowa da liligi fonobahadi noga: le ouligisia, e da liligi bagade ouligisu dawa: mu. Be nowa da liligi fonobahadi ogogolewane ouligisia, ea da hou bagade amo ganodini ogogomu.
11 Kama ninyi hamkuwa waaminifu katika mali ya udhalimu ni nani atakayewaamini katika mali ya kweli?
Amaiba: le, di da osobo bagade liligi amola muni ogogole ouligisia, nowa da dilima liligidafa amola munidafa amo ouligisu hou ima: bela: ? Hamedafa imunu!
12 Na kama hamkuwa waaminifu katika kutumia mali ya mtu mwingine ni nani atakayewapa iliyo yenu wenyewe?
Dilia da dunu eno ea liligi ogogolewane ouligisia, nowa da dilia liligidafa dilima ima: bela: ?
13 Hakuna mtumishi awezaye kutumikia mabwana wawili, kwamaana atamchukia mmoja na kumpenda mwingine, ama atashikamana na huyu na kumdharau huyu. Hamuwezi kumtumikia Mungu na mali.”
Hawa: hamosu dunu da hina aduna elama hawa: hamomu da hamedei. Agoane hamosea, hina afadafa e da higamu, enoma e da asigimu. Hina afadafa ema e da nodone sia: mu, enoma e da hihimu. Gilisili Gode Ea hawa: hamosu, amola muni labe elama asigi hou hamomu da hamedei galebe.”
14 Basi Mafarisayo, ambao walikuwa wanapenda fedha waliyasikia haya yote na wakamdhihaki.
Amo sia: nababeba: le, Fa: lisi dunu ilia da muni hanaiba: le, Yesuma ba: sola: i.
15 Na akawaambia, “Ninyi ndiyo mnaojidai haki mbele ya wanadamu, lakini Mungu anaijua mioyo yenu. Kwa kuwa lililotukuka kwa wanadamu huwa chukizo mbele za Mungu.
Be Yesu da ilima amane sia: i, “Dilia da eno dunu ilia siga hahawane ba: ma: ne, ogogole hamosa. Be dilia dogo ganodini asigi dawa: su dialebe, Gode da ba: lala. Be liligi amoma osobo bagade dunu ilia nodone dawa: sa, amo liligi Gode da higasa.
16 Sheria na manabii vilikuwapo mpaka Yohana alivyokuja. Tangu wakati huo, habari njema ya ufalme wa Mungu hutangazwa, na kila mtu hujaribu kujiingiza kwa nguvu.
Gode Ea Fi dunu da musa: Mousese ea Sema amola Balofede dunu ilia olelesu amoha esalu. Amalalu, Yone Ba: bodaise da misi. Amola wali dunu da Gode Ea Hinadafa Hou Sia: Ida: iwane gala olelesa. Lalegagumu hanai dunu da hanaiba: le, amo hou ganodini golili sa: imusa: gasawane ludusa.
17 Lakini ni rahisi kwa mbingu na nchi vitoweke kuliko hata herufi moja ya sheria ikosekane.
Be mu amola osobo bagade da hedolowane mugululi, hamedafa ba: mu. Be Sema dedei fonobahadi fawane da hamedafa mugulumu.
18 Kila amwachaye mkewe na kumwoa mke mwingine azini, naye amwooaye yeye aliyeachwa na mumewe azini.
Nowa dunu da ea uda fisiagale, eno lasea, e da inia uda adole lasu hou hamosa. Amola nowa dunu da uda egoa fisiagai, amo lasea e da inia uda adole lasu hou hamosa.
19 Palikua na mtu mmoja tajiri aliyevaa nguo za rangi ya zambarau na kitani safi na alikua akifurahia kila siku utajiri wake mkubwa.
Musa bagade gagui dunu da osobo bagadega esaloba, e da yoi abula ida: iwane ga: si. E eso huluane sadima: ne, ha: i manu ida: iwane nasu.
20 Na maskini mmoja jina lake Lazaro aliwekwa getini pake, na ana vidonda.
Hame gagui nabadodafa dunu ea dio amo La: salase esalu. Ea da: i da aiya fawane dialu. E masunu hamedeiba: le, eno dunu ilia gaguli asili, bagade gagui dunu ea logo holeiga ligisisu.
21 Naye alikua akitamani kushibishwa kwa makombo yaliyoanguka katika meza ya yule tajiri hata mbwa wakaja wakamlamba vidonda vyake.
E da ha: i manu hameba: le, e da bagade gagui ea ha: i manu daladabe ea fafaiha sa: i lale manusa: dawa: i galu. Wa: me da ea aiya ilia gona: suga heheloa: su.
22 Ikawa yule maskini alikufa na akachukuliwa na Malaika mpaka kifuani kwa Ibrahimu. Yule tajiri naye akafa akazikwa.
Amalalu, hame gagui dunu da bogoi. E bogoloba, a:igele dunu da ea a: silibu amo A: ibalaha: me ea afoguga dafulili fimusa: oule asi. Bagade gagui dunu amola da bogole, uli dogone sali ba: i.
23 Na kule kuzimu alipokua katika mateso aliyainua macho yake akamuona Ibrahimu kwa mbali na Lazaro kifuani mwake. (Hadēs g86)
Bagade gagui dunu da Ha: idisi amo ganodini se nabawane esalu. E da ea si ba: le gadole, A:ibalaha: me sedagawane lelebe ba: i. La: salase da A: ibalaha: mela dafulili lelebe ba: i. (Hadēs g86)
24 Akalia akasema, 'Baba Ibrahimu, nihurumue umtume Lazaro achovye ncha ya kidole chake majini, auburudishe ulimi wangu; kwa sababu ninateswa katika moto huu.
Ba: beba: le, e da A: ibalaha: mema ha: giwane wele sia: i, ‘Ada! Nama asigima! La: salase da nama misa: ne sia: ma! Ea lobo sogo hanoga gele, na gona: suga anigagima: ne digilisima: ne asunasima! Na lalu ganodini esalebeba: le, se bagade naba!’
25 Lakini Ibrahimu akasema, 'Mwanangu kumbuka ya kwamba katika maisha yako uliyapokea mambo yako mema, na Lazaro vivyo alipata mabaya. Ila sasa yupo hapa anafarijiwa na wewe unaumizwa.
Be A: ibalaha: me da ema bu adole i, ‘Nagofe! Bu dawa: ma! Di da osobo bagadega esaloba, liligi ida: iwane fawane ba: i galu. La: salase da se fawane nabi. Wali e da guiguda: hahawane esala, be di da se naba.
26 Na zaidi ya hayo, kumewekwa shimo kubwa na refu kati yetu, ili wale wanaotaka kutoka huku kwenda kwenu wasiweze wala watu wa kwenu wasivuke kuja kwetu.'
Eno amola, ani dogoa amogai da adobo bagadeba: le, ani da afafai dagoi. Gui esala dunu dima masunu da hamedei ba: mu. Amola dia la: idi esalebe dunu guiguda: misunu da hamedei ba: mu!
27 Yule tajiri akasema, 'Nakuomba Baba Ibrahimu, kwamba umtume nyumbani kwa baba yangu
Amalalu, musa: bagade gagui dunu da bu adole i, ‘Amaiba: le, Ada, na dima bagade edegesa. La: salase da na osobo bagade ada ea diasuga masa: ne sia: ma.
28 kwa kuwa ninao ndugu watano ili awaonye, kwa hofu kwamba wao pia watkuja mahali hapa pa mateso. '
Amoga da nolalali biyale esala. Ilia se nabasu soge goega: i doaga: sa: besa: le, e da ilima sisasu olelema: ne, di asunasima!’
29 Lakini Ibrahimu akasema, 'Wanao Musa na manabii. Waache wawasikilize wao.
Be A: ibalaha: me da bu adole i, ‘Mousese amola ba: la: lusu dunu ilia sia: dedei diala. Amo ilia nabimu da defea.’
30 Yule tajiri akasema, 'hapana, Baba Ibrahimu, lakini kama akiwaendea mtu atokaye kwa wafu watatubu.'
Amalalu, e da A: ibalaha: mema bu sia: i, ‘Hamedei ada A: ibalaha: me! Be bogoi dunu wa: legadole ilima adosea, ilia da wadela: i hou fisili, Godema sinidigimu.’
31 Lakini Ibrahimu akamwambia, 'wasipowasikia Musa na manabii hawatashawishiwa hata mtu akifufuka katika wafu.
Be A: ibalaha: me bu sia: i, ‘Ilia Mousese amola balofede dunu ilia sia: dedei dialebe amo dafawaneyale hame dawa: sea, dunu bogoi wa: legadobeba: le amola ilia da dafawaneyale hame dawa: mu.’”

< Luka 16 >