< Luka 13 >

1 Kwa wakataihuo huo, kulikuwa na baadhi watu waliomtaarifu juu ya Wagalilaya ambao Pilato aliwaua na kuchanganya damu yao na sadaka zao.
Some people who were [listening to Jesus] at that time told him about some people from Galilee [district who had gone to Jerusalem]. Pilate, [the Roman governor], had [ordered soldiers to] kill them [MTY] while they were offering sacrifices [in the Temple there].
2 Yesu akajibu na kuwaambia, “Je mwadhani kuwa Wagalilaya hao walikuwa na dhambi kuliko Wagalilaya wengine wote ndiyo maana wamepatwa na mabaya hayo?
Jesus replied to them, “Do you think [that this happened to those] people from Galilee [because] they were more sinful than all the other people from Galilee?
3 Hapana, nawaambia, lakini msipotubu, nanyi mtaangamia vivyo hivyo.
I assure you, [that was] not [so]! But instead of [being concerned about them, you need to remember that God] will similarly punish you [eternally] if you do not turn away from your sinful behavior.
4 Au wale watu kumi na nane katika Siloamu ambao mnara ulianguka na kuwaua, mnafikiri wao walikuwa wenye dhambi zaidi kuliko watu wengine katika Yerusalemu?
Or, [consider] the 18 people who died when the tower at Siloam [outside Jerusalem] fell on them. Do you think [that this happened to them because] they were more sinful than all the other people who lived in Jerusalem?
5 Hapana, mimi nasema, lakini kama msipotubu, ninyi nyote pia mtaangamia.
I assure you, [that was] not so! But instead, you [need to realize that God] will similarly punish you [eternally] if you do not stop your sinful behavior!”
6 Yesu aliwaambia mfano huu, “Mtu mmoja alikuwa na mtini umepandwa katika shamba lake na alikwenda kutafuta matunda juu yake lakini hakupata.
Then Jesus told them this illustration [to show what God would do to the Jews, whom he continually blessed, but who did not do things that please him]: “A man planted a fig tree on his farmland. ([Each year/Many times]) he came to it looking for figs, but there were no figs.
7 Akamwambia mtunza bustani, 'Tazama, kwa miaka mitatu nimekuja na kujaribu kutafuta matunda kwenye mtini huu lakini sikupata. Uukate. Kwani ulete uharibifu wa ardhi?
Then he said to the gardener, ‘Look [here]! I have been looking for fruit on this fig tree every year for the past three years, but there have been no figs. Cut it down! (It is just using up the nutrients in the soil for nothing!/Why should it continue using up the [nutrients in] the soil [for nothing]?) [RHQ]’
8 Mtunza bustani akajibu na kusema, 'uache mwaka huu ili niupalilie na kuweka mbolea juu yake.
But the gardener replied to the owner, ‘Sir, leave it here for another year. I will dig around it and put manure around it.
9 Kama ukizaa matunda mwaka ujao, ni vema; lakini kama hautazaa, uukate!”'
If it bears fruit next year, we [(inc)] will allow it to keep growing. If it does not bear fruit next year, you [(sg)] can cut it down.’”
10 Sasa Yesu alikuwa akifundisha katika mojawapo ya Masinagogi wakati wa Sabato.
One (Sabbath/Jewish day of rest), [Jesus] was teaching people in one of the Jewish meeting places.
11 Tazama, alikuwepo mama mmoja ambaye kwa miaka kumi na minane alikuwa na rohomchafu wa udhaifu, na yeye alikuwa amepinda na hana uwezo kabisa wa kusimama.
There was a woman there whom an evil spirit [MTY] had crippled for 18 years. She was always bent over; she could not stand up straight.
12 Yesu alipomwona, alimwita, akamwambia, “Mama, umewekwa huru kutoka kwenye udhaifu wako.”
When Jesus saw her, he called her over to him. He said to her, “Woman, [I am] freeing you [(sg)] from your illness!”
13 Akaweka mikono yake juu yake, na mara mwili wake akajinyoosha na akamtukuza Mungu.
He put his hands on her. Immediately she stood up straight, and she praised God!
14 Lakini mkuu wa sinagogi alikasirika kwa sababu Yesu alikuwa amemponya siku ya Sabato. Hivyo mtawala akajibu akawambia makutano, “Kuna siku sita ambazo ni lazima kufanya kazi. Njoni kuponywa basi, si katika siku ya Sabato. '
But the man in charge (of the synagogue/of the meeting place) was angry because Jesus had healed her (on the Sabbath/on the Jewish rest day). [He considered that healing was doing work]. So he said to the people, “There are six days [each week] in which [our Jewish] laws permit people to work. [If you need healing], those are the days to come ([to the synagogue/to the meeting place]) and be healed. Do not come on our Jewish day of rest!”
15 Bwana akamjibu na akasema, “wanafiki! Hakuna kila mmoja wenu kufungua punda wako au ng'ombe kutoka zizini na kuwaongoza kumpeleka kunywa siku ya Sabato?
Then the Lord replied to him, “You [(sg) and your fellow religious leaders are] hypocrites! (On the Sabbath/On our Jewish day of rest), [just like on every other day], (each of you unties his ox or donkey, and then leads it from the food trough to where it can drink water./does not each of you untie his ox or donkey, and then lead it from the food trough to where it can drink water?) [RHQ] [That is work, too]!
16 Hivyo pia binti wa Abrahamu, ambaye Shetani amemfunga kwa miaka kumi na minane, je haikumpasa kifungo chake kisifunguliwe siku ya sabato?”
This woman [is more important than an animal; she is a Jew], descended from Abraham! But Satan has [kept her] [MET] [crippled] for 18 years, [as though] he had tied her up [and not let her escape]! So (it is certainly right that she be freed {that [I] free her}, [even if this] is a Sabbath day!/was it not right that she be freed {that [I] free her}, [even if this] is a Jewish rest day?) [RHQ]”
17 Alipokuwa akisema maneno hayo, wale wote waliompinga waliona aibu, bali makutano wote wa wengine walishangilia kwa ajili ya mambo ya ajabu aliyotenda.
After Jesus said that, all the people [there] who opposed him were ashamed. But all the [other] people [there] were happy about all the wonderful things he was doing.
18 Yesu akasema, “Ufalme wa Mungu unafanana na nini, na naweza kuulinganisha na nini?
Then Jesus said, “(I will tell you how [the number of people who let] God rule [MET] [their lives will increase]./Do you know how [the number of people who let] God rule [MET] [their lives will increase]?) [RHQ] I will tell you what I can compare it to.
19 Ni kama mbegu ya haradari aliyoitwaa mtu mmoja na kuipanda shambani mwake, na ikamea ikawa mti mkubwa, na ndege wa mbinguni wakajenga viota vyao katika matawi yake.
It is like a [tiny] mustard seed that a man planted in his field. It grew until it became [big, like] a tree. It was [so big that] birds built nests in its branches.”
20 Tena akasema, “Niufananishe na nini ufalme wa Mungu?
Then he said, “I will tell [RHQ] you something else, to illustrate how the people who let God rule [MET] [their lives can influence their society more and more].
21 Ni kama chachu ambayo mwanamke aliichukua na kuchanganyakwenye vipimo vitatu vya unga hata ukaumuka.”
It is like [a little bit of] yeast that a woman mixed with about 50 pounds of flour. [That small amount of yeast made] the whole batch of dough swell up.”
22 Yesu alitembelea kila mji na kijiji njiani akielekea Yerusalemu na kuwafundisha.
[Jesus] continued traveling, along [with his disciples], through various towns and villages on the way to Jerusalem. As they went, he was teaching [the people].
23 Mtu mmoja akauliza, “Bwana, ni watu wachache tu watakaookolewa?” Hivyo akawaambia,
Someone asked him, “Lord, will there be only a few people who are saved {whom [God] saves}?” He replied to them, “[There will not be many, because] the way [to heaven] [MET] is [like] a narrow door.
24 “Jitahidi kuingia kwa kupitia mlango mwembamba, kwa sababu wengi watajaribu na hawataweza kuingia.
[Therefore, try hard] to enter that narrow doorway, because I tell you that many people will try to enter [heaven by some other way], but they will not be able to get in.
25 Mara baada ya mmiliki wa nyumba kusimama na kufunga mlango, basi mtasimama nje na kupiga hodi mlangoni na kusema, Bwana, Bwana, tufungulie yeye atajibu na kuwaambia, siwajui ninyi wala mtokako.'
[God is like] the owner of a house. [Some day] he will lock his door. Then [some of] you will begin to stand outside that door and knock. You will say, ‘Lord, open the door for us!’ But he will reply, ‘[No, I will not open it, because] I do not know you, and I do not know where you are from!’
26 Ndipo mtasema, Tulikula na kunywa mbele yako na wewe ulifundisha katika mitaa yetu.”
Then you will say, ‘([You must have forgotten!/Surely you know us, because]) [RHQ] we [(exc)] ate [meals] with you [(sg)], and you taught [people] in the streets of our [towns]’!
27 Lakini yeye atawajibu, `nawaambia, siwajui mtokako, ondokeni kwangu, ninyi watenda maovu!'
But he will say, ‘[I tell you again], I do not know you, and I do not know where you are from. You [are] wicked people! Get away from here!’”
28 Kutakuwa na kilio na kusaga meno wakati mtakapowaona Abrahamu, Isaka, Yakobo na manabii wote katika ufalme wa Mungu, lakini ninyi wenyewe mumetupwa nje.
Then Jesus continued, saying, “[From where God will send you], you will see Abraham and Isaac and Jacob in the distance. All the prophets [who lived long ago will also be there], in the kingdom where God [is ruling]. But you will be outside, crying and grinding your teeth [because you will have severe pain]!
29 Watafika kutoka Mashariki, Magharibi, Kaskazini na Kusini, na kupumzika katika meza ya chakula cha jioni katika ufalme wa Mungu.
Furthermore, many [non-Jewish] people will [be inside]. There will be ones who have come from [lands to] the north, east, south, and west. They will be feasting in (that place where God is ruling/God’s kingdom).
30 Na tambua hili, wa mwisho ni wa kwanza na wa kwanza atakuwa wa mwisho.”
Think about this: Some people whom others do not [consider] important [now, God will make] them very important [then], and some people whom [others consider] very important [now, God will make] to be not important [then].”
31 Muda mfupi baadaye, baadhi ya Mafarisayo walikuja na kumwambia, “Nenda na ondoka hapa kwa sababu Herode anataka kukuua.”
At that very time, some Pharisees came and said to Jesus, “Leave this area, because [the ruler] Herod [Antipas] wants to kill you [(sg)]!”
32 Yesu akasema, “Nendeni mkamwambie yule mbweha, `Tazama, ninawafukuza pepo na kufanya uponyaji leo na kesho, na siku ya tatu nitatimiza lengo langu.
He replied to them, “Herod is [MET] [as cruel as] a fox, [but also as insignificant as a fox]. [So I do not worry about him]. But [to show him that no one can harm me until it is the time and place God has determined], go tell him this [message from me]: ‘Listen! I am expelling demons and performing miracles today, and [I will continue doing] it for a short time. After that, I will finish my work.
33 Katika hali yoyote, ni muhimu kwa ajili yangu kuendelea leo, kesho, na siku iliyofuata, kwa vile haikubaliki kumuua nabii mbali na Yerusalemu.
But I must continue my trip [to Jerusalem] during the coming days, because [they killed many other] prophets there, and [since I am also a prophet], no other place is appropriate for people to kill [me].’”
34 Yerusalemu, Yerusalemu, nani anawaua manabii na kuwapiga mawe wale waliotumwa kwenu. Mara ngapi nimetaka kuwakusanya watoto wenu kama vile kuku anavyokusanya vifaranga vyake chini ya mbawa zake, lakini humkulitaka hili.
[Then Jesus said], “O [people of] [MTY] Jerusalem [APO]! You killed the prophets [who lived long ago, and you killed others], whom [God] sent to you, [by throwing] stones [at them]. Many times I wanted to gather you together [to protect you] [SIM] like a hen gathers her young chicks under her wings. But you did not want [me to do that].
35 Tazama, nyumba yako imetelekezwa. Nami nawaambia, hamuwezi kuniona hata mtakaposema 'Amebarikiwa huyo ajaye kwa jina la Bwana.'”
So listen to this: Your city [MTY] (OR, your temple) is going to be abandoned (OR, God will no longer protect it). I will [MTY] also tell you this: I [will enter your city only once more. After that], you will not see me until the time when [I return and] you say [about me], ‘God is truly pleased with this man who comes with God’s authority [MTY]!’”

< Luka 13 >