< Luka 1 >

1 Wengi wamejitahidi kuweka katika mpangilio simulizi kuhusu masuala ambayo yametimizwa kati yetu,
Mi tampin eiho lah'a ana guilhung thilsoh ho chungchang sutdoh agouvin ahi.
2 kama walivyotupatia sisi, ambao tangu mwanzo ni mashahidi wa macho na watumishi wa ujumbe.
Amahon amittah'a mu seijui masaho thulhut amangchauvin ahi.
3 Hivyo nami pia, baada ya kuchuguza kwa uangalifu chanzo cha mambo haya yote tokea mwanzo - nimeona ni vema kwangu pia kukuandikia katika mpangilio wake - mheshimiwa sana Theofilo.
Thil jouse abul'a pat phatah'a kholchil ahitoh lhon'in, keiman jong chingthei tah'a nangma dinga jihdoh ding kakigel lhah ahitai, jana sangpen chang Theophilus,
4 Ili kwamba uweze kujua ukweli wa mambo uliyofundishwa.
chutia chu thutah nana kihil jouse chu ahimong nai ti nanop nading ahi.
5 Katika siku za Herode, mfalme wa Yudea, palikuwa na kuhani fulani aliyeitwa Zekaria, wa ukoo wa Abiya. Mke wake alitoka kwa binti za Haruni, na jina lake aliitwa Elizabeti.
Judea gam'a Herod leng ahi laiyin, Zechariah kiti Judah thempu khat ana um'in ahi. Ama chu Abijah thempu loi lah'a khat ahin chule a'inneipi Elizabeth jong chu Aaron thempu khailhah'a kon ahi.
6 Wote walikuwa wenye haki mbele za Mungu; walitembea bila lawama katika amri zote na maagizo ya Bwana.
Zechariah le Elizabeth chu Pathen mitmun achonpha lhon'in, Pakai dan thupeh le chon na dan jouse chingthei tah'a jui ahilhon'e.
7 Lakini hawakuwa na mtoto, kwasababu Elizabethi alikuwa tasa, na kwa wakati huu wote wawili walikuwa wazee sana.
Elizabeth in nao avop theilou jeh chun cha aneilhon pon, chule ani lhon'in hateh'in ateh gel lhon tai.
8 Sasa ilitokea kwamba Zakaria alikuwa katika uwepo wa Mungu, akiendelea na wajibu wa kikuhani katika utaratibu wa zamu yake.
Nikhat Zechariah chun Hou'in sungah Pathen kin abolin, ajeh chu chuche hapta sunga chu mopohna chang ahi.
9 Kulingana na desturi ya kuchagua ni kuhani yupi atakayehudumu, alikuwa amechaguliwa kwa kura kuingia katika hekalu la Bwana na hivyo angefukiza uvumba.
Thempuho chonna ngai banga, ama chu Hou'in muntheng sunga lut'a chule thil namtui hal dinga lhendoh hi ahi.
10 Kundi lote la watu lilikuwa likiomba nje wakati wa kufukizwa kwa ufumba.
Thil namtui akihal jing laiyin, mipi tamtah pamlangah ading'un taona amang uve.
11 Sasa malaika wa Bwana alimtokea na kasimama upande wa kulia wa madhabahu ya kufukizia.
Zechariah muntheng sunga aumpet in Pakai vantil khat ahengah ahung kilah in, maicham phung jetlam a chun adingin ahi.
12 Zakaria alitishika alipomuona; hofu ikamwangukia.
Zechariah in hichu amuphat in akithing'in hatah in akicha tan ahi.
13 Lakini malaika akamwambia, “Usiogope Zakaria, kwasababu maombi yako yamesikika. Mke wako Elizabeth atakuzalia mwana. Jina lake utamwita Yohana.
Ahivangin vantil chun aseiyin, “Kicha hih'in Zechariah! Pathen in nataona asangtai. Na inneipi Elizabeth in chapa khat nahinpeh ding, chule amin John nasah ding ahi.
14 Utakuwa na furaha na uchangamfu, na wengi watakufurahia kuzaliwa kwake.
Nangman kipana lentah nanei ding, chule mi tampi ama pen a kipah ding ahi,
15 Kwa kuwa atakuwa mkuu mbele ya macho ya Bwana. Hatakunywa divai au kinywaji kikali, na atakuwa amejazwa na Roho Mtakatifu tangu tumboni mwa mama yake.
ijeh inem itile ama chu Pakai mitmua hung len ding. Aman ju kiti le khamna thei thil kiti atohkhah thei lou ding. Ama chu apen masang jenga jong Lhagao Theng dimset ding ahi.
16 Na watu wengi wa Israel watageuzwa kwa Bwana Mungu wao.
Chule aman Israel mi tamtah Pakai a-Pathen'u henga alehei ding ahi.
17 Atakwenda mbele za uso wa Bwana katika roho na nguvu ya Eliya. Atafanya hivi ili kurejesha mioyo ya baba kwa watoto, ili kwamba wasiotii wataenenda katika hekima ya wenye haki. Atafanya hivi kuweka tayari kwa Bwana watu ambao wameandaliwa kwa ajili yake.”
Ama chun Elijah lhagao le thahat aken ding ahi. Aman mipiho chu Pakai hung na dinga agontup ding ahi. Mipa te lung achate chunga aheiya chule doudal lungput neiho michonphaho chihna akisan sah ding ahi,” ati.
18 Zakaria akamwambia malaika, “Nitawezaje kujua hili? Kwasababu mimi ni mzee na mke wangu miaka yake imekuwa mingi sana.”
Zechariah chun vantil jah'a aseiyin, “Hitobang hi aso ding ken iti kahet thei ding ham? Tun keima kateh tan, chule ka inneipi jong kum tamtah alhing tai,” tin adong tai.
19 Malaika akajibu na kumwambia, “Mimi ni Gabrieli, ambaye husimama mbele za Mungu. Nilitumwa kukwambia, kukuletea habari hii njema.
Chuin vantil chun aseiyin, “Keima Gabriel kahi! Pathen angsung tah a ding kahi. Ama ahi keima nahenga hiche kipana thupha podinga eihin sol ah;
20 Na tazama, hutaongea, utakuwa kimya, hutaweza kuongea mpaka siku ile mambo haya yatakapotokea. Hii ni kwasababu ulishindwa kuamini maneno yangu ambayo yatatimizwa kwa wakati mwafaka.”
Ahinlah tun, nangman kasei natahsan pon, chujeh'a nangma nathipbeh ding chule nao apen tokah'a paothei louva naum ding ahitai. Ajeh chu kathusei chengse hi aphat cha guilhung tei ding ahi,” ati.
21 Sasa watu walikuwa wakimsubiri Zakaria. Walishangazwa kwamba alikuwa anatumia muda mwingi hekaluni.
Achutilai chun mipi hon Zechariah chu ahung potdoh ding angah jingun, ipi bol'a hibanga hi sot den hitam tin alungdong gam tauvin ahi.
22 Lakini alipotoka nje, hakuweza kuongea nao. Wakatambua kwamba alikuwa amepata maono alipokuwa hekaluni. Aliendelea kuonesha ishara na alibaki kimya.
Achainakeiya ahung potdoh phat chun ama apaodoh thei tapon ahi. Chuin amahon amaiso le apaotheilouva kon chun Hou'in muntheng sunga chu mu anei hinte ti ahedoh un ahi.
23 Ikatokea kwamba siku za huduma yake zilipokwisha aliondoka kurudi nyumbani kwake.
Zechariah in Hou'in a athempu natoh hapta alhin phat in inlam'a akile tan ahi.
24 Baada ya Zakaria kurudi nyumbani kutoka kwenye huduma yake hekaluni, mke wake akawa mjamzito. Naye hakutoka nyumbani mwake kwa muda wa miezi mitano. Akasema,
Phat chomkhat jouvin ajinu Elizabeth chu ahung gai paiyin chule lhanga jen potdoh louvin aum thipbeh tan ahi.
25 “Hili ndilo amabalo Bwana amefanya kwangu aliponitazama kwa upendeleo ili kuiondoa aibu yangu mbele za watu.”
“Pakai iti phat hitam!” tin aphongdoh in “Aman kacha neilou jeh'a jumna eilah mang peh tai,” ati.
26 Sasa, katika mwezi wa sita wa mimba ya Elizabeti, Mungu alimwambia malaika Gabrieli kwenda kwenye mji wa Galilaya uitwao Nazareti,
Elizabeth naovop kal lhagup lhin'in, Pathen in Gabriel vantil chu Galilee gam Nazareth kho ah,
27 kwa bikra aliyekuwa ameposwa na mwanaume ambaye jina lake lilikuwa Yusufu. Yeye alikuwa wa ukoo wa Daudi, na jina la bikra huyo lilikuwa Mariamu.
nungah theng Mary hengah asol'in ahi. Amanu chu Joseph kiti Leng David insung khailhah pasal khat toh kicheng dinga got'a um ahitai.
28 Akaja kwake na akasema, “Salaam, wewe uliyepokea neema kuu! Bwana amependezwa nawe.”
Gabriel chu amanu hengah akilah in aseitai, “Chibai, sahluttah nu! Pakaiyin naumpi,” ati.
29 Lakini maneno ya malaika yalimchanganya na hakuelewa kwa nini malaika alisema salaam hii ya ajabu kwake.
Lungdong le lung kika lahlah pum in Mary'in vantil thusei chu ipi tina ahi agel tai.
30 Malaika akamwambia, “Usiogope, Mariamu, maana umepata neema kutoka kwa Mungu.
“Kicha hih'in Mary,” tin vantil chun aseitan ahi, “Ajeh chu nangman Pathen lunglhaina nakimutai!”
31 Na tazama, utabeba mimba katika tumbo lako na utazaa mwana. Nawe utamwita jina lake 'Yesu.'
“Nangma gaiyin natin chapa khat nahin ding chule amin Yeshua nasah ding ahi.
32 Atakuwa mkuu na ataitwa Mwana wa Aliye Juu Sana. Bwana Mungu atampa kiti cha enzi cha Daudi baba yake.
Ama hung len ding chule Chungnung pen Chapa kiti ding ahi. Pakai Pathen in apu David laltouna apehding ahi.
33 Atatawala juu ya ukoo wa Yakobo milele na ufalme wake hautakuwa na mwisho. (aiōn g165)
Chule Israel chunga tonsot'a vai apoh ding, alenggam in beitih aneilou ding ahi!” ati. (aiōn g165)
34 Mariamu akamwambia malaika, hili litatokea kwa namna gani, maana sijawahi kulala na mwanaume yeyote?
Mary'n vantil chu adongin, “Hinlah, hichu iti hithei ding ham? Keima nungah theng kahi,” ati.
35 Malaika akajibu na akamwambia, “Roho Mtakatifu atakujia juu yako, na nguvu ya Aliye Juu Sana itakuja juu yako. Kwa hiyo, mtakatifu atakayezaliwa ataitwa Mwana wa Mungu.
Vantil chun adonbut in, “Lhagao Theng nachunga hung chu ding, chule chungnung pen thanei na in nalekhu ding ahi. Hijeh a chu naosen apeng ding chu atheng hiding chule ama chu Pathen Chapa kiti ding ahi.
36 Na tazama, ndugu yako Elizabeti anaujauzito wa mwana kwenye umri wake wa uzee. Huu ni mwezi wa sita kwake, ambaye alikuwa anaitwa mgumba.
Ipi aval um ding ham, nasopinu Elizabeth in jong ateh nungin nao avop tai! Mi hon aching'ah ahi atiuvin, hinlah tun chapa khat avop'in lhagup alhingtai.
37 Maana hakuna lisilowezekana kwa Mungu.”
Ajeh chu Pathen dingin ima ahimo aumpoi” ati.
38 Mariamu akasema, “Tazama, mimi ni mtumishi wa kike wa Bwana. Acha iwe hivyo kwangu sawa sawa na ujumbe wako.” Kisha malaika akamwacha.
Mary'n adonbut in, “Keima Pakai sohnu kahi, kachunga lhungding nasei jouse hung guilhung hen,” ati. Chuti chun vantil chun amanu chu adalhatai.
39 Ndipo katika siku hizo Mariamu aliondoka na kwa haraka alikwenda katika nchi ya vilima, kwenye mji katika nchi ya Yudea.
Ni phabep jouvin Mary jong Judea gam thinglhang lang,
40 Alikwenda nyumbani mwa Zekaria na akamsalimia Elizabeti.
Zechariah chen na khoa chun acheloi chal'in ahi. Amanu insung alut in Elizabeth chu chibai aboh'e.
41 Sasa, ilitokea kwamba Elizabeti aliposikia salamu ya Mariamu, mtoto tumboni mwake akaruka, na Elizabeti akajazwa na Roho Mtakatifu.
Mary'n chibai aboh gin ajah chun Elizabeth naosen chu a-oisung a chun ahung kichom in, chule Elizabeth chu Lhagao Theng adimset tan ahi.
42 Akapaza sauti yake na kusema kwa sauti kuu, “umebarikiwa wewe zaidi miongoni mwa wanawake, na mtoto aliyemo tumboni mwako amebarikiwa.
Elizabeth in kipanan ka cheng ahinlon Mary jah'a chun aseitai, “Pathen in numei jouse chunga phatthei naboh ahitai, chule na cha jong anunnom'e.
43 Na imekuwaje kwangu kwamba, mama wa Bwana wangu ilipasa aje kwangu?
Ipi jeh'a hibanga jana kachan a ka pakai nu in eihung vil ham?
44 Kwa kuwa tazama, iliposikika masikoni mwangu sauti ya kusalimia kwako, mtoto tumboni mwangu akaruka kwa furaha.
Nei lemna awcheng kajah chun kasunga naocha kipah in ahung kichom'e.
45 Na amebarikiwe mwanamke yule ambaye aliamini ya kwamba ungetokea ukamilifu wa mambo yale aliyoambiwa kutoka kwa Bwana.”
Anun nom nahi, ajeh chu Pakaiyin aseichu abol ding ahi ti natahsan e,” ati.
46 Mariamu akasema, nafsi yangu inamsifu Bwana,
Mary'n adonbut in “Kalhagao vin Pakai achoi-an e.
47 na roho yangu imefurahi katika Mungu Mwokozi wangu.
Kalhagao eihuhhing pu Pathen chunga iti kipah thanom hitam!
48 Kwa maana ameiangalia hali ya chini ya mtumishi wake wa kike. Tazama, tangu sasa katika vizazi vyote wataniita mbarikiwa.
Ajeh chu aman asoh numei nu dinmun ave jingin, chule tua pat'a khang jousen nunnom eiti diu ahitai.
49 Kwa maana yeye aliyemweza amefanya mambo makubwa kwangu, na jina lake ni takatifu.
Ajeh chu Hatchungnungpa chu atheng ahi, chule aman keima din thil loupi abol'e
50 Rehema yake inadumu toka kizazi hata kizazi kwa wale wanao mheshimu yeye.
Aman ahepina akhang akhang'in ama gingte amusah jinge.
51 Ameonesha nguvu kwa mkono wake; amewatawanya wale ambao walijivuna juu ya mawazo ya mioyo yao.
Abanthahat chun kichat um tahtah thil abol'e! Aman mikiletsah le hoitho ho athecheh ji'e.
52 Amewashusha chini wana wa wafalme toka katika viti vyao vya enzi na kuwainua juu walio na hali ya chini.
Leng chapate alaltounau-vakon in aloilhan mi kineosah te adomsang ji'e.
53 Aliwashibisha wenye njaa kwa vitu vizuri, bali matajiri amewafukuza mikono mitupu.
Aman agilkel te thil pha phan avah in chule ahao te khutgoh keovin asoldoh ji'e
54 Ametoa msaada kwa Israeli mtumishi wake, ili kukumbuka kuonesha rehema
Aman asoh Israel akithopin khoto dingin ageldoh'e.
55 (kama alivyosema kwa baba zetu) kwa Abrahamu na uzao wake milele.” (aiōn g165)
Ajeh chu aman hiche kitepna hi iputeu, Abraham, chule achate dinga asem ahi.” (aiōn g165)
56 Mariamu alikaa na Elizabeti yapata miezi mitatu hivi ndipo akarudi nyumbani kwake.
Mary chu Elizabeth koma lhathum tobang aum jouvin a'inlam ah akile tai.
57 Sasa wakati ulikuwa umewadia kwa Elizabeti kujifungua mtoto wake na akajifungua mtoto wa kiume.
Elizabeth chu anaoso phat alhin phat in amanun chapa khat ahingin ahi.
58 Jirani zake na ndugu zake walisikia jinsi Bwana alivyoikuza rehema kwake, na wakafurahi pamoja naye.
Chuleh aheng akom le asopi chengin Pakaiyin akhoto naho ajahdoh phat un, mijouse amanu toh akipah khom cheh tauve.
59 Sasa ilitokea siku ya nane kwamnba walikuja kumtahiri mtoto. Ingewapasa kumwita jina lake, “Zekaria,” kwa kuzingatia jina la baba yake,
Naosen chu niget alhin in, amaho abon'un cheptansah dingin ahung'un ahi. Amahon apa banga amin Zechariah sahding agouvin,
60 Lakini mama yake akajibu na kusema, “Hapana; ataitwa Yohana.”
ahivangin Elizabeth in, “Ahipoi, amin John ahi,” atitai.
61 Wakamwambia, hakuna hata mmoja katika ndugu zako anayeitwa kwa jina hili.”
“Ipi natim?” tin amaho ahung eojah jengun “Na insung uvah hitobang min chu aum khapoi,” atiuve.
62 Wakamfanyia ishara baba yake kuashiria yeye alitaka jina aitwe nani.
Hijeh chun naosen min chu apan ipi akisah nom am ti mit-heiyin adongun ahi.
63 Baba yake akahitaji kibao cha kuandikia, na akaandika, “Jina lake ni Yohana.” Wote wakashangazwa na hili.
Aman lekhasutna pheng athum'in, mijouse lungdong in alhan “Amin John ahi” tin ahinjih e.
64 Ghafla mdomo wake ukafunguliwa na ulimi wake ukawa huru. Akaongea na kumsifu Mungu.
Chutah chun Zechariah jong ahung paothei tan chule Pathen avahchoi pan tai.
65 Hofu ikawajia wote walioishi karibu nao. Mambo haya yakaenea katika nchi yote ya vilima vya Yudea.
Akimvel'a cheng chengse din kichatna alhung tan chule Judea thinglhang gam sungse ah thilsoh umchan chu akithejal soh tai.
66 Na wote walioyasikia wakayatunza mioyoni mwao, wakisema, “Mtoto huyu kuwa wa namna gani?” Kwasababu mkono wa Bwana ulikuwa pamoja naye.
Chuche thilsoh jajouse chun athilsoh hochu alungin aching geh'un, “Hiche chapang hi ipibep ahungsoh tadem?” atiuvin ahi.
67 Baba yake Zekaria alijazwa na Roho Mtakatifu na akatoa unabii, akisema,
Chuin apa Zechariah chu Lhagao Theng adimset tan chule hiche gaothu hi aphongdoh in ahi:
68 “Asifiwe Bwana, Mungu wa Israeli, kwa sababu amesaidia na alishughulikia wokovu kwa watu wake.
Vahchoiyun Pakai, Israel Pathen chu; ajehchu aman amite avil'in alhatdoh tai
69 Ametuinulia pembe ya wokovu katika nyumba ya mtumishi wake Daudi, kutoka miongoi mwa mwa ukoo wa mtumishi wake Daudi,
Aman huhhing hattah khat asoh David khailhah a kon in eipeuve.
70 kama alivyosema kwa kinywa cha manabii wake waliokuweko katika nyakati za kale. (aiōn g165)
Athemgao thengte henga malaiya akitepna banga (aiōn g165)
71 Atatuoka kutoka kwa adui zetu na kutoka mikononi mwa wote wanaotuchukia.
Tua eiho igalmiteu vakon le eihotbolteu va kona huhdoh a umding ihitauve.
72 Atafanya hivi kuonesha rehema kwa baba zetu, na kukumbuka agano lake takatifu,
Aman ipu ipateu khotonan akitepna thengho ageldoh jingin–
73 kiapo alichokisema kwa Abrahamu baba yetu.
Akitepna ipuluiyu Abraham koma anakitepna bangtah in
74 Aliapa kuthibitha kwamba ingewezekana kumtumikia Yeye bila hofu, baada ya kuokolewa kutoka katika mikononi ya adui zetu.
i-galmiteuva kon in eihuhdoh uve, Pathen kichatna beihel'a ijen thei nadiuvin
75 katika utakatifu na haki mbele zake siku zetu zote.
Then na le chondihna a ihin laiseuva dingin
76 Ndiyo, na wewe mtoto, utaitwa nabii wa Aliye Juu Sana, kwa kuwa utaenenda mbele za uso wa Bwana ili kumwandalia njia, kuwaandaa watu kwa ajili ya ujio wake,
“Chule kachapa, nangma chungnung pen themgao kiti ding nahi; ajeh chu nangman Pakai lampi semtoh sa nakoi ding ahi.
77 kuwafahamisha watu wake kwamba, wataokolewa kwa njia ya kusamehewa dhambi zao.
Nangman amite, achonset nau ngaidam na'a kona huhhingna akimudoh nadiu naseipeh ding ahi.
78 Hili litatokea kwa sababu ya huruma ya Mungu wetu, sababu ambayo jua tokea juu litatujia,
Pathen mikhotona nemheo vanga jingkhovah chu van'a kona eiho chunga hung kisukeh go ahitai.
79 kuangaza kwao wakaao gizani na katika uvuli wa mauti. Atafanya hivi kuiongoza miguu yetu kwenye njia ya amani.”
Muthim'a touho le thina lim'a touho vah pedinga, chule chamna lampi komu peh dinga ahi,” ati.
80 Sasa, yule mtoto akakua na kuwa mwenye nguvu rohoni na alikaa nyikani mpaka siku ya kujitokeza kwake kwa Israeli.
John chu ahung khanglen in chule lhagaovin ahung hatdoh in ahi. Chule Israel koma lhangphonga natoh apat kahsen ama gamthip lah dungah aumin ahi.

< Luka 1 >