< Luka 1 >

1 Wengi wamejitahidi kuweka katika mpangilio simulizi kuhusu masuala ambayo yametimizwa kati yetu,
Cawhkaw ik-oeih ningnih anglakawh ak soep ce thlang khawzah ing qee aham hlah hawh uhy,
2 kama walivyotupatia sisi, ambao tangu mwanzo ni mashahidi wa macho na watumishi wa ujumbe.
ak cyk ca awhkaw ing dyihthing na awm nawh ce ak awi dawngawh bi ak bikhqi ing nangmih a venawh amik kqawn law patoe lawt amyihna.
3 Hivyo nami pia, baada ya kuchuguza kwa uangalifu chanzo cha mambo haya yote tokea mwanzo - nimeona ni vema kwangu pia kukuandikia katika mpangilio wake - mheshimiwa sana Theofilo.
Cedawngawh cawhkaw ik-oeih ce akung awhkawng kamah qoe ing ak nep na nym a nai nawh, ka qee law patoe mantaw nep voei tinawh poek nyng, ak leek soeih Theolophila,
4 Ili kwamba uweze kujua ukweli wa mambo uliyofundishwa.
cawh ni thlang ing a ni pyinaak awi ce ak nep caana nami sim hly thai.
5 Katika siku za Herode, mfalme wa Yudea, palikuwa na kuhani fulani aliyeitwa Zekaria, wa ukoo wa Abiya. Mke wake alitoka kwa binti za Haruni, na jina lake aliitwa Elizabeti.
Judea sangpahrang Herod chan awh, Abijiah cakaw khawsoeih pynoet, ang mingna Zekarih ce awm nawh Elizabeth ak mingnaak Aaron cahlah ce zu na hy.
6 Wote walikuwa wenye haki mbele za Mungu; walitembea bila lawama katika amri zote na maagizo ya Bwana.
Khawsa mik huh awh thlak dyng na awm nih nawh, Bawipa ak awipeekhqi ingkaw sai hly kawi boeih boeih ce coet amak kapna sai hy nih.
7 Lakini hawakuwa na mtoto, kwasababu Elizabethi alikuwa tasa, na kwa wakati huu wote wawili walikuwa wazee sana.
Cehlai Elizabeth taw ciing nawh ca am ta hy nih; ani kum awm pacawng hawh hy nih.
8 Sasa ilitokea kwamba Zakaria alikuwa katika uwepo wa Mungu, akiendelea na wajibu wa kikuhani katika utaratibu wa zamu yake.
Zekariah a poek ben ing Khawsa haiawh Khawsa bibinaak tym a pha a dawngawh,
9 Kulingana na desturi ya kuchagua ni kuhani yupi atakayehudumu, alikuwa amechaguliwa kwa kura kuingia katika hekalu la Bwana na hivyo angefukiza uvumba.
anih ing khawsoeihkhqi a sai khawi amyihna, Bawipa a bawkim khuiawh bawktui phum aham a tym ing pha hy.
10 Kundi lote la watu lilikuwa likiomba nje wakati wa kufukizwa kwa ufumba.
Bawktui phumnaak a tym a pha awh, Khawsa ak bawkkhqi boeih boeih ce a lengna cykcah uhy.
11 Sasa malaika wa Bwana alimtokea na kasimama upande wa kulia wa madhabahu ya kufukizia.
Cawh Bawipa ak khan ceityih ce bawktui phumnaak bawkthang tang benawh dyih pehy.
12 Zakaria alitishika alipomuona; hofu ikamwangukia.
Zekariah ing a huh awh ang ngaih kyi nawh ak kqih na awm kqih hy.
13 Lakini malaika akamwambia, “Usiogope Zakaria, kwasababu maombi yako yamesikika. Mke wako Elizabeth atakuzalia mwana. Jina lake utamwita Yohana.
Cehlai khan ceityih ing a venawh: “Zekariah, koeh kqih; nak cykcahnaak ce Khawsa ing za hawh hy. Na zu Elizabeth ing cakpa ni taak pe kawmsaw, Johan tinawh ang ming sui kawp ti.
14 Utakuwa na furaha na uchangamfu, na wengi watakufurahia kuzaliwa kwake.
Nang kaw anik zeel sak ingkaw a nik awmhly sak na awm kaw, anih a thang awh thlang khawzah zeel kawm uh,
15 Kwa kuwa atakuwa mkuu mbele ya macho ya Bwana. Hatakunywa divai au kinywaji kikali, na atakuwa amejazwa na Roho Mtakatifu tangu tumboni mwa mama yake.
kawtih anih taw Bawipa a mik huh awh thlak bau na awm kaw. Misur tui, am awhtaw ak chang qui kawi ik-oeih qoe am aw kaw, a thang awhkawng anih taw Ciim Myihla ing be kaw.
16 Na watu wengi wa Israel watageuzwa kwa Bwana Mungu wao.
Anih ing Israel thlang khawzah ce a mimah a Bawipa Khawsa venna sawi tlaih kaw.
17 Atakwenda mbele za uso wa Bwana katika roho na nguvu ya Eliya. Atafanya hivi ili kurejesha mioyo ya baba kwa watoto, ili kwamba wasiotii wataenenda katika hekima ya wenye haki. Atafanya hivi kuweka tayari kwa Bwana watu ambao wameandaliwa kwa ajili yake.”
Pakhqi ak kawlung ce cakhqi benna hawi sak ham, awi amak zakhqi ce thlak dyngkhqi cyihnaak benna mang sak ham, Bawipa ham lammana thlang ak toen hamna Elijah ang myihla ingkaw ak thaawmnaak taak ing Bawipa haiawh a na cet kaw,” tina hy.
18 Zakaria akamwambia malaika, “Nitawezaje kujua hili? Kwasababu mimi ni mzee na mke wangu miaka yake imekuwa mingi sana.”
Zekariah ing khan ceityih a venawh, “Ve ve ikawmyihna ka simnaak kaw? Kamah awm pacawng nyng ka zu awm nucawng hawh hy,” tina hy.
19 Malaika akajibu na kumwambia, “Mimi ni Gabrieli, ambaye husimama mbele za Mungu. Nilitumwa kukwambia, kukuletea habari hii njema.
Khan ceityih ing a venawh, “Kai ve Khawsa haiawh ak dyi Gabriel ni, nang a venawh awi kqawn aham ingkaw vawhkaw awithang leek kqawn aham tyihna kak awm ni.
20 Na tazama, hutaongea, utakuwa kimya, hutaweza kuongea mpaka siku ile mambo haya yatakapotokea. Hii ni kwasababu ulishindwa kuamini maneno yangu ambayo yatatimizwa kwa wakati mwafaka.”
Cehlai nang ing, a tym a khoek awh ak pha law hly kawi kak kqawn law ve am nak cangnaak a dawngawh, cawhkaw ik-oeih a pha hlan dy awimyh kawp ti,” tina hy.
21 Sasa watu walikuwa wakimsubiri Zakaria. Walishangazwa kwamba alikuwa anatumia muda mwingi hekaluni.
Cawh thlangkhqi ingtaw a leng nakawng Zekariah ce qeh uhy, kawtih bawkim khuiawh a awm khing hy voei, ti unawh a ming ngaih kyi hy.
22 Lakini alipotoka nje, hakuweza kuongea nao. Wakatambua kwamba alikuwa amepata maono alipokuwa hekaluni. Aliendelea kuonesha ishara na alibaki kimya.
Anih ce a law awhtaw, awi am pau thai voel hy. Awi ak kqawn kaana a kut ing a vaih a dawngawh, a mingmih ing bawkim ak khuina mik hatnaak hu pakaa hy ti uhy. Cedawngawh Zekariah ing amingmih venawh kut ing zavaih nawh awimyh na awm hy.
23 Ikatokea kwamba siku za huduma yake zilipokwisha aliondoka kurudi nyumbani kwake.
A bibinaak tym a boeih coengawh taw im na hlat hy.
24 Baada ya Zakaria kurudi nyumbani kutoka kwenye huduma yake hekaluni, mke wake akawa mjamzito. Naye hakutoka nyumbani mwake kwa muda wa miezi mitano. Akasema,
Cekcoengawh taw a zu Elizabeth ce phyihsu nawh hla nga khui thlang a venawh am dang hy.
25 “Hili ndilo amabalo Bwana amefanya kwangu aliponitazama kwa upendeleo ili kuiondoa aibu yangu mbele za watu.”
Elizabeth ing, “Thlang venna kang ming seetnaak thoeng hamna Bawipa ing thlang huh awh vemyihna ni sai pe hy,” tihy.
26 Sasa, katika mwezi wa sita wa mimba ya Elizabeti, Mungu alimwambia malaika Gabrieli kwenda kwenye mji wa Galilaya uitwao Nazareti,
Elizabeth a pumqihnaak hlak kquk a law awh, Khawsa ing khan ceityih Gabriel ce, Kalili qam Nazareth khaw awhkaw,
27 kwa bikra aliyekuwa ameposwa na mwanaume ambaye jina lake lilikuwa Yusufu. Yeye alikuwa wa ukoo wa Daudi, na jina la bikra huyo lilikuwa Mariamu.
David cadil na ak awm, Josepth ak mingnaak ing zunaak aham am kang nulak cym a venna tyi hy. Cawhkaw nulak cym taw Meri ming na hy.
28 Akaja kwake na akasema, “Salaam, wewe uliyepokea neema kuu! Bwana amependezwa nawe.”
Khan ceityih ing a venawh, “Na zoseen hy, nang, Khawsak kaw ak tawng! Bawipa taw na venawh awm hy,” tina hy.
29 Lakini maneno ya malaika yalimchanganya na hakuelewa kwa nini malaika alisema salaam hii ya ajabu kwake.
Ce ak awi awh Meri taw ak ngaihna kyi nawh, “ikawmyih ak awi hy voei nu,” tinawh poek qu hy.
30 Malaika akamwambia, “Usiogope, Mariamu, maana umepata neema kutoka kwa Mungu.
Cehlai, khan ceityih ing a venawh, “Meri, koeh kqih, Khawsa ak kawngaihnaak hu hawh hyk ti.
31 Na tazama, utabeba mimba katika tumbo lako na utazaa mwana. Nawe utamwita jina lake 'Yesu.'
Phyihsu kawm tiksaw cakpa ta kawp ti.
32 Atakuwa mkuu na ataitwa Mwana wa Aliye Juu Sana. Bwana Mungu atampa kiti cha enzi cha Daudi baba yake.
Anih taw thlak bau na awm kawmsaw, Sawsang soeih Cakpa ti kawm uh; Bawipa Khawsa ing a pa David a ngawihdoelh ce pe kawmsaw,
33 Atatawala juu ya ukoo wa Yakobo milele na ufalme wake hautakuwa na mwisho. (aiōn g165)
Jakob cadil lakawh kumqui dyna boei loet kawsaw, a ram ing am dyt voel tikaw,” tina hy. (aiōn g165)
34 Mariamu akamwambia malaika, hili litatokea kwa namna gani, maana sijawahi kulala na mwanaume yeyote?
Cawh Meri ing khan ceityih a venawh,” Cece ikawmyihna ang coeng naak thai kaw? Pa am ka taak ak kaa?” tina hy.
35 Malaika akajibu na akamwambia, “Roho Mtakatifu atakujia juu yako, na nguvu ya Aliye Juu Sana itakuja juu yako. Kwa hiyo, mtakatifu atakayezaliwa ataitwa Mwana wa Mungu.
Khan ceityih ing, “Ciim Myihla ce nak khan awh awm kawmsaw, sawsang soeih a saithainaak ing ni siing khoep kaw; cedawngawh thlak ciim ak thang law hly ce Khawsa Capa tinawh khy kawm uh.
36 Na tazama, ndugu yako Elizabeti anaujauzito wa mwana kwenye umri wake wa uzee. Huu ni mwezi wa sita kwake, ambaye alikuwa anaitwa mgumba.
Na cakaw Elizabeth awm a nucawng huna phyihsu nawh; tuhawh hlak kquk law hawh hy.
37 Maana hakuna lisilowezekana kwa Mungu.”
Kawtih Khawsak awi ak cawn boeih ing them a saithai kaana am awm kaw,” tina hy.
38 Mariamu akasema, “Tazama, mimi ni mtumishi wa kike wa Bwana. Acha iwe hivyo kwangu sawa sawa na ujumbe wako.” Kisha malaika akamwacha.
Cawh Meri ing, “Kai taw Bawipa a tamnaa ni, nak kqawn amyihna kak khan awh awm seh nyng,” tina hy.
39 Ndipo katika siku hizo Mariamu aliondoka na kwa haraka alikwenda katika nchi ya vilima, kwenye mji katika nchi ya Yudea.
Cawh Meri ce tho nawh Judah qam tlang na ak awm khaw pynoet awh ce ang tawnna cet hy,
40 Alikwenda nyumbani mwa Zekaria na akamsalimia Elizabeti.
Zekariah a ipkhui na ce lut nawh Elizabeth ce voem hy.
41 Sasa, ilitokea kwamba Elizabeti aliposikia salamu ya Mariamu, mtoto tumboni mwake akaruka, na Elizabeti akajazwa na Roho Mtakatifu.
Elizabeth ing Meri ak awi ce ang zaak awh, ak phoen khui nakaw naaca ce tat hy, cawh Elizah ce Ciim Myihla ing be hy.
42 Akapaza sauti yake na kusema kwa sauti kuu, “umebarikiwa wewe zaidi miongoni mwa wanawake, na mtoto aliyemo tumboni mwako amebarikiwa.
Anih ing khawteh na: “Nang taw nukhqi boeih anglakawh thlang zoseen nu ni, nak khui awhkaw na ca awm a zoseen hy.
43 Na imekuwaje kwangu kwamba, mama wa Bwana wangu ilipasa aje kwangu?
Ka Bawipa a nu, ka venna na law ve ikawmyihna hy voei?
44 Kwa kuwa tazama, iliposikika masikoni mwangu sauti ya kusalimia kwako, mtoto tumboni mwangu akaruka kwa furaha.
Ngai lah, Nani voemnaak awi kang zaak awhkawng kak phoen khui nakaw naaca ve a zeel aih awh tat hy.
45 Na amebarikiwe mwanamke yule ambaye aliamini ya kwamba ungetokea ukamilifu wa mambo yale aliyoambiwa kutoka kwa Bwana.”
Cedawngawh a venawh Bawipa ing ak kqawn peek ce soep kaw, tinawh ak cangnaak nu taw a zoseen hy,” tina hy.
46 Mariamu akasema, nafsi yangu inamsifu Bwana,
Meri ing: “Ka hqingnaak ing Bawipa kyihcah nawh,
47 na roho yangu imefurahi katika Mungu Mwokozi wangu.
kang myihla awm ak hulkung Khawsa venawh zeel soeih hy.
48 Kwa maana ameiangalia hali ya chini ya mtumishi wake wa kike. Tazama, tangu sasa katika vizazi vyote wataniita mbarikiwa.
A tamnaa nu a dungvoengnaak qeen nawh; Ngaih lah, tuhawhkawng cadil boeih ing thlang zoseen nu tinawh nik khy kawm uh.
49 Kwa maana yeye aliyemweza amefanya mambo makubwa kwangu, na jina lake ni takatifu.
Kawtih tha ak awm soeih ing kak khan awh ik-oeih ak bau soeih sai hawh hy, ang ming awm cimcaih soeih hy.
50 Rehema yake inadumu toka kizazi hata kizazi kwa wale wanao mheshimu yeye.
Amah ak kqihchahkhqi cetaw cadil dyna awm qeen khqi hy.
51 Ameonesha nguvu kwa mkono wake; amewatawanya wale ambao walijivuna juu ya mawazo ya mioyo yao.
A baan ing ak thaawmnaak ce dang sak nawh, thlak oek qu khqi taw a mik poek qunaak ing theeh khqi hy.
52 Amewashusha chini wana wa wafalme toka katika viti vyao vya enzi na kuwainua juu walio na hali ya chini.
Ukkungkhqi ce a mi ngawihdoelh awhkawng kqum sak khqi nawh dungvoeng na ak awmkhqi ce zoeksang khqi hy.
53 Aliwashibisha wenye njaa kwa vitu vizuri, bali matajiri amewafukuza mikono mitupu.
Ak phoen ak cawi khqi ce them leek ing phyi sak khqi nawh, boeikhqi ce kut hqawng na tyi khqi hy.
54 Ametoa msaada kwa Israeli mtumishi wake, ili kukumbuka kuonesha rehema
A lungqeennaak ce poek khak nawh a tyihzoeih Israelkhqi ce bawm hamna,
55 (kama alivyosema kwa baba zetu) kwa Abrahamu na uzao wake milele.” (aiōn g165)
Abraham ingkaw a cadil a venawh qeennaak ce ta poepa hy,” tihy. (aiōn g165)
56 Mariamu alikaa na Elizabeti yapata miezi mitatu hivi ndipo akarudi nyumbani kwake.
Meri ce Elizabeth a venawh hla thum tluk a awm coengawh a im na hlat hy.
57 Sasa wakati ulikuwa umewadia kwa Elizabeti kujifungua mtoto wake na akajifungua mtoto wa kiume.
Naa a thangnaak tym a pha awh, Elizabeth ing cakpa ce ta hy.
58 Jirani zake na ndugu zake walisikia jinsi Bwana alivyoikuza rehema kwake, na wakafurahi pamoja naye.
A imcengkhqi ingkaw a cakaw paqengkhqi ing Bawipa ing anih ak khan awh qeennaak soep sak hy tice a ming sim awh, zeel pyi uhy.
59 Sasa ilitokea siku ya nane kwamnba walikuja kumtahiri mtoto. Ingewapasa kumwita jina lake, “Zekaria,” kwa kuzingatia jina la baba yake,
Ak kqeet nyn awh chahhui qeet aham naaca ce khyn hy nih, cawh a pa ang ming Zekariah ce sui aham cai hlai uhy,
60 Lakini mama yake akajibu na kusema, “Hapana; ataitwa Yohana.”
a nu ing, “Amni! Johan tinawh ni sui aham awm hy, tinak khqi hy.
61 Wakamwambia, hakuna hata mmoja katika ndugu zako anayeitwa kwa jina hili.”
Cekkhqi ing, “Cemyih ang ming ce na cakaw paqeng ak khuiawh am awm man hy,” tina uhy.
62 Wakamfanyia ishara baba yake kuashiria yeye alitaka jina aitwe nani.
Naa ang ming ce ikawmyihna nu a sui law kaw ti unawh, a pa a venawh a mi kut vaih unawh doet uhy.
63 Baba yake akahitaji kibao cha kuandikia, na akaandika, “Jina lake ni Yohana.” Wote wakashangazwa na hili.
Anih ing caa qeenaak aham calung ce thoeh nawh, “Ang ming taw Johan,” tinawh qee saw thlang boeih a mik kawpoek kyi hy.
64 Ghafla mdomo wake ukafunguliwa na ulimi wake ukawa huru. Akaongea na kumsifu Mungu.
Cawh am kha ce awng qu pahoei nawh am lai awm zai law pahoei hy, awi kqawn nawh Khawsa ce kyihcah hy.
65 Hofu ikawajia wote walioishi karibu nao. Mambo haya yakaenea katika nchi yote ya vilima vya Yudea.
A imcengkhqi taw amik kawpoek kyi hy. Judah qam khawmcung pum awh thlangkhqi ing cawhkaw ce kqawn uhy.
66 Na wote walioyasikia wakayatunza mioyoni mwao, wakisema, “Mtoto huyu kuwa wa namna gani?” Kwasababu mkono wa Bwana ulikuwa pamoja naye.
Bawipa a kut ce anih ak khan awh a awm a dawngawh, ce ak awi ak zakhqi boeih ing amik kawpoek kyi nawh, “Cawhtaw cawhkaw naasen ce ikawmyihna nu a awm law kaw?” ti uhy.
67 Baba yake Zekaria alijazwa na Roho Mtakatifu na akatoa unabii, akisema,
A pa Zekariah ce Ciim Myihla ing be nawh awi kqawn hy:
68 “Asifiwe Bwana, Mungu wa Israeli, kwa sababu amesaidia na alishughulikia wokovu kwa watu wake.
“Israelkhqi a Khawsa, Bawipa venawh thangleeknaak awm seh nyng, kawtih ak thlangkhqi ce hqip nawh tlan hawh hy.
69 Ametuinulia pembe ya wokovu katika nyumba ya mtumishi wake Daudi, kutoka miongoi mwa mwa ukoo wa mtumishi wake Daudi,
A tyihzawih David a ipkhui awh, nangmih thaawngnaak kii pynoet cawn sak hawh hy.
70 kama alivyosema kwa kinywa cha manabii wake waliokuweko katika nyakati za kale. (aiōn g165)
(Syn awh amah a tawngha ciimkhqi venawh anak kqawn amyihna), (aiōn g165)
71 Atatuoka kutoka kwa adui zetu na kutoka mikononi mwa wote wanaotuchukia.
Qaalkhqi ven awhkawng thaawngnaak, ningnih anik sawhnaakkhqi qam ak khui awhkawng
72 Atafanya hivi kuonesha rehema kwa baba zetu, na kukumbuka agano lake takatifu,
pakdamkhqi venawh am qeennaak dang sak aham ingkaw amah a paipi ciim a sai ce sim poe aham,
73 kiapo alichokisema kwa Abrahamu baba yetu.
ni pa Abraham a venawh awi a na kam ce:
74 Aliapa kuthibitha kwamba ingewezekana kumtumikia Yeye bila hofu, baada ya kuokolewa kutoka katika mikononi ya adui zetu.
Ni qaalkhqi kut khui awhkawng ni loet sak aham ingkaw kqih kaana amah a bi ce ni binaak thai aham
75 katika utakatifu na haki mbele zake siku zetu zote.
ni hqing khui amah a haiawh ni ciim ingkaw ni dyngnaak ham ni.
76 Ndiyo, na wewe mtoto, utaitwa nabii wa Aliye Juu Sana, kwa kuwa utaenenda mbele za uso wa Bwana ili kumwandalia njia, kuwaandaa watu kwa ajili ya ujio wake,
Ce, nang ka ca, sawsang soeih a tawngha pynoet tinawh nik khy kawm uh; kawtih Bawipa haiawh a lam qoek abah peek aham na ceh hly awh;
77 kuwafahamisha watu wake kwamba, wataokolewa kwa njia ya kusamehewa dhambi zao.
Ni Khawsa a thawlh qeennaak ak caming nak thlangkhqi venawh thaawngnaak sim sak aham,
78 Hili litatokea kwa sababu ya huruma ya Mungu wetu, sababu ambayo jua tokea juu litatujia,
kawtih nangmih a Khawsa am qeennaak ak caming, khawk khan nakawng ningnih a venawh,
79 kuangaza kwao wakaao gizani na katika uvuli wa mauti. Atafanya hivi kuiongoza miguu yetu kwenye njia ya amani.”
than khuiawh ak awmkhqi ingkaw thihnaak ak kaiawh ak ngawikhqi ceei aham, ningnih a khawkhqi ce qoepnaak lam benna hqui aham khawkdai ce law kaw,” tinawh laa ce sa hy.
80 Sasa, yule mtoto akakua na kuwa mwenye nguvu rohoni na alikaa nyikani mpaka siku ya kujitokeza kwake kwa Israeli.
Naasen ce bau law hqui nawh Myihla ben awh ak tha awm hqui hy; Israelkhqi venawh ang dang hlan dy kqawng na ce awm hy.

< Luka 1 >