< Mambo ya Walawi 6 >

1 Bwana alisema na Musa kumwabia,
Opet reèe Gospod Mojsiju govoreæi:
2 “Kama mtu akifanya dhambi na kuvunja amri kinyume na Bwana, kama kujihusisha na uongo dhidi ya jirani yake kuhusu kitu fulani cha kutokuwa mwaminifu, au kama akidanganya au kuiba au amemdhurumu jirani.
Kad ko zgriješi i uèini zlo djelo Gospodu udarivši u bah bližnjemu svojemu za ostavu ili za stvar predanu u ruke ili otevši što ili zanesavši bližnjega svojega,
3 Au akiokota kitu fulani ambacho jirani yake amepoteza na kusema uongo kuhusu hicho, na kuapa kwa uongo au kwa mambo kama haya ambayo watu wanaweza kutenda dhambi.
Ili naðe izgubljeno što, pa udari u bah, ili se krivo zakune za koju god stvar koju može èovjek uèiniti i ogriješiti se njom,
4 Ndipo itakuwa hivi, kama ametenda dhambi na hatia, kwamba lazima akirudishe kwa vyovyote alichoiba au kudanganya au amedhurumu au kitu kilichopotea naye kukiokota.
Kad tako zgriješi i skrivi, neka vrati što je oteo ili prisvojio prijevarom ili što mu je bilo dano na ostavu ili što je izgubljeno našao,
5 Au kama amedanganya kwa jambo lolote, lazima atakirudisha kamilina kuongezea sehemu ya tano kwa kumlipa anayedai, kwa siku ile anayopatikana na hatia.
Ili za što se zakleo krivo, neka plati cijelo i još dometne peti dio onome èije je; neka mu da onaj dan kad prinese žrtvu za svoj grijeh.
6 Ataleta sadka ya hatia kwa Bwana: kondoo dume asiye na kasoro kutoka katika kundi lake kulingana na thamani yake, kama sadaka ya hatia kwa kuhani.
A na žrtvu za grijeh svoj neka prinese Gospodu ovna zdrava, sa cijenom kojom precijeniš krivicu neka ga dovede svešteniku.
7 Kuhani atafanya upatanisho kwa ajili yake mbele ya Bwana, atakuwa amesamehewa kulingana na chochote kilicho mfanya kuwa na hatia.”
I oèistiæe ga sveštenik pred Gospodom, i oprostiæe mu se svaka stvar koju je uèinio, te skrivio.
8 Ndipo Bwana alisema na Musa kumwambia,
I reèe Gospod Mojsiju govoreæi:
9 “Mwagize Haruni na wanawe, kusema, 'hii ni sheria ya sadaka ya kuteketezwa: Sadaka ya kuteketezwa lazima iwe juu ya makaa ya madhabahu usiku wote hata asubuhi, na moto wa madhabahu utaendelea kuwaka.
Zapovjedi Aronu i sinovima njegovijem, i reci im: ovo je zakon za žrtvu paljenicu: žrtva paljenica neka stoji na ognju na oltaru cijelu noæ do jutra, i oganj na oltaru neka gori jednako.
10 Kuhani atavaa nguo zake za kitani na atavaa nguo za kitani ndani yake. Atatoa majivu yaliyobaki baada ya moto kutekeza sadaka ya kuteketezwa juu ya madhabahu, na ataweka majivu pembeni mwa madhabahu.
Sveštenik neka obuèe svoju haljinu lanenu, i gaæe lanene neka obuèe na tijelo svoje, i neka zgrne pepeo kad oganj spali na oltaru žrtvu paljenicu, i neka ga izruèi kod oltara.
11 Atavua mavazi haya na kuvaa mavazi mengine ili kuchukua majivu nje ya kambi na kupeleka mahali palipo safi.
Potom neka svuèe haljine svoje i obuèe druge haljine, i neka iznese pepeo napolje iz okola na èisto mjesto.
12 Moto katika madhabahu utaendelea kuwaka. Usizimike, na kuhani ataongeza kuni kila asubuhi. Atapanga juu yake sadaka ya kuteketezwa kama inavyotakiwa, na atateketeza juu yake mafuta ya sadaka ya amani.
A oganj što je na oltaru neka gori na njemu, neka se ne gasi, nego neka sveštenik loži na oganj drva svako jutro, i neka namješta na nj žrtvu paljenicu, i neka pali na njemu salo od žrtava zahvalnih.
13 Moto lazima utaendelea kuwaka katika madhabahu, kamwe usizimike.
Oganj neka jednako gori na oltaru, neka se ne gasi.
14 Hii ni sheria ya sadaka ya nafaka. Wana wa Haruni watatoa mbele ya Bwana katika madhabahu.
A ovo je zakon za dar: sinovi Aronovi neka ga prinose Gospodu pred oltarom.
15 Kuhani atachukua konzi ya unga laini wa sadaka ya nafaka na mafuta na ubani ambao uko juu ya sadaka ya nafaka, atateketeza juu ya madhabahu kuleta harufu nzuri ya shukrani ya kumpendeza Bwana.
Uzevši šaku bijeloga brašna i ulja od dara i sav kad koji bude na daru, neka zapali na oltaru spomen njegov na ugodni miris Gospodu.
16 Haruni na wanae watakula sadaka inayobaki, italiwa bila kutiwa chachu mahali patakatifu. Watakula katika ua ya hema ya kukutania.
A što preteèe, neka jede Aron i sinovi njegovi; neka se jede bez kvasca na svetom mjestu; u trijemu šatora od sastanka neka jedu.
17 Haitaokwa pamoja na chachu. Nimewapa kama sehemu ya sadaka yangu itolewayo kwa moto, ni takatifu sana, kama sadaka ya dhambi na sadaka ya hatia.
Neka se ne mijesi s kvascem; to im dadoh da im bude dio od žrtava mojih ognjenih; to je svetinja nad svetinjama kao žrtva za grijeh i kao žrtva za prijestup.
18 Kwa nyakati zote zijazo kupitia watu wa kizazi chako, mwanaume yeyote mzaliwa kutoka kwa Haruni aweza kula ni sehemu yake, ichukuliwayo katika sadaka ya Bwana kwa moto. Yeyote anayeigusa atakuwa mtakatifu.”
Svako muško izmeðu sinova Aronovijeh neka to jede zakonom vjeènim od koljena do koljena od žrtava koje se pale Gospodu; što se god dotakne toga, biæe sveto.
19 Bwana aliongea tena na Musa kumwambia,
I reèe Gospod Mojsiju govoreæi:
20 “Hii ni sadaka ya Haruni na wanawe ambayo watatoa kwa Bwana katika siku ambayo kila mwana atawekwa wakfu: sehemu ya kumi ya efa ya unga laini kama kawaida sadaka ya nafaka nusu yake asubuhi na nusu yake jioni.
Ovo je žrtva Aronova i sinova njegovijeh, koju æe prinositi Gospodu onaj dan kad se koji pomaže: desetinu efe bijeloga brašna za dar svagdašnji, polovinu ujutru a polovinu uveèe.
21 Itatengenezwa na mafuta katika kikaango, utaileta ikiwa imeandaliwa imeokwa katika vipande utatoa sadaka ya nafaka ili kuleta harufu nzuri kwa Bwana.
U tavi s uljem neka se gotovi; prženo neka donese; i pržene komade dara neka prinese na ugodni miris Gospodu.
22 Mwana wa Kuhani Mkuu atakayekuwa Kuhani Mkuu mpya kutoka miongoni mwa wanawe ataitoa. Kama amri ya milele, yote itateketezwa kwa Bwana.
I sveštenik izmeðu sinova njegovijeh, koji bude pomazan nakon njega, neka èini tako isto zakonom vjeènim; neka se pali Gospodu sve to;
23 Kila sadaka ya nafaka ya kuhani itatekezwa yote. Haitaliwa kamwe.”
I svaki dar sveštenikov neka se sav spali, a neka se ne jede.
24 Bwana alisema tena Musa, kumwambia,
Još reèe Gospod Mojsiju govoreæi:
25 “Sema na Haruni na watoto wake kwamba, 'Hii ni sheria ya sadaka ya dhambi: Sadaka ya dhambi lazima kuchinjwa mahali pa sadaka ya kuteketezwa itachinjwa mbeleya Bwana. Ni takatifu sana.
Kaži Aronu i sinovima njegovijem, i reci: ovo je zakon za žrtvu radi grijeha: na mjestu gdje se kolje žrtva paljenica, neka se kolje i žrtva za grijeh pred Gospodom; svetinja je nad svetinjama.
26 Kuhani atakayeitoa kwa ajili ya dhambi ndiye atakayeila. Italiwa mahali patakatifu katika ua wa hema ya kukutania.
Sveštenik koji prinese žrtvu za grijeh neka je jede; na svetom mjestu neka se jede, u trijemu od šatora od sastanka.
27 Yeyote atakayeigusa nyama yake atakuwa ni mtakatifu na kama damu itadondokea mavazi yatafuliwa mahali palipodondokewa, mahali patakatifu.
Što se god dotakne mesa njezina, biæe sveto; i ako ko pokapa krvlju njezinom haljinu, ono što pokapa neka opere na svetom mjestu.
28 Lakini chungu kikipikiwa kitavunjwa, kama imepikiwa katika chombo cha shaba, lazima kitasuguliwa na kusafishwa kwa maji.
I sud zemljani u kojem bude kuhano neka se razbije; ako li je kuhano u sudu mjedenom, neka se istre i vodom opere.
29 Mwanaume yeyote miongoni mwa makuhani anaweza kula nyama hiyo kwa sababu ni takatifu sana.
Svako muško izmeðu sveštenika neka to jede; svetinja je nad svetinjama.
30 Na hakuna sadaka ya dhambi italiwa ambayo damu yake imeletwa katika hema ya kukutania kufanya upatanisho katika mahali patakatifu. Ni lazima iteketezwe.
Ali nijedna žrtva za grijeh, od koje se krv unese u šator od sastanka da se uèini oèišæenje od grijeha u svetinji, neka se ne jede, nego neka se ognjem sažeže.

< Mambo ya Walawi 6 >