< Mambo ya Walawi 6 >

1 Bwana alisema na Musa kumwabia,
L'Eternel parla aussi à Moïse, en disant:
2 “Kama mtu akifanya dhambi na kuvunja amri kinyume na Bwana, kama kujihusisha na uongo dhidi ya jirani yake kuhusu kitu fulani cha kutokuwa mwaminifu, au kama akidanganya au kuiba au amemdhurumu jirani.
Quand quelque personne aura péché, et aura commis un crime contre l'Eternel, en mentant à son prochain pour un dépôt, ou pour une chose qu'on aura mise entre ses mains, soit qu'il l'ait ravie, soit qu'il ait trompé son prochain.
3 Au akiokota kitu fulani ambacho jirani yake amepoteza na kusema uongo kuhusu hicho, na kuapa kwa uongo au kwa mambo kama haya ambayo watu wanaweza kutenda dhambi.
Ou s'il a trouvé quelque chose perdue, et qu'il mente à ce sujet; ou s'il jure faussement sur quelqu'une de toutes les choses qu'il arrive à l'homme de faire, en péchant à leur égard;
4 Ndipo itakuwa hivi, kama ametenda dhambi na hatia, kwamba lazima akirudishe kwa vyovyote alichoiba au kudanganya au amedhurumu au kitu kilichopotea naye kukiokota.
S'il arrive donc qu'il ait péché, et qu'il soit trouvé coupable, il rendra la chose qu'il aura ravie, ou ce qu'il aura usurpé par tromperie, ou le dépôt qui lui aura été donné en garde, ou la chose perdue qu'il aura trouvée;
5 Au kama amedanganya kwa jambo lolote, lazima atakirudisha kamilina kuongezea sehemu ya tano kwa kumlipa anayedai, kwa siku ile anayopatikana na hatia.
Ou tout ce dont il aura juré faussement; il restituera le principal, et il ajoutera un cinquième par dessus à celui-là qui il appartenait; il le donnera le jour qu'il aura été déclaré coupable.
6 Ataleta sadka ya hatia kwa Bwana: kondoo dume asiye na kasoro kutoka katika kundi lake kulingana na thamani yake, kama sadaka ya hatia kwa kuhani.
Et il amènera pour l'Eternel au Sacrificateur [la victime de] son péché, [savoir] un bélier sans tare, [pris] du troupeau, avec l'estimation que tu feras de la faute.
7 Kuhani atafanya upatanisho kwa ajili yake mbele ya Bwana, atakuwa amesamehewa kulingana na chochote kilicho mfanya kuwa na hatia.”
Et le Sacrificateur fera propitiation pour lui devant l'Eternel; et il lui sera pardonné, pour tout ce qu'il aura fait en quoi il se sera rendu coupable.
8 Ndipo Bwana alisema na Musa kumwambia,
L'Eternel parla aussi à Moïse, en disant:
9 “Mwagize Haruni na wanawe, kusema, 'hii ni sheria ya sadaka ya kuteketezwa: Sadaka ya kuteketezwa lazima iwe juu ya makaa ya madhabahu usiku wote hata asubuhi, na moto wa madhabahu utaendelea kuwaka.
Commande à Aaron et à ses fils, et leur dis: C'est ici la Loi de l'holocauste; l'holocauste [demeurera] sur le feu qui est sur l'autel, toute la nuit jusqu'au matin, et le feu de l'autel y sera tenu allumé.
10 Kuhani atavaa nguo zake za kitani na atavaa nguo za kitani ndani yake. Atatoa majivu yaliyobaki baada ya moto kutekeza sadaka ya kuteketezwa juu ya madhabahu, na ataweka majivu pembeni mwa madhabahu.
Et le Sacrificateur, vêtu de sa robe de lin, mettra ses caleçons de lin sur sa chair, et il lèvera les cendres après que le feu aura consumé l'holocauste sur l'autel; puis il les mettra près de l'autel.
11 Atavua mavazi haya na kuvaa mavazi mengine ili kuchukua majivu nje ya kambi na kupeleka mahali palipo safi.
Alors il dépouillera ses vêtements, et s'étant vêtu d'autres habits, il transportera les cendres hors du camp, en un lieu net.
12 Moto katika madhabahu utaendelea kuwaka. Usizimike, na kuhani ataongeza kuni kila asubuhi. Atapanga juu yake sadaka ya kuteketezwa kama inavyotakiwa, na atateketeza juu yake mafuta ya sadaka ya amani.
Et quant au feu qui est sur l'autel, on l'y tiendra allumé, [et] on ne le laissera point éteindre. Le Sacrificateur allumera du bois au feu tous les matins, il arrangera l'holocauste sur le bois, et y fera fumer les graisses des offrandes de prospérités.
13 Moto lazima utaendelea kuwaka katika madhabahu, kamwe usizimike.
On tiendra le feu continuellement allumé sur l'autel, [et] on ne le laissera point éteindre.
14 Hii ni sheria ya sadaka ya nafaka. Wana wa Haruni watatoa mbele ya Bwana katika madhabahu.
Et c'est ici la Loi de l'offrande du gâteau; les fils d'Aaron l'offriront devant l'Eternel sur l'autel.
15 Kuhani atachukua konzi ya unga laini wa sadaka ya nafaka na mafuta na ubani ambao uko juu ya sadaka ya nafaka, atateketeza juu ya madhabahu kuleta harufu nzuri ya shukrani ya kumpendeza Bwana.
Et on lèvera une poignée de la fleur de farine du gâteau, et de son huile, avec tout l'encens qui est sur le gâteau, et on le fera fumer en bonne odeur sur l'autel pour mémorial à l'Eternel.
16 Haruni na wanae watakula sadaka inayobaki, italiwa bila kutiwa chachu mahali patakatifu. Watakula katika ua ya hema ya kukutania.
Et Aaron et ses fils mangeront ce qui en restera; on le mangera sans levain dans un lieu saint, on le mangera dans le parvis du Tabernacle d'assignation.
17 Haitaokwa pamoja na chachu. Nimewapa kama sehemu ya sadaka yangu itolewayo kwa moto, ni takatifu sana, kama sadaka ya dhambi na sadaka ya hatia.
On n'en cuira point qui soit fait avec du levain; je leur ai donné cela pour leur portion d'entre mes offrandes faites par feu; c'est une chose très-sainte, comme [la victime pour] le péché, et [la victime pour] le délit.
18 Kwa nyakati zote zijazo kupitia watu wa kizazi chako, mwanaume yeyote mzaliwa kutoka kwa Haruni aweza kula ni sehemu yake, ichukuliwayo katika sadaka ya Bwana kwa moto. Yeyote anayeigusa atakuwa mtakatifu.”
Tout mâle d'entre les fils d'Aaron en mangera; c'est une ordonnance perpétuelle en vos âges touchant les offrandes faites par feu à l'Eternel; quiconque les touchera sera sanctifié.
19 Bwana aliongea tena na Musa kumwambia,
L'Eternel parla aussi à Moïse, en disant:
20 “Hii ni sadaka ya Haruni na wanawe ambayo watatoa kwa Bwana katika siku ambayo kila mwana atawekwa wakfu: sehemu ya kumi ya efa ya unga laini kama kawaida sadaka ya nafaka nusu yake asubuhi na nusu yake jioni.
C'est ici l'offrande d'Aaron et de ses fils, laquelle ils offriront à l'Eternel le jour qu'il sera oint, [savoir] la dixième partie d'un Epha de fine farine, pour offrande perpétuelle; une moitié le matin, [et] l'autre moitié le soir.
21 Itatengenezwa na mafuta katika kikaango, utaileta ikiwa imeandaliwa imeokwa katika vipande utatoa sadaka ya nafaka ili kuleta harufu nzuri kwa Bwana.
Elle sera apprêtée sur une plaque avec de l'huile, tu l'apporteras ainsi rissolée, et tu offriras les pièces cuites du gâteau en bonne odeur à l'Eternel.
22 Mwana wa Kuhani Mkuu atakayekuwa Kuhani Mkuu mpya kutoka miongoni mwa wanawe ataitoa. Kama amri ya milele, yote itateketezwa kwa Bwana.
Et le Sacrificateur d'entre ses fils qui [sera] oint en sa place, fera cela par ordonnance perpétuelle; on le fera fumer tout entier à l'Eternel.
23 Kila sadaka ya nafaka ya kuhani itatekezwa yote. Haitaliwa kamwe.”
Et tout le gâteau du Sacrificateur sera consumé, sans en manger.
24 Bwana alisema tena Musa, kumwambia,
L'Eternel parla aussi à Moïse, en disant:
25 “Sema na Haruni na watoto wake kwamba, 'Hii ni sheria ya sadaka ya dhambi: Sadaka ya dhambi lazima kuchinjwa mahali pa sadaka ya kuteketezwa itachinjwa mbeleya Bwana. Ni takatifu sana.
Parle à Aaron et à ses fils, et leur dis: C'est ici la Loi [de la victime pour] le péché; [la victime] pour le péché sera égorgée devant l'Eternel, dans le [même] lieu où l'holocauste sera égorgé; [car] c'est une chose très-sainte.
26 Kuhani atakayeitoa kwa ajili ya dhambi ndiye atakayeila. Italiwa mahali patakatifu katika ua wa hema ya kukutania.
Le Sacrificateur qui offrira [la victime] pour le péché, la mangera; elle se mangera dans un lieu saint, dans le parvis du Tabernacle d'assignation.
27 Yeyote atakayeigusa nyama yake atakuwa ni mtakatifu na kama damu itadondokea mavazi yatafuliwa mahali palipodondokewa, mahali patakatifu.
Quiconque touchera sa chair sera saint, et s'il en rejaillit quelque sang sur le vêtement, ce sur quoi le sang sera tombé sera lavé dans le lieu saint.
28 Lakini chungu kikipikiwa kitavunjwa, kama imepikiwa katika chombo cha shaba, lazima kitasuguliwa na kusafishwa kwa maji.
Et le vaisseau de terre dans lequel on l'aura fait bouillir, sera cassé; mais si on l'a fait bouillir dans un vaisseau d'airain, il sera écuré, et lavé dans l'eau.
29 Mwanaume yeyote miongoni mwa makuhani anaweza kula nyama hiyo kwa sababu ni takatifu sana.
Tout mâle d'entre les Sacrificateurs en mangera; c'est une chose très-sainte.
30 Na hakuna sadaka ya dhambi italiwa ambayo damu yake imeletwa katika hema ya kukutania kufanya upatanisho katika mahali patakatifu. Ni lazima iteketezwe.
Nulle [victime pour] le péché dont on portera du sang dans le Tabernacle d'assignation, pour faire la propitiation dans le Sanctuaire, ne sera mangée, mais elle sera brûlée au feu.

< Mambo ya Walawi 6 >