< Mambo ya Walawi 6 >

1 Bwana alisema na Musa kumwabia,
And he spoke Yahweh to Moses saying.
2 “Kama mtu akifanya dhambi na kuvunja amri kinyume na Bwana, kama kujihusisha na uongo dhidi ya jirani yake kuhusu kitu fulani cha kutokuwa mwaminifu, au kama akidanganya au kuiba au amemdhurumu jirani.
Anyone if it will sin and it will act unfaithfully unfaithfulness against Yahweh and he will deny fellow citizen his an item entrusted or deposited property of a hand or a robbery or he has oppressed fellow citizen his.
3 Au akiokota kitu fulani ambacho jirani yake amepoteza na kusema uongo kuhusu hicho, na kuapa kwa uongo au kwa mambo kama haya ambayo watu wanaweza kutenda dhambi.
Or he has found a thing lost and he will deny it and he will swear an oath on falsehood on one of all that he will do humankind to sin by them.
4 Ndipo itakuwa hivi, kama ametenda dhambi na hatia, kwamba lazima akirudishe kwa vyovyote alichoiba au kudanganya au amedhurumu au kitu kilichopotea naye kukiokota.
And it will be that he will sin and he will be guilty and he will restore the thing robbed which he robbed or the oppression which he oppressed or the item entrusted which it was entrusted with him or the thing lost which he found.
5 Au kama amedanganya kwa jambo lolote, lazima atakirudisha kamilina kuongezea sehemu ya tano kwa kumlipa anayedai, kwa siku ile anayopatikana na hatia.
Or any of all that he will swear an oath on it to falsehood and he will repay it in sum its and fifth its let him add to it to [the one] whom it [belonged] to him he will give it on [the] day of guilt his.
6 Ataleta sadka ya hatia kwa Bwana: kondoo dume asiye na kasoro kutoka katika kundi lake kulingana na thamani yake, kama sadaka ya hatia kwa kuhani.
And guilt offering his he will bring to Yahweh a ram unblemished from the flock by valuation your to a guilt offering to the priest.
7 Kuhani atafanya upatanisho kwa ajili yake mbele ya Bwana, atakuwa amesamehewa kulingana na chochote kilicho mfanya kuwa na hatia.”
And he will make atonement on him the priest before Yahweh and it will be forgiven to him on one of all that someone will do to guilt by it.
8 Ndipo Bwana alisema na Musa kumwambia,
And he spoke Yahweh to Moses saying.
9 “Mwagize Haruni na wanawe, kusema, 'hii ni sheria ya sadaka ya kuteketezwa: Sadaka ya kuteketezwa lazima iwe juu ya makaa ya madhabahu usiku wote hata asubuhi, na moto wa madhabahu utaendelea kuwaka.
Command Aaron and sons his saying this [is] [the] legal [procedure] of the burnt offering it the burnt offering [will be] on [the] hearth on the altar all the night until the morning and [the] fire of the altar it will burn on it.
10 Kuhani atavaa nguo zake za kitani na atavaa nguo za kitani ndani yake. Atatoa majivu yaliyobaki baada ya moto kutekeza sadaka ya kuteketezwa juu ya madhabahu, na ataweka majivu pembeni mwa madhabahu.
And he will put on the priest garment his linen and undergarments of linen he will put on on body his and he will lift up the fatty ash which it will consume the fire the burnt offering on the altar and he will place it beside the altar.
11 Atavua mavazi haya na kuvaa mavazi mengine ili kuchukua majivu nje ya kambi na kupeleka mahali palipo safi.
And he will strip off garments his and he will put on garments other and he will take out the fatty ash to from [the] outside of the camp to a place pure.
12 Moto katika madhabahu utaendelea kuwaka. Usizimike, na kuhani ataongeza kuni kila asubuhi. Atapanga juu yake sadaka ya kuteketezwa kama inavyotakiwa, na atateketeza juu yake mafuta ya sadaka ya amani.
And the fire on the altar it will burn on it not it will be extinguished and he will kindle on it the priest wood in the morning in the morning and he will arrange on it the burnt offering and he will make smoke on it [the] fat of the peace offerings.
13 Moto lazima utaendelea kuwaka katika madhabahu, kamwe usizimike.
A fire continually it will burn on the altar not it will be extinguished.
14 Hii ni sheria ya sadaka ya nafaka. Wana wa Haruni watatoa mbele ya Bwana katika madhabahu.
And this [is] [the] legal [procedure] of the grain offering they will present it [the] sons of Aaron before Yahweh to [the] face of the altar.
15 Kuhani atachukua konzi ya unga laini wa sadaka ya nafaka na mafuta na ubani ambao uko juu ya sadaka ya nafaka, atateketeza juu ya madhabahu kuleta harufu nzuri ya shukrani ya kumpendeza Bwana.
And he will lift up from it in handful his some of [the] fine flour of the grain offering and some of oil its and all the frankincense which [is] on the grain offering and he will make smoke the altar an odor of soothing memorial offering its to Yahweh.
16 Haruni na wanae watakula sadaka inayobaki, italiwa bila kutiwa chachu mahali patakatifu. Watakula katika ua ya hema ya kukutania.
And the remainder of it they will eat Aaron and sons his unleavened bread it will be eaten in a place holy in [the] courtyard of [the] tent of meeting they will eat it.
17 Haitaokwa pamoja na chachu. Nimewapa kama sehemu ya sadaka yangu itolewayo kwa moto, ni takatifu sana, kama sadaka ya dhambi na sadaka ya hatia.
Not it will be baked leaven share their I have given it from fire offerings my [is] a holy thing of holy things it like the sin offering and like the guilt offering.
18 Kwa nyakati zote zijazo kupitia watu wa kizazi chako, mwanaume yeyote mzaliwa kutoka kwa Haruni aweza kula ni sehemu yake, ichukuliwayo katika sadaka ya Bwana kwa moto. Yeyote anayeigusa atakuwa mtakatifu.”
Every male among [the] sons of Aaron he will eat it a prescribed portion of perpetuity to generations your from [the] fire offerings of Yahweh every [one] who he will touch them he will be holy.
19 Bwana aliongea tena na Musa kumwambia,
And he spoke Yahweh to Moses saying.
20 “Hii ni sadaka ya Haruni na wanawe ambayo watatoa kwa Bwana katika siku ambayo kila mwana atawekwa wakfu: sehemu ya kumi ya efa ya unga laini kama kawaida sadaka ya nafaka nusu yake asubuhi na nusu yake jioni.
This [is] [the] present of Aaron and sons his which they will present to Yahweh on [the] day is anointed him tenth of ephah fine flour grain offering continually half its in the morning and half its in the evening.
21 Itatengenezwa na mafuta katika kikaango, utaileta ikiwa imeandaliwa imeokwa katika vipande utatoa sadaka ya nafaka ili kuleta harufu nzuri kwa Bwana.
On a baking tray with oil it will be made mixed [dough] you will bring it broken pieces of a grain offering of crumbs you will present an odor of soothing to Yahweh.
22 Mwana wa Kuhani Mkuu atakayekuwa Kuhani Mkuu mpya kutoka miongoni mwa wanawe ataitoa. Kama amri ya milele, yote itateketezwa kwa Bwana.
And the priest anointed in place of him one of sons his he will offer it a prescribed portion of perpetuity to Yahweh a whole offering it will be made to smoke.
23 Kila sadaka ya nafaka ya kuhani itatekezwa yote. Haitaliwa kamwe.”
And every grain offering of a priest a whole offering it will be not it will be eaten.
24 Bwana alisema tena Musa, kumwambia,
And he spoke Yahweh to Moses saying.
25 “Sema na Haruni na watoto wake kwamba, 'Hii ni sheria ya sadaka ya dhambi: Sadaka ya dhambi lazima kuchinjwa mahali pa sadaka ya kuteketezwa itachinjwa mbeleya Bwana. Ni takatifu sana.
Speak to Aaron and to sons his saying this [is] [the] legal [procedure] of the sin offering in [the] place where it has its throat cut the burnt offering it will have its throat cut the sin offering before Yahweh [is] a holy thing of holy things it.
26 Kuhani atakayeitoa kwa ajili ya dhambi ndiye atakayeila. Italiwa mahali patakatifu katika ua wa hema ya kukutania.
The priest who makes a sin offering it he will eat it in a place holy it will be eaten in [the] courtyard of [the] tent of meeting.
27 Yeyote atakayeigusa nyama yake atakuwa ni mtakatifu na kama damu itadondokea mavazi yatafuliwa mahali palipodondokewa, mahali patakatifu.
All that it will touch meat its it will be holy and [one] who he will spatter any of blood its on the garment [that] which he will spatter on it you will wash in a place holy.
28 Lakini chungu kikipikiwa kitavunjwa, kama imepikiwa katika chombo cha shaba, lazima kitasuguliwa na kusafishwa kwa maji.
And a vessel of earthenware which it will be boiled in it it will be broken and if in a vessel of bronze it was boiled and it will be scoured and it will be rinsed with water.
29 Mwanaume yeyote miongoni mwa makuhani anaweza kula nyama hiyo kwa sababu ni takatifu sana.
Every male among the priests he will eat it [is] a holy thing of holy things it.
30 Na hakuna sadaka ya dhambi italiwa ambayo damu yake imeletwa katika hema ya kukutania kufanya upatanisho katika mahali patakatifu. Ni lazima iteketezwe.
And any sin offering which it will be brought in any of blood its into [the] tent of meeting to make atonement in the holy place not it will be eaten with fire it will be burned.

< Mambo ya Walawi 6 >