< Mambo ya Walawi 5 >

1 Kama mtu atatenda dhambi kwa sababu hakusema ukweli wakati alipotakiwa kutoa ushahidi fulani kuhusu kile alichotakiwa, ameona au kufahamu habari zake, yeye anastahili adhabu.
Si alguno es llamado a testificar porque fue testigo de algo que vio o supo, y no lo denunció, comete pecado y es culpable.
2 Au mtu akigusa kitu chochote ambacho Mungu amekitaja kuwa ni najisi hata kama ni mzoga wa wanyama wa porini au ni mzoga wa wanyama wa kufugwa au wataambaao hata kama mtu huyo hakukusudia kumgusa, yeye ni najisi na mwenye hatia.
Si alguien toca cualquier cosa impura, ya sea el cadáver de una bestia impura, el cadáver de animal impuro o el cadáver de un reptil impuro, aunque no lo sepa, será impuro y culpable.
3 Au amegusa kitu chochote kilicho kichafu, kwa vyovyote kama hakujua, ndipo atakuwa na hatia akijua vile.
O si toca alguna impureza humana, de cualquier impureza con la cual se contamine, sin darse cuenta, y después lo sabe, es culpable.
4 Au kama yeyote akiapa bila kufikiri kwa midomo yake kufanya ubaya, au kufanya vyema kwa vyovyote vile mtu ameapa kwa haraka atakapotambua atakuwa na hatia kwa vitu hivyo.
Si alguien jura a la ligera con sus labios, para mal o para bien, en cualquier cosa en la cual el hombre acostumbra pronunciar juramento, y no se da cuenta, pero luego se percata, es culpable por cualquiera de estas cosas.
5 Mtu yeyote akiwa na hatia kwa vitu hivi, lazima akiri kwa yoyote dhambi aliyotenda.
Cuando alguno peque en alguna de estas cosas, confesará aquello en lo cual pecó.
6 Ndipo atakapoleta sadaka yake ya hatia mbele za Bwana kwa dhambi aliyokwisha tenda. Ataleta kondoo jike au mbuzi kutoka katika kundi lake kuwa matoleo ya dhambi, kuhani atafanya upatanisho kuhusu dhambi yake.
Para sacrificio que apacigua por su pecado presentará ante Yavé una hembra del rebaño, sea oveja o cabra, como sacrificio por el pecado, y el sacerdote le hará sacrificio que apacigua por su pecado.
7 Kama hataweza kununua mwana kondoo ataleta kama sadaka ya hatia, hua wawili au makinda mawili ya njiwa kwa Bwana, mmoja kwa sadaka ya dhambi na mwingine ni sadaka ya kutekeketezwa.
Pero si no tiene suficiente para ofrecer una oveja, entonces presentará por su culpa dos tórtolas o dos palominos a Yavé: uno como sacrificio por el pecado y otro para holocausto.
8 Atawaleta kwa kuhani, wa kwanza atatoa kwa ajili ya sadaka ya dhambi. Atamvunja shingo yake lakini ataacha kichwa chake kinaning'inia wala hataiondoa kabisa shingo yake katika mwili.
Los llevará al sacerdote. Éste presentará primero el que es sacrificio por el pecado, y de una uñada le desconectará la cabeza del cuello, pero no la separará.
9 Ndipo atanyunyizia damu yake katika sehemu za madhabahu, na damu inayobaki ataimwaga chini ya madhabahu. Hii ni dhabihu ya dhambi.
Rociará parte de la sangre del sacrificio por el pecado sobre la pared del altar, y exprimirá el resto de la sangre al pie del altar. Es ofrenda por el pecado.
10 Ndipo ataoa ndege wa pili kama sadaka ya kuteketezwa kama ilivyoelekezwa, na kuhani atafanya upatanisho kwa ajili ya dhambi alizokwisha kufanya, na huyo mtu atakuwa amesamehewa.
Con el segundo hará holocausto según lo establecido, y el sacerdote hará sacrificio que apacigua a favor de él, por la falta con la cual pecó, y será perdonado.
11 Lakini kama hataweza kununua hua wawili au makinda ya njiwa mawili, ndipo ataleta kama dhabihu ya dhambi zake sehemu ya kumi ya unga laini kama sadaka ya dhambi. Asiweke mafuta wala ubani juu yake, kwa kuwa ni sadaka ya dhambi.
Si no tiene lo suficiente para dos tórtolas o dos palominos, entonces, el que pecó presentará como ofrenda suya 2,2 gramos de flor de harina para el sacrificio que apacigua. No le echará aceite ni le pondrá incienso, porque es ofrenda por el pecado.
12 Atauleta kwa kuhani, na kuhani atachukua konzi moja ya unga kama ukumbusho wa wema wa Bwana na atauweka juu ya madhabahu na kuteketeza juu ya sadaka za kuteketezwa kwa moto kwa ajili ya Bwana. Hii ni sadaka ya dhambi.
La presentará al sacerdote, quien tomará de ella su puñado como memorial y la hará arder en el altar como ofrenda quemada a Yavé. Es ofrenda por el pecado.
13 Kuhani atafanya upatanisho kwa dhambi yoyote aliyofanya mtu yeyote, mtu huyo atasamehewa. Na sadaka inayobaki itakuwa ya kuhani, kama ilivyo sadaka ya nafaka.'”
El sacerdote hará sacrificio que apacigua a favor de él por su falta con la cual pecó en alguna de estas cosas, y será perdonado. El resto será para el sacerdote, como en el caso de la ofrenda vegetal.
14 Bwana akamwambia Musa, akasema,
Entonces Yavé habló a Moisés:
15 “Kama mtu akikiuka amri na kufanya dhambi kinyume na mambo matakatifu ya Bwana, lakini akifanya bila kukusudia ataleta sadaka ya hatia kwa Bwana. Sadaka hii itakuwa ni kondoo dume asiye na kasoro kutoka katika kundi; thamani yake halisi kifedha kulingana na shekeli ya mahali patakatifu, kama sadaka ya hatia.
Si alguno comete una falta y peca por ignorancia con respecto a las cosas consagradas a Yavé, presentará a Yavé como sacrificio suyo por la culpa un carnero del rebaño sin defecto, evaluado en siclos de plata, según el siclo del Santuario, como sacrificio por el pecado.
16 Lazima atalipa kwa Bwana kwa kile alichokosa kulingana na kitakatifu, na ataongezea moja ya tano na kumpa kuhani. Ndipo kuhani ataweka upatanisho kwa ajili yake pamoja na kondoo wa sadaka ya hatia, na mtu atakuwa amesamehewa.
Restituirá además lo que dañó de las cosas consagradas y añadirá un quinto sobre ello, lo cual dará al sacerdote. Éste hará sacrificio que apacigua a favor de él por medio del carnero del sacrificio por el pecado, y será perdonado.
17 Kama mtu akitenda dhambi kwa kufanya kile ambacho Bwana aliagiza kisifanyike, hata kama hakujuwa, atakuwa na hatia na ataibeba hatia yake.
Si alguno peca y quebranta cualquiera de los Mandamientos de Yavé con respecto a cosas que no se deben hacer, aunque no se dé cuenta, será responsable y pagará su falta.
18 Lazima ataleta kondoo dume asiye na kasoro kutoka katika kundi, anayestahili thamani ya fedha, kama sadaka ya hatia kwa kuhani. Ndipo kuhani atafanya upatanisho kulingana na dhambi aliyotenda, ambayo hakujua atakuwa amesamehewa.
Llevará un carnero del rebaño sin defecto, según tu estimación, como sacrificio por el pecado. El sacerdote hará por él sacrificio que apacigua por la falta que cometió sin darse cuenta, y será perdonado.
19 Ni sadaka ya hatia, na amekuwa na hatia mbele za Bwana.”
Es un sacrificio por la culpa. Ciertamente es culpable ante Yavé.

< Mambo ya Walawi 5 >