< Mambo ya Walawi 3 >

1 Kama mtu atoa dhabihu ambayo ni matoleo ya amani ya mnyama kutoka katika kundi, dume au jike, lazima atatoa mnyama asiyena kasoro mbele ya Bwana.
Аще же жертва спасения дар его Господу, аще убо от говяд е принесет, аще мужеск пол или женск, непорочен да принесет и пред Господа:
2 Ataweka mikono yake juu ya sadaka yake na atamchinja mbele ya mlango wa hema ya kukutania. Kisha wana wa Haruni makuhani watanyunyizia damu yake katika pande za madhabahu.
и возложит руце свои на главу дара, и да заколет и пред Господем у дверий скинии свидения: и да возлиют сынове Аарони жерцы кровь на олтарь всесожжений окрест,
3 Mtu akitoa dhabihu ya amani itolewayo kwa moto kwa ajili ya Bwana. Mafuta yanayofunika au yanayoungana na hizo sehemu za ndani,
и да принесут от жертвы спасения принос Господу, тук покрывающий утробу, и весь тук иже на утробе,
4 figo mbili na mafuta yaliyofunika kiunoni na yanayozunguka ini, pamoja na figo atayatoa pamoja.
и обе почки, и тук иже на них и иже на стегнах, и препонку, яже на печени, с почками отимет:
5 Wana wa Haruni watayachoma hayo katika madhabahu pamoja na sadaka ya kutekezwa, juu ya kuni zilizo kwenye moto. Zitaleta harufu nzuri mbele ya Bwana; itakuwa sadaka ya itolewayo kwake kwa moto.
и да вознесут я сынове Аарони жерцы, на олтарь во всесожжения на дрова сущая на огни, яже на олтари: принос воня благовония Господу.
6 Kama dhabihu ya amani ya mtu itolewayo kwa Bwana ni kutoka katika mifugo ni mbuzi au kondoo ni dume au jike, atatoa dhabihu isiyo na kasoro.
Аще же от овец дар его жертва спасения Господу, мужеск пол или женск, непорочен да принесет,
7 Kama atatoa mwanakondoo kwa ajili ya dhabihu yake, atamtoa mbele za Bwana.
аше агнца принесет дар свой, да приведет его пред Господа,
8 Ataweka mkono wake juu ya ya kichwa cha dhabihu yake na atamchinja mbele ya hema ya kukutania. Ndipo wana wa Haruni watanyunyizia damu pande za madhabahu.
и да возложит руку на главу дара своего, и да заколет его у дверий скинии свидения: и да пролиют сынове Аарони жерцы кровь на олтарь окрест,
9 Mtu akitoa sadaka ya dhabihu ya amani kama sadaka ya kusogezwa kwa moto kwa Bwana. Mafuta, mafuta ya mkia yatakatwa hapo karibu na mfupa wa kiuno, na mafuta yanayofunika matumbo na mafuta yaliyo katika matumbo,
и да принесет от жертвы спасения принос Господу, тук и чресла чиста с лядвиями да отлучит и: и весь тук покрывающий утробу, и весь тук иже на утробе,
10 na figo zote mbili na mafuta yanayofunika yaliyo karibu na kiuno kitambi kilicho karibu na ini na figo ataziondoa zote.
и обе почки, и тук иже на них, иже на стегнах: и препонку, яже на печени, с почками отемь,
11 Na kuhani atayatekeza yote kwa moto katika madhabahu kama sadaka ya chakula isogezwayo kwa moto kwa Bwana.
да вознесет жрец на олтарь: воня благоухания, принос Господви.
12 Kama matoleo ya mtu ni mbuzi, ndipo ataitoa mbele ya Bwana.
Аще же от козлов дар его Господу, да принесет пред Господа:
13 Ataweka mikono yake juu ya kichwa cha mbuzi na atamchinja mbele ya hema ya kukutania. Ndipo wana wa Haruni watanyunyizia damu pande zote za madhabahu.
и возложит руце на главу его, и да заколют е пред Господем у дверий скинии свидения: и да пролиют сынове Аарони жерцы кровь на олтарь около:
14 Mtu akitoa dhabihu kwa Bwana kwa njia ya moto. Ataondoa mafuta yanayozunguka matumbo, na mafuta yote yanayozunguka matumbo.
и да вознесет от него принос Господу тук покрывающий утробу, и весь тук иже на утробе,
15 Ataondoa pia figo mbili na mafuta yanayozunguka, ambayo yanazunguka kiuno na kitambi cha maini pamoja na figo.
и обе почки, и весь тук, иже на них, иже на стегнах, и препонку, яже на печени, с почками отлучит:
16 Kuhani atateketeza yote juu ya madhabahu kama matoleo ya chakula yatolewayo kwa moto, ni sadaka ya kuleta harufu nzuri sana. Mafuta yote ni ya Bwana.
и да вознесет жрец на олтарь, принос воня благовония Господу: весь тук Господу.
17 Itakuwa ni amri ya kudumu kwa kizazi cha watu katika maeneo yote mtakapotengeneza makazi, kwamba hamtakula mafuta au damu.”'
Законное в веки в роды вашя, во всяком обитании вашем: всякаго тука и всякия крове да не ясте.

< Mambo ya Walawi 3 >